🇨🇩🇨🇩 nimeipenda Iyo kbx, ni ushauri kwa Diamond mi Nishabiki wa diamond Platnumz, na kiukweli hatuja Penda alicho kifanya. Mumemshauri kuji Inspire Kwa nyimbo za zamani za Bongo. Ila tatizo lenu nyie Wa Bongo akiji Inspire Kwenye nyimbo zenu Japo ni za zamani Nyie tena ndo Mtakuwa wa kwanza Kumtukana kuwa ameishiwa Utunzi... Nimeipenda iyi RECAP SNS for life ❤❤❤
Amazing conversation, mimi kama Mtanzania imeniuma sana kiukweli, but we are learning!. Kama namuona Diamond sikumoja akipokea tuzo ya Grammy, na kuwadiss vibaya sana hahaha i am waiting for that moment coz i believe in what he is doing❤ well done guys!
Natamani Wasanii Wote Wangekuwa Wanatizama Hiki Kituo Cha SNS Na Hasa Hiki Kipindi Cha RECAP Kuna Vitu Vingi Sana Wangejifunza Hasa Jinsi Gani Wanaweza Pata Maokoto Yao Kwa Idea Ya SNS. Hobgereni Sana SNS Kwa Kazi Nzuri Na Tunawaombea Muendelee Kufanya Vizuri Zaidi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Sky, esco, creez favour's i always login and feed my Ears favorite, Nimeskiza mwanzo mwisho hii recap and u can't believe it nimetumia siku 3 kuimaliza yote niliskizab siki ya kwanza nikaishia robo, siku ya pili na siku ya 3 nimehitimisha honestly nimependa How positive you guys are Daima nitabaki kuwa upande wa Sns sababu mmekuwas sio tu tv ya Online me nachokipenda ni tunapata masomo ya kujifunza daily sky keep it real bro u'll always be no 1 media personality in Bongo,🔥💪🏾
Fantastic episode, can’t wait for more content, however, I do feel like something huge was missed out: The whole situation taught us about the reality of a huge group of Tanzanians who hate Diamond and cheer on Nigerians even in matters where people are supposed to unite. Mange kimavi spoke with so much hate and WAKAZI supported the pointless abuse lashed on by Ms Kimavi. Kiufupi watanzania na wasanii wao chuzi kubwa sana wanayo kwa dai which is shocking to see, aibu sana. Dai huyu huyu ame employ over 125 tanzanians in his companies na anasaidia vipaji vya watanzania kwenye sector mbali mbali, namely presenters, editors, lawyers etc. Leo hii tunashindwa kuonesha uzalendo…hadi waghana wanamsapoti mondi sisi tupo na wanaijeria aibu sana.
Diamond anatumia nguvu zake zote ili kupepelusha kimataifa bendela la Tanzania, bahati mbaya yake hapati support toka kwa watanzania; sasa kama hajapendwa myumbani Tanzania Nigeria itakuwaje? Akifanya mazuri wa Nigeria wanafumba macho, Kumbukeni interview ya Flavor jamani, mimi sio mtanzania lakini kama favorite fan inaniuma sana to be honest. Nakumbuka enzi za Steven Kanumba jinsi gani tulikuwa tuna enjoy every new bongo movie , baada yake kufariki kila mtu alishuhudia kilichotokea badae kuhusu Bongo movie hadi leo. Nimeshangaa kuona positive comments nyinyi zimekuwa za watu toka other countries like Ghana, Kenya,etc na sio za watanzania wenzake.
