Тёмный
No video :(

Salamu za Mzee Makamba 

KKKT DKMS Online TV
Подписаться 6 тыс.
Просмотров 156 тыс.
50% 1

Salamu za Mzee Makamba kwenye Ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu na kuingizwa kazini kwa Dean, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju Mei 9,2021

Опубликовано:

 

10 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 78   
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
Mzee Makamba... Unafurahisha...unatakiwa Kuwa Comedy...hongera Sana....wakuongezee Dakika .your so good.
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 5 месяцев назад
Mwenyez mungu akubariki mh makamba
@simonmurithi534
@simonmurithi534 11 месяцев назад
Mungu akupe maisha marefu kuishi duniani ,,,, Mzee wa hekima
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 месяцев назад
HUYU MZEE MSHENXI SANAA.
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 6 месяцев назад
Yuko kidunia zaidi uyu mzee hajitambui.
@zachariagyunda201
@zachariagyunda201 2 года назад
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 Год назад
Mwenye busara sawasawa ataelewa, lakini mbumbumbu ataishia kufurahi na kupiga makofi Asanteni, Agayaaaaaaaaaa
@HousenAhmadi
@HousenAhmadi Месяц назад
Safi sana
@rogersndossi6612
@rogersndossi6612 2 года назад
Mzee Mungu akuongezee umri
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 6 месяцев назад
Babu yangu wewe mungu akuafu
@simonmurithi534
@simonmurithi534 11 месяцев назад
Happy happy Mzee wetu
@magesamatiku7506
@magesamatiku7506 6 месяцев назад
Yuda iskariote wa Tanzania. #WAZURI #HAWAFI@BONGE LA MNAFIKI
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 года назад
Mzee wetu Asante sana.. nikija Lushoto ntakuja nyumbani
@rexxsimba
@rexxsimba 2 месяца назад
Mheshimiwa Mzee Yusuf Makamba ( Gwiji Wa CCM ) hutoa hotuba Tamu saana .. !!!😂😂😂
@maikoandrew58
@maikoandrew58 2 года назад
Shikamoo Baba yetu makamba
@user-zb5qz6fk1v
@user-zb5qz6fk1v 11 месяцев назад
Ndo maana kkt wanaunga mkono uuzwaji wa bandari Hata kuisifia gavoment ni sawa
@makondorshimora5017
@makondorshimora5017 2 года назад
Na kweli......,
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 года назад
Mzee Makamba kiboko
@isaackiwelu1458
@isaackiwelu1458 3 года назад
Well said mzee Makamba, Mungu azidi kukubariki na kukujalia afya njema ili uwaone wana wa wana wa wana zako.
@shabanimbiaji
@shabanimbiaji 11 месяцев назад
SUBHHANALLAH... innalillah wainnailaih rajiun....kafiri hana kheri yeyote... acha kuwasifia maskofu mzee utaulizwa na ALLAH siku ya KIAMA nani amekufundisha kuwa ukirsto ni DINID 8:50
@andrewkissavah8272
@andrewkissavah8272 11 месяцев назад
Shabani,shabani,shabani kwanini unachuki za kidini hivo ivi ni Mungu gani huyo mwenye chuki hiyo huyo alla Mungu wenu hakika huyo nijoka la mdimu aujoka la kibisa hakika mungu wawaislamu ni mwenye chuki na watu wasiyo waislamuna mwenye chuki ni shetani hivyo dini ya kiislamu nishetanina kuzimu
@leonardmhagama5828
@leonardmhagama5828 5 месяцев назад
Unachukia nn tena wakati uko dini sahihi!? Wanatiana wengine unakojoa wewe, ok DINI sahihi ni uislamu,swali langu dogo tu "ni wazi kuwa kila muislamu ataonja pepo!? Na kila mkristo ataenda kuzimu!?"
@mackrinamgani854
@mackrinamgani854 2 года назад
Tutoe kodi nyinyi mle si ndio hiyo asali ni kodi zetu walai mungu atawalaan hela za wanyonge
@HassanSalim-hl8qs
@HassanSalim-hl8qs 11 месяцев назад
Huu ni msiba hili jitu bora ungekuwa mkristo
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq 3 месяца назад
Udini utakua kenge wewe
@HousenAhmadi
@HousenAhmadi Месяц назад
😂
@ally2nyiii318
@ally2nyiii318 3 года назад
Huyu mzee safiiii
@isayamshihili1123
@isayamshihili1123 2 года назад
God bless
@swalehkataga8352
@swalehkataga8352 2 года назад
Makamba bwana
@user-bj5ko9lh4k
@user-bj5ko9lh4k 5 месяцев назад
Makamba jembe
@issahajjiira5411
@issahajjiira5411 4 месяца назад
Hili babu lina dhihirisha kuwa Nafiki
@peterbangari4273
@peterbangari4273 11 месяцев назад
Huyu Mzee lazima awe chawa namba Moja Tanzania kwa sababu mtoto wake analamba asali ya kutosha sikia maneno yake ya shonmbo
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Год назад
