Тёмный

Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 11 млн
50% 1

Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya leo kuichapa Nkana FC ya Zambia magoli 3-1 katika mchezo wa marudiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita.
Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea.
Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi.
Simba SC beats Zambia giants Nkana FC 3-1 in Dar Es Salaam to qualify for CAF Champions League group stage. 23/12/2018.
#simbankana #simbascnkanafc #simba3-nkana1
Tazama LIVE mechi za Vodacom Premier League na vipindi vingine kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App.
Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► play.google.co...
Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,4 тыс.   
@ashleymipawa995
@ashleymipawa995 3 месяца назад
Kama umerudia kuangalia 2024 jun like hapa tujuane
@abdallahswaleheofficial
@abdallahswaleheofficial 12 дней назад
This is simba kesho kama kawa lazima tutinge makundi
@zenamaganga2335
@zenamaganga2335 8 месяцев назад
Nipo Tena hapa 2024 ama kweli simba tumetoka mbali❤❤❤
@robbyalfred5563
@robbyalfred5563 4 года назад
This clip make me always happy like here who still watching like me frequently 💪💪💪simbaaa
@yasinsalih592
@yasinsalih592 2 года назад
Simba have added a flavour to our African football. Love from Sudan.
@willsonshadrack543
@willsonshadrack543 2 года назад
E
@mrutu
@mrutu Год назад
Aloo haha inaxiximua xana
@salumkassim2096
@salumkassim2096 Год назад
​@@willsonshadrack543simba
@HamisiSalimu-oj9oi
@HamisiSalimu-oj9oi 8 месяцев назад
2024
@lulukibanga8152
@lulukibanga8152 4 года назад
Nan anapenda kuangalia mara kwa mara hii mechi ajawai kunichosha 😍😍
@aksaks9563
@aksaks9563 3 года назад
Mm pia sichok kuangalia hii ilikua t.game kali mnoo
@neemaduma4126
@neemaduma4126 3 года назад
Mimi apaa😂😂
@andreajonas4531
@andreajonas4531 5 лет назад
Chama chama chama mwamba wa rusaka ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥kwa wana simba fc,sema nguvu moja kwa wana simba.
@kiizaantony9221
@kiizaantony9221 5 лет назад
Chama ni kitu kingine
@omarythabit
@omarythabit 5 лет назад
ANOTHER MAFISANGO
@andreajonas4531
@andreajonas4531 5 лет назад
Mk14 je,mwamba huyu wataria Pole.
@eliapasiamalisa4911
@eliapasiamalisa4911 5 лет назад
Simba wamefanya wonders
@abasimchimbi5082
@abasimchimbi5082 5 лет назад
daimond
@denicsimbo7352
@denicsimbo7352 2 года назад
September 2022 still watching this fantastic event, unforgettable memory for simba fans......gonga like tusonge......I love Simba
@davieswaryoba3342
@davieswaryoba3342 Год назад
Mechi bora sana ,what game what goal.. MUNGU naomba anipe maisha marefu sana niwaadisie kuhusu mguu ya chama,uimara wa manula
@nyandaelias5052
@nyandaelias5052 Год назад
Was a great and unbelievable match simba nguvu moja 🇹🇿🇹🇿💪💪💪
@jumamwamba5618
@jumamwamba5618 Год назад
kV BV v
@juliusisack4090
@juliusisack4090 Год назад
Our Best Simba SC game of All Times 💥 kipind Iko Yanga walikua wapokeaji wageni leo wanaongea sana Sana wanajisahau... BUT I promise Simba will be the First Team from Tz to get CAF CUP
@teddyrobby7620
@teddyrobby7620 5 лет назад
Eti mzee wa masaptasapta,, mpenja mbavu zangu huku,, hongera sana simba
@mariaalfred4156
@mariaalfred4156 3 года назад
Mambo
@mwanahamisihassani1943
@mwanahamisihassani1943 5 лет назад
Nimefurai mpaka nimelia jamani Asante kaka zetu kwakujituma nimefurai sana kama mnahamini simba nguvu moja lake zenu apa
@josephmzungu1338
@josephmzungu1338 5 лет назад
xn 2
@officialmsap676
@officialmsap676 5 лет назад
ivi chama unaruhusiwa kufunga magori kama hayaaaa?
