Тёмный

SAKATA la NDOA ZA JINSIA MOJA LATUA BUNGENI, MBUNGE AWAKA - "KWANINI WANAWALAZIMISHA WATOTO WETU?" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 171   
@talhiyaibrahim1074
@talhiyaibrahim1074 Год назад
Hongera mama nakupenda Allah akusimamie insha'Allah hongera Sana
@pastormgeni5714
@pastormgeni5714 Год назад
Mungu akumiminie neema nyingi na baraka. Umetoa hot points. Tuungane kwa nguvu moja. Watanzania tunaweza. Lazima tuufundishe ulimwengu. Well done. Ila tunaomba uwajibikaji wa dhati ktk ukweli na uwazi ktk tatizo hili mtambuka la unyanyasaji kwa watoto na ushoga kwa upande wa serikali, taasisi za kidini, mifumo ya sheria Kali, jamii na familia zetu. Tunaomba ushirikiano. Ahsante sana. Mungu atusaidie ktk vita hii. Bunge ni chombo kizito tupo tayari kuwaunga mkono. Tupo pamoja sisi wananchi.
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 Год назад
Huyu mama Mungu ambariki sana
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Strong speech dear madam Mungu akubariki Umeongea na malipo yko Utayakuta mbele ya haki Ameen
@OnesmoCharles-oe1hx
@OnesmoCharles-oe1hx Год назад
Hongela Sana mama. Mungu akulinde Sana amina
@davidgustavkomba2521
@davidgustavkomba2521 Год назад
What a speech madam👏👏👏 tell them, binadamu atoe fursa kwa binadamu mwenzie
@MasterJonass
@MasterJonass 9 месяцев назад
Kwann hivyo kaka
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
Mama umeniliza Sana Mimi😭😭😭😭😭Mungu akurinde Sana Mama umeongea kwa hisia Sana
@Hasnspop
@Hasnspop Год назад
Oh hallelujah mama mungu akubaliki ushoga sio
@deoluma1706
@deoluma1706 Год назад
Stay blessed mama..
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Год назад
Oooooo hear you mom be blessed and Glory be to Almighty God Praying for Tanzanian East Africa God is Able Will heal us In Jesus Name
@habibndyeshobora6848
@habibndyeshobora6848 Год назад
Nimejikuta nalia sana , huku nikifurahi kuona WATU Wa aina hii wapo , HONGERA SANA MAMA watanzania wote ,Afrika ,tuhamasike kufikia kiwango chako au tupite!!!! Muda ni Huu !!!! Ahsante sana !!!!!!
@malachimassawe1160
@malachimassawe1160 Год назад
Thanks a lot hon msapvata pvangu accelerate there. You're getting it right God bless you
@agnessjohn5159
@agnessjohn5159 Год назад
Thanks mom,umenena vyema God bless you
@bensabuni5319
@bensabuni5319 Год назад
Sema huyu madam anajua sana mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele ungekuwa mbunge wang hadi raha sana sema kuna huyo mbunge wang kazi ni kulala tu mbunge anazingua sana
@hulilodonard5524
@hulilodonard5524 Год назад
Asante umesema kamakiongonzi,kama mama,kama mtanzania mungu akubariki.
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 Год назад
Ukinyamaza leo kwa sababu tu watoto wako wako salama, kesho yaja na watoto wako hawatakuwa salama, watamezwa na jamii iliowazunguka.
@abiasifredrickdima3255
@abiasifredrickdima3255 Год назад
Huyu Mbunge wa iringa jamani apewe ulinziii ,🙌🙌🙌 anajiamini
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 Год назад
May God bless you mum ❤❤❤❤
@saimonlaizer2732
@saimonlaizer2732 Год назад
Asante sana ubarikiwe mama.
