Тёмный

Rose Muhando: Nimedhulumiwa, nimenyanyaswa mbele ya wanangu, siyajui madawa, nampenda sana Diamond 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@fidelisfrancis839
@fidelisfrancis839 3 года назад
Rose uko positive Sana,sikuwahi kufikiria km rose unafikiri kwa upana namna hiyo, Mungu yuko ndani yko
@aoman5214
@aoman5214 3 года назад
Kweli kabisaaa
@gracenjeri5624
@gracenjeri5624 3 года назад
We love you rose from Kenya God bless you 🙏.
@nancylangat5970
@nancylangat5970 3 года назад
Sister we love you 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God will continue to fight for you be strong 💪💪💪💪💪
@condredochieng180
@condredochieng180 3 года назад
I love you deep in my heart ,when I think alot your song brings me back to normal .am so happy that you are here again
@saidahj2543
@saidahj2543 3 года назад
Our mummy...we love you mummy🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤
@angermabior4164
@angermabior4164 3 года назад
One of the most inspiring person alive . God bless you for more years to continue bless us through your songs✌️.
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 года назад
Jamani Mungu akulinde sana dadangu rose muhando, maana kuna uwezekano akakuwinda akakumaliza kabla hujamusema, ila Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu Christo 🤲🤲🙏🙏
@joycekasakisya7755
@joycekasakisya7755 3 года назад
Ameen 🙏🙏 nami niliwaza ivyo ivyo. Mungu wa Mbinguni ampe ulinzi kwa Jina la Yesu
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 года назад
@@joycekasakisya7755 yea anaweza akamfanyia kitu kibaya kufuta ushahidi kabisa, ila tumwombee Mungu wa Israeli amuwekee ulinzi
@joycekasakisya7755
@joycekasakisya7755 3 года назад
Ameeeen.
@andreaotaigo40
@andreaotaigo40 3 года назад
Mama rose kila sku ninavyokuskiliza mimi nazidi tu kukupenda mama hakika kweli umeitwa na Mungu
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 года назад
Akiamungu huo wimbo na upenda sana eti jifunze kwa walio fanikiwa walioshindwa wanamaneno mengi eti wanashindana na jua kivuli kikisonga nawao wanasonga, jamani huo wimbo nausikizanga kuirudia mara mia vile, ubarikiwe sana mummy @rose muhando 🙌🙌🙌
@virginiamacharia1556
@virginiamacharia1556 3 года назад
Rose my role model,I love you and mostly I love God for setting you free from sickness shine Rose for God salvation.Be blessed and come back to your second home.
@gloriatoo22
@gloriatoo22 3 года назад
Rose...ilike your songs...love from kenya
@veronicahmainga3289
@veronicahmainga3289 3 года назад
Mama rose we love you 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@rosalesabrahams732
@rosalesabrahams732 3 года назад
Goosebumps all over when she began singing towards the end
@mayahkendi2314
@mayahkendi2314 3 года назад
Wakenya twakupenda sana Rose.
@naomisamsoni1040
@naomisamsoni1040 3 года назад
Tumeona upendo wenu kwake kwa Vitendo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 года назад
Ni kweli wakenya mlionyesha upendo wa kweli kwa Rose
@janetwanjala7645
@janetwanjala7645 2 года назад
Nimeskia historia Yako imeniguza rose Mungu azidi kukuinua sana
@sophiemuthoni9841
@sophiemuthoni9841 3 года назад
You are greatly loved in kenya
@puritynjoki8882
@puritynjoki8882 3 года назад
I love your courage ... A true servant of God..
