Тёмный

Simba 2-2 Al Ahly | Highlights | African Football League 20/10/2023 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 719 тыс.
50% 1

Ni mchezo wa ufunguzi ulioshuhudia Simba ikitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya mabingwa wa Afrika, Al Ahly kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Simba yamefungwa na Kibu Denis dakika ya 53, na Sadio Kanoute dakika ya 59 huku magoli ya Al Ahly yakifungwa na Reda Slim (45'+1) na Mahamoud Karahba dakika ya 63.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 111   
@brunoh_bx
@brunoh_bx 11 месяцев назад
Bonge la mechi wallah🔥🔥🔥🔥
@LaishaKarata
@LaishaKarata 11 месяцев назад
Spirit ya second half inabidi iwe priority Kwa wachezaji Kwa Full time pale Cairo,sio rahisi ila kwakuwa ni football tutapata matokeo ya kutuvusha inshaallah
@jacksonnyagali751
@jacksonnyagali751 2 месяца назад
it Waz fantastic day and it Waz fantastic event in Africa
@SukeJohn-gl9pu
@SukeJohn-gl9pu 6 месяцев назад
Dah ilikuwa mechi nzuri sana
@OliverMapapa
@OliverMapapa 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤ boss tusajili 2 timu mbna ni nzury ila ni mapnguf madg madg
@georgekinyanjui110
@georgekinyanjui110 11 месяцев назад
Mechi ilikua ya kupendeza.. 👏👏👏🙏
@MimiWewe-ib8wy
@MimiWewe-ib8wy 6 месяцев назад
This is simba br By jt
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 11 месяцев назад
Mnazingua sanaaa
@LoyceMjinja
@LoyceMjinja 11 месяцев назад
Mungu ibariki Simba
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 месяцев назад
Kwa mkapa hatoki mtu tunawasubiri simba nguvu moja❤❤❤
@georgenathanael
@georgenathanael 6 месяцев назад
We are eagerly waiting for them,,, kwa mkapa hatoki mtu🦁🦁🦁💪💪
@DaudJuma-k7n
@DaudJuma-k7n 6 месяцев назад
Simba anawatoa Al Ahli Kwa uweza wa Allah t
@hemedkadili6934
@hemedkadili6934 7 месяцев назад
Mnyamaaa
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 11 месяцев назад
Azam kama mmeshindwa kazi acheni highlights gani za hivi sasa kama mmelazimishwa?
@dennardleonard1228
@dennardleonard1228 11 месяцев назад
Simba change!
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 11 месяцев назад
Highlights mnachelewa sana aise halafu ongezeni dk
@radsonowoko1953
@radsonowoko1953 11 месяцев назад
Poor defence for simba Sc😢😢😢
@topcollections7538
@topcollections7538 11 месяцев назад
Ukweli Simba Wana defense ya hovyo
@teilencedevard9431
@teilencedevard9431 7 месяцев назад
Roundi hii patawaka moto lazma tumtoe mungu wetu sote
@EfraimTryphone
@EfraimTryphone 29 дней назад
This is simba
@BoniphaceCosta-kd2yw
@BoniphaceCosta-kd2yw 7 месяцев назад
Tunaruka nao round hiii
@zundahbartazal4861
@zundahbartazal4861 11 месяцев назад
MECHI KUBWA KAMA HII HIGHLIGHTS MNAWEKA DAK 8?
