Nakuelewa vizuri sana Madam president ila namna unavo ongea kama nawe unamlalamikia mtu afanye toa tamko la jumla hao unao waongoz bila kuwa mkali kazi haiendi
@@salumsimai642KINACHO MFANYA ACCOMENT VIBAYA NI KUTOKANA NA KUTOKUPATIKANA WAHUSIKA HADI WAITWE WASIOJULIKANA NA JUZI TU KUNA KIJANA ALITEKWA DAR KWA MDOMO WAKE AKASEMA WALIOMTEKA NI POLICE WAKAMPELEKA HADI KATAVI MBUGANI NA KUMPIGA RISASI NA KUMTELEKEZA HUKO, MUNGU SIYO MTU WALIJUA WAMEUA KAFUFULIWA NA KARUDI SASA POLICE WASIMAME WALE WA KITUO TAJWA WAJITETEE WENYEWE WASIKAE KIMYA AMA KULIJIBIA JUU JUU TU. SIYO KITU KIZURI MLINZI KUAMBIWA NDIYE ANAYEIBA BADALA YA KULINDA.
Umeenda kuhamisha wazanzibar wote umewapa kazi zote nyeti kumbe mkiwa na malengo ya kutumaliza. Kila mahali na wazanzibar kwahiyo watanganyika watoto wetu wamekuwa wa kungoja kuuwa hata kama wanatafutia maisha yao
Kiwango cha juu cha unafiki..anaongelea watu kujiteka ila haongelei kabisa yule aliyetekwa aliyepelekwa karakana ya kituo cha polisi osterbay hagusii kana kwamba hana taarifa.shame on you.
Na kuuza Inchi ndo maendeleo na mbuga za wanyama kuchimba madini mokopo nk unarudisha uchifu umerudisha ukabila nk. Baba Wa Taifa alifuta uchifu imekuwaje unarudishwa Samia wamasai Kia watu wanaondolewa kila upande 😔 ZNZ imetulia
Mila anawekeza kwenye kuuza bandari na misitu na mbuga za Tanzania Raisi wa hovyo kuwahi kutokea Duniani. Sativa alitekwa na jeshi la Polisi na Mbwana walitekwa na jeshi la polisi kwa amri ya nani kama siyo Raisi
Watekaji ni jeshi la police na usalama wa taifa, ila muda utafka tutachoka na tutachukua hatua mkononi kama kenya haiwezekani kila cku watu wanapotea kisa tu mt u kakosoa, af isitoshe anakosoa ukweli.
Mambo haya yote yanapotokea ni dhahiri shairi kuwa serikali ni dhaifu, viongozi ni dhaifu kuanzia na raisi mwenyewe. Unafiki bado ni changamoto kubwa kwa viongozi. Mpaka raisi na viongozi wengine watakapotekwa ndio kitaeleweka.
Kabisa mama YETU HUWEZI ukasema una maendeleo alafu umeziacha mila na desturi zetu. Nakuunga mkono asilimia mia. KAULI YAKO Mh RAIS imekuwa na msukumo Mzuri. Kuteka Albino na watoto halikubaliki Mh RAIS wetu Dr SAMIA SULUHU HASSAN. USIKUBALI kemea kabisa mtoto yule alivyokuwa Mzuri anauwa bila sababu za MSINGI. Be bless Mh RAIS.
Kwa ishu ya utekaji bila shaka hana taarifa sahihi na za kutosha. Amelishwa uongo na hajalisema na kulitolea maelekezo kwa mamlaka stahiki. Rais Samia kwa hapa umechemka!!
Oya Bro anayafahamu yote ila kwasababu yeye ndo anayewatuma watu wachini yake wafanye hayo mambo ndiyo maana hakazii juu ya hilo Take an example Sativa alifuatwa na jeshi la polisi kwao na akajikuta yupo Katavi,Je yeye kama Raisi amemuwajibisha huyo Polisi aliye tenda hivyo? Kama sivyo kwa nini? Kombo Mbwana alitekwa na Jeshi la polisi anajua ila analeta propaganda as if anaongea na watoto hivi.
Hawo waliokupendeza kuwa msaidizi wa raisi ndiyo walikusea na Kikwete anajigamba ati ndiye alifanya hivyo. Na wewe Kikwete mtapata laana kubwa na vizazi vyenu kwa haya yanayotokea katika Inchi hii hata wanaotakiwa kujihuzuru wameng'ang'ania tu utadhani wamekandishwa. Ni kwa sababu hawajamaliza malengo uliyowapa ta utekaji na kuuwa?
Kwani mapungufu yapo kwanani mbona kwa jpm hayakuwa hivi minazani wamekubeza au ujitaidi amli usiseme mkajitaidi Yani wewe tatizo unaagizatu unaoagiza hawatendi kama kipindi chambe
Alafu anabwabwaja wanajiteka. Ally Kibao alijitoa kwenye busi na kujiuwa? Siku moja utakuta mwanao au familia yako imefanyiwa ndiyo utajua. Tutahakikisha tunaingiza watoto wetu kwenye hivyo vyombo ili nasi watanganyika tujitetee siku moja au tulipize kisasi.
Mama tuma vikosi maalumu vifanye uchunguzi kama ni kweli mtu anaweza kujiteka Dar na akajipeleka Katavi na kisha kujipiga risasi na kujitupa mbugani au albino kujiua na kujikata viungo, hapo nadhani wa kutusaidia ni vyombo vyako vya usalama. Ila hii kutekana na kuumizana ni utamaduni mbaya sana. SERIKALI TUOKOENI WANANCHI.
