Hebu tuambie hii ADABU NA MTU KUWA NA TABIA MZURI KUREKEBISHA KOSA HUWA VIPI KWA MAANA Omar (R.A)karebishwa on the spot na akakubali khalifa wa kweli.mbona mmekuwa watu wakukimbilia kichaka cha ooih hana tarbia.basi asomeshe pia kukataza kusujudia makaburi kina barzaji shirki kibao.bachuu . Allah akuzidishie elimu yako sunnah innuke zaidi in shaa Allah
Uislam wa technology una balaa na fitna kubwa sahii huez skia kasema mtume sahii ni kasema technology ya mzungu na dalili ni twaona Kila kitu mambo yako wazzz😂😂mtume apo ameachwa nyuma kiac sababu technology hakuzipata ALLAH ATUONGOZE SOTENI INSHALLAH
@@sharifsayyid mwezi wa mtume ni mwezi wa popote na mwezi wa maswahaba ni mwezi wa popote na mwezi wa tabiina ni mwezi wa popote na mwezi wa tabi tabiina ni mwezi wa popote kwa ushahidi wa hadithi ya ibni Abasi swahaba wa mtume ktk qisa cha qurayb
😂😂😂😂😂😂 huyo bacho kawagusa inaonekana.... 😅😅😅😅 kwani kasemaje haswa??? Mbona mumekuwa wengi mnaomsema??? Yaonekana kaongea haki... mimi sijui lakini mara nyingi ukiona mtu ashangiliwa na kila mtu basi ameongea haki!!! Laa sivyo mbona mna waswasi???? 😂😂😂😂😂
Kwanza kabisa wazushi tabia moja hii hamuwezi iwacha hata iweje. Kuwafanyia watu khiana!!! Hii ndio silaha yenu kubwa, unawaambia watu fulani yuko hivi wakati yuko vyengine. Pili ufisadi na kuchonganisha baina ya dola na Mashekhe wa kiwahabi, kwa sbb bila kuekewa vikwazo na serekali hao Mashekhe wa kiwahabi nyinyi mnakosa hoja na hamna amani hata kidogo, na uovu wenu unakaa wazi, kwaio lazima mushirikiane na dola kuwafanyia ufisadi Mashekhe wa Sunnah, ili mupate wasaa wa kueneza bidaa zenu na shirki zenu, na mbele ya Allaah mutashirikiana kwenye moto kwa ufisadi munao wafanyia Mashekhe wa Sunnah!!! Tatu, nyani haoni..................... Nne, nyoyo zenu wazushi na mahasidi nyote zina waka moto wa Hasad kwa Shekh Muhammad Bachu kutunzwa na kupewa uwanja na kupewa thamani na nafasi ya kufanya Da'wah hapo kenya!!! Hasad mbaya sana, lengo lenu nahapo pia aondoke ili mupate kutamba kwa shirki na uzushi wenu!!! Mi nauliza kama kweli Shekh Muhammad Bachu katovuka adabu kwa Maulamaa, alie tovuka adabu si anafunzwa hio adabu😂😂😂😂😂 Nakama hasikii unabainishwa utovu wake wa adabu kwamba nihuu nahuu. ..................................................... Kuhusu kukitupa chini kitabu kilichojaa uchafu wa shirki, uzushi, na urongo, hili alikosea kwa sbb moja tu, ndani ya kitabu kuna Aya za Allaah Azza Wajalla, na kuna majina yake na ya Mtume wake Muhammad Alayhisswalaatu Wassalaam, na alipo lijua hilo, alifanya uungwana na inswaaf kubwa mnooo, akaja tena mbele za watu na kutubia kwa kosa hili. Inakuaje unalileta hapa sasaivi lengo lako nini? Sisi tunawajua mashekhe zenu masufi ni mabaradhuli-mashoga, na wengine ni mabasha-walawiti, na mpaka kesi zao zime andikwa, lkn hatuji kutaja aibu zao, na wengine tumeskia kua wamesha tubia kwa Allaah...... Kwanini muna tabia ya kuchafua sura za watu, na ikitokea Shekhe kakosea na katubia kosa hilo nyinyi kwenu hio ndio njia munayo ishikilia ili kuwafanya watu wamuone mbaya na yale mabaya yenu ambayo ni maovu zaidi yaendelee kuonekana ni yasawa! Masufi tabia hii mumejifunza kwenye Dini gani; 1-Uislamu. 2-Uyahudi. 3-Ukristo. 4-Umajusi. Uislamu hauja fundisha tabia hizi chafu, bali uchafu huu mmeuchukua kutoka kwenye. 2,3,4. Pia Shekh Muhammad Bachu alianza raddi yake kwa maelekezo na maneno mazuri kabisa, nawala haja kusudia kumchafua mtu, lkn kwann wewe umekaa na wazushi wenzio na mukaona njia nzuri yakuanzia raddi yako ni kuingia kwenye kuvunja heshma ya Shekh Muhammad, na kumchafua kwenye macho na maskio ya watu, kwanini iwe hivi? Sisi twafahamu kinacho endelea Zanzibar sasaivi, kwa kuchukuliwa wajinga ndio wakapewa mamlaka ya kuamua mambo ya Dini. Lengo tunalijua na hii fitna haijaanza kwa Shekh Muhammad Bachu, bali hii ndio njia ya watu waovu na watu wa baatwil wote duniani, akionekana mtu anakuja na mafanikio yoyote yale, basi atazimwa mapeema, ili wajinga na mafisadi wandelee kwenye................... Madhwaalim waendelee .......... Wazushi na washirikina waendelee kwenye..................... هذا هو حال المبتدعين الفاسدين المفسدين في مجتمعنا اليوم! يقتلون ويعزلون ويحاربون كل شريف كي لا يكون شاهدا على بدعهم وضلالاتهم وفسادهم وإفسادهم!!!
