Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Paula awanyoshe TU pumbavu Sana Awa van na mwanamke wake ! Usimuone Kobe kainama juwa ana Tunga Shelia Pala nip na w ewe mkono Kwa mkono adi peponi wamekuchokoza wenyewe Awa watu
Namsikitikia Msichana mdogo kuharibika kias hiki duuuu Mungu linda vizaz vyetu umalaya tyuuu kutumika tuu cha maana hatuon huyu kakimbilia ukubwa tena mkubw kuliko wakubwa wenyewe ila dunia itakufunzaa tuuuu Age hii kugombania mabwanaaaa dah😢anajiona mwamba upumbavu ila Mungu awasaidie tyuuu
they are playing with akilizenu dada usijitie jasho bure ,ameharibika kesho anapata dili la kutangaza brand analipwa pesa ya kama yule aliesoma na madegree au zaidi
I love Paula so much 😍 but kwan hakujua kua Ray ana mwanamke wake?? tamaa jaman mbaya alikufata ndiyo na gari lake kwann usinge kataa ?ona sasa binti mzur mdgo unajisemesha mbele ya media kua umetolewa.......na Ray ☹️☹️☹️☹️ for a Man ukiandika hivyo ndo anaonekana Mwamba then wewe ndo unaonekana cheap ☹️☹️anyways we all learn through mistakes keep chasing your dreams 🤗🤗🤗😍😍
Inaumaje kutolewa bikra na short fat guy! 🤣🤗 we paulaa weeeE ebu tupe ubuya mana kwa clip ile alikuwa anajichekesha chekesha tyuu.. Dadeq Chui #sfg! Huyo ndo Paula sasa
Ningekua mamake Paula ningekua proud atleast anajua kujitetea but pia ningekua mamake nisingekubali achezewe na wasanii hawa watu niwaharibifu sana hawana mapenzi ya kweli watakuchafua na kukudhalilisha kwenda mbele hapa Kajala amefeli kweli
Wote hawajielewi hasa huyo anaeitangaza bikira yake ndo anazidi kupoteza uanamke wa kiafrika ..angenyamaza angepata heshima zaidi...namkumbusha bikira hairudi akae kwa kutulia
huyu ray aache ujinga wake, alipokuwa na paula hakuona hayo, pumbavu na huyu anaejifanya mume wng atarudi alikotoka si alijifanyaga hachitiwi huyu, mbona alibwagwa kweupe
Mwanamke bikra sky aongei hivyo .. paula tunakujuwa vizuri sema tumekaa kimya huyu van ndo anajulikana kwenye media na yule dad uliyekuwa unadate naye mpumbavu ... Bikra ya wa wapi .. na vay ni mjinga mmoja tamaa ndo zimesababisha mpaka unaoneka mwanaume suruali una bolo ..
Duuh kumbe ray ndo aliokashindilia ubooo na kuharibu bikra ya Paula,aisee ni ray ulipata bahati sana hongera kwa hilo afu ingekuwa kwaivunja bikra yake ningekuwa kimya tu kujivunia kutoa bikra yake
Rayvan is old enough to leave this young girl alone let him focus on his marriage If ukweli ameoa na if you see your man argue with his ex my dear that's a red flag 🚩 anakutumia kumuumiza
paula wape dozi yao tena wanaume kama hao hawafai kabisa paula ulianzaje kua na mtu kama huyo unavyo mpa ukweli wake unamungia ha kwenye unyayo ww ni mzuli bwana