Тёмный

Raila atetea kampuni ya Adani kupewa kandarasi 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Aliyekuwa Kinara wa ODM Raila Odinga ameitetea kampuni ya Adani Iiliyohusishwa na kandarasi tata ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta akisema ni kampuni yenye tajriba na umaarufu katika utendakazi wake. Odinga pia ameitaka serikali kuweka mikakati ya kulinda mikataba ya uwekezaji kutoka wawekezaji wakibinafsi na Umma. Na kama anavyoarifu Francis Mtalaki Odinga amekiri kuifahamu kampuni ya Adani tangu mwaka 2010.

Опубликовано:

 

12 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 179   
@SaadaOmar-e8p
@SaadaOmar-e8p 5 часов назад
Hy ashapewa millions zake wakenya tufunguwe macho sasa
@issaabdallah2945
@issaabdallah2945 5 часов назад
Kabisa
@StephenSagwe
@StephenSagwe 2 часа назад
😂😂
@jamesmurimi7958
@jamesmurimi7958 5 часов назад
Kenyans we are alone. Let us fight for our beloved country
@jeffwasike9316
@jeffwasike9316 5 часов назад
unbelievable.....this must just sold his soul for his personal gain.....held him in high esteem but not anymore....
@anderikusjuadi
@anderikusjuadi 4 часа назад
Baba your right it's now time to fight for yourself, for how will be fighting for this damn people
@elizabethkaleli5222
@elizabethkaleli5222 4 часа назад
Raila tumbocrat
@brisbanesokoth5541
@brisbanesokoth5541 4 часа назад
Exactly ​@@anderikusjuadi
@ngangai1
@ngangai1 3 часа назад
For sure, we are on our own.. By 2027 the entire country will be sold and we will be renting to live in it.
@issahaji4125
@issahaji4125 5 часов назад
Mzee ameshiba
@alialhassan48
@alialhassan48 4 часа назад
Ashasema .....no turning back
@abunajash9995
@abunajash9995 4 часа назад
I thought Kenyans were singing baba,what happened huyu mzee akishapewa pesa kwisha 😂😂😂😂
@njeshkim5468
@njeshkim5468 Час назад
Even Raila dad Oginga cursed him with the spirit of Adonija (bible story). That is why Raila has never been a president, even after winning elections. In 2022, with the support of the state system, he still did not win😢. He is doomed, evil and very selfish. He is now in coalition with Ruto after being bought into power, and he continues to take people for fools. Miguna Miguna was right, to name him'Conman Raila' 😂😂.
@oscarsam8770
@oscarsam8770 44 минуты назад
Very useless mzee since 2017 after handshake..ashapewa yake
@johnw2151
@johnw2151 32 минуты назад
WR is smart, extremely smart,..Rao amepewa zake
@wilsonmwangi4012
@wilsonmwangi4012 2 часа назад
Worst politicians in Kenya history
@JamesNjoroge-h6h
@JamesNjoroge-h6h 3 часа назад
Shame on him. Msaliti mzee
@alextercisio
@alextercisio 5 часов назад
Buree kabisa wewe kabra ya kuigia kwa gava ulikuwa umesema nini ??
@mzangicatherine1046
@mzangicatherine1046 5 часов назад
But in kenya we don't need adani,we have our money to that work,lakani wizi ni wingi sana.sasa wewe Raila umelipwa ngapi ndio.
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
Why hasn't our money work for 60 years
@بنتعبدالرحيممحمد
@بنتعبدالرحيممحمد 5 часов назад
Ww raila usifanye nikaanza kukutukana
@KenJuma-tz2hg
@KenJuma-tz2hg 5 часов назад
Don't
@johnyjoe2894
@johnyjoe2894 3 часа назад
Mzee ameshiba hawezi ona ubaya wowote......Sasa bado kusema "Ruto Tosha"
@annekamau5288
@annekamau5288 5 часов назад
When politicians join Ruto I don't know if they get bewitched or what. They lose their reasoning capacity and start singing their master's tune🤷🤷🤷
@linkmeforfun
@linkmeforfun 5 часов назад
Only thieves join other thieves to work together.
