Тёмный

RECAP: NI KWELI DIAMOND AMEMLIPA CHRIS BROWN?? MISO MISONDO WALIPOSTIWA?? WASANII TZ WANAFIKI SANA 

Bongo5
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 30 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 181   
@JejemingaMinga
@JejemingaMinga 3 месяца назад
Ukweli ntupu Kaká commant ça va imenda iyo ngoma Duniani 🙌🔥🔥🔥🇹🇿🇺🇸🇻🇳🇸🇦🇵🇹🇿🇦
@channyanjen9047
@channyanjen9047 3 месяца назад
Yani wewe uko mbali ungechukuwa mkumbwa wao Pepsi ya baridi ukashushiya kaka, nakupenda Sana kwa sababu wewe nimsema kweli, Allah azidi kukubariki umri murefu kaka nakupenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ramayonline2281
@ramayonline2281 3 месяца назад
Broh EL MANDO your the best 👏🙌🏽👑 you have always been spoken the truth now I’m waiting for your RECAP about the trip of Diamond Platnumz in Paris fashion show plus his collaboration with Jason Derurlo
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 3 месяца назад
Uko sawa bro wanafki wakae kando na Simba wetu hatupendani sisi ni wanafki walisema jamaa amefulia ila Sasa ni wanafki tungekua kama Nigiria tungewaacha mbali sana Nigeria
@YohanaKanyerere
@YohanaKanyerere 3 месяца назад
Wa kwanza guys, NAOMBEN likes Every time unaspeak fact bro I appreciate you so much
@spaganiceboy
@spaganiceboy 3 месяца назад
Nikweli Kaka sema Kweli 🎉🎉🎉
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign 3 месяца назад
Vraiment Dieu aie bon courage Grand frère tu est Sage tu parles ce qui est réel dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa.
@EmmanuelMurula
@EmmanuelMurula 3 месяца назад
Un kinois qui ne sait pad écrire le français
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 3 месяца назад
Diamond hana pesa ya kumlipa Chris brown ili acheze wimbo wake. People.acheni wivu
@hansdedes1903
@hansdedes1903 3 месяца назад
Asante sana nilikuwa sijuwi kama mdogo wake harmonise anafakazi kwa Diamond, Shukrani Sana kwa news much love's from Thailand 💓💓💞🇹🇿!!**
@JersonEliyasi
@JersonEliyasi 3 месяца назад
DAMOND PRATNNAMZ 🦁 simba wa AFRIKA saruti sana kwake
@SaidJuma-ru7vm
@SaidJuma-ru7vm 3 месяца назад
Well said bro
@AminaAbdullah-ws3wy
@AminaAbdullah-ws3wy 3 месяца назад
Don't worry about those hurt's. Bongos tatizo Roho mbaya. I agree with you
@BazozMasudi
@BazozMasudi 3 месяца назад
Bro mimi kwa upande wangu Big amesha support saaana mpaka na wale aliwo wa support doo wana msema vibaya tena naku shindana nae big ana roo ya kipekee this is from DRCongo a big fan
@KonvictIbra
@KonvictIbra 3 месяца назад
Big up tz & much respect to diamond platinumz east African to the worldwide much love❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@volontemuvunja6260
@volontemuvunja6260 3 месяца назад
Unaongeya ukweli siku zote big up bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@JersonEliyasi
@JersonEliyasi 3 месяца назад
DAMOND PRATNNAMZ 🦁 simba wa AFRIKA saruti sana kwake acha ukweli usemwr
@AmaniNangerembe
@AmaniNangerembe 3 месяца назад
Ndomana na kukubali sn kk mkubwa namando nice one job brother 🎉🎉🎉
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 3 месяца назад
You are right , wasanii hawapeani umoja. Nigeria watazidi kutuzidi kama hatuungani.
