Nimekuelewa Mama wa CHadema. Kweli ni vizuri kusaidia wenye mahitaji. Kuhusu mpira ni vizuri sana kuhamasisha vijana kunakofanywa na Muheshimiwa RaisMama Samia Suluhu hassani, kuwahamasisha vijana kunafanya nchi Julikane na ndipo watakii wengi watakuja Tanzania 🇹🇿 na kukuza uchumi wetu. Mimi na kubaliana na nyie wote kila mnachofanya kinaltakia nchi mafanikio mema. Wamama chadema vitenge mlivyopewa nipeni mimi.
Kuchoma vitenge vyenye picha ya Mh Rais sio upinzani ila ni kukosa Busara. Kwa sababu unapochoma picha ya Mh Rais wakati ndio icon ya Nchi Yako mwenyewe unakuwa unapungua sana kwenye hekima na Busara. Rais ni nembo ya Nchi. Tuhoji mambo muhimu kwa wivu mkubwa wa Taifa letu ila daima tuongozwe na hekima, Busara na uzalendo kwa Taifa letu.