Тёмный

RUTO ASITAFUTE MCHAWI NI NANI| WAKENYA WAMEKUWA SUGU| NCHI HAIENDESHWI NA MTU, INAENDESHWA NA MIFUMO 

Подписаться
Просмотров 74 тыс.
% 902

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 285   
@Sammie1730
@Sammie1730 20 дней назад
Karibisha mkenya Moja kwenye studio ndo aweze kueleza Kwa ndani kinacho endelea kenya
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 20 дней назад
Ewaaaaaah
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 20 дней назад
Kabixa
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 20 дней назад
😂😂kweli pro wamlete
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 20 дней назад
Hakika
@mvullamanase
@mvullamanase 20 дней назад
Kunakipya..!! vyote mmevifanya Hadharani
@PeterEvance-wl1ec
@PeterEvance-wl1ec 20 дней назад
We're Kenyans and Kenya is our business.
@user-uz5db2dq2g
@user-uz5db2dq2g 20 дней назад
Excalty mkenya damu mie mtuulize wenyewe
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 20 дней назад
Kumbuka Kenya pia ni east Africa,kuizungumzia ni kawaida tu ndugu,Kama mwanachama wa east africa😂😂😂
@enochosano2896
@enochosano2896 19 дней назад
@@emmanuelmasanja6040 haja maanisha hamfai kuongelea kenya. anamaanisha tutaendelea na maandamano
@user-ie8cw9cx2i
@user-ie8cw9cx2i 18 дней назад
nyinyi endeleeni kuongozwa na mtu ananyesha ikifka mwisho wa mwezi
@Sijuisijui
@Sijuisijui 17 дней назад
​@@user-ie8cw9cx2i😂😂 be nice
@aaa64sa13
@aaa64sa13 20 дней назад
Shida hapo ni elimu ya uwana habari na uchambuzi Amna. Munaongea tu kama ni jambo la kawaida. Baba levo nenda Shule Mdogo wangu. Kufutwa kwa mawaziri ni moja ya matakwa au ni msukumo wa Wakenya haswa Gen Z.... bado mna mabadiliko mengi tu yatafanywa. Kuweni Makini na mnacho Jadili. ❤🇰🇪❤🇹🇿❤ Gen z.....
@baloz8974
@baloz8974 20 дней назад
Haswa kuna wabunge na bunge kuvunjwa na pesa ya umma iweke wazi ijulikane safari zao za ulaya walikuwa wanatumia ngapi .
@sarafinawanja8549
@sarafinawanja8549 20 дней назад
Tutawasilimia msitukasirishe 😂😂😂😂😂😂
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 20 дней назад
Very true
@eugenewamalwabusaka3572
@eugenewamalwabusaka3572 20 дней назад
Kabisa Tanzania hakuna kitu mnajua kuhusu kenya mbwaaa nyinyi story na Kenya kaa mbali
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 20 дней назад
Tutaongea saana, ila wachawi hapo ni WABUNGE, walipaswa kusimama na wananchi kuukataa basi. Serikali yenyewe inaleta tu mawazo hata km ni Mabaya halafu Bunge linapitisha tu 😢😢😢
@IbrahimMohamed-wm3zf
@IbrahimMohamed-wm3zf 20 дней назад
Kwa kusaidia tu kaka Edo...kuondolewa kwa mawaziri ni miongoni mwa masharti ya GEN Z Wala sio kafara kwa watu wengine..cz bado Kuna mambo mengi anatakiwa kutekeleza kama masharti aliyopewa
@allykwaya
@allykwaya 20 дней назад
Kati ya masharti 14 aliyopewa. Kingine Rais RUTO anachokifanya ni sahihi. Kufanya hivyo ni kutekeleza matakwa ya wakenya na sio kutoa kafara.
@dominicatsiaya9534
@dominicatsiaya9534 20 дней назад
kenya the pride of africa
@Kakerluder
@Kakerluder 19 дней назад
Well Said ❤
@Legalfairy
@Legalfairy 17 дней назад
🦁
@alexsimiyu8582
@alexsimiyu8582 20 дней назад
Diversionary tactics....he is the problem, not the cabinet...liar, corrupt, rude, arrogant
@baloz8974
@baloz8974 20 дней назад
Exactly the boss who want to control everything that's why he fired Attorney General just for nothing be as he said he doesn't consult him anything.