@husenimustafa2721
@husenimustafa2721 5 лет назад
Mwanahamisi Hassani sxc
@ezekieljaphet8112
@ezekieljaphet8112 5 лет назад
Mwanahamisi Hassani mamb
@delphinusboniphace1428
@delphinusboniphace1428 5 лет назад
Saf simb
@denolofty3481
@denolofty3481 5 лет назад
Hapa Kenya tunasema kongole kwa team simba wakilisha Africa mashariki.... Pamoja twaweza. Mkude, Kagere n Chama goals 💪💪💪🙌🙌🙌👏👏👏
@germannzota8625
@germannzota8625 5 лет назад
yeah we are together brother
@hildaamosi6411
@hildaamosi6411 2 года назад
All the best
@neemacurthbert
@neemacurthbert Год назад
Kama unaicheki hii video 2023 gonga like taujuane mapema
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
SIMBA hii noma sanaaa 👊
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Simba sports club big time Africa 👊🇹🇿❤️🦁
@kiluwasalum5002
@kiluwasalum5002 5 лет назад
Mimi ni jilani yenu simba fc shabiki ninaejierewa leo. Mmefanya kazi nzuri sana safi sana simba
@muddydamdeok5098
@muddydamdeok5098 5 лет назад
Chama Chama More 🔥🔥🔥 Tanks Your Jah Kwa Uxhindi This is Simba brother the great Team Of Tanzania Best Like Kama Wew Mwana Simba Damu😍😍😍
@cleverphd7158
@cleverphd7158 5 лет назад
Chama JR,made in Lusaka deliverd in Dar-es-salaam for SIMBA SC,this is Simba 🦁💪 nguvu moja
@anthoniamagese9877
@anthoniamagese9877 2 года назад
Naipenda San simba
@sportszonetanzania2012
@sportszonetanzania2012 2 года назад
I will never forget this day it was unbelievable comeback nice moment for simba fans
@boazyephrahim8991
@boazyephrahim8991 2 года назад
Unforgettable match.. i'm so proud to a simba fan....💪🏽💪🏽💪🏽2022 stiil watching this one...
@isaacphilemon5599
@isaacphilemon5599 5 лет назад
Tunakupenda sana Mo wetu,endelea kutupa hamasa wana SIMBA
@emmanuelskmtanzania24
@emmanuelskmtanzania24 5 лет назад
Huyu sports analyst wa Azam nimemkubalii asee. Kama nawe umemkubali gonga likes twende sawa... kwani kuna mtu anateseka 😂😂😂#SimbaSc #NguvuMoja #afcon 🔥🔥🔥⭐⭐⭐
@agneskabate6906
@agneskabate6906 5 лет назад
Haaaaaa nalia pole nalia pole Sana. Haaaaaaa hii ndio simba bhaana
@emmanuelskmtanzania24
@emmanuelskmtanzania24 5 лет назад
Agnes Kabate Hahahahah ni noma sana
@sophiajoseph9133
@sophiajoseph9133 5 лет назад
Zitizenrediokenu
@shebydemedia1885
@shebydemedia1885 5 лет назад
Emmanuel Sakafu konki💪
@ummyabubakary9641
@ummyabubakary9641 5 лет назад
@@emmanuelskmtanzania24 mmanimn i
@Carollngugi
@Carollngugi 5 лет назад
Da mimi kama mkenya naipenda simba sana..
@boscomngoya4065
@boscomngoya4065 4 года назад
Simba
@ysy3458
@ysy3458 4 года назад
Ieo mnakazi
@kenedymgema1012
@kenedymgema1012 4 года назад
Uko sawa, mshikaji,wangu
@kenedymgema1012
@kenedymgema1012 4 года назад
@@ysy3458 simba oyee
@kenedymgema1012
@kenedymgema1012 4 года назад
@@ysy3458 kazi,imesha,Ha2na,Presha
@wilhelmibaganisa5493
@wilhelmibaganisa5493 2 года назад
Dec 22 , 2018 nikiwa kazini na karedio kangu Mbulyanhulu gold mine ( barrick) maeneo ya kakola kahama , nilishangilia nusura kuvunja mguu !! Unforgettable match in my life carriah!! Now 02 Dec 2021 in Dar watching it again
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
Asantee sanaaa chama langu la SIMBA 🙏 Mw/MUNGU awajalie afya njema wachezaji wote
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Simba sports club big time Africa 👊🇹🇿❤️🦁❤️
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 4 года назад
The third goal killed me, I love Simba from Nairobi
@kennedymwangala8385
@kennedymwangala8385 5 лет назад
Nashukuru Sana Watanzania wenzangu kwa mi nipo Zambia kwa game ya kwanza niliumia Sana na nilichekwa Sana ila saiz ni zamu yao kuwacheka, Gonga like Kama unaamini mi Shabiki wa kweli wa 🦁.