Wakuu nawakubali sana kwa uchambuzi wenu ila mwambieni camera man aongeze screen ili ata akiongea mtu mmoja mnaonekana wote sio mpaka azungushe camera Najua nyie mnaweza kumpa ushauri huo diamond mfikishieni basi wakuu tunawakubari sana
Hakuna vita ya hivyo kati yao bali nyinyi ndo mnaikuza. Mnapenda kurudia kuzungumza habari moja hata mara kumi sijui mnataka kitokee kitu gani. Nyinyi watu wa Media ndo mnachangia kwa kiasi kikubwa kuwaharibu watu kuwapotosha watu kuwagombanisha watu kuwachonganisha watu kupandikiza chuki Baina ya mtu na mtu au kwa watu acheni hizo mambo tumieni vyombo vyenu kwa kuleta faida kwa watu sio kuleta hasara
Music wa Tanzania nimtamu na unakwenda mbali sana duniani Asa pale diamond anapo shirikia na wasanii wa Congo Ukiangali viewes za top 3 songs za diamond niambazo ameshirikiana na wa Congo Fally, koff olomide, innos b
38:2 Silaha kubwa ya Diamond ni uandishi ,video na performance,Ali kiba silaha yake ni sauti . Kuna kipindi Diamond alikua akisemwa kisa hafanyi performance na Live band ikawa sasa sio msanii bora kisa hatumii Band ,akachukua hio akaboresha sasa anajaribu. Kosa liko wapi kwa Diamond kumsema Ali Kiba haandiki nyimbo zake .
Wadanganyika kwa kujifariji Mnaongoza, eti Mondi aliwakalisha kina Davido 😂😂😂😂 wakati Davido huyo huyo ndie aliemtbulisha Nasibu kimataifa na nyie wenyewe mshasema hapa hapa SNS na nasibu kasema mara nyingi tu
Sio wivu mbona wasanii wengi wa nigeria wanamheshimu kiba? Coz Hawana chakumfananisha nacho zaidi kumpa taji Lake la King of bongo flavour diamond haonewi wivu coz nikitu gani kikubwa amekifanya kinaeza wababaisha wanigeria? Hakuna title ya mziki wa africa bado unaendeshwa na afro beat ya Nigeria 🇳🇬 tusimpe misifa diamond kakosea ajirudi he is a big artist ajitambue zaidi
@sns@Diamond Platnumz is a big artist but from what has happened, diamond platnumz should understand the following things; 1. Should know that Nigerians are his big enemies 2. He should accept corrections from any person surrounding him. 3. Diamond Platnumz should avoid producing hit songs that relate any Nigerian artist's song. 4. Diamond Platnumz should understand that now Grammy has included every genre in Africa and Nigerians will never accept Grammy award go to any other country. 5. Diamond Platnumz should accept enemity and start rivalry with Nigerian artost emmediately. 6. Diamond Platnumz should stop entertaining Nigerian artist. 7. Diamond Platnumz should accept to have writters for his songs to gain enforcement 8. Diamond Platnumz should now forget the past. Should now assume to begin and start his career as a new artist, forget about his achievements and pride and focus to starting new things. Lastly, diamond should not be discouraged by what is happening in the media, this indicates how big diamond platnumz is. We love him and big up @diamond platnumz
Alivyo tande ni mkubwa akimuongelea our supper star Diamond kwetu ni shega mbona...coz mbona Asiniongelee Mimi na wengine? Kwanza ameona na ukubwa wake anaweza kujiongeza zaidi through Simba Dangote #DIAMONDPLATNUMZ....
