Shida hapo ni elimu ya uwana habari na uchambuzi Amna. Munaongea tu kama ni jambo la kawaida. Baba levo nenda Shule Mdogo wangu. Kufutwa kwa mawaziri ni moja ya matakwa au ni msukumo wa Wakenya haswa Gen Z.... bado mna mabadiliko mengi tu yatafanywa. Kuweni Makini na mnacho Jadili. ❤🇰🇪❤🇹🇿❤ Gen z.....
Tutaongea saana, ila wachawi hapo ni WABUNGE, walipaswa kusimama na wananchi kuukataa basi. Serikali yenyewe inaleta tu mawazo hata km ni Mabaya halafu Bunge linapitisha tu 😢😢😢
Kwa kusaidia tu kaka Edo...kuondolewa kwa mawaziri ni miongoni mwa masharti ya GEN Z Wala sio kafara kwa watu wengine..cz bado Kuna mambo mengi anatakiwa kutekeleza kama masharti aliyopewa
Nawaonea Huruma sana Tatizo hamjui kilicho mbele yenu Sai wanawalaghai mbeleni Kila kitu kinabadilika 😂😂😢😅😊 Na Tanzania cdhani kama Kunakuwepo na Ma GEN Zzz...😂😂😂 Ona nchi za west Africa zimeshazinduka wanafwata mkondo kama wa Kenya #Nigeria🇳🇬 #Ghana🇬🇭#Malawi🎉#Zimbabwe🇿🇼 Na nyinginezo...😂😂🎉😂
We love you our Tanzania brothers!!!! A lot of tanzanians are studying in kenya and they come back very Kenyanised. Kenyan education system created a freedom fighter hen- z. They were taken through fasihi full of liberation stories.
Hata Mimi ninaamini hivyo, najiuliza wabunge wa Azimio waliokuwa wapi kupinga hiyo Bill. Iwe isiwe walihongwa. Kwa mgawano tu wa viti vya ubunge kati ya UDA na Azimio kwanza ni VIGUMU Sana nchi kutawalika. Raila odinga bado alipaswa kuwa sehemu ya kuongoza aidha kuwa prime minister ili kuleta mahusiano ya usawa kama bunge lilivyo. Bila hivyo hii Nchi haitaweza kutawalika. Mwisho wa siku JESHI laweza kuchoka na kushika Nchi.
Hivi baba levo unafifikir wakenya wanaishi kwa uchawaMtu hadi ujenge nyumba kupitia uchawa,nyie endeleeni kumjaza ujinga mama,lkn ya.kenya ni Kama korona ya afrika,tusubiri muda utasema.Kariakoooooooooo!
Watanzania mumenifurahisha sana na huu uchambuzi wenu😂😂 Tafadhali mkaribisheni mmoja wetu Kasmuel McOure aje awamwagie wisdom hapo studioni ... grts from Kenya😂❤🇰🇪🇰🇪
Kenya🇰🇪 shida ilianza na wababazz... Wanaiba deni za Wa kenya wote wananunua ma tx. Genzii hawapati ile meli ya relation na age groups zao.. MUBABAZ ANAVUKA NAYO NAYO.. 🎉🎉🎉😂😂😂😂❤
Au samia mitano tena wakati kampeni bado hii haijakaa sawa ni kama uchuro. Waaache was ubarikiwe kampeni August 2025.je samia asipogombea tena inakuaja inakuwafitina
Us Kenyan we don't need fake promises, we waring our mps and him seif but they didn't listen to us Kenyan... We are the one we put them there and the power it's within us people's
Ikitokea tz alooooh itaharibu nch ukitaka Kuja tizama Umati wawatu wenye shida na changamoto, Alison kuwa katibu wa ccm,na kila changamoto inaonesha serikali inelegant, niliogopa saana
Ilifaa mujue kiliomo ndani ya finance bill. Kisha ujue Roto propagated the finance bill to please the IMF . Aliambiwa mapema awachane na hii bill lkn hakusikia
Nyie hamjui siasa za kenya. Hamna kafara yoyote anatoa. They are incompetent leaders. Let them go. This is now the Ruto we voted for. Coming back to his senses
mimi ni mkenya. wabunge walichangia pakubwa kwenye maandamano haya lakini wengi wao walipitisha mswada kwa kuhofia siasa ijayo kumaanisha ata raisi alikua kitu kimoja na wabunge kwahivyo familia ni baba, baba akipoteza mwelekeo familia nzima ni rahisi kupoteza mwelekeo.
Ruto dismissed the CS because of not showing the necessary skills to do something successfully not sacrificing them for his benefits, it was part of the reason of protesting also.