Wewe unabwabwaja kujifurahisha ili ufurahie kwa kuuwaondoa vijana wa watu wewe Watoto wako wamekuzunguka lakini hii laana unayoingiza Tanganyika iyakufafuata wewe na vizazi vyako kola mnakoenda. Ondoka unamaliza Watoto na ndugu zetu. Kauuwe wak usikie uchungu tulio nao pia. Unapongea ujinga tunaumia zaidi
Mama nakuomba sana mama yangu na kiongozi wa taifa letu. Hili swala la kutekwa mama linaumiza sana hasa sisi wakina mama.Naona unaongea Kwa uchungu mama mpk nahisi kuumia na Mimi lkn bado mama kazia sana na hapo taifa linatoa machozi mama.
Watu wengine wepi kama si Waarabu wako? Unafanya nini, na unasema nini. Matukio hayo yote si ni sawa na watu kutekwa na kuuliwa, mbona ulinyamaza kimya. Sasa nini kimekusibu mpaka umeamua kutasema leo.
asante sana je nauliza awa wateka nyara ni kinanani je serekali sinawajua je nauliza tunatekwa Ili nini. Serekali iwache porojo kutuletea watendaji kutoka maeneo mengine tunataka haki tupewe tusipopewa haki zetu itakuaje mkituambia tuko huru chunga sana watanganyika Samia Wacha udini naubepari tengeneza sura alisi ya Tanganyika kwamaana iyo watanganyika Awana ajira ata mmoja atuambie sababu nchi yetu tunateseka Wacha kusumbua. ya watanzania wafanye nini atutakubali kamwe CCM itugandamize kwa miaka 60 bila huruma. wazee Awana pensheni yao wakina kinana kikwete wao wanapewa je sisi wazee wa kimasai mbona amuwaoni wazee wooote wa kitanzania wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika
Yaani mambo serious kama kutekwa kwa wananchi unaona ni lakukaa na machifu? Na je nani anayetupeka utumwani kama siyo Wewe kama Raisi kwa kuuza bandari kwa waarabu na kuwapa mamlaka ya kuipekua hata mizigo inayokuja Tanzania hata kama tupo Vitani na Dubai? Nani nani nani kama siyo wewe Wewe ni Yuda Eskariote msaliti shetani mkuu wa Tanzania jambazi mkubwa.
Siri ya uongozi ngazi ya urais uwe mkali toa kauli,na usiwe na utamaduni wa kukaa ofisini toka nje sema wajibu,na imani ukitoa maelekezo na tamko kama amiri jeshi mkuu hivi vitendo vitakoma kabisa
Mama unaongelea utekaji wa maalbino vipi wale wanaokosoa serikali?? Inakuwaje mtu anatekwa anapelekwa karakana ya polisi?? Kwa hilo lazima wananchi walaumu serikali hakuna raia anaweza kumteka mtu kisha akampeleka kituo cha polisi.
@@ramadhanihamadi6304Ndugu wote hao hawana Kinga, kinachotakiwa kupambana na adui kwa kila njia. Wazungu wana mbinu nyingi za giriba. Ni kupambambana hakuna haliye salama asilimia mia.
@@ramadhanihamadi6304weee lazima aubebe hukuziona ofisi zingine zilianza kuweka bendera za ushoga ? Na kingine kenya 🇰🇪 nao walianza kupandisha bendera za ushoga mpaka wananchi tukalalamika ? Hawa viongozi wanakopa mikopo kwa mashoga huko Europe
Bado tunalaumu serekali kwa sababu hawajatilia mkazo suala la utamaduni kwenye vituo vyao vya kibalozi wao ndo wawakilishi wa Tanzania nje wasiposimamia hilo Diaspora waliopo hawawezi kulifanyia kazi serekali iweke umuhimu iwe inapeleka afisa utamaduni kwenye mabalozi
Huu utawala mbovu tu, huna uwezo wa kuliongoza hili taifa. Maisha magumu mtaani, kodi zimekuwa lukuki na kufanya maisha ya watu kuwa hovyo. Jua tu huna uwezo wa kuliongoza hili taifa, ninakushauri usigombee 2025 vinginevyo utajiletea laana kwa vizazi vyako vyote.
Tuhuma ni jeshi la polisi linahusika asilimia mia moja kwa Moja kwa sababu aliyetekwa ameeleza Kila kitu kwamba alipelekwa kwenye karakana ya polisi oyster bay polisi Sasa wewe unazungumza utekaji gani yaani Rais simpendi huyu Tena mkuu wa nchi anasema Hana taarifa machifu ndio wanajua taarifa Sasa machifu nani anawajui
Jamani mmekazana sativa na nyie mpo kama huyo Samia ambae anaongea maneno upande mmoja mfano hebu chukulieni watoto kigamboni wanatekwa,na kuwaua , je hapo mnasemaje semeni sativa na watoto wadogo wanaolawitiwa
Watu wasiojulukana wa Awamu ya Tano wamerudi baada ya wewe Kumteua Yule KUWA Mkuu wa Mkoa Utekaji umerudi Upya ukizoea kula nyama ya Mtu Kila Mara utakuja Mtu Pangua wakuu wa Mkoa wiote wa Awamu ya Tano Wana Harufu ya Damu za watu ndiyo sababu mambo yanajiruduarudia Damu za watu zinawalilia.
Hehee mkimchukia mtu kabla ya makonda mbona tumepiga kelele sana za utekaji mpaka tukawa tunauliza Magufuli bado yupo mbona watu wanaendelea kutekwa hizo ni chuki sasa