@macksonjuma5180
@macksonjuma5180 3 года назад
You are always welcome 🇰🇪🇰🇪
@sophiasomba2837
@sophiasomba2837 3 года назад
Mungu akubariki Rose dadangu, nabarikiwa sana na nyimbo zako. Mungu na aendelee kukulinda dada.🙏🙏
@rahabuhuru3041
@rahabuhuru3041 3 года назад
Dada rose nakupenda sana napenda sana ushsuli wako nabarikiwa na ww sana
@elizabethambani5896
@elizabethambani5896 3 года назад
Aki rose Mungu afungue njia iyo project ije mimi nitahuthuria
@cuhgds4320
@cuhgds4320 3 года назад
Sis we love and i love your power Rossie
@emeldahkwamboka8511
@emeldahkwamboka8511 3 года назад
Whatever they do for u or say I love you +your inspirational song kama ile album ya kwanza every morning is my key
@MyLife-tg3op
@MyLife-tg3op 3 года назад
safi rose, unajua kujieleza
@jannyrose5367
@jannyrose5367 3 года назад
Kenya utarudi lini??? We love you mum 💕💞
@waltersesuru43
@waltersesuru43 3 года назад
Tyk.Dada rose mungu akuzidishie,%%
@kephamuro9410
@kephamuro9410 3 года назад
kati ya makosa aliyofanya Rose ni kurubuniwa na ma managers, na ndio maana watu walianza kumwita tapeli kwa sababu manager alikuwa anapokea pesa za watu za matamasha na mialiko bila kujali mwingiliano wa ratiba, na walimpangia pa kwenda na kumfundisha jinsi ya kujitetea anaposhindwa ku manage mialiko, Rose wewe ni muimbaji mzuri sana na unajielewa ila iwe fundisho kwa waimbaji na watu wengine kupenda kuachia watu kazi zenu ili hali unaona unaumia mwenyewe.
@jameskitonyi7994
@jameskitonyi7994 2 года назад
Am always following you,
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 3 года назад
Mungu akubariki sana mtumishi Rose
@christinebelinda3498
@christinebelinda3498 3 года назад
Wow thank you sns kwa kutuletea simba jike wa mziki wa injili🥰🥰🥰
@daisykyungu3109
@daisykyungu3109 3 года назад
Matezo ya Mwenye haki ni Mengi,Rose wasamehe wote hao, nakupenda sana Rose,utakaa miaka Mingi Duniani utimize kazi ya Mungu🙏
@ruthkungu4548
@ruthkungu4548 3 года назад
Love you rose.. May got fight for you mum
@theceefamily7764
@theceefamily7764 3 года назад
Thanku Sns sky for bringing rozzzy back🌞🙏🇰🇪.
@jayblessings2492
@jayblessings2492 3 года назад
Kwa Yesu Kristo hakuna Siri nakushangaa sana ukiambia vyombo vya habari utawaeleza nyuma ya pazia waeleze ujieke huru huo uwoga hauna nguvu mbele ya damu ya thamani ya Yesu aliyetufia msalabani. Ukiogopa inamaanisha bado uko Kwa mikataba na shetani jieke guru jifungue ueleze watu na kusaidia wenye wako Kwa vifungo na hawajielewi watajiondoa vipi
@lajivukivamba9507
@lajivukivamba9507 3 года назад
Kuna jambo linamtafuna Sana huyu mama but still ana neema kubwa mbele ya Mungu, ngoja tuone nguvu ya YESU
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 года назад
💯
@belovedcarol1300
@belovedcarol1300 3 года назад
I agree with you... You just read my mind
@xkingx8041
@xkingx8041 3 года назад
Endelea kuhubiri mamaangu. Sio mpaka uwe mchungaji. Mungu akubariki my dada
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 года назад
NILIINGIZA PESA NYINGI LAKINI SIKUWA NA PESA... NILIKUW ANA JINA KUBWA ILA SIKUWA NA PESA KAMA WATU WALIVOKUWA WANAFIKIRIA.... Rose Muhando..
@kerubofancy1631
@kerubofancy1631 3 года назад
Rose mungu akuonekanie kwa kila JAMBO🙏
@GSengo
@GSengo 3 года назад
Tamu sana..................