@JumaSaidi-xq7ui
@JumaSaidi-xq7ui 3 месяца назад
Nakubali brooo❤
@NgabireyimanaJophrai
@NgabireyimanaJophrai 3 месяца назад
Wew nakubali waelimishe wafunz wanajifanya mtaila tanzania mumepewa kitu chasamani lakini hamukitambuwi
@rashidkibavu1863
@rashidkibavu1863 3 месяца назад
Nakubali sana uchambuzi wako broo
@batilibatilizy5323
@batilibatilizy5323 3 месяца назад
Ukweli usemwe diamond ni babá 💯🇲🇿🔥
@michaeljuma254
@michaeljuma254 3 месяца назад
Kweli kabisa🎉🎉
@MatiShabby
@MatiShabby 3 месяца назад
True
@GiftMwakifuka
@GiftMwakifuka 3 месяца назад
Simba mutu mukubwa muache 2 ❤❤❤❤❤❤
@titoamani-e8b
@titoamani-e8b 3 месяца назад
ujumbe kwa Harmonize.... Diamond harogwi😂😂😂😂
@AcksunBonifas-mj2sw
@AcksunBonifas-mj2sw 3 месяца назад
yan watu hawataki kubali sijui wapo aje ..kubalini ban ❤
@marthaanton6967
@marthaanton6967 3 месяца назад
Umeongea point kubwa sn watu niwanafiki watanzania Mungu atusaidie tupende vyakwetu
@theonekulwa
@theonekulwa 3 месяца назад
Umetisha leo wasanii wa bongo ni wanaaa.
@RojaPeter-oo7ru
@RojaPeter-oo7ru 3 месяца назад
Wambie bro 💥💥
@RonaldoSwagala
@RonaldoSwagala 3 месяца назад
Uko sahihi bro 🤜🤜🤜🤜
@Gervas-gv4gt
@Gervas-gv4gt 3 месяца назад
Nakukubali kak ukwelii 4rever❤❤❤
@hancebariki
@hancebariki 3 месяца назад
Kweli kabix kaka
@AlmasEassy-ek9et
@AlmasEassy-ek9et Месяц назад
Kka nakubali yana na unacho sema🎉
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 3 месяца назад
Siyo wamechaguwa njia kuchukiana wanachuk ya kwelii😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 месяца назад
Yaani kiukweli industry imebebwa na Mondi akisema anapumzika industry itapumzika😂
@michaelcheyo4072
@michaelcheyo4072 3 месяца назад
uko sawa saaana!!
@flinchclassic1531
@flinchclassic1531 3 месяца назад
Umeongea ukweli brother
@hemedytz9013
@hemedytz9013 3 месяца назад
Sana Kaka Wana wivu
@EdmondNyirenda
@EdmondNyirenda 3 месяца назад
People can be hypocritical
@ramamabrok2523
@ramamabrok2523 3 месяца назад
Simba 🙌🙌🙌🙌🙌
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 3 месяца назад
Hiyo ya kusema wasanii ni wanafiki kwa sababu hawakusapoti komasava wakati inatoka, wakasapoti baada ya Chris Brown kushiriki challenge, hapo you are being negative aisee, wakati komasava inatoka na wao walikuwa na project zao, yaani haiwezekani wasanii wawe kazi yao ni kusapoti nyimbo za diamond tu wakati wao pia wana project zao, hili la Chris Brown ni kubwa kuliko, ndio maana industry ikasimama wasanii wakaacha mambo yao for a minute to celebrate the milestone... Wasanii wetu wana upuuzi kuvimbiana, lakini hawa wachache waliosapoti kwa kupost tusiwavunje nguvu, haikuwa unafki bwana, ni appreciation ya kweli, tuwazungumzie hao kina Harmonize wanaoleta mambo ya Misomisondo mara sijui Chris Brown kalipwa, hao sasa ndio wadwanzi, ila hawa waliopost tusiwavunje nguvu ya kuonyesha love siku nyingine
@Khalidniya380
@Khalidniya380 3 месяца назад
Nakuelewa ila hao ambao wamempost Diamond baada ya kuona Chris Brown amempost ni unafki kwani saa hii bado hawana projet zao za kupush wakiamua kukaa kimya waache waendelee wasifosi issues
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 3 месяца назад