Mimi nina taka kuuliza, uwezi kufanyikiwa bila kua upande wa Diamond? Ninyi mujifunze kitu anaye abudiwa ni Mwenyezi Mungu pekee!!!!!!!! Uyo Diamond, Big Brother South Africa 🇿🇦 alikua ayupo kiivyo gisi alivyo leo. Suit alio vaa nime mpunguzia mimi anajua Taichi South Africa 🇿🇦 ata Shilole ana faam ilo. Kila mtu anaweza kua mkubwa. Leo na mimi nipo USA 🇺🇸 Atlanta Georgia. Nime kua mkubwa
Creez ishu ya Diamond ku copy wasanii ambao wadogo ndio ina make sense kuliko ku copy wasanii wakubwa. Maana wasanii wakubwa ndio mtindo wao ili watu wafikirie kwa ukubwa wao WAO ndio wameanza.. so ka copy kweli🙋🏾♂️
@daimondplatnumz pls 😢 kakayetu usirudie au sample za hao wakina angel kidjo iwe mingoma mikali ya kutambaaaa yn mm is not fan of burna but sometimes I can't stop listening his music pls pigilia humo humo na ww wasanii wakubwa mbona wengi sana watu hawajashika au kuzikumbuka nyimbo zao 😢😢😢 Nigerians they're make fun of us jmn km mm nikiwa gym pls 😢😢chaiiii siwapendi mmbwa hawa wanazingua tu ila kiboko yao ni wasouth wanawanyanyapaa wanakuwa wadogo km sukari😅😅
Kama unajua unajua tu. Diamond kukopi si Jambo Baya kama aliemkopi kafanya kitu kizuri kwani hata hivyo ni njia ya kumsapoti huyo aliye mdogo. Ingawa shida yetu watanzania hatuwezi kumsapoti mtu WA kwetu anaye Fanya vizuri Kwa chochote. We mtafute Samata anavyotukanwa Kwa sasa tumesahau makubwa aliyo yafanya ktk soka la Afrika. Diamond endelea tu nakile unachoweza kukifanya
Diamond anazinguwa tu,aache mambo yake ya ku copy,tena yy hu copy kuanzia Beat,uimbaji,kuvaa,mpaka Melody uimbaji,mpaka style anacopy,kila kitu anacopy,anabowa kinomaa,kuhusu kuandikiwa hii sio katika Muziki,aliandikiwa Michael Jackson na wengine,cha msingi kile kinachoimbwa kifahamike,haya Yy mwenye huyo Diamond ashaandikiwa sana tu na Kina Harmonize na kina Rayvanny,na wengi wengine tusiowajuwa,na yanajuilikanwa hayo.Kwahiyo sio hoja kuandikiwa.
43:42 Diamond is business oriented like Drake . Drake amesemwa sana kuchukua flows za wasanii wapya ikiwemo Xxxtentacion. Huezi mskia Kendrick Lamar anafanya Drill ama Afrobeat lakini kwa Drake ni kawaida . As long as kuna makubaliano nyuma ya pazia na watu wa haki miliki,kila kitu kiko sawa.
@@Zidanexfabien I am Drake fan since '09 ,I am October very owns as well. Drake , Diamond and Cristiano are my all time Inspirations. They all started their peak on '09 These guys are business oriented,compared to their all time competitors. Kendrick,Ali Kiba and Messi;are naturally talented,too comfortable on their zone) You can enjoy listening to Ali kiba's vocals, Kendrick getting lyrically deep and Messi's nutmegs but for my case they can not inspire me to grow! Why Drake is close to new artists because he wants to stay on the wave with what the young generation brings he is fluid ,he gets Inspirations and use it in his way. Look at the numbers of the numbers of the guys I have mentioned and their Longevity in their craft. Drake forsees music trend and artists who will blew up before they hit the market. Music is business and as a business person you have to be visionary. Numbers and influence for you to win, in the end success matters ,they have family go to feed. Look what Drake did on (One Dance ) with Wizkid . When was that hit released ? now every global artsit is on Afrobeats. It is possible for Ali Kiba to switch but that is not him ,listen to SUMU (is that even a vibe piano or a bongo fleva song with a story )as we know Amapiano is a Club banger! You can Compare Shu! By Diamond V/s Unavailable by Davido and for a fact (SHU! WINS!, The energy in Shu! Is high) and that is Amapiano. They will get the Claps but Diamond and Wasafi will get Cheque.