@paskomilesjohn5892
@paskomilesjohn5892 Год назад
Be blessed... mama
@alisonimpaji615
@alisonimpaji615 Год назад
Mungu aku bariki mueshimiwa wewe ni mama Bora lakini wewe ni mtoto Bora katika familia yako .mungu aku tangulie katika kazi zako
@kassimtanzania5901
@kassimtanzania5901 Год назад
Asante Mama Mungu akubariki
@yustinmbilinyi671
@yustinmbilinyi671 Год назад
Mungu akubariki saana sana Mtumishi wa serikali na Mtumishi wa Mungu
@NovathPanga-me7el
@NovathPanga-me7el Год назад
Mungu akulinde mama
@mpendajrtz7460
@mpendajrtz7460 Год назад
🙌🙌🙌Let say thanks mother🙏🇹🇿🇹🇿
@lewismpangala927
@lewismpangala927 Год назад
God bless you mama Africa
@hemtoyemlalo9104
@hemtoyemlalo9104 Год назад
Asante mama
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 Год назад
Safi Sana Mama smart woman like you where thanks very much dear.
@mikelaurence1582
@mikelaurence1582 Год назад
Hongera sana Mama,umenena vyema Mama,
@hosseasimon3887
@hosseasimon3887 Год назад
Mama umenena, Mungu akubariki naamini umenena toka rohoni
@ibrahimkhamis9699
@ibrahimkhamis9699 Год назад
Mama hongera sana kwa kutetea haki na uhai wa watoto wetu.
@miami0925
@miami0925 Год назад
Mama hongera sna ila watanzania Kuna MUNGU na mungu anakua hapendi mambo alokataza tena kw saut kubwa hlf tukafanya mzaha jueni mungu ypo Ataleta mtihani tuanze Kuja kuanza kutfta nan alosababisha tzameni uturuki mfano mdgo mungu kawapa mtihani he sie hapa kataeni ushoga Tanzania 🇹🇿 tunaweza kuishi bila wao si lazma kuiga tamaduni zao cc tna zetu ten nzur paka tunaonewa choyo na mataifa tofaut
@sarahmwakisu2702
@sarahmwakisu2702 Год назад
Hongera sana Mh. Msambatavangu mbunge wa Iringa mjini kwa mchango wako uliosheheni upendo wa kutetea vizazi vyetu kutoka kwenye laana ya usodoma na ugomola " hakika bunge likikaa kimya juu ya uharibifu huu mkubwa MUNGU atainua mawe ndo yakemee uovu huu!" lakini wewe umemaliza kazi yako huna deni mbele za MUNGU na MUNGU wa mbingu na nchi akubariki kwa kuitetea kazi yake.
@puttenyanthony9284
@puttenyanthony9284 Год назад
Mungu akubariki sana Mama.
@rosebwenda5099
@rosebwenda5099 Год назад
Barikiwa sana mama 🙏
@jasiriasili3694
@jasiriasili3694 Год назад
Amina uko sahiii mama tukemea kabisa kwa nguvu zote mama
@linacharles3583
@linacharles3583 Год назад
God bless you maa,hata wengine wakinyamaza kwakuwa umesema Mungu atalisimamia ulilosema and Tanzania will be exempted from this evil agenda in Jesus name
@majaliwamwamengo8604
@majaliwamwamengo8604 Год назад
Ubarikiwe uendelee hivohivo MUNGU akutie ujasiri said nami nakuombea
@callmelwizz553
@callmelwizz553 Год назад
Asante mama 🙌🏿
@PastoryMfipa-cp2kx
@PastoryMfipa-cp2kx Год назад
Mungu akusimamie mama
@dianerditto
@dianerditto Год назад
Huyu mama ajengewe sanamu lake katikati ya bunge 😭😭😭
@neemaloy889
@neemaloy889 Год назад
Hongera mtumishi wa Mungu umesema yoteee
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Год назад
Asante sana mwanamke wa shoka!
@obadiamhagama1281
@obadiamhagama1281 Год назад
Damu ya YESU ikufunike mama.❤
@maherzain2555
@maherzain2555 Год назад
Ilibidi wabunge wasimame kuunga mkono ila wengine wapuuzi tu, big up mama Allah aendelee kukusimamia ktk hili
@officialhammy5872
@officialhammy5872 Год назад
Well delivered
@mkemiakazini5263
@mkemiakazini5263 Год назад
Mama wa bufee umetisha sana
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 Год назад
Safi sana. Tupige vita mila za Kizungu.