Ole wao ma nabii wa uongo walitumialo jina la Bwana kutakatisha ulambaji wa asali kwa kuvamia madhehebu yasiyo wahusu na kuhutubu
@RobertNoman-bx5se
@RobertNoman-bx5se 6 месяцев назад
Mzee makamba alistahili kuwa mristo
@gospelguest694
@gospelguest694 5 месяцев назад
Mwanasiasa asiyebatizwa Wala kuokoka anawahubiri wachungaji nao wanainama mbele yake.
@KiswiririSwaliki
@KiswiririSwaliki 5 месяцев назад
Huyo si muislamu na hawezi kua muislamu tena asijiite muislamu
@comradeandrewsaul5459
@comradeandrewsaul5459 5 месяцев назад
Acha uvaguzi na kuhukumu Kwani vigezo vya kuiona pepo sio Dinii Bali ni matendo mema na Mungu ndio anajuwa yupi atainfua yupi haioni pepo njema
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 года назад
Uti ana tundu
@sesicasi1364
@sesicasi1364 11 месяцев назад
Lambeni tu, ila mwisho huo hapoooo!
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 11 месяцев назад
Mwanasiasa hafai hata mnacheka nchi inauzwa hongeleni
@sebajseba719
@sebajseba719 2 года назад
Mze una maneomazuzi mungu aku bariki
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
BArakoa ,,zipo Safi sana
@momatv2019
@momatv2019 2 года назад
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuun
@dyzoomgonja9892
@dyzoomgonja9892 2 года назад
mnafiki mkubwa ww
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 11 месяцев назад
@@dyzoomgonja9892 kivipi
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 года назад
Na kweli wamelamba asali mtoto wake ni waziri wa Nishati
@khamiskiondo6985
@khamiskiondo6985 2 года назад
Uwoooo ni msiba mkubwa
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
Kweli mtaramba sana
@helencyprian8745
@helencyprian8745 6 месяцев назад
Kabisa
@user-ub4pm6mo3y
@user-ub4pm6mo3y 6 месяцев назад
Huu ndio mfano wa waislamu wanaoingia madarakani sasa kwa hali hii kweli watakuwa na uchungu na madhila yanayowapata waislamu? Kutwa wanataka dini mseto
@mshangamafurahini5292
@mshangamafurahini5292 6 месяцев назад
😂😂mungu akusamehe makamba kwa Maneno yako
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq 3 месяца назад
Udini utakuua
@deohank5995
@deohank5995 2 года назад
Kwelii Nyuki ingia katika Mzinga wa Babu.
@user-vx3cj1bv4q
@user-vx3cj1bv4q 11 месяцев назад
Wewe umeshakula vingi bwana
@thomaskiponda9704
@thomaskiponda9704 3 года назад
Mzee ana maneno matam sana.
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 11 месяцев назад
Huyu aliyesema watu wema hawafi tutaona hata baada ya miaka kadhaa
@thomaskiponda9704
@thomaskiponda9704 3 года назад
Utatamani kumsikiliza.
@elishavicentmhina3545
@elishavicentmhina3545 3 года назад
Kweli ukubwa dawa
@fridamsemo9523
@fridamsemo9523 11 месяцев назад
,😂😂Mzee huy ana mafumbo
@issahajjiira5411
@issahajjiira5411 4 месяца назад
Kafiri mkubwa
@user-zp4uc5jo9t
@user-zp4uc5jo9t 11 месяцев назад
Alisema wazuli awafi, inamana baba wataifa alikufa alikuwa mbaya, wewe mzee unakufaulu
@raphaelmchilo-kx4tt
@raphaelmchilo-kx4tt Год назад
Nyie mmemkaribisha huyo mzee mhuni huyo mfukuzeni harakasana
@christinammassy1550
@christinammassy1550 2 года назад
Mzee anafanana na mama Maria Nyerere 🤔
@raymondkipipi516
@raymondkipipi516 2 года назад
😂😂 Christina duu umenivunja mbavu
@babaluxe8626
@babaluxe8626 2 года назад
Hhhh kafanana pia na, kiongozi wa upinzani, wa msumbiji, afono jakama.
@raymondkipipi516
@raymondkipipi516 2 года назад
@@babaluxe8626 😂😂😂🤦🤦
@ChristerShao
@ChristerShao 6 месяцев назад
Mmmmmm na mkumbuka mzee huyu akiwa RC Kigoma.Waliotikiswa na Mzee Yusuf Makamba tujuane.
@anthonypatrice5247
@anthonypatrice5247 11 месяцев назад
Mnafik mkubwaaa
@raulianraphael6853
@raulianraphael6853 2 года назад
Ujanja wote huo ye na mwanae wameshindwa kuleta maendeleo jimboni kwao bumbuli
@katherinasamwel3937
@katherinasamwel3937 3 года назад
😂😂😂😂
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 6 месяцев назад
Yuko ki dunia zaidi uyu mzee hajitambui
@sashawambura
@sashawambura 6 месяцев назад
Hekima kubwa
@bonabonala5559
@bonabonala5559 11 месяцев назад
mnamkaribisha nyoka ndani huyo msariti mpaka yesu anajua huyo mnafiki kabisa pesa ya bandari inamsumbua amekura mgao huyo inamtafuna bandari
@allythabiti8150
@allythabiti8150 5 месяцев назад
ila nyie watu bhn😂😂😂, chuki tu
Далее