@@saidabdulkadirmjahid8255Diamond doesn’t go above and beyond like Drake. He works with his own producers, why not work with Abbah, Kimambo or yogo? If he wants to push TZ music why is he only working with people in his label or people close to him?
mimi naomba afe ata leo afu tuone huko nyuma huyo jivi hakuepo na bongo freva ameikuta na ataiacha na muda ndio huu ushafika wa kuiacha amebaki ku copy tu
@@sifatiiman brother nipo Kenya Ila ukweli ndiyo huyo bila diamond platnumz Tanzania na East Africa kuna msani mwingine anaweza kupambana na wasani wa Nigeria Ila kumbuka diamond platnumz sio wakwanza ku copy wapo wengi Ila ni vile wanamuona amekuja vibaya mbona before alivyo kuwa kimya walikuwa hawajaleta maneno kama hayo
Tatizo Diamond sio ku copy beat tu..kila kitu hu copy,kwenye nyimbo ya mhusika,jamaa akiingia sehemu habakishi kitu,haki yetu sasa kudhalilishwa,japokuwa yy ataona hajali madhali mpunga unaingia.Lakin anatuaibisha..
Mimi naona diamond Yuko sawa kwasababu sio kitu kibaya kuiga au kukopi kwa watu walioendelea na wanaokuzidi kila kitu mfano diamond angemkopa best nasso ndo tuseme anarudi nyuma Sana mm naona Yuko sawa kabsa
Wewe hao wasaniii wengine wa Nigeria ni wadogo kwa D kifedha n kiukubwa ujue burn boy yy hakopi wa vidagaaa😮😢😢 elewa asake wajuzi unamkoper n D na hyo wa iyo nyimbo y Aliyo fanya juzi😢😢😢
Nataka niulize ambae hakacopy melody na chochote kile na aseme sasa. vile vile wanaigeria wameumia sana kuona diamond ametrend nyumbani kwao hilo ndio tatizo sasa hilo ndio tatizo wanaigeria wanapenda kuwa juu siku zote ila diamond ndio kiboko yao. burna boy yeye mwenye ana copy nyimbo za femy kuti hivyo watupishe huko
Ni kweli Burn ka copy kwa Kuti Lkn ni Mnaijeria mwenzie na la pili hatujui Mikataba yao na Hati Miliki za Familia ya Faly Kuti na kusema Wanaijeria wana Chuki sababu Diamond ku trend kwao it doesn’t make sense mana Wanaijeria wanakalisha Dunia wala hawana Time na hizo Local Trend za kwao
No sitaki kuamini kuwa produser wanatengeza bit halafu yeye anaikuta iko tayari ni yeye mshikaji anakwenda kwao anasema nataka bit ya aina hii kama hii mbona wapo wasani kibao hapo hawatengezewi kama yeye kufanana tena nyimbo zaidi ya tano copy
kwani kuna ubaya gani ku sample nyimbo za wasanii wadogo kama wamefanya vizuri jaribuni kuwa wazalendo na msifie vya kwenu eti burna boy ku sample ni sawa ila wa kwenu aki sample mnamsema
Mi nathani inahitajika elimu ya kuji value na kuheshimu vya kwetu kwanza na elimu hii inahitaka kwa hii Generation Sis ni wakubwa sana ila ukiwa nje ya Tanzania ndio utajua value yetu Na pia tatizo Management za Tanzania zinasahidia wasanii wasio jitambua ili waweze kuwanyonya madhara hutokea wasanii wakishakuwa wakubwa wanashindwa kutuwakilisha kimataifa
Ni kweli kabisa na hii inatokana na sounds technology,inapokuja sound mpya hua Zinatumika tofauti Zinakuwa melody kwa sababu tumeanza sampling zinaruhusiwa
Tatizo mashabiki wa Diamond ndo wanamwaribu na yy kua na kiburi na kutokujua kua wapi anakosea huwezi kujiita msanii mkubwa arafu unajisifia kutrend RU-vid international imemshinda anaanza vita na wabongo
Natamani ningewaeleza kitu very exclusive lakini sijui kama mtaiona hii comment lakini inaonekana dhahiri hata watangazaji Bado mna uelewa mdogo sana wa kuelewa mambo hususan kazi za wasanii kuna kitu mnakosa, story ndio zinawapa chakula lakini nyie hasa ndio mnavuruga akili za watanzania wengi,kuanzia maswali yenu,nadharia nyingi zisizo na fact,mnapojadili jambo hakikisheni mnafanya research ya kutosha pls nifaten inbox niwaelekeze jambo, nichek kwa email