Katika video hii tunakupa sababu 10 kwanini uanze kufuga mbuzi. Tunaongelea masuala mbalimbali ya muhimu yanaofanya ufugaji wa mbuzi kuwa na tija na mvuto zaidi kuliko ufugaji wa ng'ombe, kondoo na hata nguruwe (kitimoto). Masuala kama yafuatayo:
1. Uhitaji wa nyama ya mbuzi (soko)
2. Uhitaji wa eneo kwa ufugaji wa mbuzi
3. Uhitaji wa chakula
4. Uzaaji na uongezekaji wa mbuzi
5. Urahisi wa kummudu mbuzi
6. Ubora wa nyama ya mbuzi
7. Maziwa ya Mbuzi
8. Mazao ya ziada - mbolea na ngozi
9. Athari ya mazingira
10. Kufurahisha kwa mbuzi
11. Ustahimilivu wa mbuzi - kwenye kiangazi kujali
12. Mtaji mdogo
30 сен 2024