@jacksonpaulo8920
@jacksonpaulo8920 5 лет назад
Ww c mtanzania lazma uwe simba lu
@dottotv8499
@dottotv8499 5 лет назад
Pamoja sana
@teklamahenge5212
@teklamahenge5212 5 лет назад
Future Ken waambie kuimba kupokezana Leo zam yako
@charlesmasero5450
@charlesmasero5450 5 лет назад
pamoja na watani wetu kushangilia Sana bao la wageni ngoja wakome, hiyo ndiyo Simba ya MO
@daudsessa9957
@daudsessa9957 5 лет назад
Watakoma
@jaxpaul7724
@jaxpaul7724 5 лет назад
Simbaa what the come back !!! What the chamaa goal THIS IS SIMBA
@japhetkayange8152
@japhetkayange8152 5 лет назад
Jax Paul
@Barfumu
@Barfumu 2 года назад
Still watching this game 2022 what performance by simba✊
@wakembetajaphary3648
@wakembetajaphary3648 2 года назад
Is good
@dornaldbantura5978
@dornaldbantura5978 2 года назад
@@wakembetajaphary3648 Ba ba
@dornaldbantura5978
@dornaldbantura5978 2 года назад
@@wakembetajaphary3648qqq
@wakembetajaphary3648
@wakembetajaphary3648 2 года назад
@@dornaldbantura5978 😂😂😂
@maximiliansongalimi8535
@maximiliansongalimi8535 2 года назад
Oya 😂😂😂ladha haiishi
@footballlife9810
@footballlife9810 3 года назад
I'll never forget this moment it was so amazing
@gramiebiser4685
@gramiebiser4685 3 года назад
Vp
@jamalimohammedi3228
@jamalimohammedi3228 2 года назад
Jamali
@erickcharles1605
@erickcharles1605 2 года назад
Bado nafurahia hii gem
@mikemnyamwezi7856
@mikemnyamwezi7856 4 года назад
Amazing Unforgettable ....! Uchebe tutakukumbuka sana tu (Patrick Ausems) Binafsi nakukubali kinoma noma
@frenklubago5748
@frenklubago5748 5 лет назад
Sichoki kuiangalia kama nawewe huchoki gonga👍
@sophiakadege1318
@sophiakadege1318 2 года назад
🙄🙄🙄✌️
@kurubonecompanylimited3835
@kurubonecompanylimited3835 2 года назад
Haichoshii kuitazamaa
@selemanmpanduji331
@selemanmpanduji331 6 месяцев назад
Timu KUBWAAA muumwaaa utachoka kweli kutazama?.
@IsmailThomas-d6h
@IsmailThomas-d6h 6 месяцев назад
Mimi.hapa❤
@brahimelbouhli9989
@brahimelbouhli9989 5 лет назад
je suis un supporteur de wydad mais je pense que cette equipe simba la plus populaire au tanzania
@kingmtetezi6670
@kingmtetezi6670 2 года назад
Exactement
@Lionheartkarate
@Lionheartkarate 11 месяцев назад
Not only from Tanzania but also east and central africa
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457 3 года назад
*😅☺☺Kama umelud kuchek hii bada ya pulatnamu ngonga leke*
@edwardngoso680
@edwardngoso680 3 года назад
Xx .
@elizabethzachariah9054
@elizabethzachariah9054 3 года назад
Tupo mnoo🥰❤️❤️
@kefasamson6176
@kefasamson6176 3 года назад
Wee acha banaa
@christopherjonasi1140
@christopherjonasi1140 3 года назад
@@elizabethzachariah9054 X
@walterkyara3656
@walterkyara3656 3 года назад
2021 march
@benmagaya6610
@benmagaya6610 3 года назад
Tunaangalia Januari Mwaka 2021 Like Hapa Za Upendo ❤️❤️❤️
@walterkyara3656
@walterkyara3656 3 года назад
March 2021
@hajinemshi1919
@hajinemshi1919 3 года назад
Thanks y y
@benimagaya7966
@benimagaya7966 5 лет назад
Nakula Christmas 🎄🌲🎅Vizuri Sana Baada Ya Simba 🦁🦁 Kushinda Kwa Kishindo
@ashashabani4210
@ashashabani4210 5 лет назад
mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥chama langu forever ❤❤❤❤❤❤ walllahi raha mpk basi