@hellacredis5555
@hellacredis5555 3 года назад
Mungu azidi kukupeleka viwango vya juu sweetheart ,,Rozy
@b.w.naliaka
@b.w.naliaka 2 года назад
This is me....I love what you just said ❤️❤️. I wish I could meet you.... I'm a gospel artist and the challenges ziko mingi saaaanaaaa ❤️👌. Naelewa depression, kujaribu kifo na mengine mengi Sanaa. I love youth sensitization and empowerment because kwa ujana wangu, niliona mengi na naamini, naezabadilisha maisha ya kijana na kumkuza katika njia za Christo
@sophiacharles1196
@sophiacharles1196 3 года назад
Gifted and tallented
@hellacredis5555
@hellacredis5555 3 года назад
Amina,Mungu akuweke dadangu,,
@scholasticakilaga125
@scholasticakilaga125 3 года назад
Kaka Bundala mshauri Rose kuwa hao maadui zake aachane nao Mungu atashughulika nao km Mungu ameshamponya basi yatosha, aendelee kumtumikia Mungu atampa mali za kwake za haki yamkini zile hela alizokuwa anapata zilikuwa sio halali
@anneakinyi1524
@anneakinyi1524 3 года назад
Mm hupenda songs zake
@sautiyaushindigosplechoir1770
@sautiyaushindigosplechoir1770 3 года назад
Barikiwa mama tunabarikiwa mno
@josephwanjala7794
@josephwanjala7794 2 года назад
Mum Rose amenifanfa nizitunge nyimbo zangu nakuzirecord chini ya uzaitizi wake Niko na wimbo Kwa uzuri wake,, mum barikiwa pakubwa mno
@abigailkighombe1960
@abigailkighombe1960 3 года назад
She is so real
@winnieamanya1550
@winnieamanya1550 3 года назад
Wooow... Amina . happy to see you Rozzy
@alicegyunda8053
@alicegyunda8053 Год назад
Daaa we Dada ubarikiwe🎉🎉❤😂😂😂
@festomnandi7573
@festomnandi7573 3 года назад
umeteleza huwezi kufananisha gospel na muziki wa dunia ,unajifunzaje kwa muziki was dunià bwana.
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 3 года назад
We love u mmy Rose.. Mungu aendelee kukutunza..
@marymamntine1909
@marymamntine1909 3 года назад
Nimezid kukupenda Dada Rose
@alextercisio5477
@alextercisio5477 3 года назад
Kenya I love u too much rose. ..
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 3 года назад
Rose Umebarikiwa. Sky unajua maswali. Umebarikiwa
@Vince-kw9hu
@Vince-kw9hu 3 года назад
Rose muhando Mungu alikunusuru kutoka kwenye midomo ya simba Mungu anataka uongelee ulopitia ili sifa na utukufu zimurudie yeye Hakuna mwenye nguvu,mwenye Ulinzi kama Mungu aliye hai Mungu amekupa ulinzi wa kutosha na ameshusha malaika wake juu yako Kwa ivo huo ulinzi unaosema kama hutapata hutakuja kuyasema ulopitia Ongea mdharirishe shetani
@Atieno_nyarbishop
@Atieno_nyarbishop 3 года назад
Love you so much Rose 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Something is working out for your good,, the situation has been turned around, God is at work,,He normally has the last letter about our lives,, wanadamu wameandika Sana kukuhusu,,ni wakati wa Mungu sasa kuandika🙏
@williamgeorge150
@williamgeorge150 3 года назад
Pole Sana dada Rose, nachelea kusimama upande wowote maana now tunasikia one side tu vp hao wanaotuhumiwa tunaweza kuwasikia pia then tupate chakucomment vizurii
@bethuelkonyuniofficial7930
@bethuelkonyuniofficial7930 3 года назад
Kwani wameshatajwa majina?
@amanistarz1234
@amanistarz1234 3 года назад
Mungu ni mwema
@pamellamigarusha7434
@pamellamigarusha7434 3 года назад
Amazing wooooou
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 3 года назад
yaani huyu mama kongea points sana
@markbahati6516
@markbahati6516 3 года назад
Amina Rm
@aoman5214
@aoman5214 3 года назад
Jaman rose pole Sana Kwa yaliyokukut
@johnenoc9038
@johnenoc9038 3 года назад
Dada rose ubarikiw San
@dumamnyama5131
@dumamnyama5131 3 года назад
Kumilikiwa hamna💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 3 года назад
Pole jaman rose Mungu akuinue
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 3 года назад
Nakupenda mamy rose
@anitakamene5073
@anitakamene5073 3 года назад
Nice
@gertrudeyiapan3564
@gertrudeyiapan3564 3 года назад
Nakupenda mum
@antelimangonyani6760
@antelimangonyani6760 3 года назад
Pole dada😭😘😘😘
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 3 года назад
NIMEAMINI MUNGU HUINUA KILICHOANGUKA NAKUPENDA SANA MUNGU WANGU
@samniza1763
@samniza1763 3 года назад
Wanataka maisha ya luxury bila kuyatafuta.