@@Khalidniya380 Ukisikia mtu anajisikia kama ana homa homa hivi, unaweza ukamuombea tu kwa mungu ukaendelea na mambo yako, ila ukisikia kazidiwa amelazwa unalazimika kusimamisha shughuli zako uende ukamuone... Kwa hiyo kuacha mambo yako inategemea na uzito wa kinachoendelea... Wakati komasava inatoka, zilitoka nyimbo ngapi? Yeye Diamond aliachana na Komasava akaanza kuzisapoti? Si aliendelea Kui-push komasava yake !? Au kabla Rayvanny hajafanya show na Maluma, alikuwa ashafanya show ngapi akiwa Next Level? Diamond alikuwa anazipost? Mbona ile show na Maluma Mtv Music Diamond alipost na kusifia kuwa haijawahi kutokea akashauri na vijana waache bangi watafanikiwa Harmonize akamind... Diamond alifanya unafki kwa kuwa show zingine hakuwa akizipost? Watu hawawezi kuja kwenye kipaimara cha mtoto wako, ukawatimua ukawaambia eti wanafki mbona siku zingine huwa hamji, yaani unataka nyumba yako iwe inajaa watu kila siku, watu wanakuja kukutembelea tu wewe kwa kuwa wao hawana makwao au? Watu watakuja kwa jambo maalumu, sio ukiamka unafagia watu waje, ukikaanga mayai watu waje, haiwezekani, watu wataacha shughuli zako ukiwa na jambo la msingi... WABONGO AKILI ZETU ZIMEZOEA UHASAMA, KWA HIYO HATA LIKITOKEA JEMA TUNAONA BAYA, Kwanza wasanii karibu wote waliompongeza ni washkaji zake Barnaba, Jay melody, Baba levo, Zuchu....
@DadiezRec
@DadiezRec 3 месяца назад
Uyo anajua Ila anajinafkisha tu
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 3 месяца назад
Duh
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 3 месяца назад
Ila je yeye chibu anapost kazi za wasanii wenzake ?
@MohamedAhmed-ns5mi
@MohamedAhmed-ns5mi 3 месяца назад
Wambie ukweli bro
@babalao3250
@babalao3250 3 месяца назад
Mando we mnoma sana
@lowkey-davontae
@lowkey-davontae 3 месяца назад
Big fact
@badeuxGerard
@badeuxGerard 3 месяца назад
Tuko pamoja, umesema ukweli mtupu 👍
@LeganNtambi
@LeganNtambi 3 месяца назад
❤❤
@paizinhosaide-cv9pm
@paizinhosaide-cv9pm 3 месяца назад
Komassava🙌🙌🙌🙌
@ipyanamwasaga7333
@ipyanamwasaga7333 3 месяца назад
Kaka ww ni wamoto sana unajua sana anae kupinga uyo ni mchawi
@pascaljr.5439
@pascaljr.5439 3 месяца назад
Umeongea vizuri
@davkoofficial4179
@davkoofficial4179 3 месяца назад
🙌🙌📢📢📢📢
@Swaggerboyog695
@Swaggerboyog695 3 месяца назад
Kama wanaweza walipie na wenyewe afanyiwe challenge na ngoma Yao sensema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@BakariJulius
@BakariJulius 2 месяца назад
Kaka chukua heshima yako umeongea sahihi nimeipenda
@MussaSaidi-nw2xs
@MussaSaidi-nw2xs 3 месяца назад
Nakubaliana nawewe
@jabirshomar8247
@jabirshomar8247 3 месяца назад
Washamba hao Wachane bro Mwenzao anachanja Mbuga kwenye Mafanikio wao wana Piga ngenga tu na Umbea.
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 3 месяца назад
Mondi ninyingin niveaux mungu kamfunguria wamuache kumchukia waache rohombaya uwo niuchawi
@djjosie7283
@djjosie7283 3 месяца назад
Nikweli wanafiki wanapost na kumtag Chris brown iliwaonekane kwa Chris kuwa na wao ni wasanii walioukaribu na dai😂😂😂 akili mbovu hata sikupenda
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 3 месяца назад
Diamond ni njia ya wengiii kutaftia ugali
@sheilacruz6458
@sheilacruz6458 3 месяца назад
We usiseme kila mtu mbona harmonize na rayvanny na marioo hawakupost diamond kafanya kazi nzuri sana lakini usijumuishe wenye hawakupost
@KingMoses-i2v
@KingMoses-i2v 3 месяца назад
Huruma sana Tanzania Ila I Love Diamond
@SalhaKhamis-n4j
@SalhaKhamis-n4j 3 месяца назад
Aseee umesema ukweli mtu yani kuna vijitu vingine jamani et anapambana kumkashifu simba😂😂😂 inachekesha sana
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 3 месяца назад
Kweli kabxaa broh waeleweshe maboya wa mji wsiojielewa
@nasraalmasy
@nasraalmasy 3 месяца назад
Kweli kabisa wasanii wabadilike na mashabiki maandazi Pia.
