Mambo yenye iko ni ruto must go??? nasasa wewe umeruka kwa oringo na anyanyongo, tafathali niwachie anyanyongo na oringo nyatieng na ukae kwa laini ya mujadala tafathali nanikimaliza iko ivi ruto must gooooooo
Omera omera omera nimekuita mara tatu , ninakuona ukiteteya sudi na duniya muzima inajuwa bei ya saa yake wakenya wana teseka ata kiatu ya marcomen inatupiga na butwa, ayaa sasa nikimalizal nikipeyana majibu juyaiyo kiti yako yenye umenunuliwa na sudi atauna mutetea mupaka unakosa faamu