@graceamadi1096
@graceamadi1096 20 дней назад
The cabinet too are like him no difference
@Rukiakadzo
@Rukiakadzo 20 дней назад
All Cabinet Secretaries Are Corrupt Too Like Him....There is an Inside story There.
@wisemanking001
@wisemanking001 20 дней назад
Tanzania, mpe MAKONDA NCHI!!! MIOZO kama ya kenya 🇰🇪 ipo Tanzania pia!!
@Kakerluder
@Kakerluder 19 дней назад
Nawaonea Huruma sana Tatizo hamjui kilicho mbele yenu Sai wanawalaghai mbeleni Kila kitu kinabadilika 😂😂😢😅😊 Na Tanzania cdhani kama Kunakuwepo na Ma GEN Zzz...😂😂😂 Ona nchi za west Africa zimeshazinduka wanafwata mkondo kama wa Kenya #Nigeria🇳🇬 #Ghana🇬🇭#Malawi🎉#Zimbabwe🇿🇼 Na nyinginezo...😂😂🎉😂
@wisemanking001
@wisemanking001 19 дней назад
@@FreeGod368 nani anaiweza?
@denkojux5869
@denkojux5869 20 дней назад
Kenya the capital city of Africa 👊
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo 20 дней назад
Exactly
@baloz8974
@baloz8974 20 дней назад
True everyone has acknowledged it even in Nigeria they're saying so .
@sarafinawanja8549
@sarafinawanja8549 20 дней назад
Kenya the Giant of Africa, # Tanzania tafadhali tunzeni amani yenu
@elijawakaba
@elijawakaba 20 дней назад
Sure
@cyrusm6848
@cyrusm6848 20 дней назад
​@@sarafinawanja8549yeah, ata Mimi nawaambia hivyo
@abdallasaid5593
@abdallasaid5593 20 дней назад
Mukiwa tayari mutuite tuandamane hko turekebishe Africa... Africa has to change
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 20 дней назад
Asante Tanzania 2nahitaji kuwapa ajira mje kuwatoa ccm madarakani
@Vj_hAnss
@Vj_hAnss 19 дней назад
karibu date 16
@coachdom2142
@coachdom2142 17 дней назад
Mimi wa Tanzania na wakubali lakini mlimpoteza kiongozi Jp nilimkubali sana hapa kenya tunakandamizwa na hatuwezi kubali power belongs to us people💪💪
@user-zv4ip3zu8p
@user-zv4ip3zu8p 20 дней назад
Vile mnachambuwa mambo yetu, mngekua na ujasiri pia wa kuchambua mambo yenu tz pia ingekuwa sawa zaidi, Ila uoga mlionao ni zaidi
@evonrn2000
@evonrn2000 18 дней назад
Tanzania our Sister Country ❤ 💕 Love from Kenya! Good analysis 👍
@esenen9
@esenen9 20 дней назад
As alwys, the glass is greener on the next door. TZ to reach Kenya democracy and freedom right will take another 100 years
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 18 дней назад
ata hio miaka 100 hawawez
@husseinkonde7348
@husseinkonde7348 20 дней назад
Watangazaji bado wachanga wa tajriba ya siasa,mtafteni dudu baya anayo elimu ya siasa
@athumannyungundileki9799
@athumannyungundileki9799 20 дней назад
Nyie pumbavu angeleeni ya kwenu mme ng'ang'ania kenya kenya wenzenu wanajielewa nyinyi kazi kusifia sifia
@erastusmumba
@erastusmumba 18 дней назад
Bro hio sio sawa jaribu kukomaa haujalazimishwa kuchangia mada
@georgeochanda6243
@georgeochanda6243 20 дней назад
#Tribeless #Fearless #Leaderless #Theywillnotbelieve
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 20 дней назад
One nation 🎉
@Vj_hAnss
@Vj_hAnss 19 дней назад
💪
@jaykawada5453
@jaykawada5453 20 дней назад
You are all debating events instead of actual reason which is being unconstitutional. Mifumo ndio rada watu wangu. Tufinye sana ma-nduguu
@edanechickpoultryfarm8181
@edanechickpoultryfarm8181 19 дней назад
We love you our Tanzania brothers!!!! A lot of tanzanians are studying in kenya and they come back very Kenyanised. Kenyan education system created a freedom fighter hen- z. They were taken through fasihi full of liberation stories.