@ReaganHaule-li9qs
@ReaganHaule-li9qs Год назад
❤super women
@solomonpeter1824
@solomonpeter1824 Год назад
Mungu wa Mbinguni akuinulie kila lililo jema
@esperancenathali
@esperancenathali Год назад
Mama alikuwa very emotional 😭 kweli hii ndio TZ ninayo ipenda jamani km pacha wa JPM hivi wala hapakuwa wa taharifa they let her talked hadi to the end na gift juu all of them imewagusa ila wengi wao niwaoga mno ila pia ukweli wanaujuwa
@UmwamiOrongoro
@UmwamiOrongoro Год назад
Barikiwa sana Mama yangu 😢🙏🏿❤️
@abdallahkaskas6168
@abdallahkaskas6168 Год назад
Allah atakulipa Mama kwa kukemea Uovu......❤❤❤❤
@abdallahkaskas6168
@abdallahkaskas6168 Год назад
Umenigusa sn Mama angu...😢😢
@dorcasdarshin8976
@dorcasdarshin8976 Год назад
Asante mheshimiwa mbunge wa iringa
@agricolamwageni5471
@agricolamwageni5471 Год назад
Waoooh Mungu akukumbuke mhe.
@usumanezana1775
@usumanezana1775 Год назад
Mungu aendelee kukulinda mama na akujalie mema zaidi hilo ni jambo la ukweli mtupu
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 Год назад
Powerful words.Find a wisdom to help our children.
@frankkimaro3477
@frankkimaro3477 Год назад
Mama mungu akulinde umeongea ukwel hii tz imekua kichaka cha maovu ya ndani kwa ndani,hata Arusha wanafuzi wamekutwa wakiwa hovyo wengi sana,chamuimu serikali iweke xheria Kali kwa atakae kamatwa.
@abiasifredrickdima3255
@abiasifredrickdima3255 Год назад
Pole Sana mama umenitoa machozi pia😩😩😩🙌🙌🙌🙌
@josephatdunda1937
@josephatdunda1937 Год назад
Safi san mama🤝👏
@aimpaul7214
@aimpaul7214 Год назад
Serikali itupe go ahead kuhusu hawa wasenge tuwashugulikie sisi wananchi
@hawagondwe2056
@hawagondwe2056 Год назад
Huyu mbunge ni kivmchwa mungu akutunze mama
@afransinakibuga7924
@afransinakibuga7924 Год назад
Sahihi dada jeska
@suleymanally1465
@suleymanally1465 Год назад
Hongera saaana madam, wabunge igeni mfano huo, ongeeni bila woga kuokoa taifa letu, pesa zitatuponza ndg zangu.
@kastomwaipopo1763
@kastomwaipopo1763 Год назад
Mama Asante Kwa kutusemea 🥺
@rehemamusa8199
@rehemamusa8199 Год назад
Asante.sana..Kemnay.kwa.nguvu.hata.humo.wapo.
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Unamsikiliza huku unatoa MACHOZI kwa kweli mama Mungu AKUBARIKI SN meseji sent and deliver
@emanuelkaroli2817
@emanuelkaroli2817 Год назад
Mmmmh mama ameongea kwa hisia sana.🇹🇿🇹🇿
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Год назад
Asante sana my mm, hata mm naona kama serkali inajua hili jambo, ndo maana hatuoni jitihada za kukemea hili jambo.