Ww Omar umeandika ukurasa mzima malalamiko kejeli dhanna tuhuma zarau umeacha hoja y msingi kauli utheh my kuhusu muindamo w mwezi misimamo yake kuhusu arafa unakuja na madhambulizi binafsi kana kwamba una ushahid mpaka mbele ya alwah hayo unayoyasema na utakwenda kuulizwa ulijue Hilo!
Huyu jamaa mbona anaongopa?.wapi Bachu alifukuzwa Zanzibar?..si ukweli huo,Bachu anatowa daawa zanzibar bila shida yoyote ile na watu wanampenda sana! Maswala ya Haajar Tv ni ya kikazi tu!..wacheni porojo tafadhali..
Mm mwenzenu naona huyu kijana si muelewi na alie radiwa ni mwingine na anaejibu ni mwingine, Sasa ikiwa yule alie radiwa amekosea watu jukumu unalo ww?
Ila hii dini bana watu wanauhasama sana na Bachu aisee sasa mtu akirekebishwa ndo zarau au hii dini bana watu baada wafate hoja wanaleta Ushabiki kwenye dini alikosolewa Amiril muuminina Omar aliposema ntakata kichwa chake mtu atakaesema mtume amekufa hapo hapo swahaba mwenzie Abuubakar r.a akamrekebisha kwahyo hilo jambo kama mtu kakosea kurekebishwa ni lazima na lipo katika dini sio kupetuka mipaka wala kumkosea heshima kama unavofanya ww hapo ostadh
Asemae bachu hakukosea heshma .hakusikiza vizuri maneno yake ya kejeli kuwa sheikh hastahiki kutoa maneno ya utheimiin..mpaka kutaja kusimama atajwapo mtumi kwenye maulid. Sh said nimtu anaheshimika kenya na inje
Yaani nyny mnataka muharbu dini halaf muchekewe tu ndo mnavotaka mukiambiwa kua jambo hili sivo mnanuna na kumfanyia mtu hasad lkn tutawambia tu mukinuna musinune hii dini sio yenu. Huyu kijana atawanyoosha na tunamuomba ALLAH amzidishie elimu na ampe umri mrefu ili azid kuwanyoosha
Kuwanyoosha kwa kusema anaangalia watu kwenye televisheni,mtume ndivyo alivyokua akifanya,ivi kama sio utandawazi uisilam ungekua haujakamilika?,na kama jibu ni hapana,kwanini uislam wa siku hizi hadi tuone vyombo vya habari vinasema nini.mtume yeye alifanyaje ni kipindi hicho hakukua na televisheni wala nini,inamaana hawakua sahihi?,tuache uislam wa vyombo vya habari
Kwan pale alifanya nn SHEKHE said hebu kueni waadilifu mada mulikua munazijua tangia mjala wa Tanga ndiko alipotokea SHEKHE SAID kule TANGA hakukuwana mjadala wa SHEKHE WA BARZANJI BALI WALIJADILI BARAZANJI
Yaani m nashindwa kuwaelewa hawa masheikh zetu wa Tz mbona sisi na makkah tunafanana mbona hamtoi mfanano huo ili hoja iwe nzito mnatolea hoja ya china au pakistan kwani sisi tuko Pakistan masheikh mnapotosha Ummah
Umesema kweli na wala hawatowi nn maana ya matwalai, ila wanasisistiza tufaate matwai yetu ila SAUDIA matwilaya Yao mbona ni EAST AFRICA STANDARD TIME Kwa sisi walimu wa GEOGRAPHY tunaeafundisha wanafunzinhivyo.
Suala ya nani ako mzuri kuliko mwingine au nani anataqwa kuliko mwingine kati ya sheikh wako Said na Mohamed Bachu tuachie Allah, bila shaka tutajuwa siku ya qiyama
Kwa uwezo wake Allaah Shekhe Muhammad ataendelea kufanya Da'wah hapo kenya, na atalindwa na Allaah kutokana na shari zenu na maovu yenu. Ama kuhusu masala ya fataawaa za Ulamaa kuhusu ikhtilafu ya mwandamo wa mwezi na masala ya arafa hapa hamuna jipya, na ukitaka kulijua hilo ngoja ifike siku ya jumapili muangalie watu watafanya nini? Mnadhani mutawafanya watu wajinga kila mwaka muwakosesha fadhila, na kuwafungisha skukuu na kuwalisha ramadhani. Angalieni viwanjani ilivyokua mwanzo nasasa nihivohivo, au nivipi!!!
@@mohagurey2214Basi mwenye kurakibisha ni huyo kipuzi angalia tafauti yake na ustadh miaka 50 yufanya daawa ana markaz yusomesha zaidi miaka 40 na ametoa wanafunzi bila hisabu hata huyo bachu hajazaliwa.
Wataka shekhe lako apotoshe watu aangaliwe tu! Mwanzo ww huna kisomo ulichokipata kwake ulisoma kwengine ukaja kumaliza kwake! Kama ni kweli atoe kijana alomkuza nwenyewe ajibu suala hili . Said Ali Hassan ni ubepari tu ndani ya Gongoni lkn hana maendeleo yoyote kwa watu wa Gongoni kwa kielimu!