@BestLife486
@BestLife486 20 дней назад
Kaz kuingelea kenya Tanzania ahaaaa
@rajabusaimon7662
@rajabusaimon7662 20 дней назад
Nyii hamjui wanainchi walikua wamejaa sum mda mlefu Lilikua ni swala la mda tu
@evansrama4224
@evansrama4224 20 дней назад
Sio kafara shekhe ni masharti tuliyompea awatoe wote kazini
@dicksonsang4347
@dicksonsang4347 20 дней назад
Ruto must resign.
@fredsabora2543
@fredsabora2543 20 дней назад
Rais ndiye aliohonga wabunge wavote yes,..ruto must go
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 20 дней назад
Hata Mimi ninaamini hivyo, najiuliza wabunge wa Azimio waliokuwa wapi kupinga hiyo Bill. Iwe isiwe walihongwa. Kwa mgawano tu wa viti vya ubunge kati ya UDA na Azimio kwanza ni VIGUMU Sana nchi kutawalika. Raila odinga bado alipaswa kuwa sehemu ya kuongoza aidha kuwa prime minister ili kuleta mahusiano ya usawa kama bunge lilivyo. Bila hivyo hii Nchi haitaweza kutawalika. Mwisho wa siku JESHI laweza kuchoka na kushika Nchi.
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k 20 дней назад
Hivi baba levo unafifikir wakenya wanaishi kwa uchawaMtu hadi ujenge nyumba kupitia uchawa,nyie endeleeni kumjaza ujinga mama,lkn ya.kenya ni Kama korona ya afrika,tusubiri muda utasema.Kariakoooooooooo!
@baloz8974
@baloz8974 20 дней назад
Msemo alioutumia hapo ni kuwa ruto asitafute who's to blame huo ni msemo wa mtaani.
@piere-D
@piere-D 20 дней назад
Ya mama tozo yamewashinda mnaongelea ya wengne fagia kwako kwanza
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 20 дней назад
Kabisa tuliambiwa umeme utashuka af kodi zamwisho wamwezi ndio zimeongezeka
@DanielShomunda
@DanielShomunda 15 дней назад
Hapo ni ukweli bro👏👏
@akothsewe734
@akothsewe734 17 дней назад
Watanzania mumenifurahisha sana na huu uchambuzi wenu😂😂 Tafadhali mkaribisheni mmoja wetu Kasmuel McOure aje awamwagie wisdom hapo studioni ... grts from Kenya😂❤🇰🇪🇰🇪
@goldenmaduhumedia4681
@goldenmaduhumedia4681 20 дней назад
Kama mtaenda na direction hii wasafi tv itakuwa ni media yenye nguvu sana Africa
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo 20 дней назад
Afu kuna msanii anatunga album ya kusifia Rais aliyeko madarakani sema tz kila mtu ni chawa
@LilianNyambura-yk9ok
@LilianNyambura-yk9ok 7 дней назад
I love this song very much ❤
@dailytalk2040
@dailytalk2040 20 дней назад
La ruto ndie shinda yeye ndie hu control bunge chama chake kiko na wabunge wengi huyo ni mwizi, na ataenda , tuiteni tuwaeleze kunacho endelea
@ogthecomedian
@ogthecomedian 16 дней назад
As Kenyans we say ruto must go
@hannan4508
@hannan4508 19 дней назад
Si sugu we know our rights , power belongs to the people, Baba levo kumbuka Kenya iko dunia nyingine 🤣🤣🤣
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 20 дней назад
Nothing like that bwana ni g zee pls tafuteni mkenya mmoja tu awaelezeee yayeee
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 20 дней назад
mama tozo must go
@shukrishuu9672
@shukrishuu9672 20 дней назад
Kenya🇰🇪 shida ilianza na wababazz... Wanaiba deni za Wa kenya wote wananunua ma tx. Genzii hawapati ile meli ya relation na age groups zao.. MUBABAZ ANAVUKA NAYO NAYO.. 🎉🎉🎉😂😂😂😂❤
