Тёмный

Sheikh Walid Na Dada Poa Alivyokuwa Anampeleka Kwenda Kujiuza Msasani Kipindi Akiwa Dereva Taxi 

QIBLATEIN ONLINE
Подписаться 49 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RU-vid @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Опубликовано:

 

17 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 104   
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 3 дня назад
Aaah shekh Walid wallah huwezi choka msikiliza Allah amjaze kheri ampe umri mrefu wenye manufaa
@solomonOsam-d1t
@solomonOsam-d1t 2 дня назад
Kweli
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 2 дня назад
Hakika umesema kweli
@IBNQAASIMLUKANDAH
@IBNQAASIMLUKANDAH 13 часов назад
Aaaamin yaa rabb
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 4 часа назад
​@@solomonOsam-d1tkweli
@daudkindy5807
@daudkindy5807 4 дня назад
Shekhe nakupenda kwaajili Allah
@HassanSaid-e1w
@HassanSaid-e1w 3 дня назад
Mashallah mm nakukubali sana insh uwe adii mufti ww waukweli
@SaumuMusa-mw7kl
@SaumuMusa-mw7kl 2 дня назад
Shekhe Waalid Nakuoenda mno kwa ajili ya Allah mno
@casem8048
@casem8048 20 часов назад
Naam
@SalumShambe-bg5mv
@SalumShambe-bg5mv 4 дня назад
Allah akupe maisha marefu Insh allah
@IDDYHussein-fe7dn
@IDDYHussein-fe7dn 3 дня назад
Tulichelewa kwakweli kumpa iyo nafasi ..wllh
@abubakarmustwafa-lg8fe
@abubakarmustwafa-lg8fe 3 дня назад
Ukiwa na Ilmu,ukakosa Maarifa,unazuka kuwa Jahil kikamilifu...Mungu akupambe kwa Shani yake,akupe mahitaji ya Moyo wako Duniani na kesho Akhera Sheikh Walid.Hii ndo ile anayoisema Allah"Fafaahamnaha Suleimana wa kulan aatainahu Hukman wa Ilman"......🙏🙏🙏Hii ndo sifa ya kiongozi,Mfano wa uongozi na ukweli wa moyo katika mazingatio
@abcmnbb2610
@abcmnbb2610 День назад
Mashaallah tabarakaah ❤ Shukran Sheikh wetu Napendaga mawaiza yako Mungu akupe pepo inshaallah ❤
@KrusainHabibu
@KrusainHabibu 3 дня назад
Allah akujaze khery na hidaya, InshaAllah
@ElisavanKamau
@ElisavanKamau 3 дня назад
MashaAllah.
@abubakarismail869
@abubakarismail869 3 дня назад
Shekh ana madini mengi sana MashaAllah.🙏🙏
@ASITUMTIWE
@ASITUMTIWE День назад
Mashaallaah.allaah akupe umri.mrefu.ishaallaah
@rajabhassan6966
@rajabhassan6966 4 дня назад
Mashaallah
@shufaahmmmohamed1833
@shufaahmmmohamed1833 День назад
Ukiwaona wasio na ndoa pia shekh uwashar ❤
@abdurazaqiamisi1463
@abdurazaqiamisi1463 9 часов назад
Allah akuhifadhi sheikh wangu
@LeylaMussa-t3e
@LeylaMussa-t3e 3 дня назад
Mashaalah ,Allah akulipe kher ktk hii dunia na Akher, Na Allah ajalie uache vijana ambao watakuwa mfano wako, tupate kizazi chema .
