Hongera sana Eng. Heris Said. kuweka alama isiyofutika kwenye club yetu. Na hasa jinsi unavyomuenzi Hayati Baba yetu Mzee Karume.Nawe Mama yetu Karume Kongole sana kwa uaminifu wako.na msaada uliutupa hadi kuweza kujenga jengo la makao makuu yetu. Mungu akupe maisha marefu ya Amani na furaha. Deni kubwa kwetu sisi wanachama tulipie kadi zetu kila mwezi na kuhamasisha wengine kujiunga. Mwisho tudumishe Amani na mshikamano na viongozi wetu shupavu ili tujenge Yanga ya kihistoria Barani Afrika.
Huyo mhandisi kolo alisema hapajengeki mpk wajerumani walipokubali na hata Leo vijana makolo bado wanabisha pale uwanja haujengeki ama kweli watu hurithi tabia za wazee wao, makolo ni pingapinga jazz band😆