Lazima wakae, lazima wakae, watakaa tu. Hakika watakaa Amina amina mbarikiwe sana Mungu azidi kuwainua ktk kazi hii kubwa ya kulitangaza jina lake kwa njia ya uimbaji.
Yametosha Rose .... watake wasitake lazima wakaeee.... yesu akikuinua lazima washidwe. ... ni kwalazima hakuna kuwabebeleza... by fire 🔥 by foce.... shetani hana mamlaka juu ya maisha Yako....qr Rozy. Nice 👍🏼 song👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻.
😂😂😂😂😂😂lazima wakae ,watakaa tu, Aki hii Kali taptaptap congratulations wadada mungu azidi kuwatumia zaidi nanyi mzidi kumtumikia mungu zaidi katika jina la yesu
kwa ukweli ni hatari wimbo kama na huu siamini macho yangu naipenda sana. lazima zawadi yako iongezeke nyimbo kama na huu liendelee. Oliva Wema chapa kazi wangu malipo yuaja njiani.