@vitalisomondi1821
@vitalisomondi1821 9 дней назад
Mubabaazz response..Ati kaende kaende😂
@Alute-son2003
@Alute-son2003 20 дней назад
Nchi ikikosa mifumo mizuri tutaendelea kuwafaidisha watu wachache mnoo...kuna nchi zilikuwa ni jangwa leo hii wanatukopesha sijui tumekaaje hapa kwetu
@Alute-son2003
@Alute-son2003 20 дней назад
Mambo ya ooooo Raisi awe wa milele wakati tunaona nchi ina kila kitu afu wananchi wake ni maskini haijakaa vizuri kabisa
@rizikimwero1767
@rizikimwero1767 20 дней назад
Ruto must go home
@elvisotwori437
@elvisotwori437 20 дней назад
Andika kiswahili hawa majirani hawakuelewi 😅😅😂
@musicmikeish
@musicmikeish 20 дней назад
Ruto lazima aende😂
@maxwellsanga3662
@maxwellsanga3662 20 дней назад
Hawa hawajui siasa zetu hapa kenya
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 20 дней назад
Au samia mitano tena wakati kampeni bado hii haijakaa sawa ni kama uchuro. Waaache was ubarikiwe kampeni August 2025.je samia asipogombea tena inakuaja inakuwafitina
@edgar3998
@edgar3998 20 дней назад
Tunatangulia mnafata tz mpo
@kyaro5945
@kyaro5945 20 дней назад
Ina maana Ruto yuko right. Wawakilishi wa Wananchi wameboronga so kuwasaudia wananchi is to fire cabinet.
@onescaniaonescania8227
@onescaniaonescania8227 19 дней назад
baba leo wewe umeskiaa wapi, ww c chawa wa kwenye ccm kuna kenya ona moto ,kwenyu enyewe magumu hamsumbutu tetea watoi wenyu,mnaongopa CCM PANYA NINYI
@GlobalMonitorDaily
@GlobalMonitorDaily 16 дней назад
Ruto aliwa honga wabunge.Hayo hayakua maamuzi ya wabunge Ila ya ruto sababu alinunua uamuzi wao.
@MohamedHussein-tj5eu
@MohamedHussein-tj5eu 17 дней назад
Us Kenyan we don't need fake promises, we waring our mps and him seif but they didn't listen to us Kenyan... We are the one we put them there and the power it's within us people's
@barakamanga5502
@barakamanga5502 20 дней назад
Ikitokea tz alooooh itaharibu nch ukitaka Kuja tizama Umati wawatu wenye shida na changamoto, Alison kuwa katibu wa ccm,na kila changamoto inaonesha serikali inelegant, niliogopa saana
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 16 дней назад
BIG MISTAKE NCHI JIRANI KUKURUPUKA NA KUONGELEA MAMBO YA NCHI NYENGINE PLEASE PLEASE PLEASE
@mwadabakonyezo6649
@mwadabakonyezo6649 14 дней назад
Ilifaa mujue kiliomo ndani ya finance bill. Kisha ujue Roto propagated the finance bill to please the IMF . Aliambiwa mapema awachane na hii bill lkn hakusikia
@divinepraises5835
@divinepraises5835 20 дней назад
Nyie hamjui siasa za kenya. Hamna kafara yoyote anatoa. They are incompetent leaders. Let them go. This is now the Ruto we voted for. Coming back to his senses
@Paul.957
@Paul.957 20 дней назад
😂😂kutoa kafara ya Tz Ina maana tofauti ni ya Kenya...
@user-pw5pe6kp6l
@user-pw5pe6kp6l 20 дней назад
Shida Iko Kwa rais Kwa nn ahonge wabunge wapitishe anavyotaka
@mohammedkazungu2747
@mohammedkazungu2747 12 дней назад
mimi ni mkenya. wabunge walichangia pakubwa kwenye maandamano haya lakini wengi wao walipitisha mswada kwa kuhofia siasa ijayo kumaanisha ata raisi alikua kitu kimoja na wabunge kwahivyo familia ni baba, baba akipoteza mwelekeo familia nzima ni rahisi kupoteza mwelekeo.
