😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
Damn it this is what i was waiting big up Roma for making this remix cause Nay ako sawa na vile mambo ya Kipasha watu haswa viongozi na kisha Big up kwa Legend AY kukubali kua ndani ya hiii remix 🎉🎉🎉@ Switzerland 🇨🇭 Og Kenya 🇰🇪 ❤
Mitego ya Wakatoriki Leo siyo harakati na siasa,safi sana unajua unaweza zani siyo siasa kumbe mdani yake ni arakati tupu,unajua nani anaambiwa apunguze ushauri na CAG balaa tupu sikiliza mara nying said utaelewa nn nasema
Kwa RAHA ZANGU nasikiliza Ngoma na sihitaji kupangiwa hata kidogo maana Bundle nimenunua kwa Pesa zangu maana MASTER alichokifanya humu ni Balaaa, Huyo NEY ndio huuuuuwiiiiiii Sasa tukija kwa mtu wa Strangle zake Sasa ROMA Huuuuuuuuuuui mama weeeee