Тёмный
No video :(

Rais Ruto ajitetea kuhusu kukodisha ndege ya kifahari yenye bei ghali keulekea Marekani 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 86 тыс.
50% 1

Ruto: KQ Ingekuwa Ghali Zaidi
Rais Ruto Ajitetea Kuhusu Kukodisha Ndege Ya Kifahari
Ruto Asema Ndege Ya Kq Ingekuwa Ghali Zaidi
Kauli Ya Rais Ruto Yavutia Shutuma Mitandaoni
Viongozi Wa Upinzani Wakashifu Gharama Ya Safari Hiyo
Rais Alikuwa Amesafiri Na Ujumbe Wake Marekani

Опубликовано:

 

25 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 331   
@justinmaroro7393
@justinmaroro7393 2 месяца назад
Angetumia Kenya Airways at least hiyo pesa ingebaki hapa Kenya hata kama ingekuwa zaidi
@deeruta9894
@deeruta9894 2 месяца назад
Mimi nashangaa na hesabu ya rais kbsa.
@overcomerlaban
@overcomerlaban 2 месяца назад
Wewe ngojea ukuwe president utumie Kenya airways
@luckyluchano1
@luckyluchano1 2 месяца назад
Thinking outside the box. Tungeeza pata akili kama hii yako tungekuwa mbali sana😊
@nikkonicholas4541
@nikkonicholas4541 2 месяца назад
Mnataka kufanya nini na iyo pesa na hamuonangi Tena,,,shenzi nyinyi
@elphasgovedi
@elphasgovedi 2 месяца назад
​@@nikkonicholas4541matusi nayo ndio umesomea
@bramwelavigi1208
@bramwelavigi1208 2 месяца назад
So he doesn't want to use KQ to avoid the taxes he himself imposed ...
@zenajustus5731
@zenajustus5731 2 месяца назад
Kinyozi hajinyoi akijinyoa hujikata😊.
@edwardkamau9063
@edwardkamau9063 2 месяца назад
I always regret...for voting this man😢😊
@emilyemmanyokabi7628
@emilyemmanyokabi7628 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@victorgaramangala4964
@victorgaramangala4964 2 месяца назад
Utajua haujui
@mercyyoutubecheptoo9144
@mercyyoutubecheptoo9144 2 месяца назад
Hadi nini Edward kamau ha ha bottom up economy na mama mboga
@erickanyugo3253
@erickanyugo3253 2 месяца назад
Ruto 2027! Gachagua 2032! Tupatane Kwa debe!!!
@stevekanja6318
@stevekanja6318 2 месяца назад
600 million for tea farmers is gone.
@kimathi7118
@kimathi7118 2 месяца назад
200 million ni transport tu, hatujaongelea accommodation, na PDM
@mercyyoutubecheptoo9144
@mercyyoutubecheptoo9144 2 месяца назад
So sad
@Jobonserio
@Jobonserio 2 месяца назад
What's PDM?
@kimathi7118
@kimathi7118 2 месяца назад
@@Jobonserio marupu rupu
@shukranjazzakhaallahukheir1897
@shukranjazzakhaallahukheir1897 2 месяца назад
Pesa zetu hizo ushuru kupanda kila uchao..Mungu tetea wajawako
@user-ex8mv3mf6z
@user-ex8mv3mf6z 2 месяца назад
Even if Kenya airways is expensive, he should have used it. izi story zake haziaminiki...I don't understand how Kenyans process information
@nancykabari1487
@nancykabari1487 2 месяца назад
Ruto si mjinga alijua munaweza set ndege yake iende ikaanguke aende hivyo 😅
@JoyzMichelles-eh8vs
@JoyzMichelles-eh8vs 2 месяца назад
Kifo ni lazima na ikifika only GOD can protect you so kama ni kufa atakufa tu and why does he think someone is behind him kama ni adui uhuru alikua na adui wengi till date wapo
@LydiaNyambura-be5nv
@LydiaNyambura-be5nv 2 месяца назад
Kwani ataishi
@alekiwambua9444
@alekiwambua9444 2 месяца назад
So maisha yake ni ya maana kuliko ya wengine
@cantoncornel6948
@cantoncornel6948 2 месяца назад
Eating our taxes with a big spoon ....... Telling Kenyans to tighten our belts while wasting money
@CCMNEWS20
@CCMNEWS20 2 месяца назад
Ata hiyo pesa hangetumia bado zingeingia Kwa corruption...wakule kabisa wamalize waende
@JoyzMichelles-eh8vs
@JoyzMichelles-eh8vs 2 месяца назад
On top of that zitaingia so is double double
@aheudit
@aheudit 2 месяца назад
So Kenya airways is charging us more, why? Taxes
@Blessed69666
@Blessed69666 2 месяца назад
Ata ageenda na Wheelbarrow Azimio wangeteta tu😆
@johnbrown3235
@johnbrown3235 2 месяца назад
mbwa wewe akili za wheelbarrow.