@FedupKenyan2024
@FedupKenyan2024 20 дней назад
Dj afro njoo ung'arie hawa😂😂
@janemwirikia6817
@janemwirikia6817 20 дней назад
Ruto dismissed the CS because of not showing the necessary skills to do something successfully not sacrificing them for his benefits, it was part of the reason of protesting also.
@AliMahmoud-it7vb
@AliMahmoud-it7vb 14 дней назад
Sasa hata si fainance bill ,maana hatahawasemi.kwame hayo.wanamengineee kila kukicha waja na lipya mpaka watu wameanza kuchoka na washaanza kupungua kwenye maandamano maana sawa kila mtu silaa mkononi kilammoja anaprotect duka lake watu wamechoka na maandamano na kunawale wanao sema wametumiwa kwahio.msione twatataka hayo hatuyataki kabisa kabisa amani
@raphaeloloo9641
@raphaeloloo9641 20 дней назад
Na atajiuzulu pia yy atumtaki zakayo mtoza ushuru ss Gen z ndio kusema
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 20 дней назад
Kama sio wataalam wa geo politics muwe mnavunga au tafuteni mtaalam anayejua hivi vitu!!
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 20 дней назад
SHIDA NI RUTOOOOOOO YAYEEEEEEE AMA MWAOGOPA KUONGEA 😂😂😂SISI WAKENYA HATUOVOPA ZAKAYO MUST GOOO
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 18 дней назад
Kenya hawamwagii maji ya kuwasha sheria hiyo haipo
@johnmwangi9346
@johnmwangi9346 17 дней назад
The only thing is if the president goes will just get another corrupt politician in there 😂
@oscartheicon2716
@oscartheicon2716 7 дней назад
Inaitwa spice FM not space 😂😂😂
@Grandp485
@Grandp485 18 дней назад
Hello wasafi media, am one of the young people (GEN Z) who are fighting for justice and to stop corruption. The biggest problem in Kenya is corruption and injustice in kenya law Court and that's why we have risen to fight for our rights partyless, leaderless and tribeless and we don't fear death. Better die fighting for your rights and freedom than to be enslaved in your own country
@moshiwamboi1266
@moshiwamboi1266 14 дней назад
😂😂😂😂wasafi TV nimependa maoni yenyu Baba levo Leo yuko serious na kesi ya watu kuvuta tear. Gas a Tanzania wezangu sisi wakenya wwazuri sana ila tukichokeshwa tunakuwa wanyama
@ruujcaflon3351
@ruujcaflon3351 16 дней назад
Mni alike studio nichangie mada. Hii mada inataka mkenya mwenyewe aeleze kilicho tukia
@user-kh7bc4js1m
@user-kh7bc4js1m 19 дней назад
Hawaoni hawa kabisa hawajui kabisa chote maskini
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 20 дней назад
Sio walio kuwa Wana mzunguka Ni IMF na World Bank TZ na inchi nyingi za kiafirika watalamu wetu wajifunze.
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 20 дней назад
Kujadili siasa za kenya sawa za bongo aaannh
@baloz8974
@baloz8974 20 дней назад
😂😂😂😂 we kenya ni pasau kichwa hawa wote wanafunzi wa chekechea kina baba levo
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 20 дней назад
Wananisinya sijui wanaongea nini bure kabisa😂​@@baloz8974
@Alute-son2003
@Alute-son2003 20 дней назад
Oscar gombea Kaliua kura utapata nyingi uende ukiwa na uelewa huu wa hoja zinazohusu maslahi ya wananchi
@amohammed3390
@amohammed3390 19 дней назад
Let’s president do his job. He got the message and he will work on it. Anyone who will be a president will face the same. Allow Kenya to thrive it is on right direction. Kenya own and operates airline with its own airlines. Interest rates: Ghana - 29%; Kenya 13%. Depreciation: Ghana- 54% ; Kenya 34% Inflation rates: Ghana - 23%; 6.6%. Unemployment rates: Ghana- 14%; Kenya; 6.6%. Total Debt: Ghana- 83.6%; Kenya 690% So Kenya needs to do adjustment in the formation of Government and deals with Corruption. Taking loan with caution. CORRUPTION AND MISMANAGEMENT ARE ISSUES TO DEAL WITH IN KENYA CASE STUDY
@user-xy5nc7hp7j
@user-xy5nc7hp7j 17 дней назад
Yenye ndio anawalipa wapitishe.