@Achievable2610
@Achievable2610 2 часа назад
🤣🤣🤣
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
No Kamau sometimes its good to thinks before we blame or insult. This country has been lead by the mountain for 40 years what good did they do nothing instead the mountain created more hawkers than industries, that's why the JKIA is leaking, power interruption, nothing is working and we blame other's these leaders from Murima are to blame, what did Uhuru do to save JKIA nothing, let Adani handle
@davidnyakundi7310
@davidnyakundi7310 45 минут назад
thanks baba for supporting ruto instead ya kuita maandamano Biashara ya mlima iharibike
@austineogengo9428
@austineogengo9428 5 часов назад
Huyu ashachukua pesa ya Adani conman
@Usercintahcin
@Usercintahcin 5 часов назад
Sasa bunduki badia zitaingia kama Somalia Adani deal must go
@brendawafula6592
@brendawafula6592 5 часов назад
We 30 yrs utakua wapi from now mzee tulia kula polepole
@alialhassan48
@alialhassan48 4 часа назад
Mbona aukucomplain express way na sio kila M2 anatumia
@titus1846
@titus1846 5 часов назад
Adani Energy sector Opiyo wandayi Raila😂
@kelvinotieno2438
@kelvinotieno2438 5 часов назад
Where will be Ruto and Odinga after 30 years?????😂😂😂
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
Think about yourself, where will be its God not you
@walteralulu8483
@walteralulu8483 56 минут назад
​@@roseokumu823 he has a point.
@samsonmuisyo6990
@samsonmuisyo6990 5 часов назад
Rao's bank account Iko tu fiti...He doesn't care anymore. "Kufa dereva kufa makanga"
@RogersOrina
@RogersOrina 5 часов назад
Msaliti wewe enda pondo ,ninaomba ukose hiyo kiti unatafuta urudi kurusha mawe
@jamesgathaiya6450
@jamesgathaiya6450 5 часов назад
Raila akishiba ni hivo anaeza sema chochote noogle
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
You are the mother so unajua akishiba
@dolganombati1918
@dolganombati1918 4 часа назад
Baba amepata shares zake so wake ya tuko pekeee
@AhmedmohamedNur-cr7su
@AhmedmohamedNur-cr7su 5 часов назад
Hiyo kulakula ndiyo maana wanateta kisiasa yote ni maslahi ya kula
@robertmarwa2750
@robertmarwa2750 3 часа назад
Raila, ruto,kalonzo,Eugene,Gachagua siasa zenu zimepitwa na wakati.
@obrienwejuli4804
@obrienwejuli4804 5 часов назад
Odinga should be very careful in what he has to comment on issues Adani, Adani has been rejected All over the world and such stories from him May cost him the AU Job
@vishwaranjan7802
@vishwaranjan7802 3 часа назад
Then why did Kenya signed 700 million dollars deal with ADANI for Ketraco power project tell your government to cancel it.
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
Which world, just say Murima has rejected Adani
@catherineikovwa3401
@catherineikovwa3401 2 часа назад
​@roseokumu823 adani accounts was frozen in the USA he has acase in court in Switzerland too so please give us abreak and there's nothing like adani is just ruto buying everything in the Name of Adani
@vishwaranjan7802
@vishwaranjan7802 2 часа назад
@@catherineikovwa3401 sorry buddy..700 million dollars KETRACO power project is already signed by ADANI officially for lease of 30 years and you will be shocked to know that ADB( African development Bank) will partner with ADANi to fund power project. This means ADB which has members of all African countries...😄accepts and welcomes ADANI to African continent.
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
@@catherineikovwa3401 Why didn't Kibaki, Uhuru do something about JKIA when they were president's, because of selfish interest. We could be complaining of a dilapidated airport if the two who ruled for 30years did something, now that Ruto whom you elected has decided to renovate kindly support him so that the youth can get jobs, complaining all the time will not help.