@kenjaboy8070
@kenjaboy8070 3 месяца назад
Wambie hawo wabishi simba nisimba tu ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@ImaniMsafi
@ImaniMsafi 3 месяца назад
Diamond pratinamz is the best artist of Africa
@AlfroLyd
@AlfroLyd 3 месяца назад
Na hizo collabo zote ulizo zitaja Chris Brown anazijuwa, sababu Hao wasanii Ni wakubwa mno, Na wako close Na Chris Brown, niku sema Chris Brown anamjua vizuri DIAMOND PLATINUMZ, Na ana fahamu kuwa DIAMOND PLATINUMZ he's from Tanzania
@EdwinJohn-vo8uf
@EdwinJohn-vo8uf 3 месяца назад
Comasava would wide 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌍🌍🌍🌍
@suleimanfadhil-bg4wg
@suleimanfadhil-bg4wg Месяц назад
Chris anapenda kuwasupport wasanii wa Africa, kwani Diamond alishawai msupport msaani mdogo at kupost insta story acha kuwa na upande at mondi hasupport wengne UBAYA UBWELA 😁😂😁
@kassimabussa6583
@kassimabussa6583 3 месяца назад
Kweli kabisa dolla elfu mbili hawezi pesa ndogo sanaaa amecgeza kwamapenzi TU
@graceti9390
@graceti9390 3 месяца назад
hamo hajaseme amecheza alisema alisha wai post misomisondo kaka pengine haukusikiya vizuri
@suleimanfadhil-bg4wg
@suleimanfadhil-bg4wg Месяц назад
Chris Brown hana njaa na hakuna mxaani wa bongo kumlipa Breezy mbn kacheza ngoma ya twashalabam kwenye 11:11 Tour kwenye show kwenye majiji mengi
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 3 месяца назад
Muziki na vigisu,hata usemeje bongo ndivyo tulivyo.Unafiki ndo umetawala bongo
@nyapambasango7606
@nyapambasango7606 3 месяца назад
Broo we ni genius
@BabeRymz
@BabeRymz 3 месяца назад
🎉🎉🎉🎉
@RayAntone-qu9nf
@RayAntone-qu9nf 3 месяца назад
Kwani yeye anahabali kuwa mnamzungumzia hivi 😹😹😹😹
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 3 месяца назад
Hana ndo nataka nimpelekee hii habari
@jcrackcrack1669
@jcrackcrack1669 3 месяца назад
Kila mtu n msanii kaka,so kila mtu anavutia kwake,wanauza bidhaa moja,so kitu n kwamba lazma kuwe na upinzani,utazoea hakuna support ama usitarajie support kutoka kwa msanii mwenzako labda awe n rafiki yako tu
@KefaMkv
@KefaMkv 3 месяца назад
Sasa kama diamond kamlipa Chris Je pogba nae kalipwa ili aucheze?
@AshaKibige-u5h
@AshaKibige-u5h 3 месяца назад
Kaka uko fact kabisa,waambie ukwel
@shabankassim823
@shabankassim823 3 месяца назад
sawa ilikua nyimbo yake je.maneno aliyo yaandika alisemaje kuhusu misi misondo kina maneno kayaandika pale
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 3 месяца назад
Kwaiyo kumbe miso misondo hakuwapost mlitudanganya? Vp na yule msauzi? Kapostiwa au uongo?
