Unaweza akawa mshia na akawa na hofu ya mungu na akapambania dini yake na unaweza ukawa msuni ukawa huna hofu ya mungu ukawa mnafiki usiweza hata kuipambania dini ya mungu kma tunavyowaona baadhi yao madhehebu sio sababu hizo ni tabia za mtu binafsi
Sina Elimu kubwa ya dini ila ALLAH ndie anajua zaidi. Lakini hao mnawanyooshea vidole ndo wanaopambana na madhalimu wa magharibi. Kuhakikisha waisilamu hawadhulumiwi.
Mashia elimu Yao kubwa wanaifata elimu ya mtume an imam ali na ndie mtume mwenyew kwa dhahir kuwa Mimi n jiji la elimu na ali n mlango wake na anayetaka elimu na apite mlangon mwake wewe unaejifnya msomi elimu yako unaitoa kwa kiongoz yupi ambae mtume aliyemtaja kam anaelimu?
Unafiki mwngi saiv umepandkizwa kwenye din nyie mnajfnya mnawatetea masuni viongoz wenu wanawafaa nn watu wa Palestine zaid kula bata 😂 sis tupo zetu iran watu safi unafiki c hatuna
je kama ktk vitabu vya masuni imeandika kuwa MAMA AISHA ALIRIPOTIWA KUWA KUNA SURA NZIMA INAITWA SURATUL RAJM ILILILIWA NA MBUZI NA MPAKA LEO HAIJAONEKANA...JE MASUNI SIYO WAISLAMU KWA SWALA HILO
@@KoleYasini wewe unesoma, jibu swali basi?au na wewe juha tuu unaficha ujuha wako kwa kuniambia nikasome?nimeshasoma nimekuta hiyo hadithi,nifafanulie sasa msomi wetu?
vitabu vya kisuni vinavyonukuu kuran kupungua ni hivi hapa 1. Sunan Ibne Majah, Volume 2, Page 39, Published Karachi. 2. Musnad Imam Ahmad, Volume 6, Page 269, Published Beirut. 3. Taweel Mukhtalif Al hadees, Page 310, Published Beirut
@@hamisimkoma7380 ukafiri wao ni nini au waropokwa tuuh unamjjuwa kafiri ni mtu wa aina gani ww au unatoa hukumu waropoka tuuh hujui haya maneno utakwenda kujibia mbele ya allah ukiambiwa thibitisha ukafiri wao ni nini utasemaje
Wote ni waisilamu haya mengine ni maneno tu. Mapungufu km binaadamu ni lazima. Leo hii saudia wana ligi ya mpira wana mamiss. Wanafukwe watu kukaa uchi gonna linauzwa umo. So hii ni dunia tu
Wacheni upuuzi wa madhehebu. Kulikuwa na Ahli Sunna, Shia, Ibadhi wakati wa mtume? Nyinyi ahli sunna muko makundi mane. Kubalianeni muwe kundi moja tu. Sasa katika nyinyi makundi mane lipi hilo litaingia peponi? Hao ahlu sunna wengine muna itiqadi kwa makapu hazina faida hata mtu unastaajabu, tele yamo katika vitabu vyenu. Wacheni hayo. Alokuwa sahih au si sahihi ni kazi ya Allah pekee.
@Sharifuhabiby maibadhi hawawatukani maswahaba kielim Lakin kwa masuni ni kuwatukana,masuni ukisema Kuna baadhi ya maswahaba walikua walevi umewatukana,ukisema Kuna maswahaba walipenda sana Dunia,mali,madaraka umewatukana Sasa inakua mtihani kidogo,halafu kua na adabu unaporeply Sawa eehh punguza mihemuko uwe unatumia akili zaid feelings ok
@@Sharifuhabiby muogope Allah ushawahi kusikia muibadhi akatukana swahaba yoyote yule? Wewe ni Wahabi hamsomi mnasikiliza masheikh zenu tu na hata mkisoma mnasoma vitabu vyenu tu utaijuaje Haki kwa njia hio?
Al Imam Mahdi Ajalallah Taallah Faraja Wa Sharrif yupo kwenye kheibat kama Nabii Issa ibn Mariam Allah ndie anajua watarudi wote siokama ulivyosema kwamba yupo Pangoni rejelea vitabu vizuri kama Najul Balagh kwenye Kheibat ya Al Imam Mahdi utapata elimu kubwa sana na utaweza kufafanua vizuri sio pangoni hakuna mashia wanasema hivyo
Mawahabi wametumwa wao wanaunga mkono makafiri tu waislam wenzao wanawapga vita peleleza nchi zote za Mawahabi kuanzia Suudia na kuendelea hawa ndio aliowatabiri Mtume s.a.w mwisho wa Dunia watakuja mjue Dunia ishaisha
Kweli maneno yako mtu hana dalili wala ushahidi wowote huropokwa tu hana Alifu wala bee dini yenyewe kaingia Kwa kusilimu halafu halafu yeye ndio wa mwanzo kuwaita watu makafiri na kuwaingiza watu motoni wakati hukmu ni ya mungu Mie nataka mashekh wanijibu hili swali langu Je Mtume Mohammed alikua dhehebu gani ? Kama yeye ni muongozo wetu tujue yeye alikua ni dhehebu gani afuatwe
Soma Dini yako Acha kusubiri Mtu aje kukuwekea sawa Dini yako Soma Dini yako kwa maana ya kusoma...penda kuufungua moyo wako katika kukubali haki kwa Mtu mwengine.