@cypriankubende5521
@cypriankubende5521 3 часа назад
Chief conman😂😂. Sagilu rafiki WA Mtemi Lesulia
@petroyohana1126
@petroyohana1126 5 часов назад
Raila our leader
@elogyboy
@elogyboy 5 часов назад
Is your leader na watu wenu buree
@Usercintahcin
@Usercintahcin 5 часов назад
Waiizi nyinyi mumeuza Kenya yote,umetumwa na ruto umtetee
@villecollins3167
@villecollins3167 4 часа назад
Huyu hata AU haezi pata tunapea watu wanajua kuongea french language 😂😂😂😂😂😂😂
@catherineikovwa3401
@catherineikovwa3401 2 часа назад
Raila amepewa pesa haki hii kenyans are on there own
@johnw2151
@johnw2151 33 минуты назад
OMG,...raila is now watching kenya sold
@Rona-g3m
@Rona-g3m 5 часов назад
Ngojea tuone ama ata ongea ivio aki poteza seat yake😂
@HillaryKoech-pk2se
@HillaryKoech-pk2se 5 часов назад
Raila Odinga ako sawa... Mt Kenya political conmen n economic saboteurs are behind the politics around Adani deal!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@walteralulu8483
@walteralulu8483 55 минут назад
Ruto is a conman. Anapeana airport for 30 years on behalf of Kenyans
@GladysRuno
@GladysRuno 2 часа назад
Shame on you.., Mr odinga hope you retire soon and leave Kenya alone
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
He will retire God willing
@jum4771
@jum4771 5 часов назад
Wakenya hawayaki .
@gladysnabwana6690
@gladysnabwana6690 2 часа назад
SHAM ON YOU Raila foolish...BACK TO THE SENDER fire 🔥
@everlynelivoi
@everlynelivoi 3 часа назад
Waaaa even Indians don't like them 😢😢😢 your AU position is gone like that 😢😢😢Countries fear them 🙏🙏🙏
@CharlesRachel-ck3uz
@CharlesRachel-ck3uz 2 часа назад
Kwenda sasa mzee 😢
@ibejoe7719
@ibejoe7719 29 минут назад
ROA kujitoa uogozini wa chungwa ndio kujiweka bayana kama fisi rafiki
@alfredwambugu5735
@alfredwambugu5735 3 часа назад
Personally I am not surprised. Huyu ni conman. Tumbo mbele.
@Okediboniface
@Okediboniface 3 часа назад
Baba amepata shares zake
@NoraaEldaa
@NoraaEldaa 4 часа назад
Yeees let Adani come in and do it's work. Wakenya kazi yetu kupinga Kila kitu.
@decoloniz_afro
@decoloniz_afro 4 часа назад
Globalist agenda is to make you fool be a slave forever....they love your comment.. wake up from foolishness
@aliciaaarnout7821
@aliciaaarnout7821 4 часа назад
Chaiiiiiiiiiii we are finished oooooooh!😢😢😢
@edwardomungu6023
@edwardomungu6023 4 часа назад
😂😂😂🏃🏃🏃,May God see us through oh!!
@negevmasmediamax6510
@negevmasmediamax6510 4 часа назад
Ng'ombe ni Ng'ombe tu. Kumbe we didn't have any candidate in the last election
@apostlejaymusautheterritor5593
@apostlejaymusautheterritor5593 4 часа назад
Na Gachagua alisema !
@GideonMutuku-lm6qf
@GideonMutuku-lm6qf 3 часа назад
Sasa Raila amelibwa na ruto adanganye wakenya tunawagalia sababu masikini ana chake tajiri do akona chake but epo siku
@okindagerishom4046
@okindagerishom4046 5 часов назад
Huyu tangu ashibe Hana shugli na wakenya
@charlesogendo1411
@charlesogendo1411 5 часов назад
Kumbe huyu mzee ni conman ya tax ya wakenya
@Pendo-m1s
@Pendo-m1s 2 часа назад
Huyu Mzee jamani
@robertkimani2420
@robertkimani2420 5 часов назад
Kama raila a😂😂hangekuwa kwa hii seriikalli ungeskia akipinga serikkali kenya kwisha sasa
@erickndeti642
@erickndeti642 4 часа назад
Sasa atasema ruto ako sawa😅😅😅
@paparonahtv
@paparonahtv 4 часа назад
😂😂😂😂😂Huyu ashakula pesa ...😊
@mathewmutuku7342
@mathewmutuku7342 2 часа назад
Huyu ni Komba mwiko siku zote
@Honest-k9s
@Honest-k9s 4 часа назад
We should support Adani
@thomasnguya5589
@thomasnguya5589 4 часа назад
Kimya kingi kumbe alikuwa ana burgain Hela 😂 Kenya yetu
@HellenWabore
@HellenWabore 5 часов назад
Yani baba ulikubali tu adani ifanye kazi why 30yrs si you could have said 3vrs
@Livenation-254Tv
@Livenation-254Tv 2 часа назад
Adani beneficiaries are out now
@khahkhau9318
@khahkhau9318 3 часа назад
Hawa wana siasa wotee matajir kwa nn musitowee nyinyi musikopeshe nchi kwa kufaidisha wanachiii. Peaa na mali mwaziweka njee za nchiii
@VictorMuthembwa
@VictorMuthembwa 2 часа назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii fisi imeshiba
