Kwakweli mtumishi Unatusaidia sana maana wengi tumepofushwa na manabii wa uongo, lakini kupitia roho wa Mungu wa kweli alieko ndani Yako tumepona.Mungu akubariki sana mtumishi na akuzidishie mema ya nchi tunakupenda sana mtumishi
Mungu akutie ngufu na akulinde, Nafatilia sana hii channel yako Mutu wa Mungu. Zamani ulikuwa uki tumia Bible ya mkononi sikuizi una tumia Bible ya kwenye simu, ninge kusii Urudilie ile yenye mkononi kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Asante kwa kazi unayo ifanya ila usi nielewe vibaya kwa ushauri wangu. Ubarikiwe zaidi
Mungu uhimidiwe milele..Asante kwa ajili ya mtumishi wako tunapona..tunaokolewa na kufunguliwa...Mbariki na kumlinda mtumishi wako hata maadui zake washangae Ukuu wako jinsi ulivo...tunaomba Mungu shetani asiweze kujitapa kwaajili ya mtumishi wako Bali UKAINULIWE WEWE
Hakika mwangaza wa NURU tayari umetiwa ndani mwako ili uwangaze dunia kote ili wenye walikuwa kwenye giza wapate kuona na kujua ukwel na uongo MUNGU azidi kusimama nawe hadi mwisho Amen 🙏🙏🙏
Amen Baba iyo njo kweli Mungu atulindie n'a Weye iyo ma Nabii wa Uwongo wanaonekana tu niWatu Wenye Sifa sana na kujifanya upendo wa unafiki unafikiri wana kupenda kumbe wanamaesabu zao Mungu azidi kutufunguwa Macho ya Rohoni ili tuzidi kuwatambuwa zaidi
ndio baba Pascal ina sema ukweli usipo pingika baba Mungu wa mbingu aku baril n'a kuku Linda n'a kupika wata kao penda ku pingana nawe Niko APA Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
mungu apewe sifa maana anastahili ku abudiwa bwana wetu Yesu kristo mungu akubariki sana mtumishi wa mungu Paschal cassian unasema ukweli kabisa amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa BWANA, Mungu azidi kukutia nguvu na azidi kukutumia kwamaana kazi unayofanya ni Sahihi na ya maana sana ktk nyakati hizi za mwisho, Kristo Yesu yuu karibu, roho ya mpinga kristo imeharibu dunia.
Mungu akutie nguvu. Nilikuwa nasubiri nione mtu anaye kemea maovu wazi wazi namna hii. tunahitaji na wengine wengi wasaidue kuokoa watu wanaoangamia kwa kutosoma maandiko.
Munatuchanganya sasa hatujuetufat nini pasta mungu akubariki alakini usihukumu usije ukahukumiwee waache na maishayao pasta kilamutu mungu anamuita mudomene yake waache wafanya vyao wewe utuhubiri tu nenolamungu mwatasikia asikie pasta ila usitaje jinalamutu wala kuhukumu mutu naweye pia unakosea sana kwakuhukumu wewe hubiri neno lamungu pekeake byawatumishiwengine waache watajuwana namungu pekee ake
Amen,let's worship the living God and pray God to direct us children of God.Thanks servant of God for the sermon,"be blessed and protected by the blood of Jesus Christ Amen."
Leo nimejua ni nini maana ya hicho kirungu anachogonga....Roho Mtakatifu alikua akinishuhudulia tu kuwa sio cha kawaida kina maana kubwa. Barikiwa sana brother Cassian
Aliye na masikio na asikie jinsi Roho anavyo nena na kaonisa.Kama mhubiri wa Mungu ataorodhesha haya yote na mwenye kughairi asimuamini ole wake kwa kuwa siku ya hatari yaja na itakuwa siku ya kilio sana. Nakushukuru sana mchungaji kwa mahubiri yenye usia na ukweli kabisa.🙏🇰🇪
Barikiwa mtumishi wa MUNGU kwa neno ,,,,ila hapo kwa mtumishi Mwamposa HAPANA ,,,, Boniface Huwa hakubali kusujudiwa hata siku Moja,,,,hapo umemuonea mtumishi wa MUNGU Mwamposa,,,,,
Mungu uishie milele, niepushe na hii madhabao ya kusujudu sanamu na kupenda fedha. Nisaidie nisije kutekwa na hii madhabao kwa kupenda vya dunia kuliko wewe Mungu. Nipe macho ya kiroho nikaweze kutazama kindani na kubaini kilicho kweli katika kristo. Nisiwe wa kupenda fedha na dhahabu maana hivi ni vya dunia. Saidia wachungaji wanaohubiri kweli ya kristo wasije kujiunga na madhabao haya kwa kua waliteuliwa na roho wako kuelekeza roho zinazo hitaji uwepo wako. Nikusujudie ewe Mungu uliye umba mbingu na nchi bila kujaribiwa Imani yangu na madhabao haya. Nitetee kwa kila jambo ninalofanya liwe kulingana na maadili yako.
Amen. Mtumishi Asante kutuelimisha, lakini nakuomba kwa upole ,wacha kutumia bible ya simu ,kwana itakuepisha na uwepo wa Mungu, bible za simu zimewekwa na ibilisi kutenganisha wakristo na uwepo wa Mungu na kuwafanya wakuwe wazembe wa kuninua bible yenyewe
Amen Mtumishi Wa Mungu. Mimi najiuliza.anatowa hizo pesa wapi?? Hata rais hana hizo pesa! Watu wamefungwa macho. Hawa mulizi atowa pesa nyingi vile wapi????????
Naitwa issaya wakolela samahani mtumishi naomba kujua maana na tafsili ya neno unalo tumiakwamba unasalim ktika jina bwan na binti za mungu sasa maan ya binti za mungu ni ipi
Ninacho kijua kwa nduguzetu Hawa huwa hawamtafuti Mungu wakweli Bali hufata miujiza kutaka mafanikio ya haraka bilakujua siri ya hiyo miujiza kumbe hapo ndipo wanapo uza Nafsi zao kwa Shetani Mungu atuhurumie msiba mzito sana huu😢