Kishki nae Ana fanya Radd, Tena kwa mwislamu mwenzake? Kwanini asinge muhusia kwa hekma na busara? Akamfata private, duh! Anamwita mjinga, hajielewi? ..... Itakua kamuotea mjinga mwenzake. Kishki yeye akijibiwa ujinga wake anavo haribu katika dini wafuasi wake na yeye mwenyew wanasema masalafy Wana mwonea husda. Nlichogundua anawaogopa masalafy kuwajibu anakua Hana hoja za kielmu
@@abdullahmsuya665 sheikh kishki ALLAH amuhifadhi mawaidha yake ananufaisha watu hana tym ya ku radd wenzake wanaotafuta sifa yakumkashifu yeye wapate umaarufu vipi tumchukiye na sheikh kishki anajitahidi kufuata SUNNA ya mtume SALLALLAAHU ALEYHI WASALLAM wale waliyo na wivu na hasad na chuki na kueneza fitina watakufa na chuki zao omba hii dua sana EWE MOLA WETU TUSAMEHE SISI NA WALE NDUGU ZETU WALIYOTANGULIYA MBELE YA HAKI. NA WALA USITUJAALIYE NYOYO ZETU ZIWE NA CHUKI ZA KUWACHUKIYA WALIYO AMINI
Sheikhe wetu tupo pamoja 🤝kwahilo atakaemshusha Mtume wetu hadhi yake ambiwe kweli tunahaki hata yakumshitakia Mungu na Mungu atamuhukumu kwa hukmu zake
Assalam aleykum sheikh pokea salamu zangu InshaAllah kutoka daula ya qatar. WALLAHI sheikh kwa maneno yako nimebubujikwa na machozi, InshaAllah ALLAH atupe husnul khatima na atuongoze. امين يارب
Subhanallah Mungu akuhifadhi sheikh kishk sisi pia imetuuma sana.mjinga ni yey huyo mpumbavu aachane na mtume wetu S.A.W Kwan ilikuaje mpaka wamtaje bungeni msiba kwel
Asante shukrani sana shrikhe wetu kwakujitolea na kumtetea Mtume wetu kipenzi chetu Muhammadi s.a.w Allah akulipe kheri nyingi sana sheikhe wetu kishik Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kutuelimisha jamii umma waumini ulimwengu mzima
Shukran. Shekh Kishk Allah akulinde. Nimetiwa moyo sana kuona, kwa kutumia nafasi uliyonayo, umeinuka na kumjibu yule mzee mjinga wa Baraza la Wawakilishi aliye mdhalilisha kipenzi chetu Mtume Muhammad (saaw). La kusikitisha ni kuwa sijamsikia hata Sheikh mmoja Zanzibar, kulikotokea kadhia hii, aliye simama na kuutia angalau neno dhidi ya yule jahil. Masalafi ndio kabisa kimya wao bado wanazozana juu ya kutikisha kidole inafaa au la, wakati wale madhalimu kule wanamkashifu Mtume wetu pamoja na kuwalipa pesa zetu kupitia kodi wanafanya upiuuzi huu ndani ya Baraza
Mwenyez Mungu amsamehe madhambi yake na ajalie awe ni mwenye kutubia wallah nimeumia kias kikubwa na km angekuwa dini nyingine ningesema uenda katumwa lkn ss huyu ni kiki tu za kidunia na sifa ndyo zimemfanya aseme maneno hake yasiyo nakichwa Asante sn sheikh kishki Allah akujalie umri mref na afya njema na akulipe kila lakher
Ni kweli kabisa unachokisema shekhe kishki Allah atazidi kumuhifadhi mtume Muhammad (saw) pamoja na dini yetu insha'Allah na Sisi Allah atulinde na ndimi zetu
Sheikh mm binafsi nakupenda kwa ajili ya Allah. Nakupenda kwa kusema ukweli wazi wazi bila kuficha wala kuogopa binadamu. You're our sheikh, Prophet Muhammad Sallalahu Alayhi Wassalam is Our teacher...Allah Akujazie jazaa kwa kutetea dini ya Allah na Mtume wake...Nakuombea umri mrefu uendelee kusema haki mbele ya Allah. Nakupenda na Allah Akupende zaidi..hii mada ilifanya nikalia walahi...