@KevinOtieno-x3s
@KevinOtieno-x3s 5 часов назад
Mzee always value money not people
@panafrican.nation
@panafrican.nation 2 часа назад
1 Indian Prime Minister Narendra Modi is your friend. You met him in February 2022 and have met other times before. 2. Ruto also met Modi in December last year, in Delhi. 4 months after your 2023 "handshake" with Ruto, in Mombasa 3. Gautam Adani is Modi's friend - they both come from Gujarat in India, and the two have been business associates since 2002 when Modi was the Chief Minister of Gujarat. 4. Modi's govt corruptly favors Adani, because of this long-time relationship. When Modi won the Indian general election in 2014, he flew on Gautam Adani's plane. 5. Adani Group has been awarded all sorts of state contracts since 2014 - from ports and mines to power plants and highways. As a result: a. Both the market value of Adani Group and the net worth of Gautam Adani has grown very rapidly to over _40 times_ what it was in 2014, when Modi took over power. 40 times in just 10 years! b. Gautam Adani has overtook Mukesh Ambani in wealthy this year, becoming India's richest individual, and one of the top 20 richest people in the world.
@agundaoduor-su3rp
@agundaoduor-su3rp 4 часа назад
Enda nyumbani mzee wa tumbo...
@Wakabson
@Wakabson 4 часа назад
Andani kama ndio munakula na Ruto pesa yake mkizunguka Dunia mzima kutafuta kiti ya AU mtalipa mzee Raila wizi itaicha tutaanguka nayo
@chals4174
@chals4174 4 часа назад
Tumbocrat Raila Amolo Odinga! Bure kabisa.
@anneferguson1158
@anneferguson1158 2 часа назад
Nothing new. Amelipwa. Nothing surprises me with Raila.
@jul8333
@jul8333 4 часа назад
Tutamchangia Retirement benefits,but akwende
@mzalendoeliudgathondu1167
@mzalendoeliudgathondu1167 3 часа назад
What happened to RAO since June this year? As a loyal supporter of his, I can hardly recognize him anymore
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
RAO is the same yesterday, today and days to come. Sisi ndiyo hatuelewi why didn't the former president renovate JKIA before Ruto came in, because of selfishness giving tenders to people who don't have skills of renovating Airports land others, let's support Ruto we elected him
@betinah49
@betinah49 5 часов назад
Huyu ndie anatengemewa na africa, nongwe sana😏
@Dettroitt
@Dettroitt 5 часов назад
Corrupt adani
@rihkaa6289
@rihkaa6289 3 часа назад
So we are just hallucinating 😢, things aren't bad as we can see because raila have said so?.. So it's finally right to sell Kenya to foreigners,, mostly adani which have a bad reputation? our freedom fighters didn't have to fight anyways?. There's one thing i know for sure, we are right , Adani company isn't transparent,,it shouldn't be given a chance to operate in Kenya,,
@jul8333
@jul8333 4 часа назад
Huyu ameshiba Ni kunyabayamba tu..bure kabisa..We know you.. that's why you can't be trusted! Sasa Ruto Ni Rafiki baada ya kukupigia Kura?????Au anguka Na huyu mzae
@klassmusicgroup
@klassmusicgroup 2 часа назад
Retire in Peace...Let the GenZ fight for Kenyans....Sorry but here we don't agree
@decoloniz_afro
@decoloniz_afro 4 часа назад
Dear wajaluo.....baba yenyu anatafutia watoto wenye amezaa mali....nyinyi endeleeni ti kumfuata.... please look fir your own path...old man is only using you and making odinga family name leave in your conscious forever....and enslave. You forever
@dolganombati1918
@dolganombati1918 4 часа назад
Wazeee na ujingaaa ndio hii sasa
@kelvinmbunga5149
@kelvinmbunga5149 5 часов назад
I'm yet to do my homework, back to the drawing board to know if this can be a solution on our scenario
@petermakaumutuku9150
@petermakaumutuku9150 4 часа назад
He should be fighting for our young engineers to design and implement construction of our airport. No matter how long it will take. Its better we take 10 years waiting for our Kenyan Engineers to finish the project than an Indian company to finish in 5 years. We will rest knowing the skill is emended within us. Indian airports are build by Indians so be Kenyan airports.
