Тёмный

Shilole: Rostam waelewe nimeolewa, unaanzaje kumuita mume wangu CHAWA? Unaniambia Nadanga? Exclusive 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 90 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 246   
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 5 лет назад
Tunakupenda Sana Ila jaribu kujistiri kwasababu ni mke wa mtu na isitoshe we nimuislamu anaeunga mkono like zenu tafadhali
@mimahmimah8793
@mimahmimah8793 5 лет назад
Swadaqta
@mimahmimah8793
@mimahmimah8793 5 лет назад
Manyonyo yapo nje mke wa mtu mtoto wa kiislam mtihani wallahy mwenyezimungu amuongoze
@dottnatta310
@dottnatta310 5 лет назад
Naam
@marymusi8235
@marymusi8235 5 лет назад
uislam siku hizi umebakia kwenye jina hauko kwenye matendo yetu
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 5 лет назад
Naam👍
@floraphilbert5870
@floraphilbert5870 5 лет назад
Kabisa uchebe na shishi mpk kifo ndo kitawatenganisha mnapendana sana na mtadum amen, kam unapena ndoa ya shishi ma uchebe weka like hapa
@sultanmansoor1209
@sultanmansoor1209 5 лет назад
dah shishi nakupenda bule unampenda mumeo na kumuheshimu sana mungu awajaariie ndoa yenu idumu zaid unastair kupewa pongez sana
@خسنموس
@خسنموس 5 лет назад
Wakwanza hapa kama unampenda shishi unamkubali gonga like hapa
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 5 лет назад
Shishi nakupendaga bure,ila hapo kifuani ungefunika kiduchu...mdogo wangu...
@salmajuma4015
@salmajuma4015 5 лет назад
😂😂
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 лет назад
Shishi ametulia Sai MashaAllah lazima anawiri, ana mume na wanapendana ana nyumba na ilikuwa ndoto yake kwaiyo miwacheni ila shishi ziwa listiri mpenzi
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 5 лет назад
Shishi si umeolewa jmn.....,!kifua chote nje jmn sio poa 🤦‍♀️
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂umeonaee eeeeh
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 5 лет назад
Latriciah01 Augustino 😅😅
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 лет назад
Labda Anataka kurudi udangani
@everlyneendesia4445
@everlyneendesia4445 5 лет назад
Shilole from 254 you really inspiring me eti from single ready to mingle ure my hero
@mkambotv5418
@mkambotv5418 5 лет назад
kama unamskia Aslay Gonga like
@nurudovino288
@nurudovino288 5 лет назад
Jamani mtangazaji pole umepata mtihani hapo kwenye maziwa huku ukokaribu🙈🙈🙈🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 лет назад
Hahaha umeonaee
@faidhatbkmo2191
@faidhatbkmo2191 5 лет назад
Hayawahusu
@ashleysoiyan3426
@ashleysoiyan3426 5 лет назад
Hata hata kumuangalia😂😂😂
@sarahwawuda7638
@sarahwawuda7638 5 лет назад
😂😂😂😂
@yusraibrahim8218
@yusraibrahim8218 5 лет назад
Waoooo mchicha wakaranga so much💋❤❤❤❤ nyumban kabisa yan daaaaah nimemisa soon ishaalah Amiin👏
@atashaisha8706
@atashaisha8706 5 лет назад
Alafu shishi dadangu wemke wa chebe mbona matiti umeacha hadharani kama matako yakichina ivyo
@annasamwel9522
@annasamwel9522 4 года назад
Nakupendaga bule wallah
@floraphilbert5870
@floraphilbert5870 5 лет назад
Shishi nakpenda bre uko vzr sana unajielewa na uwo unene umelizika na mmeo uchebe
@joycejohn7754
@joycejohn7754 5 лет назад
Ndoa iheshimiwe na watu wote! Hii ni ndoa si mahusiano
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 5 лет назад
Sure
@jamilayusuf2096
@jamilayusuf2096 5 лет назад
Nakubaliana nawe
@mwajumakabesha5662
@mwajumakabesha5662 5 лет назад
Hongera Afadhali umesema Awana Adabu
@sharonmwesh696
@sharonmwesh696 5 лет назад
Shishi beiby,i love you mamaa
@abdallasalim6543
@abdallasalim6543 5 лет назад
Ovyo kabisa sasa una ukubwa gani wakati dini huna ,upo uchi ,fikilia kufa ,umefanya makosa mengi mziki ,kharamu na ridhki yko yote kharamu ,fanya ibada mwangalie mzee yusufu Alhamdulilah ameachana na uchafu wa mziki
@HananlogisticsCoLtd
@HananlogisticsCoLtd 5 лет назад
Fundi chawa nifundi anae fanya kazi zake bila kuvaa mavazi ya kazi ihio kitalamu, garege, na chuo ihio kauli inatumika
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 лет назад
Maziwa yako mazuri shishi.