Mashaallah mashaallah shekhe mwenyezmung akujalie kheri hapa duniani na akhera pia tuko pamoja shekhe wangu nakupenda kwajili ya Allah na mtume wetu Muhammad S.a.w.
Shekhe Kishki Allah akupe ujasili na hakulinde inshaAllah. Mamufti wetu wamekuwa waoga!!! Wanashindwa kutetea Uislam,Mtume na hata sisi Waislam kwa maslah duni ya hii Dunia. Allah hawaangamize wanafik ktk Dini yetu wanaojiita Waislam hali ya kuwa wanatudhihaki Waislam pamoja na Mtume wetu Muhammad (SAW) Taqabal ya Mannan iwe kun fayaqun Amin
subhana Allah tuko pamoja in sha Allah wangejitokeza kama ww kenya dini yetu .tu ngefunguliwa msikiti mwezi mtukufu wa ramadhani.mola akuhifadhi in sha Allah
Allah akulipe kila la kher Sheikh Wetu Nasi waislam sote ni wajibu wetu kumtetea Allah na Dini yake pamoja na Mtume wake kwa hali na mali na kwa nguvu zetu zote ili Heshima iendelee kupatikana kwa Allah Subhanahuu wataala
Tunashkuru sana sheikh wetu kwa kutuwakilisha ktk kusema na kukemea ALLAH akulinde na akuhifadhi na akuongoze ktk kheri na akuepushe na shari wewe pamoja na sisi
Hongera sheihk Kishk kwa kumtetea kipenzi chetu Mtume Muhammad swalallahu alaihi wasal'lam. Allah subhanahu wataala akulinde na husda na shari zote. Tunakupenda kwa hilo tu sheikh wetu. Tupo pamoja kwa ajili ya Allah na kwa niaba ya Mtume wetu na Dini yetu. INSHAA ALLAH.
Ameogopa waislamu waliomzunguka lakini hajamuogopa Allah لَأَنتُمۡ أَشَدُّ رَهۡبَةٗ فِي صُدُورِهِم مِّنَ ٱللَّهِۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمۡ قَوۡمٞ لَّا يَفۡقَهُونَ (Ali Muhsin Al-Barwani) Hakika nyinyi ni kitisho zaidi katika vifua vyao kuliko Mwenyezi Mungu. Hayo ni kwa kuwa hao ni watu wasio fahamu kitu. -Sura Al-Hashr, Ayah 13
Tunakupenda sana sheikh wetu nurdin kishk Allah azidi kukupa siha na afya njema na kuendelea kuitangaza dini ya Allah ewe kipenzi cha Allah nurdin kishki usichoke kuwakemea hao wanaoichezea dini takatifu kwani sauti yako inafika mbali mm nazidi kukuombea dua in shaa Allah Allah akupambe na uchamungu hapa dunian na kesho akhera
Sheikh wetu. Ahsante sana kwa msimamo thabit juu ya Dini yetu. Naomba tumuombee Waziri Said Soud. Allah amhidi. Tujitahidi tusimlani moja kwa moja Ataangamia huyu baba wa watoto wengi na wajukuu.
Allah akuhifadhi Shekh Kishki na shari zao in shaa Allah kwa uwezo wa Allah na mtume wetu mpenzi wetu hakitokufika chochote kutokana na shari zao hao ni watu wanafiq sana bora raisi Makufuli anaiheshimu dini yetu
Allah akuhifadhi na tukutane kesho peponi InshaAllah, hakika nakunga mkono shk wangu yyte atakae mkejeli habibullah,na Allah wadhalilike hapa dunia ni na kesho akhera kama kweli huyo waziri anajitambua hakika amrudie mola wake kwa kutuba twabatul nasuha!!