@@Jumaupnda tafuta ilmu arafu muombe mungu akuongoze katika njia ya sawa mwambie mwenyezi mungu katika uislamu naona kuna makundi mengi naomba umuongoze katika njia ya sawa kikundi lipi katika hakki uniweke na wao na ufungue moyo wangu kukubali hakki Allah atakuongoza maana kashasema hawaongozi watu wasotaka kuongoka ukiomba duwa hiyo na ww ufungue kifua chako Allah atakuongoza maana makundi ni mengi kweli na mtume katika hadithi yake ametabili kuzuka kwa makundi mengi katika umati wake na yote yattaenda motoni isipokuwa kundi moja tuuh hilo litaongoka na moto sasa usipofanya juhudi ndugu ukarizika tuuh huwezi kuongoka leo kila kundi kila watu wana nadi uislamu mtihani kujuwa hakki ilipo
Hao ahli sunna walikuweko wakati wa mtume? Quran imetuita sisi waislamu sio Shia au ahli sunna au nani wala nani. Nyinyi Ahli sunna mumejigawa katika madhehebu mane, kwanza kubalieni muwe kundi moja tu maana huko akhera hadithi imrkuja kundi moja ndio la peponi. Sasa nyie muko makurdi manne Shafi, Hanbali, Maaliki na Hanafi. Basi kwanza jiekeni muwe kitu kimoja mana mtume saw kafa hakuna hata dhehebu moja. Siasa ndio yameleta yote haya. Kwa hiyo musiingilie dhehebu nyengine kabla nyinyi kuwa na dhehebu moja nalo ni Muislamu. Jitizameni kwenye kioo kwanza. Ibadhi haimfati Abdallah bin Abadhi. Ibadhi inafata dalili tu itoke wapi popote.
Huyu Shekh kichaaaaaa ikiwa Imam Jaffer Sadiq amekataa kumtukana Abubakar na huyo ni Kiongozi yaani Imamu wa Sita Şaş’a Shia gani anayethubutu kuwatukana kina Abubakar ???? ACHENI UONGO Shekh MUONGO HUYOOOOOO
@@taurehassan7399 umehamishia hoja kuwa ni mtu bianfsi...hioja ni kuwa maswahaba ni vipimo vya uislamu sahihi wa mtu,je kusema madhambi yao ni kosa au tusi?
@@hamynas nimkupa dalili Ila kw ziada ni kwmba kusoma makosa waloyafnya c dhambi lkn ukawa ww kazi yko ni kuwasema maswahaba vbya tu mema waloyafnya hta huyataji Hilo ni kosa kw7bu Allah maswahaba amewasamehe lkn kuwasema watu wa kawaida km vile ndgu zko au wazazi wko ukawasema vbya unawsengnya lkn pia unawaongezea adhabu kw Allah,km hujanielewa niulize plz
Hujui na hawoo ibadhi wanaituhumu quruani ni kiumbe nyote vipofu tuuh hakuna ujualo au mkijuwa mnaficha kulingana na maslahi yenu wao wanatukana swahaba pia na huoni aibu kudanganya vijana hao
@@ahmedbadi5822 mashekh zetu waniongelea hayoo so kila siku wanatumbua uozo wa mashia na maibadhi Sasa Hawa wazee wa matumbo mbele vilemba vikubwaa wanaficha ukweli lengo watu waone kitu kimoja hakuna umoja wa namna hiyoo kwani ukisema ni makafiri kuna nini wamemtukana mama aysha kumsema ni mzinufu inama wamepinga Allah alipoteremsha Aya ya kumtakasa na uchafu walomzulia lakini hii Hawa jamaa wamemtukana mpk leo, arafu wanasema omari ni shoga, wanasema pia abubakari kafiri na ndugu zao ibazi wamekanusha mengi pia unaporemba remba kutaja makosa yao kuna nini utakufa nao hawoo au watakuzulu Nini mmewageuza vipenzi wenu hawoo na kuwashambulia masalafi mnaowaita mawahabi mkawaona ni adui kwenu kuliko hiyo mishia
Duniani Kuna khaaliq na makhluq Muumba na viumbe waliokuwa sio Muumba basi ni viumbe ALLAH peke yake ni Muumba waliobaki wote ni viumbe hio kufuru iko wapi hapo? mnasema maneno ya Allah ndio na Ibadhi Wanasema hivyohivyo tofauti wao Ibadhi Wanasema ALLAH kayaumba, Mawahabi wanasema hajayaumba tafakari chukuwa hatua