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 5 лет назад
Mwanamke nyoyo👌👌
@jumayusuph8471
@jumayusuph8471 5 лет назад
Nakuona dada aake# Khadija Khadeeja 😂😂😂 upo na uku
@gloriousnp
@gloriousnp 5 лет назад
Khadija Khadija hasa ukiwa nazo 🤣🤣🤣🤣
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 5 лет назад
@@gloriousnp 😄😄😄tena utapat tabu sanaa utaend had kwa wachina
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 5 лет назад
@@jumayusuph8471 npo
@margaretlyimo2215
@margaretlyimo2215 5 лет назад
Mim n shabiki yako umeniudhi shish leooo hayo manyonyo yako daah!
@angelinajoseph5733
@angelinajoseph5733 5 лет назад
uko vzr dada angu Nakupenda bure
@maryammdoe6035
@maryammdoe6035 5 лет назад
Upo uchi dada subhanallah
@marymalaika476
@marymalaika476 5 лет назад
Ndugu Mtangazi pole😂😂😂 🤱
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
NIKIENDA TANZANIA HOLIDAYS LAZIMA NIFIKE KWA SHISHI NA FAMILIA YANGU TUKALE WACHA MUNGU ATUPE UHAI 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇨🇿
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 5 лет назад
Inshallah 🥰
@aishaswab3942
@aishaswab3942 5 лет назад
Pia mm InshaAllah nitaenda
@fluransflurans7369
@fluransflurans7369 5 лет назад
Nakupenda bure from Burundi
@othumansalma1442
@othumansalma1442 5 лет назад
Shilole nakupenda sana ww ni mke wa mtu halafu jistili dada mwili wako inatakiwa.mumeo aone leo kila mtu anaona manyonyo yako haifai dada muogope mungu mtoto wa kiislaam Asas zote ziko nje
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
funika kifua basi shishi maana unamtega muadishi jamani
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 5 лет назад
Mke wa mtu fua liwazi ziwa lote watu wanakuangalia na huyo mume hata kumshtua mkewe msiba mkubwa sanaa huu
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 лет назад
Ila watangazaji mna kazi ngumu kwa kweli yani unahoji mtu huku maziwa yakakusalimia 😂😂😂😂 Poleni sana kwa changamoto😂😂😂😂😂.
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 5 лет назад
Hahaha changamoto kwakweli
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 лет назад
@@sharifaabdullah6825 Umeona eeeeh
@dwiny7841
@dwiny7841 5 лет назад
Nasema kweli sijawah kufikisha likes na follows 54.0000 leo mimi silali @bossholland
@jmyligawise5869
@jmyligawise5869 5 лет назад
Hilo swala la mpaka ya ndoa hapo kweli ùmea ķabisa wameyumbà
@lameckfraiden3113
@lameckfraiden3113 5 лет назад
tatizo ww mwenyewe hujieshm ndomaana wanakuimba japo mumeo mstaarab sana ebu jilekebshe
@mwanaishahalunahaluna9753
@mwanaishahalunahaluna9753 5 лет назад
Nakupenda bure shishi
@mwanamutemi
@mwanamutemi 5 лет назад
Shishi kwa hisani yako huna sababu yoyote kuonyesha maziwa yako hayo !! hayo ni mali ya mumeo na huna sababu kuyaanikia umma namna hiyo !!!
@smartstationery5223
@smartstationery5223 5 лет назад
sijui nikagongee nyonyoo
@HananlogisticsCoLtd
@HananlogisticsCoLtd 5 лет назад
Nilicho ki not kibaya ni wote wamegeuka kuwa mama ntilie hapo ndo inaweza ikawa mbaya
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 5 лет назад
Masha ALLAH, dada shishi napenda kufuata nyayo zako
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 5 лет назад
Eti Masha Allah
@daudimchileg307
@daudimchileg307 5 лет назад
Ladymasha Allah I like u a advise Hamsini ogopa hukumu wewe!