@emanuelmtui1373
@emanuelmtui1373 4 года назад
2019/13/11 meche bora ya muda wote kwangu Hata like moja ina tosha
@jameskombe5203
@jameskombe5203 4 года назад
Zßàz
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 4 года назад
Mech ya kihistoria Tena mechi mhim zaid
@jacksonbaranda8165
@jacksonbaranda8165 Год назад
18/12/2022 and I'm still not tired to watch this clip simba is unstoppable
@ImmaSimon
@ImmaSimon Год назад
26.08.2023 Still watching this unforgetable memory for SIMBA SC🔥
@onesmokidava3383
@onesmokidava3383 4 года назад
2020 Nani yupo hapa wadau wangu wa Nguvu wekundu msimbazi gonga like twende pamoja Kama hutoisahau hii mechi!!
@renathaalois2499
@renathaalois2499 3 года назад
Hi mechi inanipa matain Sana ndan ya kikosi changu Cha msimbazi
@marimusysaidy4331
@marimusysaidy4331 3 года назад
Lllii
@jacoborafaeli6776
@jacoborafaeli6776 3 года назад
Yanga vs tp mazembe
@tumainiwilisoni4394
@tumainiwilisoni4394 3 года назад
Og
@tumainiwilisoni4394
@tumainiwilisoni4394 3 года назад
@@renathaalois2499 v6
@guyvancans
@guyvancans 5 лет назад
Mimi Mkenya lakini Simda damu. WAPI LIKES ZA WA TZ
@edsonniclas1802
@edsonniclas1802 5 лет назад
Guy Vancans
@henrymlandali9187
@henrymlandali9187 5 лет назад
Safiiiiii sana
@mudydaud340
@mudydaud340 5 лет назад
pamoja sana
@tumainirashidy8583
@tumainirashidy8583 5 лет назад
Simba noumaaaa
@josboy5384
@josboy5384 4 года назад
Safi sana
@Mariaclala536
@Mariaclala536 5 лет назад
Mashabiki wa simba wote gonga like twende sawa
@peterpaulo2588
@peterpaulo2588 5 лет назад
Budagala 2019
@jofleysilivei7187
@jofleysilivei7187 5 лет назад
a online *
@punzihussen7607
@punzihussen7607 5 лет назад
isma company no
@ferrilmwirigi249
@ferrilmwirigi249 2 года назад
This remains the greatest game in African football i have watched
@wisekington7759
@wisekington7759 2 года назад
Exactly
@wilsonkimaro6375
@wilsonkimaro6375 3 года назад
KAMA BADO UNAANGALIA HII 2020 DECEMBER 18 KUITAKIA SIMBA MEMA HUKO HARARE GONGA LIKE SIMBA IZIDI KUSONGA MBELE
@judithpaul9013
@judithpaul9013 5 лет назад
*Naipenda simba kufa*
@halfanitambu525
@halfanitambu525 5 лет назад
judith paul aaaah jmn usikufe jama
@judithpaul9013
@judithpaul9013 5 лет назад
Halfan Itambu hahah nna raha mpk bhc
@halfanitambu525
@halfanitambu525 5 лет назад
hahah kmb na we ulikuA unateseka wkt tnlitft goli LA 3 pole bana
@judithpaul9013
@judithpaul9013 5 лет назад
Halfan Itambu acha kbs, shukran... chezea goli la kisigino
@halfanitambu525
@halfanitambu525 5 лет назад
huyu chama atamaliza mb zangu ujue....aache misifa yake
@ramadhankibwana6425
@ramadhankibwana6425 5 лет назад
Yani Leo laha ilioje simba imeshinda na tumeipokea ndege mpya kama unaikubali simba na mzee magu gonga like
@ramadhanichoneke3089
@ramadhanichoneke3089 5 лет назад
Kutombana
@keyakeya8911
@keyakeya8911 5 лет назад
Haki a mungu Leo imekua jumapili njema kwangu kwa kuona couch ausemus ana shangilia
@rahmaramadhani3993
@rahmaramadhani3993 5 лет назад
Yaani mindokwanza namuona anashangilia adi raha
@keyakeya8911
@keyakeya8911 5 лет назад
@@rahmaramadhani3993 umeonae ehe alafu simba raha
@hamarowilliam3218
@hamarowilliam3218 4 года назад
👟
@rachelelias1251
@rachelelias1251 2 года назад
I Love Simba SC ♥️ from top of my heart
@emmamashinyaye3115
@emmamashinyaye3115 2 года назад
Simba nkana
@SGS-ts1eb
@SGS-ts1eb Год назад
After watching the flavor of Simba Sc against Horoya AC played yesterday 18/3/2023 I came again to watch the clip of this match then I realize Simba's flavor remains at high.
