Uyu SHEHEE nitapeli, tena hafai kuitwa shehe. alinitapeli pesa mwaka 2021 iposiku mahana ushahidi ninao siku nitawasili Africa ndipo siku atajuwa nguvu la taifa la marekani.
Bibilia ilishakuhatarisha kuhusu manabii wa uongo,,,nabii yeyote anaetambulisha Mungu kwa jila lingine ambalo amejidhihirisha katika agano la kale,anaetoa unabii ambao hautimiziki basi huyo ni Nabii wa uongo,,,,mfaano Jina Allah aliloleta mohamed halikuwa kwa agano la kale
Apo aupo sawa mana vitu yva kiloo avi pimwi na yvombo yva kisayasi mungu ana sili na udongo wake na maji ni sili ya mungu Kila mtu kapewa kalama yake na maitaji yake we nimuongo kwa iri niliro sikia Asante kwa kupinga kalama dha wedhako
Mtu mwenyew kapaka ina, waislamu mjue kutulia, mtawaongelea Sana viongozi wa kikristo lakn wao wako kimyaaaaa. Mashekhe mtahubiri ukristo na watu wenu watakimbilia kanisan
Huwezi kuwa Shekhe bila kumzidi mwenzako majini ndio ukabidhiwe msikiti na watu tunao wapinga huwa mnachukua majina yetu kwenda kusomea Albadil ili tufe na hatufi kwa jina la Yesu na tutawaambia ukweli acheni uchawi kutegemea Majini yenu kuharibu watu,.Yesu halali Waislam na Manabii wa uongo wote nyie ni wapinga Kristo mlisha tabiriwa kwenye ufunuo wa Yohana tunao mwamini Yesu ni Mungu hatogopi nyie mnagombania maslai yenu sio ya Mungu alie Hai Milele na Milele nae ni Yesu Kristo Alfa na Omega.
Utofauti Kwako Wanakuja Kwa Kificho Lakini Kwa Devi Wanaenda Mchana Kweupe Sasa Wewe Na Yeye Devi Yupi Bola Unasema Manabii Wanakuja Kwako Kwa Sili Lakini Unaowasema Wewe Kwa Devi Wanaenda Mchana Sasa Tuelewe Nini Apo Nimegundua Mungu Ndie Kila Kitu Kwa Binadamu Kila Mtu Asimame Kwa Mungu Alie Juu Yetu
@@Catherine-mh8sw kumbe mhammad alikuwa binadamu ndomana alifanya mapenzi hata na mtoto mdogo wa miaka 9 hahahaah... sisi wenzenu tunamfuata mtume wetu Yesu kiristo aliye kufa na kufufuka na kupaa mbinguni kwa baba Mungu mwenyez muumba mbingu na ardhi
@@Catherine-mh8sw soma Quruan 33:56 Mungu na malaika zake wanasalia uwaskilize mashekhe wanavyo msifu kuliko Allah heti ni kiumbe Bora kuliko vyote anawazidi heti na malaika wakati maraika awatendi dhambi Muhammad katenda dhambi mpaka Allah anamwambia tubu dhambi zako 40:55 47:19 ISSA kwamujibu wa Quruan hakuwai kutenda dhambi je aliye mbora hapo ni nani?
Nilikia nahishimu sana mashekhe Lakini sasa hivi mashekhe ni kanzu tu Mumekua wasanii Mwashindana kwenye mitandandao. Na sisi maamuma tukifanya Mtasema Hebu naomba mudi nyuma msitumie mitandao vibaya Mshajielezea sana Yatosha
Shekhe sharrif acha kusema uongo ushuhuda unaotolewa kwa geordavie ,musa, mwamposa, gwajima,suguye, n.k ni ya kweli wafuate vifaa au dawa za miti shamba ili watoe ushuhuda kama wanafuata kwako ni maajabu watu wanauza tunguli miti shamba inauzwa sokoni wakufuate wewe Sharif kweli wewe shughulika na yako tabiri yako kila MTU na karama zake
Shekhe yahya alitabiri watu wakubwa watakufa cha ajabu akafa yeye,,,,,atakae amini huu upotövu hiyo hajawa na Imani hakuna anaye Jua kinachokuja mbele ni mungu pekee hata malaika hawajui
bac Kama wew Ni Mungu futa dini ya kikristo uiache ya kiislamu tu,hii Ni dunia ya Mungu yeye ndo ameua iwe hivyo kwa makusudi yake,usiumize kichwa mwachie Mungu atadili nao
KWELI MAMBO YA KUCHUKUA WAISLAM WASIYO NA IMAN NA NJAA KALI ZAO UKO MTAANI munatupa miemsho ya #din Tutauwana Wenyewe kwa wenyewe muache UJINGA NYINYI WACHUNGAJI
