Huyu ni ushamba Hana madini yoyote yaani yeye alipo pewa nafasi ya umeneja maji bas anajua yeye kaz yake itakuwa chuki tu wakati huyo chinga mwenzake anaye mtete kanyanyuliwa na daimond
Kama meneja Fanya kazi ya kumtafutia huyo bos wako tenda ya kuingiza pesa sio kaz michuki tu ushamba tu yaani hili ni zigo tu halina faida yoyote konde gang ndio Hawa watakao mwangusha hamo maana hawana ya maana zaid ya michuki ya kijinga kabisa