@paylwambui2362
@paylwambui2362 2 месяца назад
Ina itwa bottom up ponda Mali hustler..😂😂
@asekasheldon8427
@asekasheldon8427 2 месяца назад
Kioni uko right.Uyu ndio mcha Mungu ndio anatesa watu wake.kama hii ndio kuwa mtu wa Mungu wacha ikae
@bonynjenga
@bonynjenga 2 месяца назад
If he's not flying he's lying if not lying he's flying nkt.
@diaminesmlu4658
@diaminesmlu4658 2 месяца назад
Only fools thinks like you but visionary people sees it differently Tuliwaambia unga itashuka saa hizi ni pesa hapo na bado uko kwa hio ujinga
@user-gr4qx1co4b
@user-gr4qx1co4b 2 месяца назад
Talk about taxes also.
@bonynjenga
@bonynjenga 2 месяца назад
@@diaminesmlu4658 when common sense will be common to you will come to sense that life doesn't revolve on unga.
@benjaminosura7665
@benjaminosura7665 2 месяца назад
Kumamako wewe akili punguani I through u are not a kenyan,,
@254wakilongo
@254wakilongo 2 месяца назад
Ruto ako sawa ...hizi ndege zinaanguka sana
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 2 месяца назад
Yeah hii opposition wanataka Rais akufe vnye walitamani akiwa dp
@mbwanasilaha8872
@mbwanasilaha8872 2 месяца назад
Nakubaliana nawewe
@asekasheldon8427
@asekasheldon8427 2 месяца назад
Pia yeye ageaguka akufe tu akuna kitu anatusaidia nayo
@elkayking
@elkayking 2 месяца назад
So izo ndege zinaanguka zinafaa kubeba tu wengine
@sultanmswahilitv4864
@sultanmswahilitv4864 2 месяца назад
Juu hiyo yenye alitumia hiwezi anguka?akili imejaa pupu
@yemenkaboy_wers
@yemenkaboy_wers 2 месяца назад
Wakenya si vipii bana,,😂😂Aache kutubeba wana huyu jamaa
@enterpreneur9738
@enterpreneur9738 2 месяца назад
Wakenya hudanganywa kama watoi 🤣
@mugishajeanclaude2949
@mugishajeanclaude2949 2 месяца назад
Rais uko sawa
@PiusMbatha
@PiusMbatha 2 месяца назад
Nikama leo ni fools day wadau
@HappyAstronomicalModel-kn3hg
@HappyAstronomicalModel-kn3hg 2 месяца назад
Wacheni pang'ang'a,,mnafikiria mtamtega na ndege zenu,,,
@rhodademesi6591
@rhodademesi6591 2 месяца назад
Nani amutege na yeye NI commander
@kenmutesh4265
@kenmutesh4265 2 месяца назад
First rule of business. Be presentable enough to convince your investors or clients
@wanguichege1954
@wanguichege1954 2 месяца назад
Kama the private jet was a symbol of status...i think it is ironic because we thought his symbol of status was a wheelbarrow...