@hawa4968
@hawa4968 5 лет назад
HAWAA ndio wale alio wasema mtume wana macho ila hawaon wana masikio ila hawaasik allah atustir
@allykipanya7289
@allykipanya7289 5 лет назад
Mtindi huo 🔥🔥🔥🔥
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 5 лет назад
Asante Dada Shishi. Mume wako wamuheshimu. 👌👌👌
@hazelbrown4712
@hazelbrown4712 5 лет назад
Kama kweli ana muheshimu asingekqq Maziwa wazi
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 лет назад
Mke wamtu tena muslim maziwa nje 😤
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 лет назад
Nashangaa
@faidhatbkmo2191
@faidhatbkmo2191 5 лет назад
Hayawahusu jmni khee
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 лет назад
@@faidhatbkmo2191 kakimya wewe kwani we unayo yabwabwajaga yote huwa yanakuhusu? shezi kweli wewe 😤
@faidhatbkmo2191
@faidhatbkmo2191 5 лет назад
Wala huwa sibwabwaji kwa yasiyo nihusuu nyokoolooo wwe
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 лет назад
@@faidhatbkmo2191 Relax Nyau wewe
@Mzayanine
@Mzayanine 5 лет назад
Kama unachukua mda mrefu bila kula lazima utanenepa zaidi
@gracerichard8593
@gracerichard8593 5 лет назад
Mijtu bwn yameona maziwa tu huo ni wivu tu
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 лет назад
Mtangazaji moyo wamuenda mbiyo,ziwa hilo jamani mie naumwa homa.
@ommyrihnorihno5436
@ommyrihnorihno5436 5 лет назад
Deus Mauka im
@raxhidymono9258
@raxhidymono9258 5 лет назад
Shishi bwana unachekesha eti nimeolewa na fundi magari na mkiachana utasema pia nimeachwa yani shishi bwana
@betymtesigwa8747
@betymtesigwa8747 5 лет назад
Raxhidy Mono
@daudisima797
@daudisima797 5 лет назад
Raxhidy Mono tangu nimfahamu huyu dada interview hii ndio nimeielewa iko na ukweli ndani yake
@gracedelence9163
@gracedelence9163 5 лет назад
Hawakujuwa kama wame jironga Kiki ime kuwa ya shishi Toba 🤗
@kofiianodi3326
@kofiianodi3326 5 лет назад
Shishi ayo manyonyo unauza au?
@pendogikaro5888
@pendogikaro5888 5 лет назад
Dada jikaze tu mule kwenye ule wimbo watu kibao wameimbwa japo siyo vzr
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
NASIKIA NYIMBO YA ASLAY KWA MBALI NAMKUBALI SAAAAANA ASLAY MY GOD BLESS HIM
@nuruskizito9678
@nuruskizito9678 5 лет назад
Shishi nakupenda uko peace sana
@maryamnhussein3967
@maryamnhussein3967 5 лет назад
Ila kwa ninavyojua uislm uache kuacha maziwa nje banah Allah awasimamie kwenye ndoa yenu salama ila tu uache maziwa nje hayo anatakiwa aone uchebe tu
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 5 лет назад
Na wewe usikae kichwa wazi uislamu pia hautaki mambo hayo
@rahmaabdullatifu7737
@rahmaabdullatifu7737 5 лет назад
Nampenda uyu dada
@msisisimon_98
@msisisimon_98 5 лет назад
Bibi huyo hanaswaga
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 лет назад
Hongera sana shishi hakika wewe ni mwanamke wa nguvu. Ila jitahidi kujistiri wewe ni mke wa mtu hayo manyonyo hayatakiwi kukaa nje nje namna hiyo.
@halfanmundo622
@halfanmundo622 5 лет назад
japo kuwa watu wana sema shishi siyo mchoyo ila anajali sana.
@peterkailembo4101
@peterkailembo4101 5 лет назад
Bongo tuna wanawake powa sana, sema mazoezi dada zetu na kaka zetu muhimu aisee mnafumuka sana, shishi unaweza kumsahau siku hizi
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 5 лет назад
Jistiri Basi.maziwa nje vipi?
