Тёмный
No video :(

SHAMBANI | Rais mstaafu Mwinyi na shamba la mfano la Korosho 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Rais mstaafu , Ali Hassan Mwinyi ameendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa wakulima wengi hapa nchini ni baada ya mafanikio yake katika mazao mengine, sasa amepiga hatua katika shamba lake jipya la korosho lililopo huko Mkuranga mkoani Pwani.

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 24   
@noru9028
@noru9028 2 года назад
Mashallah Babu 97 na bado ana nguvu zake💕❤️mh mwiny Allah akufkishe adi 100 insha'Allah 🤲
@abdulyamiri3546
@abdulyamiri3546 2 года назад
mbon umewek kikoma jmn
@mohdnasser894
@mohdnasser894 Год назад
Hapo utagundua wala nguruwe kwa wingi lazima wafe mapema kwa mfano tu marais wa kikristo wote walikwisha ila hao wasiokula nguruwe wako
@mwaiphamkuruto1087
@mwaiphamkuruto1087 2 года назад
Allah Amjalie umri mrefu afya njema amhifadhi
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 2 года назад
Maashallah Mzee RUKSA, ALLAH AKUPE AFYA NJEMA UENDELEE KUWA MFANO WA VIONGOZI WENGINE
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 2 года назад
Hongera Mhe. Ali Hassan Mwinyi kwa kuoneaha mfano kwa jamii licha ya kwamba angeweza kutulia nyumbani.
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
Kwa kwel
@stevenhassan269
@stevenhassan269 2 года назад
Nampenda sana babu yangu huyu mwenyezi mungu amjaalie umri mrefu zaidi
@jumanzumbi1215
@jumanzumbi1215 2 года назад
Hongera mheshimiwa.pamoja na kuwa una kila kitu bado unalima.safi sana.unaonyesha njia
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 2 года назад
Hongera sana Mzee wetu! Ahsante sana!
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
Kaz nzur
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 Год назад
Mungu akubariki amina.
@kwisa4899
@kwisa4899 2 года назад
Money can do anything in Africa leaders,huu labda uwe mfano kwa corrupt leaders..
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Год назад
Uko sahihi mzee wengine tunalimia njaa wewe kwako ni burudani
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 4 месяца назад
Hapo ndipo alipozaliwa
@sembuakimbosho3319
@sembuakimbosho3319 2 года назад
Utafanya hivyo bila mtaji
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 2 года назад
Nampenda sana
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 года назад
Manshallah
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 2 года назад
Mzee Ambaye Ni Mfano Wa Kuigwa Kwa Wazee Wengi Nchin Tanzania Na Ni Mfano Bora Sana Kwa Nchi Yetu Ya Tanzania Aswa Kwa Sisi Vijana Wa Taifa Ili Hongera Sana Mzee Ally Hassan Mwinyi🙏
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
Kabisa had nmetaman
@karimjuma4019
@karimjuma4019 2 года назад
Sawa lkn uyu ana pesa ilo zao gharama zake sio poa ekali 40 ziskie tu watu kuusu huduma weeeeeee
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 2 года назад
@@karimjuma4019 Ni Kujipanga Tu Sio Lazma Uwe Na Hekali40 Japo 5 Au 10
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 года назад
Baba miaka miwili iliyopita ulivuna? Au?
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
Homgera sana baba yetu 😘😘😘
Далее
Mkasi - SO6E04 with Mh A.Mwinyi
29:31
Просмотров 20 тыс.
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 4,8 млн