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад
Kapombe kaka yangu nakuomba update muda upumzishe Akili, mwili, na misuri umecheza metch nyingi sana . Lile GOLI LA pili ukishindwa kuruka na kuugusa mpira.. izra Patric apewe nafasi.. bocco apumzike awaache wenzake wapate nafasi
@mrben227
@mrben227 11 месяцев назад
Helo tunaliona sisi ila kwa kocha hana kabisa mtazamo huo
@khamisking-bk4ri
@khamisking-bk4ri 11 месяцев назад
huw ajui wachezaji ww
@officialYvaH3232
@officialYvaH3232 11 месяцев назад
Hata la kwanza goli lilifungwa mpira ulipitia upande wake
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад
Tatizo la timu yetu.. beki za pembeni HAZINA speed sana ya kufukuzana.. nawashauri musipande wote na kama ukipanda wahi kurudi KWa haraka sanaa.. kapombe anageuzika KIURAHISI na anapokaba asimsindikize adui kurudi NYUMA ya goli KIPA wake.. apumzishwe metch kadhaa..bocco tulia WAACHE WENZAKO WAKINA chilunda nao wacheze
@eliachogo5167
@eliachogo5167 11 месяцев назад
Kula maharage lala mpira muachie baba esther
@Alam-rd5ri
@Alam-rd5ri 6 месяцев назад
@christianmaganga8413
@christianmaganga8413 11 месяцев назад
Mnachelewa sana kuweka clip..
@cfcforlife9118
@cfcforlife9118 11 месяцев назад
Nyasi kama hii kenya iko kweli
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 11 месяцев назад
😀😀😀
@TumsifuSylas
@TumsifuSylas 10 месяцев назад
Waitoe wap
@fareedtz7864
@fareedtz7864 7 месяцев назад
tanzania to the world
@kelvinpeter5666
@kelvinpeter5666 11 месяцев назад
Miamba miwili
@TifuLatinho-ff1ec
@TifuLatinho-ff1ec 4 месяца назад
Wayaaaa
@NdaroMfaume
@NdaroMfaume Месяц назад
Mechi ya simba
@YohanaDaniel-lb6tx
@YohanaDaniel-lb6tx Месяц назад
🎉❤
@Deus-lf2ks
@Deus-lf2ks 6 месяцев назад
Tunashinda yote tumwachie Mungu tukutane trh 29
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 11 месяцев назад
John Boko na Saido wanaigalimu team sana
@MeyjrOfficial
@MeyjrOfficial 3 месяца назад
haaa 5:06
@منجدوجدومنزرعبلح-ح8ك
What about 2:31 ?
@BhekumuziZondi-cv8ig
@BhekumuziZondi-cv8ig 6 месяцев назад
Simba is too strong
@DianaAbdalah-d8z
@DianaAbdalah-d8z 5 месяцев назад
Wew unaeisemea vibaya simba et simba mbov haikuhusu na hao azam tuta wakanda habar ndio hyo acha itufie simba dam yetu.
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 11 месяцев назад
Kipa katuangusha gali la pili
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 11 месяцев назад
Azam wangese. Bonge la mechi kama hili mnatuletea leo? Halafu dakika chache? Mafala ninyi
@peteromary8764
@peteromary8764 11 месяцев назад
Simba timu nzr...lkn inabd wasajili fullbek ambazo ztakuwa mbala wa kapombe na Hussein wapumzimke...kule mbele boko,saido na onana dirisha dogo waachwe umri umeenda hawaisaidii timu kwa onna ni ubshoo mwingi unamsumbua naye aondoke tu 8:10 8:10
@AlifaMzakiru
@AlifaMzakiru 11 месяцев назад
Mamerodi
@ramadhanimbade8022
@ramadhanimbade8022 11 месяцев назад
Azam mnatuangusha mbona clip mnachelewa kutuwekea?