Majin Ni viumbe wa mung tu ila kun majin wema na majin wabay km binadam walivo kwaiy ukion ww huna wered kichwan kuhusian na maada na si msomi San wa vitabu ili kuzichimba historia jaribu kukaa kmy
Bora shoga maana yule anakuwa katupiwa Jini la ushoga ili kumuharibia maisha lakini Majini wewe ni Mpinga Kristo na mshirika na Shetani mojakwa moja, Shoga anaombewa na jini likimtoka anapona
Wew jina laki linatisha shekhe majini wew uwezi kuwa kalibu na wachungaji maana wew ni majini majini na wachungaji awakai pamoja wanayafukuza ulifukuzwa wewe wakristo atuna mausiano na majini wewe ni ndugu zako majini
Huyu si shekhe ni mganga na ni mchawi harafu fanya mambo yanayo husu wewe na dini Yako we sio mungu mwache mungu afanye kazi yake wewe fanya kazi na majini Yako maana ndio mungu wako
kumekucha 2023 huu mwaka mtamu mie natabili Shetani na wafuasi wake huu mwaka watafalakanishwa na kuzalilishwa Sana...... itapendeza Sana shekhe. Wataje waganga wenzio wote tuwajue😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🏿🇹🇿🤔
Nenda hata Kwa Mwamposa ukaone na kujiridhisha kama kuna wengi wasio wakristo na wanapokea na kupaka mafuta kama kawaida NB Nabii ni WA wakristo japo hata na wasio wakristo wanapokelewa kama kawa.
We mwenyewe mshirikina bwege we njaaa wewe na hao wachungaji nyote njaaa matapeli nyie hamna jini wala shetani mnaowatibu wizi tu nyie unaleta unafiki tu kwenye nchi yetu
Yan watanzania ubongo waoo Ni mavi tupu iv kam Mt unakil timamu ukimsikiliza mwanzo mwisho uyu jamaa anakibay gan alichokiongea kwan Ayo mafuta wanayonyweshwa watu mmeyapima kwel au Ayo maji lakin pia kiukwel kwasas din Ni kaz za watu kwaiy kutokujitambua kwenu msiropoke ujinga
Kwani wanalazimishwa?? Wenzio wanaenda kwa uamzi wao. Saivi sjui tunaelekea wapi, Viongozi wa dini saivi mmekuwa na misuguano. Sisi tujifunze nn toka kwenu??? Haipendezi.
Huyu jamaa huwa ana matatizo ya akili wallah kwanza ukimuangalia tu uso wake unaliona hilo matatizo yake anajiona ana elimu sana while jamaa ni dalasa la saba na kwenye uislam ndio kabisaaa mjinga sana njaa ina msumbua et!sharifu majini hahahaha Mie ni muislam but asimame huyu jamaa na huyo Jodev mie naenda kwa Jodev
Shekh gan hujui kusoma aya ya quran 😅😅😅😅😅na unatafsiri kimakosa kitabu chake ni chenye kukamilika maana ya كتابا مؤجِّلا kaa chin usome na uache kuizungumzia dini piga porojo zako za kawaida
yn ww ni muongo kupita maelezo watu wanapona ww unaongea nini watu wanaitaj majibu kwenye maombi acha bra bra yako ww auna maajabu watu wanataka ukweli wamechoka kuongopewa
Msenge wewe!we unauza nini?madawa yako unayouza na mafuta yako yamepimwa na nani?!we na kina wazee wa upako na kina Mwamposa mnatofauti gani?!wote wapigaji tu shwaini mkubwa wewe we umeshindwa tu unatamani sana kuwa kama Mwamposa au mzee wa upako maono we una maono ww?!we ni kafiri tu na mganga njaa pia
Sharifu majini leo ndio umenikuna sana sema lile la bwana doctor mwaka umekurupuka sharifu shekhe wa mkoa amekuzalilisha unamtetea bure tu mtu wa Wanamaker yule
@@Catherine-mh8swni kweli... we fatilia masheikh wengi ni waganga wa kienyeji utakuta wamebuni kuuza miti shamba kwenye nakaz yao na wengine wanadiliki kuuza madawa ya kienyeji mpk misikitini
@@Catherine-mh8sw tatizo langu ni kuhoji uislamu ni dini ya Mungu kweli? Mbona unafanya mambo yake mengi ya kishetwani Shetwan? kama vile masheikh kalibia wote wanauza madawa ya kienyeji na unajimu wa nyota huo ni uganga wa kienyeji kabisa... halafu masheik wengi Wana paka pich ndevu zao sasa sijui mungu wao kawatuma kupaka? yani ni vituko tupu🤣🤣🤣