Tupo vizuri sana wananchi tujiandaeni kwenda kwenye wiki ya mwananchi tukiwa kifua mbele na Makolo tarehe 8.8 tuwakande nyingi. Like za kutosha kwa wachezaji wetu.
Nimeenda mara 3 kwenye benki ya NMB hapa kijijini kwetu mi ninaishi moshi vijijini naambiwa kuwa kuna changamoto sintaweza kulipia yaani nakereka sijui cha kufanya