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 20 дней назад
Ruto ana NGE ndani ya shati lake, na mbinu mbaya imetumika ni msukumo wa wachungaji makanisani na misikitini,.na tatu mtesi wake na kundi linalo muunga mkono ambaye ni Raila Odinga.
@eminix2132
@eminix2132 18 дней назад
Huku Kenya katiba lazima ifuatwe hatupendi ujinga na tamaa za wanasiasi 16th july maandamano yatafanyika Rambo 6 last blood comming soon big up baba LEVO from Eldoret
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 18 дней назад
shida y wabunge wenyew ndo hawa wanaopita bila kupingwa unadhan hao wameletwa n wananchi
@EmmaWakesho-hs3jb
@EmmaWakesho-hs3jb 20 дней назад
We are kenyans, kenya is our country
@sund2553
@sund2553 18 дней назад
Ya nchi za watu midomo chuchunge kujadili ya nchini kwenu huw mnafyata hatariiii
@nasrihussein4293
@nasrihussein4293 14 дней назад
Wewe washa ku speed up rmaneno sisi tuko na raisi ruto
@pete7289
@pete7289 19 дней назад
Shida liko kwa Rais maanake Ruto ako na tabia ya kuwahonga wabunge. Kila bunge yule alipitisha mswaada huo alikua apewe shilingi millioni 2. Kumaananisha wanauza nchi ndiyo maana wakenya ilibidi waingie bungeni wasmamishe billi hilo kupita kwa sababu wabunge walikua wanawatusi na kuwaongelesha matope kwasababu wanaenda kufaidika zaidi likipitishwa
@kimaru9483
@kimaru9483 17 дней назад
Ni Bunge kweli ila shinikizo linatoka Kwa Rais .
@husainsmith3103
@husainsmith3103 20 дней назад
Nyinyi mnaongea bila ata kufanya uchunguzi raisi kufuta mawaziri sio kupenda kwake na wala sio kafara. Ila anatekeleza alivokubaliana na Genz kwasababu wabunge wengi hawatekelezi majukumu yao isopokua wanaonekana tu wakifuja pesa kwenye makanisa na wengine wakihojiwa kuhusu vitu wanavo miliki wanataja pesa ndefu wengine wananunua magari ya thamani wakati ma hospitali mengi hakuna madaktari maskuli hakuna walimu.
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 20 дней назад
Katika siku umeongea point Oscar ni Leo nakutania
@boazmaobe7245
@boazmaobe7245 20 дней назад
Pilipili musiyo ila inawawashia nini? Hamna lolote nyie sijui mnajadili nini kwa sababu Hamna mwelekeo wa mada mnayoizingumzia.Acha shobo
@kyaligonzalouis4663
@kyaligonzalouis4663 20 дней назад
Nyie mabaki kwenye mambo ya chama na azizi k muachane na siasa You know nothing about democracy
@sultanmswahilitv4864
@sultanmswahilitv4864 19 дней назад
Wakenya sio ligi yenu watanzania
@michaelgitau9681
@michaelgitau9681 18 дней назад
Mnataka muongelelee Kenya wakati nyinyi mmefichwa chini ya dera ya mama 😂😂😂Kwanza Wasanii wenyu A list wananyonyeshwa na mama ndio maaana hata hawako kwenye ma swala ya kuhamazisha jamii......sisi Juliani,Nameless,Nadia Mukami,Arrow boy,Khaligraph,octopizzo,willy paul,Otile brown,Bien,Savara,etc walikataa kununuliwa wakaamua kuhamazisha jamii hiyo ndo usanii imara
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 20 дней назад
Hii panel yenu haina tajriba ya kutosha kuongelea mada hii ya Kenya
@seneu.2128
@seneu.2128 20 дней назад
Hamna uwezo wakuchambua mambo kama hayo mngeita mtu mmoja makini awasaidie, alichozungumza edo ni mashudu maamuzi ya ruto ni sahihi maana hilo ni moja ya matakwa ya wananchi wa kenya kufukuza mawaziri, kuhusu finance bill nikweli kwa mujibu wa rais kwake hakuona shida ya wabunge waliopiga yes na wabunge hawajatolewa
@Ismail-db5oj
@Ismail-db5oj 17 дней назад
The World 🌍 Discussing Kenya Kenya has Become Globally Encyclopedia For The Neighborhood 😂😂
@mumomuendo9892
@mumomuendo9892 18 дней назад
Justice for shadrach
@zainabhussein5542
@zainabhussein5542 19 дней назад
Angalieni mambo yenu mambo ya kenya hayawahusu kama mumeishiwa na maneno basi kila mtu aseme ya kwake ama huko kijijini kwenu
@johnonyango6069
@johnonyango6069 20 дней назад
Dear Tz the functions of a president is to vetoe a bill to the parliament. So the president was championing for that Bill that was in the parliament to an extent of even paying 2million kshs to the greedy and corrupt mps so that it can be law. So even the president should go he's the big problem. Kumbuka samaski huanza kuoza kichwani. #rutomustgo!!!
