Assalaamu 3alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh. Ndugu yangu hivi unavyofanya nahisi sio sahihi, kwa sababu aliyeongea maneno hayo hakutaja majina ya mtu, na wewe unapoweka picha za watu na kuwalenga wao, unamchafulia jina aliyesema au unakuwa ni kama uliyemzulia... mwishowe huenda yakaleta uhasama na fitna. Nakuomba tujitahidi kuwa na insaf katika mambo. Shukran Wabillaahi Tawfiq.
Wacheni unafik kabisa sasa hujui kma Dr islam mwenyewe amempa nafasi mohamed bachu katika msikiti wake mwenyewe ingekua hajasoma wala hangempa nafasi. Hini yote mwataka kufanya maulid yako sawa wakati mwajua wazi kuna makosa katika maulidi😢😢
@@ismailjuma3692 ww wajua maulid ama waongea tuu kuna makosa mingi sana wajua watu wangapi ndio time yawo ya kutongoza siku za maulid wajua hilo pili zile ngoma zinaolia msikitini jee vipi mambrui kuenda kulia kwenye makaburi siku ya maulid vipi zile nyimbo wakati wa zeefe na mengine kibao
Hata mkate vipande sisi tunafuatilia Darsa zinazo tolewa na masheikh zetu hapa haihusiani na bacho wala Ally kwa wanaofutilia Daawa wanajuwa kuwa sheikh Muhadhara huu kautolea Tanga masjid Al-.......
RU-vid yko unataka kugombanisha watu na usipende kuchukua kipande kifulan ukakiweka kwa maslahi yko shekh Islam amemkaribisha shekh Muhammad Bacho kwenye mskiti wake km anaona ivo unavo dhan ww asenge mkaribisha kwenye masjd yke acha unafik shekh kua na insaaf na unapaswa uweke clip mwanzo adi mwisho
Wale shetani keshawapoteza hana muda nao tena shetani yupo kwetu na mashekhe wenyewe ndo wamewakaribisha kwa hii mijadala kuwagawa watu mara madhehebu shetani nae akaamua kupita nijia hiyo hiyo acha inyeshe tuone panapo vuja
Tubadilike waislamu. Hata makafiri wanazo tofauti lakini kwakuwa wanajua adui yao ni muislamu wanaweka tofauti zao kando kutushuulikia vilivyo. Badala tuweke fikra zetu pamoja kupambana na adui wetu sote tunachonganishwa na kuzozana sisi kwa sisi wakati makafiri wanaedeleza jamii zao. Angalia shule zao! zahanani zao. biashara zao! nafasi katika tawala zao! utunzaji wao wa maaskofu na viongozi wao wadini! hata baadhi ya nchi kama tanzania inasemakana zinaendeshwa na mfumo kritsto. sisi ni kuchambana tu. nasikitika mashekhe wetu hawana agenda juu ya jamii wanayoiongoza mazingatio yao makubwa ni kuoneshana nani kashiba elimu tu.
Jaman watu wa mitandao msifanye fitna Dr Islam hajamzungumzia Shekhe Ali wa Shekhe Bachu Apo ila ni fitna Za watu fulan ila ukiangalia izi picha zengine utawajua tu waliotengeniza ii fitna na ku edit it clip ya Dr Islam
😂😂Mgeendelea kuziacha picha zao kina Bacho na Aly mpaka mwisho wa vidio ingeleta maana lakini kutoa na kumix kisa Dr islamu anasema haya Wekeni na ile anayopinga Maulid alafu muweke picha ya Sabas na Yusuf Diwan
Masufi hawana tofauti na mayahudi;wao ni uwongo tu,anaekusudiwa hapo ni huyu ustadh Said Vinandada wa mambrui,a Hana new na Bachu ambaye ni Bahari ya elimu,Allah amuweke Ampe Afya njema,Simba wa Allah,mtawaombea sana mabaya,tena mtakufa na roho zenu mbaya mazindiq nyie.
MAWAHABI UKISHAPATA CHETI TUU NDO USHAKUWA SHEKHE HATA KAMA DARASANI ALITOKEA WA TIRO NA KAMA HUNA CHETI KWA MAWAHABI WEWE SIO SHEKHE HATA UWE NA ELIMU GANI KAMA HUNA CHETI WATAKUDHARAU
Wakati ule msela wa watamu alipokua akitukana masheikh mulikua wapi sahi mumepata kijana damu iko moto Hawaeki anawakosowa vibaya sana bila kuogopa ndio mumeanza kulalamika aibu imetoka sasa hamna pahali ya kujificha 😅😅😅
Hajafikia kukosoa wanavyuoni wala kudharau masheikh waloikhtilafiana nawao wala Hajafikia kukufurisha ummah wala kutoa hukmu ya Aina yyte naiyo ni kutokana na kusoma adabu kwnza Kisha ndio akasoma elimu
Wacheni unafki wenu masufii makhurafiii huyuu ameeka pic ya mashekh apate views kama mshaelewa huezi kutufitinisha wala kutia chuku baina shekh dr Islam katika vita vyenu na Muhammad bachuu musitutoe kwenye hoja yundo 19 ziko palepale mwambie saidi na fadhil wajitokezee.
Bila shaka video haijataja jina la mtu lakini sifa za hawa walioekwa hapa wanaendana nazo hadi leo kuna masheikh wakubwa wa kiwahabi lakini hawajaonesha kuvuka mipaka kwa masheikh wenzao Bachu ajifinze Adabu na Heshima Elimu ni pambo kwa watu wake jipambie na sio kibri
ni unafik. maana huyu dr islam hakubaliana na bidaa kAbisa yakiwemo hayo maulid tafuta mawaidha yake yapo mengi. tu yakupinga maulid na bidaa kama hizo.