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 дня назад
Mungu akulinde sana shee walidi
@user-fc4vl8zi4r
@user-fc4vl8zi4r 2 дня назад
Mashaallah Allah kuongoze zaidi akuhifadhi uzidi kuitendea haki amana uliopewa nakupenda kwa ajili ya Allah
@abdulrahimsaid7864
@abdulrahimsaid7864 3 дня назад
Maashaallah
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 3 дня назад
Sheikh Walidi na wanaotekwa na kuuwawa hujawaongelea ama hawa huwezi ulizwa mbele ya Allah maana nao wapo kwenye mji wako pia Tunakuomba japo ukemee inshaaAllah
@MakwanaJr
@MakwanaJr 3 дня назад
Yani shekhe alhamdulillah wengi tunafurahika kwa mawaidha Yako ... Nakupenda kwa ajili ya allah
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 3 дня назад
Allah andika kwa herufi kubwa Shukran
@IbrahimIbrahim-t9e
@IbrahimIbrahim-t9e День назад
allah akulipe kheri
@mlamanlike_abdul2534
@mlamanlike_abdul2534 3 дня назад
Maashaallah, Allah Bariq 🙏🏼🙏🏼
@habibuabuu9609
@habibuabuu9609 2 дня назад
Shekh Allah akulipe kwahilo naazidi kupambana nimashekh wachache wenyekujitambuwa
@HijaNyange-f1y
@HijaNyange-f1y 2 дня назад
Mashallah ❤ hivi ndio vitu🎉 tunavo vitaka
@Kusag-i9z
@Kusag-i9z 3 дня назад
Ukifanikiwa husemi na kazi zako nyingine
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 3 дня назад
Swadakta sheikh 💚💚💚
@jamals.mbarak8638
@jamals.mbarak8638 18 часов назад
Tukiyafanya haya tutafaulu sana. MUNGU Atutie nguvu ktk Lu-implement haya
@MohamedMeja
@MohamedMeja 3 дня назад
Mashaallab
@Sirajudin-m6q
@Sirajudin-m6q 3 дня назад
Hahahahaha apo kwenye mashekhe uchwala wa mitandaoni umepiga kwenye mshono yule jamaa tusubili atajibu nn😂
@RAMADHANIMohammed-vv6bx
@RAMADHANIMohammed-vv6bx 2 дня назад
Shee usizungumzie maasi uliokua unayafanya mwalim sio sheria ,Allah akuswaamehe na unapambana sana ktk din nshallah
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI День назад
Hilo ni funzo ili kujua maisha halisi ya mtu alipo tokea..mbona maswahaba walikua makafiri na history zao zinazungumzwa je kosa lipo wap?omba mwisho mwema sio mwanzo mwema.. Allah atuongoze njia iliyonyooka
@mahamuduhassan8511
@mahamuduhassan8511 2 дня назад
hakika huyu ni shekhe aisee kiongozi anaeona jambo baya akajua ataulizwa ni wachache mno!!!!!!!
@V24hrs
@V24hrs 3 дня назад
❤❤❤
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 3 дня назад
Kweli wabomoaji hivi sasa ni wengi huku mbagala chamazi kuna watariano wamefungua kituo cha kufundisha watoto tuition na chekechea ila kiukweli wanachowafundisha watoto ni ushoga na usagaji
@sports007tv4
@sports007tv4 3 дня назад
Kwann msiwashtak
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 3 дня назад
Sasa mshawajua mmechukua hatua gani?
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 дня назад
Nendeni kwa Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa mkamshitaki, kama kahongwa nendeni kwa diwani wenu na pia polisi washughulikiwe.
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 3 дня назад
​@@sports007tv4wanakibali
@abumuhammadmbwana3964
@abumuhammadmbwana3964 3 дня назад
Msiyafumbie macho hayo mambo km yapo mnayaona
@sifasifa9277
@sifasifa9277 3 дня назад
Hhho😂😂😂
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 3 дня назад
Kwani uliisha jua anafanya madhambi kwa nini uliendelea kumsaidia kufanya madhambi...??