@nasorosimba9874
@nasorosimba9874 5 лет назад
Binadamu ndivyo walivyo da achana nao we angalia furaha yako IPO WAP kikubwa ni heshima tu mpende mume wako daima
@florandayishimiye4993
@florandayishimiye4993 5 лет назад
I love ❤️ you shishi 🌹👌
@khadijakingu970
@khadijakingu970 5 лет назад
Mwislam havai kama ww
@susanruo8087
@susanruo8087 5 лет назад
Kidogo tu nitoke nje ya mada,... Shishi ako na dental formula poa sana
@leanahbusanga117
@leanahbusanga117 5 лет назад
Nakupenda shishi 😘😘
@officialsamsilver
@officialsamsilver 5 лет назад
mbeya city mojaa
@rukiabeltway4341
@rukiabeltway4341 5 лет назад
Asa dada angu iyo ndoa yako ndo kwanza inamwaka mmoja kaaa Miaka ata mitano ndo utaona kwanini Watu wanakimbia na mapovu
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 5 лет назад
Shishi food mie naku love Sana dada nimecheka kwa kwel kwenye kushika simu marehem anataman kufufuka 😂😂😂
@hazelbrown4712
@hazelbrown4712 5 лет назад
Basi Mwanamke wa Kiislam kisha Mke wa Halali wa Mtu why Maziwa uyaweke wazi? Unajaribu kumuonesha nani wakati Kazi yako na Heshima yako kama Mwanamke/Mke wa Mtu wa halali unapaswa ujistiri na kujihifadhi... huezi kumuheshimu Mume wako kama unajiachia Mwili wako wazi wakati hio ni Mali ya Mumeo wa halali... Zero Brain Wallahy
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 лет назад
Kabisa zero
@faidhatbkmo2191
@faidhatbkmo2191 5 лет назад
Hayawahusu
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 лет назад
ALLAH ATUONGOZE
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 лет назад
@@binthassancollection.6308 Ameen
@muktartz7314
@muktartz7314 5 лет назад
Acha kuhukumu kuna watu Wana mambo machafu kuliko huyu shilole ni kwa sababu wew hatukujui
@AminaAmina-bs1qp
@AminaAmina-bs1qp 5 лет назад
Upuuuz mtupuuuuu hilo zigo lots hpo kifuuan njeee kisha wajiita waislam hovyoooo mmelevya nasifa zakipuuuz dunian err sasa ujiandaee na majibu kwa mola
@jumalihumbo8937
@jumalihumbo8937 5 лет назад
ii nyimbo at the first time nackia nkaju mkenya
@alphoncevicenti5862
@alphoncevicenti5862 5 лет назад
Zuwaaa shishiii
@issackibrahim840
@issackibrahim840 5 лет назад
Ziwa la maana aiseee
@mirajihazard2117
@mirajihazard2117 5 лет назад
duh shishi leo kakasirika jamani sio yule anaefanya interview yenye kuchekesha ndani yake
@sayfu9842
@sayfu9842 5 лет назад
my love
@lindawasike8228
@lindawasike8228 5 лет назад
"ati ledy tu mingo" hahaha...shishi buana, unajua kutufurahisha kweli.
@hazelbrown4712
@hazelbrown4712 5 лет назад
Halafu jifunze basi baina ya "R" na "L"
@bintymwaliwanga565
@bintymwaliwanga565 5 лет назад
Ndio tatizo lao wa bongo ya kutofautisha R and L
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 5 лет назад
Sometimes automatically tu mtu hushindwa kutofautisha L na R, so tusimlaum sana
@rayyanabdul5233
@rayyanabdul5233 5 лет назад
Hazel Brown wajuaje weeeeeh
@mayalalusana3855
@mayalalusana3855 5 лет назад
Yaani wasanii kwa kiki hapo wanazipa nyimbo zote nguvu ya shishi na rostam
@chadiapetite4924
@chadiapetite4924 5 лет назад
Chawa ninini nataka kujuwa kiukweli
@samwlikifulo9857
@samwlikifulo9857 5 лет назад
nakuaminia shishi
@florandayishimiye4993
@florandayishimiye4993 5 лет назад
Nikija TZ lazima nifike kukusapoti shishi food 🥘. Yani huwa unanifurahisha dear.
