Israel inasambaratika huko ili kufcha kinachoendelea et wanatembeza propaganda kuwa vinu vya nyuklia vya iran vinawaka 😂😂😂 wakati wao huko hapakaliki ngoja waione joto ya jiwe vita vinarudi kweny makaz yao waone raha yake na vile walivyo waogaa😂😂😂
Sisi sote ni Afrika sasa kwanini kila siku muongele mambo la Ulaya tu? Jirani zeno "ndugu zeno wa Mozambique" wana matatizo makubwa kabisa, ila nyinyi umupo na woa. Badilikeni jamani........
sasa uku africa inakuaje kama uko watu wanatoa aadi na wanatimiza lakini wanaoneka wajinga je awa wanao aidi na wanaingia mitini na kua mabilionea 😁😁🤣🤣
LUKAshenko ni mkweli,hata Pyongyang ilisema vivyo hivyo!Magharibi yaaani Marekani na bwa wadogo zake wameshindwa kila kitu na Putin!Kila mtu anajua hilo,hao wagombea urais wawili wa Marekani ni vibaraka tu wa nguvu zinazowasukuma
Sisi sote ni Afrika sasa kwanini kila siku muongele mambo la Ulaya tu? Jirani zeno "ndugu zeno wa Mozambique" wana matatizo makubwa kabisa, ila nyinyi umupo na woa. Badilikeni jamani........
😂😂😂😂 kinyume chake n kweli kwan Israel yote kunanuka vinyesi hesbolah wanafanya yao muda huu baada ya wahuthi kuwapga wale mashoga juzi n vilio tu makombora kama mvua na hayazuiliki😂
Kuwa na maisha magumu Marekani ni uvivu wako kazi zipo za kumwaga na pesa ipo lkn nchi ka hizo hamna mishahara tembea ndo uje ucomment, kazi kushabikia tu kutafuta passport usafiri aaah