@sniper93999
@sniper93999 Год назад
Serikali inaogopa kutamka na ikitamka inatamkia kimafumbo
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Peter msingwa angalia mama Yuko vizuriii
@batonbernald9164
@batonbernald9164 Год назад
Good spoken
@subiraibrahim8100
@subiraibrahim8100 Год назад
Kuna mmoja katoa ruksa wafanyiane wakubwa ila watt wawaache😢😢😢😢iyo speech sjapenda
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 Год назад
Super woman, nice speech
@hk_ballers
@hk_ballers Год назад
Safi sanaaaaa
@dicksonmhenuchi6098
@dicksonmhenuchi6098 Год назад
Mama ameonge kwa hisia Kali sana hakika imenigusa😭😭
@abbasouko3143
@abbasouko3143 Год назад
Mungu akubariki sana MAMA YANGU
@mligostephen3278
@mligostephen3278 Год назад
Hakika wewe nikiongozi, God bless you.
@abuumtoa2336
@abuumtoa2336 Год назад
Well said MP,,, super woman
@4figure940
@4figure940 Год назад
@AbubakaryAbdallah-gs7cw
@AbubakaryAbdallah-gs7cw Год назад
Really
@toumajaan7879
@toumajaan7879 Год назад
Nice say
@chikuyussuf8429
@chikuyussuf8429 Год назад
Hapo mlipoanza kuzunguka huko kwenyekuomba ndyo mkaambiwa kuingie katika ndowa ya jinsiya moja
@babudicky
@babudicky Год назад
Nakubari sana kemea kwa nguvu zote huu ni ushetani Tanzania autakiwi
@dcampafrica
@dcampafrica Год назад
Sema mama 👏👏
@godfreystanlaus
@godfreystanlaus Год назад
Ooooh jaman huyu mama ametumwa na mungu na sio vinginevyo tushikamane kuhusu hili akika tutavishika vita hivyo vya shetani mungu tutangurie
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 Год назад
ITAFIKA STAGE WANYAMA PIA WATATUCHEKA NA WAO WATATHAMINIKA KULIKO SISI.MAMA SAMIA TOA SHERIA...MUNGU ATAKULINDA❤
@valiantmdao57
@valiantmdao57 Год назад
Nice
@NasraAbdallah-wb9iq
@NasraAbdallah-wb9iq Год назад
Safi sana mama
@brmtvtibaasili8289
@brmtvtibaasili8289 Год назад
Nimempenda bule huyu mama
@kapondazenaida-nq5hk
@kapondazenaida-nq5hk Год назад
Pongezi nyingi mama umeongea kwauchungu mungu akusimamie namisimamo yako
@subiraibrahim8100
@subiraibrahim8100 Год назад
Naked truth I appreciate
@zenobiakapere1379
@zenobiakapere1379 Год назад
Doo mama umenikosha sana,big up.
@NovathPanga-me7el
@NovathPanga-me7el Год назад
👏👏👏
@mwinjatheson2367
@mwinjatheson2367 Год назад
Eee Mungu baba mlinde na kumuinua Mama yetu kipenzi
@maherzain2555
@maherzain2555 Год назад
Huyu mama daah, wanairinga mna mtu Wallahi
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Huko mama anakozunguka kupata pesa ndo Kuna shida huko,
@shakilaabdallah7890
@shakilaabdallah7890 Год назад
Daah umeongea point mama vijana wetu wanakwishaa kizaz kinapotea
@rosemery5751
@rosemery5751 Год назад
🙏🙏🙏
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 Год назад
Mbunge kaongea kwa hisia kali sana, sawa lakini imetokeo je mpaka hayo mambo ya ushoga nk yakaenea na kuota mizizi? Tutaongea sana lakini kama hayupo wakusema haya mambo yakome ni bure na haina maana yeyote ile. Dr. Mwakyembe kaongea na kutoa ushahidi jini ushoga ulivyoota mizizi hapa Tanzania laki imechkuliwa kawaida tu.
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 Год назад
Dada aida hongera saana,lakini jukumu kubwa la kudhibiti mambo ya kijinga ya ndoa za jinsia moja Serikali ni chombo kikubwa ,serikal inaweza na inaweza kabisa
Далее
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 1,2 млн
Ndoa za jinsia moja zaruhusiwa Ujerumani
1:40
Просмотров 1,7 тыс.