@quintinaC
@quintinaC 2 месяца назад
A man should always promote his home business than giving money to other countries. I'll also stop using KQ nkt
@edquest5764
@edquest5764 2 месяца назад
Oparanyas pair of shoes is 1 million, and he has not less than five of these type......... That is 10 million min ........., on just shoes......... 2.4milion per hour, must be chicken change for this Azimio people........... Wacheni Kelele ya upuzi....... I million for a pair of shoes....................on whose bill was this luxury foot ware put ........ He never gad them as Mp, never had them as minister, but got them as Governor.......... Akili Kichawani...........🤔🤔 And Azimio is here talking wastage of public funds.......... Bure Kabisa.......... !!!! 😲😲😲
@rhodademesi6591
@rhodademesi6591 2 месяца назад
Ni vizuri enda na 200m urudi na kikapu full ya madeni tulipe.
@Engineerotich
@Engineerotich 2 месяца назад
Achana rais bna
@nahashonlagat3279
@nahashonlagat3279 2 месяца назад
Hata mimi bana sahi niwe prezoo lazima nipande ndege expensive ju sina time ingine , this is the only opportunity 😂😮
@MitchellErmina
@MitchellErmina 2 месяца назад
Kenya iko na ndege gani ambayo iko gali koliko ile ametumia ikiwa kiwanja cha kenya airways kimeshindikani kukarabatiwa utakua ndege awachi uwongo
@bachumohamed1924
@bachumohamed1924 2 месяца назад
Kwa usalama wa Ruto sioni shida kwani bado kenya 🇰🇪 Airways kuna vibaraka wa Uhuru na Azimio wasiomtakia uhai. Wangefanya lolote.
@JoyzMichelles-eh8vs
@JoyzMichelles-eh8vs 2 месяца назад
Kama Uhuru angetaka kumuua kama unavyo sema alipokua uogozini basi angemumaliza so koma uhuru
@davinmuhahala6887
@davinmuhahala6887 2 месяца назад
So yeye anaamini kutax watu bt hataki kutaxiwa
@zenajustus5731
@zenajustus5731 2 месяца назад
Huyo ndiye hustler wetu😊
@joshuaomaya2262
@joshuaomaya2262 2 месяца назад
RUTO WEWE UKO SAWA BUDA KAA UNAEZA BEBA HII KENYA USAFIRI NAYO KILA MAHALI PLS FANYA HIVO BRO.
@VictorOrora
@VictorOrora 2 месяца назад
Uhuru anaumia kweli😂
@abdiabassi8857
@abdiabassi8857 2 месяца назад
Msemaji wa serekali anaongea kama mzee mtaa..
@josephgitau3106
@josephgitau3106 2 месяца назад
😂
@robertwanakayi-xy8yg
@robertwanakayi-xy8yg 2 месяца назад
Rais yuko sawa kabisa! Kioni fikiria ndiyo ushtumu rais! Heshimu Rais na umpe kongole kwa kazi nzuri maana hungefanya hivi anavyofanya!
@snjau7613
@snjau7613 2 месяца назад
Politicians wetu,Jesus!!! Are they annoying? They talk nonsense na shinda zetu ni nyingi. Hawataki kuzitatua.
@benjaminmogere6203
@benjaminmogere6203 2 месяца назад
Azimio mkaskilie vibaya nauko😂😂
@jasminewest6826
@jasminewest6826 2 месяца назад
The best option is to vote wisely come next election.
@BensonOgeto-re3ox
@BensonOgeto-re3ox 2 месяца назад
wewe tuue tu mungu anakuona
@kinggs-pb9vd
@kinggs-pb9vd 2 месяца назад
It was very very shameful and I think he should be ashamed of himself and those who advised him to do so if Ireland cai hire Kenya airways very shameful
@blessedbrayo6617
@blessedbrayo6617 2 месяца назад
Isaacs Mwaura, so Kenya ni kijiji, wueeh😢 UDA govt...
@josephmikae79
@josephmikae79 2 месяца назад
Aki huyu zakayo atamaliza hii kenya
@Nicholas-yr2sq
@Nicholas-yr2sq 2 месяца назад
This is why iluv kioni, he speaks the truth 💯
@naomigikwa6148
@naomigikwa6148 2 месяца назад
Mtajua hamjui
@Adenpro33
@Adenpro33 2 месяца назад
The choosen raisi
@cuttingedgeConsistentTraders
@cuttingedgeConsistentTraders 2 месяца назад
By who?