@denismwalupaso2162
@denismwalupaso2162 11 месяцев назад
highlight zenu hazijawah kuwa HD
@hamzanurdini6789
@hamzanurdini6789 11 месяцев назад
Shida ya mabeki wa simba kwann wanatoka wote mnatoka wote nyuma mnamwachia nani ujinga huo
@DBIRobotics
@DBIRobotics 11 месяцев назад
Wanatoka wote kwasababu kocha aliwafundisha ivo,kosa sio wacheza,kosa ni kocha,anatakiwa abadilishe maelekezo kwenye ukabaji
@MbwanaMkumba
@MbwanaMkumba 6 месяцев назад
Wanakufa nying leo
@andrewraphael3098
@andrewraphael3098 11 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉
@JumaMisalaba
@JumaMisalaba 6 месяцев назад
Good
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 11 месяцев назад
Hii Mech Makolo walikua Na bahat Saana aisee 😆Goli zilikiua Nyingii Sana 😂😅😁
@seiframadhan1254
@seiframadhan1254 11 месяцев назад
Subirini na nyinyi dawa yenu inakuja
@scollamwanisisi2739
@scollamwanisisi2739 11 месяцев назад
Kwan wao huon kama walikua na bahat we low IQ
@AbdulAlmas-n7m
@AbdulAlmas-n7m 11 месяцев назад
Imekwishaaa iyooo
@daudiniyonsaba1113
@daudiniyonsaba1113 11 месяцев назад
Hawa Al Ahly ni kusifia tu, watakiona mwezi kesho.
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад
Kuna mchezaji WA pembeni anatembea PEKE yake.. sijui Hana MTU WA kumkaba ATATUGHARIMU huyo.. metch ya marudiano MUWE makini
@dsgroup6093
@dsgroup6093 11 месяцев назад
Yan nyie azam mechi ya kihistoria kama hii mnawek clip ya dakik 8 mbon mnazngua
@HamicKauno255
@HamicKauno255 11 месяцев назад
Yaan kama mechi yenyewe imejaa utumbo ulitaka wajaze utumbo tu au 😡
@dsgroup6093
@dsgroup6093 11 месяцев назад
@@HamicKauno255 Acha ushabiki wa kishamba simba kubwa kuliko yanga mtake ndo hvyo mkatae ndo hvyo haya tumezndua uwanja sisi wakubwa wadogo sasa mnaruhusiwa kuja kuiga kaka zenu walivyofanya sawa?
@HamicKauno255
@HamicKauno255 11 месяцев назад
@@dsgroup6093 mmezindua uwanja kwa sare ya kukoswa koswa kufungwa litimu libovu halijui kujilinda likipoteza mpira kumbe hujui soka ww
@officialYvaH3232
@officialYvaH3232 11 месяцев назад
Huyu ally Salim hatulii golini wanann lkn
@bernaberna4159
@bernaberna4159 11 месяцев назад
Mechi ya Jana azam mnaweka leo duh
@MlumbaIssa
@MlumbaIssa 6 месяцев назад
Tunawakanda 3 kwao tunaenda kulimwaga droo
@ramadhanabdallah5526
@ramadhanabdallah5526 11 месяцев назад
Patrick ousems mzee wa uchebe rudi simba
@DBIRobotics
@DBIRobotics 11 месяцев назад
Arudi simba,tuwe tunafungwa 5 bila
@othumaryemanuel296
@othumaryemanuel296 11 месяцев назад
sema mnachelew san kutoa highlight mnakela bhn
@upendokasagala4035
@upendokasagala4035 7 месяцев назад
Safari hii lazima wakae
@JumaMmanga-vl1fy
@JumaMmanga-vl1fy 7 месяцев назад
Hakika
@Decoonlin
@Decoonlin 7 месяцев назад
Z9kk 2.0izo
@khamishamada3104
@khamishamada3104 6 месяцев назад
kwauwezo wa mungi hatokimtu kwa mkapa
@SamwelKusekwa
@SamwelKusekwa 27 дней назад
watakion chamtemakuni
@thebetimojahalisi9317
@thebetimojahalisi9317 6 месяцев назад
Iwe mvua,iwe jua lazima wakae.