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 5 лет назад
Ndayishimiye, karbu
@florandayishimiye4993
@florandayishimiye4993 5 лет назад
steve hiraly Thanks
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 5 лет назад
Uko Rwnd?
@ummulkheirzubeir6320
@ummulkheirzubeir6320 5 лет назад
Kali sana hongera shishi bby ila jistir
@beatricedonald3934
@beatricedonald3934 5 лет назад
Shishi food inapatikana wapi hapo Dar?nahitaji kuja kula chakula chako dada.
@lucynderitoppl7782
@lucynderitoppl7782 5 лет назад
5,000 ya TZ ni kaa pesa ngapi ya kenya?
@chipmunks6113
@chipmunks6113 5 лет назад
Shilingi moja
@priscillaelvis3074
@priscillaelvis3074 5 лет назад
225 ksh
@bintymwaliwanga565
@bintymwaliwanga565 5 лет назад
Mwanamke ziwa heti heheee
@cellyjoseph9478
@cellyjoseph9478 5 лет назад
Waliozoea buku jero kwa shishi msiende mtaaibika 😂😂😂😂
@babasuna347
@babasuna347 5 лет назад
Funika kifua amakweli unataka kuifwata misingi yadini mnatakiki madada wabongo jistili ni Basi ndoa siogazeti kuweka nnjeee Kama unavofanyanyiee achawewe nandaoo zenu zamitandaoni ndoa siogazeti tuzeni kikizenu
@bahatevagre933
@bahatevagre933 5 лет назад
Shishi usipende kuwapa nafasi hawa masnichi niwachochezi sana.
@ramadhaniissa5370
@ramadhaniissa5370 5 лет назад
MBONA MATITI WAZI
@justinemsumeno191
@justinemsumeno191 5 лет назад
Chawa ni mdudu anaependa kuishi na binadam na wanyama huyu mdudu akikuuma anawasha so wadau kitendo cha kuwashwa kinachofuata ni .......rostam wapo sahh
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 5 лет назад
Me naona ziwa tu 😂😂😂jamani shishi
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 5 лет назад
😂😂😂😂😂kama loteeee
@mrjojomanone5955
@mrjojomanone5955 5 лет назад
Umeonaeeh pigo zakimalaya zaidi then anataka aheshimiwe eti
@millicentaseyo5817
@millicentaseyo5817 5 лет назад
Wacha Tamaa vitu zingine achia vijana focus on what you're doing, respect yourself if married that let you down my friend maziwa inje jamani maskini bwanako🙆🤷
@cellyjoseph9478
@cellyjoseph9478 5 лет назад
Millicent Aseyo Afu muislam aibu hii
@iddisdanga7041
@iddisdanga7041 5 лет назад
hio shsh food ipo seem gan
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 5 лет назад
Shishi mbona ndala ziko inje adi Creez anaona aibu😂😂😂
@jacklineshisia984
@jacklineshisia984 5 лет назад
Zabibu Nduwimana sasa
@mparismshana5503
@mparismshana5503 5 лет назад
Mmh
@suzanachengula4654
@suzanachengula4654 5 лет назад
Uku mby ilishatrend sanaaa yan labda uko kwenu lakin mby iringa chunya tunduma ilibamba sana na inaendelea kubamba
@shebybring105
@shebybring105 5 лет назад
5000 ndiobei rahisi
@mbalukutv7302
@mbalukutv7302 5 лет назад
Tulijua kuwa mtu wa mbeya tena tukuyu
@aishaswab3942
@aishaswab3942 5 лет назад
My shishi more love from🇰🇪
@samozain5930
@samozain5930 5 лет назад
Huo mtindi balaa😍😍😍
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 5 лет назад
Nasoma comet nacheka kwasauti 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 5 лет назад
Oh kumbe kaibwa??? Wimbo gani tafadhali Nitumie link niusikilize kwanza😂😂😂😂 It’s very funny 😄 Eti #CHAWA??????😂🤣😂😂
@brunozakalia5655
@brunozakalia5655 5 лет назад
Umeimbwa na kundi la rostam
@graceemmanuel2287
@graceemmanuel2287 5 лет назад
😂😂😂shishi mungu anakuona
Далее
In depth Conversations -Bipolar II: Mum & Daughter- 1
13:40