@jacksonomwami638
@jacksonomwami638 2 месяца назад
Kenyans and hustlers are happy
@bachumohamed1924
@bachumohamed1924 2 месяца назад
Ruto aliwaonea eighteen , kwani maadui wake ni wengi wasioamini yeye ni rais,,, mbona ni wanaolalamika ni Azimio vibaraka wa uhuru. We know what they are planning
@kilowatts317
@kilowatts317 2 месяца назад
ndio sababu nikajua hakuwa anasema bwana asifiwe bali alisema bona asubuhi sana
@walenisi9278
@walenisi9278 2 месяца назад
Zakayo,leta chart ya cost kati ya hiyo ndege yako na ya KQ
@alimohammed1224
@alimohammed1224 2 месяца назад
Mpigieni tena kura azidi kupanda ndege za milioni
@NickMavago
@NickMavago 2 месяца назад
Tutampigia aendelee kutuletea mabilioni
@alimohammed1224
@alimohammed1224 2 месяца назад
@@NickMavago poa mtoa ushuru
@user-im8ot4yx1x
@user-im8ot4yx1x 2 месяца назад
Hii ndio upuzi ya kina Mugabe!
@user-im8ot4yx1x
@user-im8ot4yx1x 2 месяца назад
Nkt..we know people who have gone to yues bwana..they didn't pay 1.5m per hour...not even close😢
@user-qg5yc3zv8z
@user-qg5yc3zv8z 2 месяца назад
Raisi msafiri
@MitchellErmina
@MitchellErmina 2 месяца назад
Kenya kweli tuko matatani 2milion wakati wakenya waliadhiriwa na mafuriko masomo yanadidimia pia yani hatuna kitu kenye tumefanya cha maana kenya nikufinyiliwa tunafinyiliwa na huyo mwaura anasema eti ametumia pesa kwenda kufata pesa mingi alete kenya kwani kenya uliweka pesa zake huko kwali kwanza analetea nani na hatutaziona bado kenya mnachukuwa pesa zingine huko mkidhani mnapendwa nikurushiwa mahindi polepole tu mkifika nikunyongwa tu ruto atakuwa hayoko tena kwa kiti
@khadi-z4o
@khadi-z4o 2 месяца назад
RAISI MJINGA AFRIKA.
@martinshake1651
@martinshake1651 2 месяца назад
Tujiangalie
@juniorkellytv6811
@juniorkellytv6811 2 месяца назад
Mtu Bure Kabisa.
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 месяца назад
Zakayo anawanyonya damu😅😅😅
@zingachaula
@zingachaula 2 месяца назад
Achen ushamba mlitaka akodi hedkopter
@conceptaakinyi
@conceptaakinyi 2 месяца назад
Ruto ni mwizi
@adamjin777
@adamjin777 2 месяца назад
Kenya airways 34x850,000 for business class tickets is much less than 200 million. Wach kutudanganya
@binbenmartin3425
@binbenmartin3425 2 месяца назад
Wewe ukiitwa state house saa hii utaenda na boda boda ndio usave ???
@diaminesmlu4658
@diaminesmlu4658 2 месяца назад
Good question
@carolyneatieno6815
@carolyneatieno6815 2 месяца назад
Uber Iko.
@beatricekhangayi-qh5ny
@beatricekhangayi-qh5ny 2 месяца назад
Ruto nimbwia mukubwa shetani yeye anapepa paka watoto wake shetani you ruto Mafi wewe😂😂😂😂😂
@user-eh1ix1kd7u
@user-eh1ix1kd7u 2 месяца назад
Ruto is a master of sweet words to charm Kenyans and he knows that most of us are idiots....So apparently a private jet is cheaper than KQ...If so, what message is he sending about KQ; most people are likely to avoid the airline because if it is expensive. Besides, a steward of public resources wants to have more CASs. What happened to living within our means? Unfortunately, tribalism and party affiliation cannot allow most Kenyans to see the truth.
