Nimekupata mkuu,,kumpenda Mungu sio kutembea na kusema Mungu nakupenda ni kutii amri zake.....tukitiii amri ndipo Mungu anajua tunampenda...nimeipenda hiyo baba!!!!hongera kwa kazi zako nzr
Huyu mzee Mungu ambariki anajua kazi yake sio siasa anaongelea kile kinachohusu wananchi wa mkoa wake kwa jumla .lazima atapata kuungwa mkono na kundi kubwa maana haoneshi ubaguzi wa kichama . apewe muda awafundishe wakuu wa mikoa mengine yote
R,c mwanry pongez sana hii ni zawad toka kwa mungu.Tabora inabadirka mpka Raha.yaan kama Toronto.mwanzon nilikuwa sikuelewi kabisa,lakn kwa mwaka Jana umenikosha yaan unafanya kazi kwa vitendo