Yani wewe uko mbali ungechukuwa mkumbwa wao Pepsi ya baridi ukashushiya kaka, nakupenda Sana kwa sababu wewe nimsema kweli, Allah azidi kukubariki umri murefu kaka nakupenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Broh EL MANDO your the best 👏🙌🏽👑 you have always been spoken the truth now I’m waiting for your RECAP about the trip of Diamond Platnumz in Paris fashion show plus his collaboration with Jason Derurlo
Uko sawa bro wanafki wakae kando na Simba wetu hatupendani sisi ni wanafki walisema jamaa amefulia ila Sasa ni wanafki tungekua kama Nigiria tungewaacha mbali sana Nigeria
Bro mimi kwa upande wangu Big amesha support saaana mpaka na wale aliwo wa support doo wana msema vibaya tena naku shindana nae big ana roo ya kipekee this is from DRCongo a big fan
Hiyo ya kusema wasanii ni wanafiki kwa sababu hawakusapoti komasava wakati inatoka, wakasapoti baada ya Chris Brown kushiriki challenge, hapo you are being negative aisee, wakati komasava inatoka na wao walikuwa na project zao, yaani haiwezekani wasanii wawe kazi yao ni kusapoti nyimbo za diamond tu wakati wao pia wana project zao, hili la Chris Brown ni kubwa kuliko, ndio maana industry ikasimama wasanii wakaacha mambo yao for a minute to celebrate the milestone... Wasanii wetu wana upuuzi kuvimbiana, lakini hawa wachache waliosapoti kwa kupost tusiwavunje nguvu, haikuwa unafki bwana, ni appreciation ya kweli, tuwazungumzie hao kina Harmonize wanaoleta mambo ya Misomisondo mara sijui Chris Brown kalipwa, hao sasa ndio wadwanzi, ila hawa waliopost tusiwavunje nguvu ya kuonyesha love siku nyingine
Nakuelewa ila hao ambao wamempost Diamond baada ya kuona Chris Brown amempost ni unafki kwani saa hii bado hawana projet zao za kupush wakiamua kukaa kimya waache waendelee wasifosi issues
@@Khalidniya380 Ukisikia mtu anajisikia kama ana homa homa hivi, unaweza ukamuombea tu kwa mungu ukaendelea na mambo yako, ila ukisikia kazidiwa amelazwa unalazimika kusimamisha shughuli zako uende ukamuone... Kwa hiyo kuacha mambo yako inategemea na uzito wa kinachoendelea... Wakati komasava inatoka, zilitoka nyimbo ngapi? Yeye Diamond aliachana na Komasava akaanza kuzisapoti? Si aliendelea Kui-push komasava yake !? Au kabla Rayvanny hajafanya show na Maluma, alikuwa ashafanya show ngapi akiwa Next Level? Diamond alikuwa anazipost? Mbona ile show na Maluma Mtv Music Diamond alipost na kusifia kuwa haijawahi kutokea akashauri na vijana waache bangi watafanikiwa Harmonize akamind... Diamond alifanya unafki kwa kuwa show zingine hakuwa akizipost? Watu hawawezi kuja kwenye kipaimara cha mtoto wako, ukawatimua ukawaambia eti wanafki mbona siku zingine huwa hamji, yaani unataka nyumba yako iwe inajaa watu kila siku, watu wanakuja kukutembelea tu wewe kwa kuwa wao hawana makwao au? Watu watakuja kwa jambo maalumu, sio ukiamka unafagia watu waje, ukikaanga mayai watu waje, haiwezekani, watu wataacha shughuli zako ukiwa na jambo la msingi... WABONGO AKILI ZETU ZIMEZOEA UHASAMA, KWA HIYO HATA LIKITOKEA JEMA TUNAONA BAYA, Kwanza wasanii karibu wote waliompongeza ni washkaji zake Barnaba, Jay melody, Baba levo, Zuchu....
Na hizo collabo zote ulizo zitaja Chris Brown anazijuwa, sababu Hao wasanii Ni wakubwa mno, Na wako close Na Chris Brown, niku sema Chris Brown anamjua vizuri DIAMOND PLATINUMZ, Na ana fahamu kuwa DIAMOND PLATINUMZ he's from Tanzania
Chris anapenda kuwasupport wasanii wa Africa, kwani Diamond alishawai msupport msaani mdogo at kupost insta story acha kuwa na upande at mondi hasupport wengne UBAYA UBWELA 😁😂😁
Kila mtu n msanii kaka,so kila mtu anavutia kwake,wanauza bidhaa moja,so kitu n kwamba lazma kuwe na upinzani,utazoea hakuna support ama usitarajie support kutoka kwa msanii mwenzako labda awe n rafiki yako tu
Heeh,kumbe likilandage lina ndugu yake pale lilimpiganishia afu linamletea presha ya kufukuzwa ,ama kweli ni bange lile,ni vile tu Simba ana moyo wa pekee
Hi ni promotion,, kama Chris brown anamind komasava kwa nini hajaposti Kwenye instagram kwenye followers million 145? Watangazaji amkeni.. Ulaya / USA kila kitu business, Diamond amewekeza hapo kalipa promotion which is cool.. Chris hajafanya bure. Take it from me
Wa TZ mtabaki down kimziki, sasa Chris kucheza ngoma nimiugiza kweli, wanigeria mbona wange chukuliya fresh tu mnadogosha simba mbele ya wanigeria kwaku pampana na kondeboy
Wewe nae WA mchango sasa msanii aache kupromo Mambo aanze kupromote muziki WA mwenzio Acha ujinga we mwandishi WA ajabu Sana sasa huyu diamond alichagiza wimbo WA harmonize single again? Wakati inafanya vema kimataifa mbona hukuzungumza yote hata kama lengo lako wasanii waishi Kwa upendo