@002RYE
@002RYE 2 месяца назад
Sasa si heri hiyo hela nyingi ingebaki tu Kenya nkt
@PatsConfectionery
@PatsConfectionery 2 месяца назад
Hata ingebaki huku bado mnge complain tu
@MaxamedNur-ct8zd
@MaxamedNur-ct8zd 2 месяца назад
Ingebaki ungepata share nini acha ujinga
@josphine432
@josphine432 2 месяца назад
Mr president no need to explain...you deserve it
@riganogutu-xr1no
@riganogutu-xr1no 2 месяца назад
Rutoooooo mand meru😢
@JohnKibirii-qe8sb
@JohnKibirii-qe8sb 2 месяца назад
A Kenyan president is not a village nyumba kumi elder.
@saidhashi2856
@saidhashi2856 2 месяца назад
But according to you Sammia Suluhu Hassan and Uhuru mwigai Kenyatta are village elders becoz of preferring and promoting their National Carriers???
@mwasbrown7348
@mwasbrown7348 2 месяца назад
Mungu anaona
@eliudekamuraprint9379
@eliudekamuraprint9379 2 месяца назад
Watermelon nyamaza. Ulishindwa na maisha kitamboooo!
@kennedyochieng9732
@kennedyochieng9732 2 месяца назад
hio sio uchawi ni mahombi 😂😂
@KevoProfezze
@KevoProfezze 2 месяца назад
Hii serikali inaongozwa na shetani
@anthonyochieng1446
@anthonyochieng1446 2 месяца назад
Ati the president came with goodies 😅.Goodies my foot, he is overtaxing us, then he flies to USA to increase public debt.
@peterchepkwony5584
@peterchepkwony5584 2 месяца назад
Asked those living in US how much taxes they pay,even buying kendi,"beremente"gum" tax must be paid
@ivesaidit2464
@ivesaidit2464 2 месяца назад
What an expensive and irresponsible government. 1 billion state House refurbishment, expensive cars budget, 200million jet.. absolutely despicable!
@rhodademesi6591
@rhodademesi6591 2 месяца назад
Maskini akipata ......hulia mbwata!
@alekiwambua9444
@alekiwambua9444 2 месяца назад
Skia io albino na ni form tukipeana tz
@paylwambui2362
@paylwambui2362 2 месяца назад
Hawa kwa uongo ni kama kusomea wako na PhD ya uongo..
@benjaminosura7665
@benjaminosura7665 2 месяца назад
Indeed ,,kama vyenye matiangi alithibitisha 😂😅
@simongatutha559
@simongatutha559 2 месяца назад
A very simplistic way of thinking.
@johnbrown3235
@johnbrown3235 2 месяца назад
it's normal for tugeges to sing so you must defend the thief and trickster. he appears to have stolen your brain.
@ShukriGufu-ec3gk
@ShukriGufu-ec3gk 2 месяца назад
You see action speaks louder than words
@kinggs-pb9vd
@kinggs-pb9vd 2 месяца назад
Mkopo hatutaki
@mackdonaldairo609
@mackdonaldairo609 2 месяца назад
Uhuru ulituambia kumbe ulikuwa unajua.
@diaminesmlu4658
@diaminesmlu4658 2 месяца назад
Mkiona pesa yenu inatumika vibaya mnaeza amia nchi zingine si pia wacogo waburindi watanzania wasudaness walipo hona mahisha kwao ni ngumu si waliamia kenya sisi tuko sawa
@ramadhanikenga274
@ramadhanikenga274 2 месяца назад
Nyinyi mliopiga kura kazi munayo mimi hata sijui kura zapigwa vipi niko shakahola na maisha yanasonga mbele
@Ericjunior7656
@Ericjunior7656 2 месяца назад
Wacheni aaribu pesa za umma... tugeges are happy
@saidiosore10
@saidiosore10 2 месяца назад
😂😂😂 achana na uyo m2, heri raila😢
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 2 месяца назад
Uuii raila is never an option to Kenyans
@simongatutha559
@simongatutha559 2 месяца назад
Raila atufikishe wapi. Aende nyumbani
@skintruder800
@skintruder800 2 месяца назад
U mean to say ruto is actually doing a good job? Why not give the guy a chance as well, then evaluate the difference. Instead, people are to hasty to judge and forgetting they themselves had a say in the votes.