@bulaitoniadisoni-g7i
@bulaitoniadisoni-g7i 3 месяца назад
❤🎉😂
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib 11 месяцев назад
Amjasema mtasema
@emmanuelmashauri1430
@emmanuelmashauri1430 11 месяцев назад
Ivi nyie azam hz ndo highlight za mechi nzm au shv mnaona mkiweka dk nyingi watu watafaidi kenge nyieee 🤪
@OmaryKiduka
@OmaryKiduka 7 месяцев назад
Hii Simba nikubwa mno ila sjui kwann wacheZaji hawajitumi
@CecyPeter
@CecyPeter 7 месяцев назад
Wanazngua san sahv
@twahiryabdallah
@twahiryabdallah 6 месяцев назад
Sio pow mich yamoto sana wazee
@saidbrother4900
@saidbrother4900 6 месяцев назад
Yan jamaa wamekosa magoli meng sna
@MUSSA-r8j
@MUSSA-r8j 28 дней назад
afusha
@JeremiaFransi
@JeremiaFransi 4 месяца назад
Unyama sas😮😢 😅
@killion9406
@killion9406 11 месяцев назад
Al Ahly kapoteza bao mingi sana
@Thekidp3702
@Thekidp3702 7 месяцев назад
Nyingi sio mingi you kenyan
@killion9406
@killion9406 7 месяцев назад
@@Thekidp3702 who cares? You Tanzanian
@adrianmanja7540
@adrianmanja7540 6 месяцев назад
We do 😅😅
@TifuLatinho-ff1ec
@TifuLatinho-ff1ec 4 месяца назад
Yooo
@chrissg4026
@chrissg4026 11 месяцев назад
Miamba miwili ilikutana hapa! Piga nikupige! Utopolo mmeona iyo?😂
@NyawaegaBenjamin-oh4pr
@NyawaegaBenjamin-oh4pr 11 месяцев назад
Simba wabovu
@NyawaegaBenjamin-oh4pr
@NyawaegaBenjamin-oh4pr 11 месяцев назад
Simba wabovu
@njwangaboe24
@njwangaboe24 11 месяцев назад
@@NyawaegaBenjamin-oh4pr ila wee kibondeeee
@amirihabibu8892
@amirihabibu8892 6 месяцев назад
NaikumbukAhii
@KiliopaCristofa
@KiliopaCristofa 6 месяцев назад
Anatokaje mtuu kwauwezo huu
@PeterOletibili
@PeterOletibili 11 месяцев назад
sio mbYa wasimbazi
@shanmlawa
@shanmlawa 11 месяцев назад
Kabla sijamcfu kibu chama nyieee jaman
@SalimAbdallah-tg1yo
@SalimAbdallah-tg1yo 11 месяцев назад
Alisalim hana makosa dakika 25 za kwanza mabeki walkuwa hawana maelewano jamaa walianza mechi kwa kasi sana tubadilike wa Tanzania hakuna timu isiyofungwa wala kipa asofungwa huyu mnaemsema si ndo mlimsifia kule tanga au
@erastomathias911
@erastomathias911 11 месяцев назад
Azamu munakela
@WANUVUAI
@WANUVUAI 8 месяцев назад
Ndi iv
@MeyjrOfficial
@MeyjrOfficial 3 месяца назад
😅
@mikemnyamwezi7856
@mikemnyamwezi7856 6 месяцев назад
Waletw
@saidallympate3477
@saidallympate3477 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@Malack-p7j
@Malack-p7j 6 месяцев назад
Kwamkapa
@TumsifuSylas
@TumsifuSylas 10 месяцев назад
Ni halal kupumzka
@JesusForlife-ok3wf
@JesusForlife-ok3wf 11 месяцев назад
Azam mnazingua wahamiaji wenu
Далее
ПОНТОРЕЗКА САША BELAIR / ОБЗОР
27:43
Hurricane Milton: Storm damage in Fort Myers, Fla.
01:05
Misso Misondo - Tera Ghata (Official Music Video)
3:52
Magoli | Simba 3-1 AL Ahli Tripoli | CAF CC 22/09/2024
9:11
ПОНТОРЕЗКА САША BELAIR / ОБЗОР
27:43