@bonirodi6301
@bonirodi6301 3 месяца назад
Watanzania wanavifu kweli diamond ndio Habari ya Dunia
@agogomgagagigigogo
@agogomgagagigigogo 3 месяца назад
Heeh,kumbe likilandage lina ndugu yake pale lilimpiganishia afu linamletea presha ya kufukuzwa ,ama kweli ni bange lile,ni vile tu Simba ana moyo wa pekee
@davidnyerere2474
@davidnyerere2474 3 месяца назад
Hapo kwa Rick Ross unatundanya ju Kuna wimbo unaitwa millioner by mista'rii ft Rick ross
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 3 месяца назад
We nawe em tuache cm yenyew umemiliki juzi tena ni infinix sisi huku tunatumia kupigia mahesabu yan ni kama calculator
@ankalmzito254
@ankalmzito254 3 месяца назад
broo hapa kuna mashabiki na wanafiki sasa tutapiga kelee ila ukweli utabaki tuu....
@kasereka-vy3mw
@kasereka-vy3mw 3 месяца назад
Sasa kama diamond amichaka fa kolabo na neyo kwanini challenge tu kufanyiwa na chris inawa changaza namuna muchucha pia mond kuya ongeleya sanaa
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 3 месяца назад
Tz Muna shida gan sapotini diamond😂😂
@GodfreyCharles-zf2cw
@GodfreyCharles-zf2cw 3 месяца назад
Pongez Kwavitend
@vyaduoj
@vyaduoj 3 месяца назад
Wa tanzania ni washamba sana Chris brown anafanya business hiyo ni kawaida sana , yani tanzania yote amna wasani ndomana mmestuka hivo
@ZawadiRobati
@ZawadiRobati 3 месяца назад
Simbaaa nimumoja 2
@ngangaamisi4790
@ngangaamisi4790 Месяц назад
Aise Wachane mwanangu…..Unyama kweli
@ibsk88salim98
@ibsk88salim98 3 месяца назад
Ww sasa yaani unaongea sana kiukweli inshort kila mtu ana support kinacho mpa mtu faida
@priscillachristiansen4331
@priscillachristiansen4331 3 месяца назад
Hi ni promotion,, kama Chris brown anamind komasava kwa nini hajaposti Kwenye instagram kwenye followers million 145? Watangazaji amkeni.. Ulaya / USA kila kitu business, Diamond amewekeza hapo kalipa promotion which is cool.. Chris hajafanya bure. Take it from me
@thierrybisimwa3312
@thierrybisimwa3312 3 месяца назад
Wa TZ mtabaki down kimziki, sasa Chris kucheza ngoma nimiugiza kweli, wanigeria mbona wange chukuliya fresh tu mnadogosha simba mbele ya wanigeria kwaku pampana na kondeboy
@hassankhamis7380
@hassankhamis7380 3 месяца назад
Mr pimbi hana akili yani yeye na mbuzi ao andazi heri nile andazi kenge wa kijani
@KasichanaKaingu-wx7kr
@KasichanaKaingu-wx7kr 3 месяца назад
salut mwamba
@HospiaceMata
@HospiaceMata 2 месяца назад
Wewe nae WA mchango sasa msanii aache kupromo Mambo aanze kupromote muziki WA mwenzio Acha ujinga we mwandishi WA ajabu Sana sasa huyu diamond alichagiza wimbo WA harmonize single again? Wakati inafanya vema kimataifa mbona hukuzungumza yote hata kama lengo lako wasanii waishi Kwa upendo
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 3 месяца назад
Wabongo tuache ushamba Kwani Akicheza ngoma ya komasafa ndio Nini Sasa ujingatu 😊
@INOCENTMGIMWA
@INOCENTMGIMWA 3 месяца назад
Mshamba ni ww usiejua hata kuandika pambana upate hela uache makasiriko
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 3 месяца назад
@@INOCENTMGIMWA nimeshindwa kuandika Nini ww choko
@jaystrongmagaboy1633
@jaystrongmagaboy1633 3 месяца назад
Tupe Collabo acheni uongo
@kombomuhidin4608
@kombomuhidin4608 3 месяца назад
kweli nimekuelewa huwo ni uhakika
@abdimakame7929
@abdimakame7929 3 месяца назад
Apo Sasa nimekuelewa Diamond kumbe kashindikana%
@soundmale
@soundmale 3 месяца назад
Watanzania wenzangu tunapenda kuona mtu akifeli😢
Далее
WHICH SODA CAN FLY THE HIGHEST?
00:48
Просмотров 3,4 млн
Which version is better?🎲
00:14
Просмотров 2,6 млн