KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
Rais Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na Kwaya ya AY Nyarugusu iliyotumbuiza kwa wimbo w kizalendo alipokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Jubilee ya miaka 50 ya kazi ya utume na huduma ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Jiji la Dodoma Novemba 19 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.
16 сен 2024