Nampa bishara njema sheikh Nurdiin allah akukubali... ila inasikitisha sanna masheikh zanzibar wamenyamaza kimya ila wewe allah kakupa taufiq kumtetea mtume s.a.w na kuonesha hisia zako mbele ya mola mie naungana na wewe allah akulipe kheyr na barka
Mashaallah mungu akuzidishie kila baya wanaokosea binadamu na uwarekebishe na akupe umri mrefu kuwaambia ukweli wabaya wetu..nimejifunza .mungu atupe maisha mema yenye mafanikio...Ameen
Mungu wetu mlezi wewe unatujua kuliko tunavo jijua hakika mioyo yetu inauma sana pale ambapo mtu anapo mtukana kipenzi chetu mfano wetu kiigizo chema sisi tunakuachia wewe ndio mwenye kujua maumivu yetu sheh wetu kisk tunakushukuru kwakutujuza haya mungu akupe maisha marefu sisi na wewe pia kwaajili ya kulingania uislam wetu dini yetu yahaki .
Allah amlipe hapahapa duniani waziri huyo kwa kumzalilisha kipenzi cha Allah , sheikhe Nurudini kishiki tuko pamoja na tunakuunga mkono kwa ajili ya kutetea haki na kila mpenzi wa mtume Muhammad s.a.w.alikemee hili
A.a sheikh nurdin kishki. hicho kizee kibunge uislamu wake naona uko mashakani kwa maneno yake ya kumdharau MTUME MUHAMMAD (S.A.W). na nasema hivi hicho kizee kina bahati sana kwa kua sisi si raia wa zanzibar au tanzania, lau sisi ingekua ni raia huko, hicho kizee na mfano wake na wabunge wote wa huko wangekua kama wa huku kwetu (mombasa, kenya). wabunge kenya wanafahamu waislamu wa huku tulivyo. wa kwetu hawathubutu kumfanyia dhihaka MTUME MUHAMMAD sababu wanajua jeshi la kumtetea MTUME MUHAMMAD huku liko. Sheikh hishma ya MTUME MUHAMMAD ina thamani kuliko hata maisha yetu. Matukio mengi ya kuchafuliwa kwa dini yetu MTUME wetu QUR'AN yetu yanatokea huko kwenu, wallahi twatamani lau na sisi tungekua raia huko basi bi'idhni-llaah kusingekua na uchafuzi kwa dini yetu. Jaribuni hata kumtishia maisha iwapo hamuwezi kumshughulikia ipasavyo ili tu ajue MTUME MUHAMMAD si mtu wa kuchezewa. Sheikh twaomba kama kuna uwezekano na mpango wa sisi kuwa raia wa zanzibar au tanzania twaomba mutujulishe tuje tuishi na nyinyi huko kisha iwapo kutatokea matukio kama haya tuweni pamoja katika kuinusuru dini yetu INSHA'ALLAAH. shukran AL-IZZATU LILLAAHI WALIRASUULIHI WALIL-MU'UMINIIN. we Muslims we have to be strong and defend our prophet and our religion 💪💪🤲.
MashaALLAH SHEKHE KISHK UKO vuzur kututuetea dini yetu na pia .Uyo mzee ata icho kisa naona hakijui uzuri maana mtume alipoabiwa IQRAA hakubanwa roho bali amebanwa mbavu
Watu wa Camera mkizungusha camera hawa ndugu zetu waliokosa neema ya kusikia watatambuaje kilichoongewa wakati wa kuzungusha camera? Nashauri mtafute namna wakati mnazungusha camera mumbakishe huyo mtarjumi awe anaonekana upande wa pembeni kama zilivyo kwenye taarifa ya habari. Hongereni kwa kazi nzuri.
Subhanallwah allwah ampe imani na hayaa aombe msamaha jwa allwah ama sivyo chamoto atakiona ss ni wadogo sana chini ya mtume wetu mohamad sallalwah alyh wassalaam
Allah akulipe kheri Sheik Kishki.Mimi naungana na wewe ktk kukemea suala hili la dharau kwa kipenzi chetu bwana mtume Muhammad (s.a.w),na kuwa huyo mzee anatakiwa aombe toba kwa kosa alilolifanya