@benmwasakujonga3575
@benmwasakujonga3575 5 лет назад
Nan hachoki kuchek hii video Kama mie like tujuane
@keyakeya8911
@keyakeya8911 5 лет назад
Mm hapa yani mwezi Hu Wi-Fi lazima bili ipande
@salimhaji1901
@salimhaji1901 5 лет назад
Jujom
@mwajaburamadhani3763
@mwajaburamadhani3763 5 лет назад
hunishind mm
@rajabuyasini33
@rajabuyasini33 5 лет назад
@@keyakeya8911 muziki wakenya simba mundu
@oscarmasamaki4023
@oscarmasamaki4023 5 лет назад
Dah hii game ni hitoria
@konyakisinza5629
@konyakisinza5629 5 лет назад
Kama umeskia goli la kigaid gonga like hapa ( mkude)
@mastarjay2635
@mastarjay2635 5 лет назад
#+254Congrats neighbors....commentator uko juu napenda
@ReshanMukbir-sc1ro
@ReshanMukbir-sc1ro 4 месяца назад
Hiii Simba ilikuwa yamoto jamani sichoki kuiangalia 2024♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@saidothuman3329
@saidothuman3329 2 года назад
Hii mechi haijawahi kunichosha kuitazama,💪 gonga like kama upo na mimi
@MwaarabHassan
@MwaarabHassan Год назад
Kwel kabila broo
@StoryMwakasagule
@StoryMwakasagule 4 месяца назад
Ainichoshi
@HusnaKilwanda-rt6se
@HusnaKilwanda-rt6se 3 месяца назад
Me chama tyu
@IbrahimMadebe
@IbrahimMadebe 11 дней назад
Kwakwel
@EliasiSamweli-d8b
@EliasiSamweli-d8b 2 дня назад
Uwa kika 4:29
@sekeyifabian9517
@sekeyifabian9517 5 лет назад
Yuko wapi anayeteseka? Safi sana Sauti ya Radi.
@jamalinombo6427
@jamalinombo6427 5 лет назад
Sekeyi Fabian vichekesho
@twahiruhamisi392
@twahiruhamisi392 5 лет назад
Sekeyi Fabian
@elizabethkasika9127
@elizabethkasika9127 5 лет назад
Sekeyi F
@teamvardy5106
@teamvardy5106 5 лет назад
#MWAMBA_WALUSAKA
@kiprutoCollins254
@kiprutoCollins254 5 лет назад
Napenda ligi ya Tanzania ila mimi mkenya...mafans wa TZ wanajitolea kwa mpira wao!! Hongera watanzania...ingawa mechi hii ni ya kufuzu ...
@kenedymgema1012
@kenedymgema1012 4 года назад
Hamia bongo upate raha
@wanawaufalme407
@wanawaufalme407 4 года назад
Vp
@hamisihamza9990
@hamisihamza9990 4 года назад
Sichoki kuitazama hii mechi kwkweli
@cleoparnnkeni1431
@cleoparnnkeni1431 2 года назад
Mapenzl
@cleoparnnkeni1431
@cleoparnnkeni1431 2 года назад
Mapeenzi
@rashidshia1594
@rashidshia1594 5 лет назад
Sijui kiingereza ila leo ntajaribu This is simba
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 2 года назад
Yani hii ni mara yangu ya 8 naingalia hii mechi it was so fantastic 🔥🔥🔥
@mwashiuyayoshuatv9829
@mwashiuyayoshuatv9829 2 года назад
Karibu 9m viewers ... Simba is another level ...
@asiajuma5784
@asiajuma5784 5 лет назад
Wa kwanza jaman like zenu
@athmanrajab7740
@athmanrajab7740 5 лет назад
Pia Mimi nataka kuwa shabiki wa Simba. Nisajili nami
@athmanrajab7740
@athmanrajab7740 5 лет назад
😘😘😘😘😘😍😍😍
@asiajuma5784
@asiajuma5784 5 лет назад
@@athmanrajab7740 karibu maana hii ndo Tim pekee ilobaki Tanzania 🤣🤣🤣🤣💪
@athmanrajab7740
@athmanrajab7740 5 лет назад
Mimi n mkenya Halisi lakini nimeipenda Simba.
