Yani yanga wanasajili Kwa mihemko hapo wanaona kumsajiri chama wamewakomoa Simba ovyo huoni okira mkude hamna kitu Yani mchezaji akitoka Simba yanga haendi kufanya vizuri
Ashangilie ,,ila siyo bora kuliko AZIZI KI.Feisali wako hawezi kumfikia AZIZI kidogo,,,, Ukitaka kujua Feisal yuko weak mkute kwenye timu ya Taifa au Klab yake inapocheza michezo ya kimataifa. Feisal ni wa kawaida
Kuna watu wanass sti Feidal kwa kutoka Ysnga amepoteza. Nasema BIG NO. Feisal kea mtazamo wangu amefanikiwa 1. Amesajiliwa Azam kwa Signing fee kubwa na mshahsra mkubwa! 2. Kiwango chake hakijatetereka hata kidogo tena kwa mtazamo wangu kimeongezeka. 3. Timu anayochezea sasa yaani Azam ime qualify kushiriki CAF Club Championship 4. Amekuwa mfungaji bora namba mbili
Mashindano ya kimataifa Simba ilikua inashinda si tu kiwanjani Bali ilikua inafanya figisu nyingi sana nje ya uwanja... Wewe Saleh unalijua hilo, ujanja ujanja mwingi .
Kwa Africa hakuna team inayofikia malengo wa uwezo wake figisu imekuwa kama sheria ndio maana kuna kijimsemo kila mtu ashinde kwake nadhani hata msimu uliomalizika tumeshuhudia yanga akidhurumiwa goli la wazi dhidi ya mamelodi na hakukuchukuliwa maamuzi yoyote yale hata yanga wenyewe wanalijua hilo ndio maana walipiga kimya wanasubiri kama siku wakikutana nao kama kisasi ndio kilipwe boy