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 20 дней назад
Kwanini Tanzania mnapenda kuinglia mambo ya uongozi Kenya? Ni kwanini hatuwaoni nyie mkichambua viongozi na siasa zenu huko TZ?
@badmanno.1650
@badmanno.1650 20 дней назад
Hamuelewi mnaongea nini, next time mualikeni mtu anaelewa siasa za Kenya aje awafafanulie What's going on in Kenya. 2027 haitakuwa rahisi. Hao wabunge watajuta kusimama na serikali.
@KITCHENTV-dw9gs
@KITCHENTV-dw9gs 20 дней назад
Ukiandika mchawi tunadhania ni Raila
@cristalclear2499
@cristalclear2499 17 дней назад
Wajumbe walipokea Ten million kutoka kwa Ruto, mali ya uma, kila mmoja wao ndio wakapitisha iyo sheria kinyume ya wananchi. Ndugu jirani hamwelewi huyu ruto vile ako mukorofi.
@hassanosman8910
@hassanosman8910 19 дней назад
Hv mnatoa wapi mda wa kuiongelea Nchi iliyo mbali kifikra wakati Ninyi mko nyuma kimawzo hv, nyuma saaana
@douglasmboya1426
@douglasmboya1426 20 дней назад
Haya mambo yangesemwa na nay wa mitego yangemake sense nyinyi machawa sijui kama mwaeza ongea negative kuhusu Samia,yakenya tuachieni wakenya nyinyi fateni umbea siasa ziliwashinda,tofauti zenu za Uganda ni m7 apishi wenzake lkn chama ni hicho hicho
@danwangwe7
@danwangwe7 20 дней назад
We are not a imf and world bank puppets we kenyans fight for our rights, america is not a colony of Kenya
@MonicaRaila-tn5rb
@MonicaRaila-tn5rb 13 дней назад
Hio nikweli wanajishahao kuwa sirikali ya wainchi
@kabakajuma9768
@kabakajuma9768 20 дней назад
Yaani wewe oska oska uko na IQ kubwa sana natazamia kwa maoni yangu serikali yetu ikuangalie vizuri na ikupe nafasi hata ya ushauri tu kwa serikali
@HANDOLOH
@HANDOLOH 11 дней назад
Serikali ya Kenya Bungevhaipitisha,Rais Ruto awaw homga pesa wapitishe mawazo yake. Aliwapa wabunge milioni 2 kila mtu wapitishe mawazo yake. Kw ma hivyo nyinyi watangazaji amuielewi Kenya hata!
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 20 дней назад
sawa ila na nyie mnaweza..kukiwasha kama wao,,,,mbona udikteta ulishafanyika wazi wazi...watu wanauliwa na hawaonekani wanatupwa,,,kutishana hadharan...watu wakavamia ofisi za watu na mitutu...leo mmenda kuwapa madaraka😊..mi nashuka
@msonocollo9551
@msonocollo9551 13 дней назад
Ambia diamond kunyamaza hivyo akuasema kitu yy na harmonize