Mungu akumiminie neema nyingi na baraka. Umetoa hot points. Tuungane kwa nguvu moja. Watanzania tunaweza. Lazima tuufundishe ulimwengu. Well done. Ila tunaomba uwajibikaji wa dhati ktk ukweli na uwazi ktk tatizo hili mtambuka la unyanyasaji kwa watoto na ushoga kwa upande wa serikali, taasisi za kidini, mifumo ya sheria Kali, jamii na familia zetu. Tunaomba ushirikiano. Ahsante sana. Mungu atusaidie ktk vita hii. Bunge ni chombo kizito tupo tayari kuwaunga mkono. Tupo pamoja sisi wananchi.
Nimejikuta nalia sana , huku nikifurahi kuona WATU Wa aina hii wapo , HONGERA SANA MAMA watanzania wote ,Afrika ,tuhamasike kufikia kiwango chako au tupite!!!! Muda ni Huu !!!! Ahsante sana !!!!!!
Sema huyu madam anajua sana mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele ungekuwa mbunge wang hadi raha sana sema kuna huyo mbunge wang kazi ni kulala tu mbunge anazingua sana
Mama hongera sna ila watanzania Kuna MUNGU na mungu anakua hapendi mambo alokataza tena kw saut kubwa hlf tukafanya mzaha jueni mungu ypo Ataleta mtihani tuanze Kuja kuanza kutfta nan alosababisha tzameni uturuki mfano mdgo mungu kawapa mtihani he sie hapa kataeni ushoga Tanzania 🇹🇿 tunaweza kuishi bila wao si lazma kuiga tamaduni zao cc tna zetu ten nzur paka tunaonewa choyo na mataifa tofaut
Hongera sana Mh. Msambatavangu mbunge wa Iringa mjini kwa mchango wako uliosheheni upendo wa kutetea vizazi vyetu kutoka kwenye laana ya usodoma na ugomola " hakika bunge likikaa kimya juu ya uharibifu huu mkubwa MUNGU atainua mawe ndo yakemee uovu huu!" lakini wewe umemaliza kazi yako huna deni mbele za MUNGU na MUNGU wa mbingu na nchi akubariki kwa kuitetea kazi yake.
God bless you maa,hata wengine wakinyamaza kwakuwa umesema Mungu atalisimamia ulilosema and Tanzania will be exempted from this evil agenda in Jesus name
Mama alikuwa very emotional 😭 kweli hii ndio TZ ninayo ipenda jamani km pacha wa JPM hivi wala hapakuwa wa taharifa they let her talked hadi to the end na gift juu all of them imewagusa ila wengi wao niwaoga mno ila pia ukweli wanaujuwa
Mama mungu akulinde umeongea ukwel hii tz imekua kichaka cha maovu ya ndani kwa ndani,hata Arusha wanafuzi wamekutwa wakiwa hovyo wengi sana,chamuimu serikali iweke xheria Kali kwa atakae kamatwa.
Mbunge kaongea kwa hisia kali sana, sawa lakini imetokeo je mpaka hayo mambo ya ushoga nk yakaenea na kuota mizizi? Tutaongea sana lakini kama hayupo wakusema haya mambo yakome ni bure na haina maana yeyote ile. Dr. Mwakyembe kaongea na kutoa ushahidi jini ushoga ulivyoota mizizi hapa Tanzania laki imechkuliwa kawaida tu.
Dada aida hongera saana,lakini jukumu kubwa la kudhibiti mambo ya kijinga ya ndoa za jinsia moja Serikali ni chombo kikubwa ,serikal inaweza na inaweza kabisa