@ZachaeusAwuor-rv1dg
@ZachaeusAwuor-rv1dg 4 часа назад
Huyu ni mwizi
@daudidaudi964
@daudidaudi964 4 часа назад
Mzee msaliti ameshashiba
@PeterWakori
@PeterWakori 5 часов назад
Any company in the world is free to bid any works in Kenya. But the process to award any contract in Kenya is defined in the Kenyan law not any other foreign law.
@manoahmurunga6286
@manoahmurunga6286 4 часа назад
Raila utaanguka Tu Kura tena
@winnienthathe798
@winnienthathe798 5 часов назад
And just like that Ruto has been further sanitized he is not corrupt Baba went to India and did the due diligence himself Adani is above board.
@NoraaEldaa
@NoraaEldaa 4 часа назад
Some even don't know why they are rejecting it. Kazi kupayuka tuu. Na huku tunasema hatuna kazi
@elizabethkaleli5222
@elizabethkaleli5222 4 часа назад
Wewe hunasemani kama wale wako kazi huko they stand a chance of loose it yaani wapewe early retirement hunasema Nini wewe.
@walteralulu8483
@walteralulu8483 51 минуту назад
Ww ndio haujui anything. Imagine 30 years airport ikiwa ni ya wenyewe. Mm by 30 years nitakuwa around 50
@Iman6Faith
@Iman6Faith 30 минут назад
Ww huna msimamo waende wakajenge hsw yako Na zakayo
@wilsonmwangi4012
@wilsonmwangi4012 2 часа назад
Raira is the beneficial of Energy contract in the airport
@SammyKanyua-g4e
@SammyKanyua-g4e 4 часа назад
Hautapata ya Au
@malcomx9883
@malcomx9883 4 часа назад
Huyu mbwa akufe tumpe state funeral
@Heretoannoy-k7b
@Heretoannoy-k7b 4 часа назад
Amepewa yake
@bensonmbwika3109
@bensonmbwika3109 4 часа назад
Kwenda uko 😢😢😢😢
@kelvinondieki6078
@kelvinondieki6078 5 часов назад
Mzee ako ndani pia
@mauriceshilabula4574
@mauriceshilabula4574 5 часов назад
Nyani ni wale wale
@BlessedfavouredmaggieofChrist
@BlessedfavouredmaggieofChrist 4 часа назад
200billion dollars 😮
@FAITHWANGUI-p8k
@FAITHWANGUI-p8k 2 часа назад
Akwende
@ismailowino2866
@ismailowino2866 3 часа назад
Iko tu sawa Fatheela,wewe ukisema iko sawa,who are we to argue?
@Mosiri254
@Mosiri254 4 часа назад
Raila has lost it completely
@johnkahugu1751
@johnkahugu1751 3 часа назад
Sad
@Gffry9520
@Gffry9520 4 часа назад
If you listen to the whole speech, RAO makes sense.
@roseokumu823
@roseokumu823 2 часа назад
Tell them, we like complaining and we are a country of no skills,,hata ya kutengeneza sindani we can't, we are broke no kelele tu
@walteralulu8483
@walteralulu8483 50 минут назад
​@@roseokumu823let's complain 30 years is alot for 200 billion
@walteralulu8483
@walteralulu8483 49 минут назад
​@@roseokumu823they should have negotiated maybe 200billion for 10 years or 20 years utmost
@henrymwaura1329
@henrymwaura1329 4 часа назад
Msaritii 2
@nobleideas2838
@nobleideas2838 4 часа назад
Mzee ashapewa share yake. Shauri zenu
@edwinluchetu6650
@edwinluchetu6650 5 часов назад
Conman ameshiba
@georges.5631
@georges.5631 5 часов назад
Sell outs
@KimzEvergreenUpdates
@KimzEvergreenUpdates 3 часа назад
Kenyans lazma tucomplain day and night kweli?
Далее
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Просмотров 1,3 млн
Rais Ruto aepuka kuzungumzia masaibu ya naibu wake
3:13
Kalonzo vows to challenge KETRACO- Adani deal
2:29
Просмотров 1,7 тыс.