Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali? Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
Siasa za Kenya huwezi elewa hadi uishi humu. Hakuna mtu aliyemkosea Rais heshima, katiba inatupa uhuru wa kujieleza bila woga. Kenya tunaamini Rais anachaguliwa na watu, mungu hatujai muona akipiga kura.
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
Brother huezi kuelewa hii kama we si mkenya.........hiku tuko na uhuru wa uandishi wa habari.....so the president can be asked anything cause he is a servant of the people.....he owes every citizen an explanation
Wanasema mfa maji haachi kutapatapa sasa Ruto kayakoroga wacha ayanywe Bravoo Kenya mmeonyesha mfano Nyie ndio mabwana wa East Africa huko kwengine ni Coward peoples
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
I am a Kenyan citizen and I look closely at your RU-vid but today you were not given the best among Ruto and they have news when Ruto was growing up he was asked a question Ruto answered other things
nimeskia round-table yote. Napenda vile wakenya wanaujasiri na kumuuliza Rais wao maswali magumu..na pia nimemuona Ruto anaakili ya kuzaliwa. Kenya wanaRais shupavu..mie napenda sana Ruto..Kenya wampe mkuu nafasi...ngoja ss nikachuue maji nisikilize kaka zangu hawa
Please halafu usifikiriye huko kwenu Tanzania ukaliganisha na Kenya, nyinyi bado hamujielewi kisiasa ndio ukaona kuanzia Tanzania ipate Uhuru wake mpaka Leo chama NI kimmoja tuu CCM, kwahivyo nyinyi hamujielewi kisiasa kwahivyo wacha kulaumu wakenya wanavyofsnya saii kwa Rais ruto
Wewe hujui kenya tunayopitia maisha .serekali ni wizi wakubwa hujui hao wafanyakazi pesa zao zinavochukuliwa na serekali .kila mtu amechoka na hii serekali
Kenya hatupangwingwi President is our employee kama anataka kazi lazim ajibu maswali venye tunataka.....tupeeni huma mama samia one week muone aki badili mpaka dini ....sisi ndo wale wabaya...🎉🎉
Ruto anawaita Wahalifu- Criminal tena Kwa uhakika. Sasa wanapombana Ruto kuthibitisha Hilo mbona unamtetea? Acha kabisa uhuru wa habari Kenya uko safi.
Uko upande wa ruto sijui ndio asmaa you're not a Kenyan and you can't understand chenye Kenyans wanapitia kama hukupenda wanahabari wetu focus na tanganyika yenu yenye mumekaliwa na viongozi lakn mko kimya sasa ww kama nani wasema hujapendraa pyeeee #Rutomustgo
Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!
Before huu chambue, you need to have all the resources, sio kwaku fatilia one interview moja . The MP walisema NUMBER ZAO ZIKO OPEN na akuna alie pigiwa simu.
Katiba ya Tanzania na Katiba ya Kenya ni tofauti. Kenya rais sio Mungu ni mtu tu,Tanzania rais ni Mungu na hana makosa aheshimiwe hata kwa akifanya maovu.uchambuzi wako huo kwa Wakenya ni kama kipofu kumuonesha rangi mtu mwenye macho mazima na yenye kuona.
Dj Sma umesema ukweli kafanya kosa kubwa sana kufanya hii roundtable , kwa sasa vijana hawana heshima kabisa na Rais Ruto yan kila mtu anamtusi kadri anavyojua matusi yake