Sasa hata si fainance bill ,maana hatahawasemi.kwame hayo.wanamengineee kila kukicha waja na lipya mpaka watu wameanza kuchoka na washaanza kupungua kwenye maandamano maana sawa kila mtu silaa mkononi kilammoja anaprotect duka lake watu wamechoka na maandamano na kunawale wanao sema wametumiwa kwahio.msione twatataka hayo hatuyataki kabisa kabisa amani
Hello wasafi media, am one of the young people (GEN Z) who are fighting for justice and to stop corruption. The biggest problem in Kenya is corruption and injustice in kenya law Court and that's why we have risen to fight for our rights partyless, leaderless and tribeless and we don't fear death. Better die fighting for your rights and freedom than to be enslaved in your own country
😂😂😂😂wasafi TV nimependa maoni yenyu Baba levo Leo yuko serious na kesi ya watu kuvuta tear. Gas a Tanzania wezangu sisi wakenya wwazuri sana ila tukichokeshwa tunakuwa wanyama
Let’s president do his job. He got the message and he will work on it. Anyone who will be a president will face the same. Allow Kenya to thrive it is on right direction. Kenya own and operates airline with its own airlines. Interest rates: Ghana - 29%; Kenya 13%. Depreciation: Ghana- 54% ; Kenya 34% Inflation rates: Ghana - 23%; 6.6%. Unemployment rates: Ghana- 14%; Kenya; 6.6%. Total Debt: Ghana- 83.6%; Kenya 690% So Kenya needs to do adjustment in the formation of Government and deals with Corruption. Taking loan with caution. CORRUPTION AND MISMANAGEMENT ARE ISSUES TO DEAL WITH IN KENYA CASE STUDY
Ruto ana NGE ndani ya shati lake, na mbinu mbaya imetumika ni msukumo wa wachungaji makanisani na misikitini,.na tatu mtesi wake na kundi linalo muunga mkono ambaye ni Raila Odinga.
Huku Kenya katiba lazima ifuatwe hatupendi ujinga na tamaa za wanasiasi 16th july maandamano yatafanyika Rambo 6 last blood comming soon big up baba LEVO from Eldoret
Shida liko kwa Rais maanake Ruto ako na tabia ya kuwahonga wabunge. Kila bunge yule alipitisha mswaada huo alikua apewe shilingi millioni 2. Kumaananisha wanauza nchi ndiyo maana wakenya ilibidi waingie bungeni wasmamishe billi hilo kupita kwa sababu wabunge walikua wanawatusi na kuwaongelesha matope kwasababu wanaenda kufaidika zaidi likipitishwa
Nyinyi mnaongea bila ata kufanya uchunguzi raisi kufuta mawaziri sio kupenda kwake na wala sio kafara. Ila anatekeleza alivokubaliana na Genz kwasababu wabunge wengi hawatekelezi majukumu yao isopokua wanaonekana tu wakifuja pesa kwenye makanisa na wengine wakihojiwa kuhusu vitu wanavo miliki wanataja pesa ndefu wengine wananunua magari ya thamani wakati ma hospitali mengi hakuna madaktari maskuli hakuna walimu.
Mnataka muongelelee Kenya wakati nyinyi mmefichwa chini ya dera ya mama 😂😂😂Kwanza Wasanii wenyu A list wananyonyeshwa na mama ndio maaana hata hawako kwenye ma swala ya kuhamazisha jamii......sisi Juliani,Nameless,Nadia Mukami,Arrow boy,Khaligraph,octopizzo,willy paul,Otile brown,Bien,Savara,etc walikataa kununuliwa wakaamua kuhamazisha jamii hiyo ndo usanii imara
Hamna uwezo wakuchambua mambo kama hayo mngeita mtu mmoja makini awasaidie, alichozungumza edo ni mashudu maamuzi ya ruto ni sahihi maana hilo ni moja ya matakwa ya wananchi wa kenya kufukuza mawaziri, kuhusu finance bill nikweli kwa mujibu wa rais kwake hakuona shida ya wabunge waliopiga yes na wabunge hawajatolewa
Dear Tz the functions of a president is to vetoe a bill to the parliament. So the president was championing for that Bill that was in the parliament to an extent of even paying 2million kshs to the greedy and corrupt mps so that it can be law. So even the president should go he's the big problem. Kumbuka samaski huanza kuoza kichwani. #rutomustgo!!!
Hamuelewi mnaongea nini, next time mualikeni mtu anaelewa siasa za Kenya aje awafafanulie What's going on in Kenya. 2027 haitakuwa rahisi. Hao wabunge watajuta kusimama na serikali.
Wajumbe walipokea Ten million kutoka kwa Ruto, mali ya uma, kila mmoja wao ndio wakapitisha iyo sheria kinyume ya wananchi. Ndugu jirani hamwelewi huyu ruto vile ako mukorofi.
Haya mambo yangesemwa na nay wa mitego yangemake sense nyinyi machawa sijui kama mwaeza ongea negative kuhusu Samia,yakenya tuachieni wakenya nyinyi fateni umbea siasa ziliwashinda,tofauti zenu za Uganda ni m7 apishi wenzake lkn chama ni hicho hicho
Serikali ya Kenya Bungevhaipitisha,Rais Ruto awaw homga pesa wapitishe mawazo yake. Aliwapa wabunge milioni 2 kila mtu wapitishe mawazo yake. Kw ma hivyo nyinyi watangazaji amuielewi Kenya hata!
sawa ila na nyie mnaweza..kukiwasha kama wao,,,,mbona udikteta ulishafanyika wazi wazi...watu wanauliwa na hawaonekani wanatupwa,,,kutishana hadharan...watu wakavamia ofisi za watu na mitutu...leo mmenda kuwapa madaraka😊..mi nashuka