@wemamasenya9561
@wemamasenya9561 3 года назад
Mamy naomba nisaidie namba yako mama yangu nna matamanio flani nakupenda had nashindwa kujizuia hivyo nikikuona najikuta nalia sasa mimi nakuwa naumia sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@azizawalapupu8147
@azizawalapupu8147 3 года назад
live rose 🌹
@AdonisSifa
@AdonisSifa 3 года назад
#TRM Wakilisha
@georgevicent8278
@georgevicent8278 3 года назад
Ila rose unaakili sana
@marygaspar6429
@marygaspar6429 3 года назад
Magufuli Siro Waheshimiwa makini mpo, huyu mama ana jambo lake! na ninyi!.
@ritalissu1123
@ritalissu1123 3 года назад
Rozi mama tunakupenda
@umojamedia4167
@umojamedia4167 3 года назад
Naomba sana siku umwite bahati bukuku
@alexyohana4708
@alexyohana4708 3 года назад
Kwel kabisa kaka
@gangaganga2672
@gangaganga2672 3 года назад
Lv mama
@Swagaboysentertainment
@Swagaboysentertainment 3 года назад
SIMBA 🦁
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 2 года назад
Aahmen
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 3 года назад
💪💪💪
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 3 года назад
Amen Amen
@laurentsamilah5001
@laurentsamilah5001 3 года назад
rose muhando
@azizawalapupu8147
@azizawalapupu8147 3 года назад
love 🌹 💐
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 года назад
Am the #SNS’s Best #MVS, if you disagree with that, comment #SNS’s #MVS on all RU-vid channels you watch....🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺
@azizawalapupu8147
@azizawalapupu8147 3 года назад
mwenzi wa 4
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 года назад
Wajina hapo kwa kutumikishwa nimeku penda maana usimsujudie binadamu mwenzako
@brightonsospeter5100
@brightonsospeter5100 3 года назад
Brother natamani sana nikuone ukitangaza kwenye kituo kikubwa cha habari dunian una IQ kubwa sana
@lorenzokelly5803
@lorenzokelly5803 3 года назад
#Diamondplutnums pitia huku upokee baraka.
@balancedviewpoint7418
@balancedviewpoint7418 2 года назад
Rose I know God shall pay back all those barbaric acts to you. God loves you just like Kenya 🇰🇪 loves you so much. God will punish anyone that did you wrong.
@ayubuhenry5426
@ayubuhenry5426 3 года назад
hahahaha diamond sininampenda hahaha, Rese mm shabik wako toka uwe macho kichwa changu kimejaa nyimbo zako na maajabu sizisikilizi et nikalili amna najikuta nimezikall bila kujua
@kimberlystewart4138
@kimberlystewart4138 3 года назад
Wakwaza leo
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 года назад
MUNGU akutendee na kukupatia hitaji la moyo wako.
@dumamnyama5131
@dumamnyama5131 3 года назад
Siro na maguful roze anajambo lake na nyinyi
@antipascann2797
@antipascann2797 3 года назад
Diamond alicheza wimbo upi huo wa rose jamn🥺🤔🤔
@siogopi7356
@siogopi7356 3 года назад
Nibebe
@antipascann2797
@antipascann2797 3 года назад
@@siogopi7356 mwaka gani huo
@siogopi7356
@siogopi7356 3 года назад
@@antipascann2797 jana
@omosh2023
@omosh2023 3 года назад
Michael Jackson....Hapo nasema Amina!
@maryndeto2626
@maryndeto2626 2 года назад
Nyimbo ni za kuabudu na kusifu nyimbo za dunia usifu mambo ya dunia tuu
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 3 года назад
Ati sheng ya Kenyan 😃😃😃
@alextercisio5477
@alextercisio5477 3 года назад
Mum rose twabie nani alikuchoma huo mkono wako ?
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 3 года назад
Wale waliomfanya mtumwa😢😢😢
@henryosoro7696
@henryosoro7696 3 года назад
Kuna yule muimbaji anaitwa nehema mwaipopo.Kwani alienda Wapi?
@bestinarajabu34
@bestinarajabu34 3 года назад
7
Далее
Kisah Khadijah R.A. Inspirasi Wanita Akhir Zaman
54:27
Просмотров 265 тыс.
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 455 тыс.
Думайте сами блин
18:15
Просмотров 257 тыс.