Mlimbwende wa video na muigizaji wa filamu, Sapna Filoz anazungumza jinsi ambavyo amesalitiwa na mpenzi wake, mwandishi na muimbaji wa Bongo Flava, Jay Melody..
Ngoja sikia hii ya ruby "nikisema nitakufaa kisa mapenz mungu nitamkosea maana labda nina ufa ila kuna mwenzangu nyumba inamdondokea me najuwaa sina thaman kwako utanikumbukaa nishatenda weema me nakwenda zangu utanikumbukaa pole sana moyo wee mwaya ee najuwa amekumiza ila yupo mungu huyu baba ee najua atalipiza uuuuuuuuuuuh💃🏻💃🏻
@@abuumchina3625 yani wanaume lati kama mgejua maumivu tunayoyapata msingetusaliti kabisa yani naongea kwa hisia naumia yamenikuta na laiti ningekuwa mchawi mgenikoma nyie kila siku hatuna laha
Umeongea dear huwa tunajitolea mhanga kwa wapenzi wetu utavumilia mpaka unachoka, na mwanamke akisema basi ni basi, maa Shaa Allah mzuri hodari wa kutafuta utapata alie bora kwako omba dua utafanikiwa tuu.
We achata tu mm nilijitolea kumsaidia mwanaume lkn alivyo kuwa mzuri n amaisha mazuri gafla akanionyesha madharau mara ajibu text zngu akiniona online yy yuatoka online mwisho wa cku nikaamua kunyamaza na mm basi ikaishia ivyo
Da unaongea kwa uchungu ila bora ungelia ukapunguza machungu jmn hawo ndo wanaume wa dar alipata bahati ambayo hatokuja kuipata ipo siku atakukumbuka tuh
Kwelii kabisaaa ukilia ata sumu ya maumivuu moyoni yanatowekaa... Ndoo maana ata msibanii Kama mtu analia wanamwacha aliyee kwanzaa ili Nyongo yakee itumbukee kabisaa... 😤😤
Yalio kutokea dd hata mm yalishawai kunitokea mijimwanaume hii ya tanzania inalaana sana yan bora ukalibebe hata libabu la kitaliano .. Ulibebembeleze tu kuliko hawa wakina juma lokole wa bongo wa pumbavu sana
Atajuta kwa tamaa zake,bahati haiji Mara mbili.Mwanamke gani siku hizi eti anatunza mwanaume 😁😁😁Yaani kama mwanao!!!!! Aiseee habahatiki tena,ila nawe ukome unamleaje mwanaume kama umemzaa khaaa!!!! Unasaidia jitu lisilojielewa na halina shukran,hela halina,mtoto umempatia,kumtunza unamtunza khaaa 😁😁😁
Pole sana dada piga moyo konde jifunze kulingana na makosa ya kufuga mwanaume ndani siku nyingingine usirudie tena kufuga mwanaume ufanye mwisho mimi binafsi siwezi fuga mwanaume bola nikae peke yangu sitaki kuumizwa
Hata kama hukupaswa kuyaweka kwenye mitandao ooh nimemtoa kwao namlisha na mvisha madamu ushampoteza hakuna mwanaume anae penda kuzalilishwa umefanya yote kwa ajili ya mapenzi ungeacha to mungu angekulipi hujafanya vizur kwakweli
Kiukweli wanaume wachache wenye shukulani .kiukweli hata mimi yamenikuta haya. Pole mpenzi umenigusa sana naimeniuma sana kwasababu na mimi ni muhanga wa haya.muombe mungu atakupa mwingine zaidi ya huyo
Aah nimejitolea kwake kwa kiasi nilivyogundua hii ishu asaivi anajielezea tuu na mkaushia akienda nitaumiaa kidogo sanaa sanaa mungu anipe moyo wa ushindi maana hawa wanaumee baadhi hakii siyo watu wazuri
Umenifunza kwakweli manake hata mm nalipa mpaka kodii kwa beby wangu nimapenzi tu ila na yeye ni hadsome naona atanisaliti yani huu mwezi anajilipia wallah😌😌simtakii😆😆😆😆😆najitoa kabla sijaadhirika na usaliti
Pole Santa nadhani wakati was kwenda ulipotea njia ila wakati was kurudi njia uwezi kuipotea ila wema ihsan na fadhila ulizomtendea malipo ni hapahapa duniani .mwache aende mwanza akijikuta Uganda ndiyo ataimba sauti ya kukazana
Mapenzi ni Kama duala ukiangalia pande zote Kuna makosa wapo wanaume wanaosomesha wanawake na baadae wanaachwa imepelekea wanaume saiv kutomsomesha mwanamke na ivyo ndivyo wanawake walivyo ukimpenda mwanaume akakuumiza uamini tena ivyo jinsia zote zina mapungufu
sns hebu wapatinisheni hawa watu da gurl anaonekana still anampenda na Jay anaonekana kajifunza and anahitaj kuomba msamaha ...nobody is perfect jamaan ...forgive n forget ..na nyie wanaume basi badilikeni thou najua sio wooote😢😢
Yaani najikuta kuumia sana aah kwann hasaa imekuwa niupande wa wanaume 2 much, lamsingi kumsaidia mpenzi haki bora ukatoe sadaka kwa watoto yatima kuna faida ya kesho akhera, haya pia nimeyaoana kwangu nimejaribu kumsaidia mtu mpka familia yake nilivyongundua tuu tofauti asaivi tuu nakausha namsikiliza tuu nakausha tena kwahapa nazidi kujifunza