Jamani Mungu akulinde sana dadangu rose muhando, maana kuna uwezekano akakuwinda akakumaliza kabla hujamusema, ila Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu Christo 🤲🤲🙏🙏
Akiamungu huo wimbo na upenda sana eti jifunze kwa walio fanikiwa walioshindwa wanamaneno mengi eti wanashindana na jua kivuli kikisonga nawao wanasonga, jamani huo wimbo nausikizanga kuirudia mara mia vile, ubarikiwe sana mummy @rose muhando 🙌🙌🙌
Rose my role model,I love you and mostly I love God for setting you free from sickness shine Rose for God salvation.Be blessed and come back to your second home.
kati ya makosa aliyofanya Rose ni kurubuniwa na ma managers, na ndio maana watu walianza kumwita tapeli kwa sababu manager alikuwa anapokea pesa za watu za matamasha na mialiko bila kujali mwingiliano wa ratiba, na walimpangia pa kwenda na kumfundisha jinsi ya kujitetea anaposhindwa ku manage mialiko, Rose wewe ni muimbaji mzuri sana na unajielewa ila iwe fundisho kwa waimbaji na watu wengine kupenda kuachia watu kazi zenu ili hali unaona unaumia mwenyewe.
Kwa Yesu Kristo hakuna Siri nakushangaa sana ukiambia vyombo vya habari utawaeleza nyuma ya pazia waeleze ujieke huru huo uwoga hauna nguvu mbele ya damu ya thamani ya Yesu aliyetufia msalabani. Ukiogopa inamaanisha bado uko Kwa mikataba na shetani jieke guru jifungue ueleze watu na kusaidia wenye wako Kwa vifungo na hawajielewi watajiondoa vipi
This is me....I love what you just said ❤️❤️. I wish I could meet you.... I'm a gospel artist and the challenges ziko mingi saaaanaaaa ❤️👌. Naelewa depression, kujaribu kifo na mengine mengi Sanaa. I love youth sensitization and empowerment because kwa ujana wangu, niliona mengi na naamini, naezabadilisha maisha ya kijana na kumkuza katika njia za Christo
Kaka Bundala mshauri Rose kuwa hao maadui zake aachane nao Mungu atashughulika nao km Mungu ameshamponya basi yatosha, aendelee kumtumikia Mungu atampa mali za kwake za haki yamkini zile hela alizokuwa anapata zilikuwa sio halali
Rose muhando Mungu alikunusuru kutoka kwenye midomo ya simba Mungu anataka uongelee ulopitia ili sifa na utukufu zimurudie yeye Hakuna mwenye nguvu,mwenye Ulinzi kama Mungu aliye hai Mungu amekupa ulinzi wa kutosha na ameshusha malaika wake juu yako Kwa ivo huo ulinzi unaosema kama hutapata hutakuja kuyasema ulopitia Ongea mdharirishe shetani
Love you so much Rose 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Something is working out for your good,, the situation has been turned around, God is at work,,He normally has the last letter about our lives,, wanadamu wameandika Sana kukuhusu,,ni wakati wa Mungu sasa kuandika🙏
Pole Sana dada Rose, nachelea kusimama upande wowote maana now tunasikia one side tu vp hao wanaotuhumiwa tunaweza kuwasikia pia then tupate chakucomment vizurii
Mamy naomba nisaidie namba yako mama yangu nna matamanio flani nakupenda had nashindwa kujizuia hivyo nikikuona najikuta nalia sasa mimi nakuwa naumia sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Rose I know God shall pay back all those barbaric acts to you. God loves you just like Kenya 🇰🇪 loves you so much. God will punish anyone that did you wrong.
hahahaha diamond sininampenda hahaha, Rese mm shabik wako toka uwe macho kichwa changu kimejaa nyimbo zako na maajabu sizisikilizi et nikalili amna najikuta nimezikall bila kujua