@skintruder800
@skintruder800 2 месяца назад
Stop complaining in short
@ChristineWambua-vm6mb
@ChristineWambua-vm6mb 2 месяца назад
Ata Dora iko chini sana
@omarikebiro164
@omarikebiro164 2 месяца назад
private jet is always expensive. how cheap is cheap
@washingtonmbiti9348
@washingtonmbiti9348 2 месяца назад
He doesn't care what type of answers he gives people can dare.Kalonzo too much verbal diarrhea has no value. Kenyans are suffering in hands kenyan leaders. Dead opposition leadership.
@profAKILI
@profAKILI 2 месяца назад
Ni sawa, hehehehe..finya hao vyzuri...maliza hao kabisa😅
@omarjeylan4113
@omarjeylan4113 2 месяца назад
WELCOME TO DEMOCRACY WAJINGA SISI.
@brojohnofficial14
@brojohnofficial14 2 месяца назад
ATI atarudi na nini na ndeni Africa nkaa tulirogwa
@washingtonmbiti9348
@washingtonmbiti9348 2 месяца назад
Pes alizopewa ni zawadi kwa kukubali kondoo kwenda haiti kuchinjwa.Upinzani wamelambishwa.
@rhodademesi6591
@rhodademesi6591 2 месяца назад
Na mashoga kuhalalishwa
@lillianrasoa846
@lillianrasoa846 2 месяца назад
How many chicken 🐔 did he sale to get 200million crazy guy 😢😢
@DanielGacamio
@DanielGacamio 2 месяца назад
Wa
@RojaKit
@RojaKit 2 месяца назад
dynasty kids are best as leaders but sasa maskini akipata cheo lazima aenjoy sile raha alikosa as a kid
@johnbrown3235
@johnbrown3235 2 месяца назад
kumbe mwaura ni mlemavu wa akili bali na kuwa wa ngozi.
@vincentogoye
@vincentogoye 2 месяца назад
Who is fooling who
@judithlejalearnmore2236
@judithlejalearnmore2236 2 месяца назад
Aaaa anapiga show tu huku na huku mzee zakayo wa safari aliiba kura na sasa kazi imemshinda ni kutesa tu na kibet chake
@untaintted1714
@untaintted1714 2 месяца назад
So Kenya airways is more expensive than a private jet??? 😂😂😂 Help me understand....I believe all Presidents have come with goodies such as Google/Oracle setting up offices in Kenya. So I don't see anything special than a normal trip for any president. Lastly, I am afraid fewer people will want to travel KQ since our own politicians don't have faith in its quality of services. KQ might be a step further downwards to collapsing..
@aheudit
@aheudit 2 месяца назад
Even if it cost a billion, we don't care.
@SamuelMungai-cl8fh
@SamuelMungai-cl8fh 12 дней назад
Mwaura the foolish man👆
@kimathi7118
@kimathi7118 2 месяца назад
Why is Ruto showing off with our money, na kwa ground Kenya is a poor country, no wonder Americans wanatudharau
@lucymwale7928
@lucymwale7928 2 месяца назад
Hawatudharau, wanatuheshimu.lam married to an American.They adore Kenya for sure.
@kimathi7118
@kimathi7118 2 месяца назад
@@lucymwale7928 what is there to respect, we are a corrupt society, backward, dirty and very little to show 60 years after independence
Далее
I Built a Trampoline Park in My House!
29:50
Просмотров 11 млн
ВОДЯНОЙ ПИСТОЛЕТ ЗА 1$ VS 10$ VS 100$!
19:09
The Match That Made Ronaldinho Retire
13:33
Просмотров 915 тыс.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Просмотров 7 млн
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 2,4 млн