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 3 дня назад
Hikma ndugu hikma acha jazba
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 дня назад
Ameshajibu alikuwa anamtafutia wasaa wa ili amlinganie na mwisho wa siku umeona kilichotokea baada ya yeye mwenyewe kujishtukia kuwa hali hiyo ya kujiuza anayoifanya siyo sahihi!! Laiti angekurupuka kwa jazba si ajabu asingeelewa nini kilochomsibu mpaka akaingia kwenye maasi hayo na pia ingekuwa ngumu kumlingania kwa sababu angemchukulia kama adui badala ya rafiki.
@mussamussa9446
@mussamussa9446 3 дня назад
sasa yeye kosa lake lilikuwa lipi? yeye anafanya biashara achague wateja?
@rayaali7551
@rayaali7551 3 дня назад
KASHAJIBU SHEKH. KUWAA MWENYE KUFANYA DHAMBI HATUPWI. WALA USIMUHUKUMU. NENDA NAEE KWA NIABA YA KUMUOKOWA KWA KUMUULIZA KWANINI ANAFANYA HIVYO. LAPILII NI KUMJUWA SHIDA ZAKE ILI UMUOKOWE KWENYE SHIDA HIZO NA KUMUOKOWA KWENYE ZAMBI HIZO AUU HUKUMSIKILIZA KWA MAKINII
@abubakarmustwafa-lg8fe
@abubakarmustwafa-lg8fe 3 дня назад
Kwani wote waliokuwa wakifanya Maaswi Wakti wa Mtume Swalallahu aleyh wasalam, Mtume alikiwakaripia?!Elewa uskariri,HIKMA na ILMU ni vitu vyenye kutangamana na havitengani.Ndiyo Shani yake Mungu kwa Mitume na wenye kujifananisha nao.
@user-eb5lg7oj5x
@user-eb5lg7oj5x 2 дня назад
Hata nasaha ukumpa
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 дня назад
Ila shehe hukujiongeza kwa muda huo wa usiku kama huyu malaya?hujaonja mzigo?
@bukhanmohd456
@bukhanmohd456 3 дня назад
Muogope mungu
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 3 дня назад
Afathali ukae kimya kulikoku comment kwa matusi
@SirMAHMOUDHAMADALI
@SirMAHMOUDHAMADALI 2 дня назад
Lengo lake nikumlingania, nia ndio jambo la msingi
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI День назад
Ndio maana ukaitwa Ubuyu😅
@maufoung
@maufoung 3 дня назад
Shekh warid bhn😂
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 3 дня назад
Walid watu hufichaga waliyeyakosea na Allah anakustiri sio bora kutangaza uliyeyakosea nyuma maana kumpakia mwanamke bila Magharim wako hivyo ficha hii aibu na ungekuwa unajuwa dini usengesema uliyeyekosea nyuma.
@beccakhalfa5636
@beccakhalfa5636 3 дня назад
Unamuita jina unaonesha huna nidham na uliyoo yandika
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 3 дня назад
​@@beccakhalfa5636 Kwao inaonekana hakufunzwa Adabu
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 3 дня назад
Wewe unaojiona unaijua dini hata roboyake humfikii shekh Walid
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 3 дня назад
@@zuberhamza7852 haaa haaaaa bwege lazma atatoa tu kidole hata ukimficha kwa chupa ya soda kama wewe vile mtu anaeleza ujinga alieifanya au ujahili na badala aanze kujistiri mwenyewe na Allah amsitiri anajisifia ujahi aliyekuwa anaufanya, au Baba mdogo wako walid nini maan tunamjuwa sisi mgonjwa
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 3 дня назад
Mgonjwa kwenye madira sasa sema baba mdogo au shemeji usie julikana rasmi?
@kassimabdul1969
@kassimabdul1969 3 дня назад
Mashaallah
Далее
🧙‍♀️☃️💥 #ice #icequeen #winter
00:14
Просмотров 44 тыс.
БЕЛКА РОЖАЕТ? #cat
00:26
Просмотров 510 тыс.
MPOKI NA WAZAZI WAKE
10:59
Просмотров 42 тыс.
🧙‍♀️☃️💥 #ice #icequeen #winter
00:14
Просмотров 44 тыс.