@musajuma7287
@musajuma7287 5 лет назад
Nakubali chama
@jumamohamedi8388
@jumamohamedi8388 5 лет назад
Hongereni majirani
@laurentchimbirani5990
@laurentchimbirani5990 4 года назад
One among my favourite match #Simba 🔥🔥🔥🔥 #NGUVUMOJA 😍😍😍😍😍
@andrewshustle1331
@andrewshustle1331 4 года назад
THIS HISTORY FOR THE ALL FANS OF SIMBA IT NEVER FORGET FOREVER...OOOVER!!!! 🦁🦁🦁
@mussarobert7281
@mussarobert7281 2 года назад
...
@ernestkalulu7749
@ernestkalulu7749 11 месяцев назад
Th8s his to for the all fans of Simba it never forger
@ommyRajuu
@ommyRajuu 6 месяцев назад
Yeesss ! Yeessss! Oooh Yesssss!!! Daah Mpenja ur da Best!
@khalidmtelemko2284
@khalidmtelemko2284 5 лет назад
It was marvelous...Naona mkodisho FC walirukia gari kwa mbele wanarudi nyumbani wakiwa na michubuko ya kuburuzwa This is Simba bandugu
@alexjackobombwira674
@alexjackobombwira674 5 лет назад
Khalid Mtelemko not
@Lionheartkarate
@Lionheartkarate 11 месяцев назад
Of coz,,, we call them vinyesiiiii fc
@ramadhanimussa882
@ramadhanimussa882 5 лет назад
Kama Wewe ni Shabiki Wa Simba Mnyama Gonga Like Hapa
@kelemenschappa2828
@kelemenschappa2828 5 лет назад
Ramadhani Mussa chamaaaaa na mkude ni noma wameshuka na mashetani wekundu jumla jumla ,
@khajiabduly7962
@khajiabduly7962 5 лет назад
Jaman simba ni simba tu 🦁🦁🦁 ata umpeleke poli ngan bado tu ni simbaaaaaaaaaaaaaa🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
@peterbandah5560
@peterbandah5560 3 года назад
My favorite video in RU-vid ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@VIDEOS-iq2cg
@VIDEOS-iq2cg 2 года назад
This game still on 🔥🔥 till now Simba 🦁
@oscarmazeze1733
@oscarmazeze1733 5 лет назад
Aaaa hahahahahahaha AAA hahahahahaja AAA haahaha Aaa hahahaha daah nimecheka sana na nimefurahi sana jamn mnyama simba kuibuka na ushindi siku ya leo naomben like zenu basi ili nifurahi zaid
@robertrobison8393
@robertrobison8393 5 лет назад
Kkama kawaida wekundu WA msimbaz
@mohamedliwawa6119
@mohamedliwawa6119 5 лет назад
Chama si mtu mzuli kabisa yani duhhh noma sana.
@santothebos9845
@santothebos9845 5 лет назад
SIMBA ni balaaa
@santothebos9845
@santothebos9845 5 лет назад
Chama mpira unamueshim
@alexleonard8507
@alexleonard8507 5 лет назад
nguvu moja
@elpatron5664
@elpatron5664 5 лет назад
Engineer soma ngapi hukoooo. Angalia wasisome wa matopeni
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
hehehe wana zengo mna maneno dooh, co kwa dongo gizani kiasi hicho!
@paschalsamwel5921
@paschalsamwel5921 5 лет назад
hahahahaha, 3 1
@youngassaidy7845
@youngassaidy7845 5 лет назад
Chamaaa soma kwenye ramaniiii. Engeneer soma mkudeeee.ngapiiiiiiiii ukooooo kagereeeeeeee
@asiajuma5784
@asiajuma5784 5 лет назад
Engineer soma hiyoooo😂😂😂😂
@reyjosee9390
@reyjosee9390 5 лет назад
young assaidy soma kwenye ramaniiiii
@youngassaidy7845
@youngassaidy7845 5 лет назад
@@asiajuma5784 hhhhhhhh somaaaaa iyoooo
@youngassaidy7845
@youngassaidy7845 5 лет назад
@@reyjosee9390 engeneer somaaaa
@ismailhamis6051
@ismailhamis6051 5 лет назад
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh soma kwenye raman
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 3 года назад
It was a classic 🔥🔥 wow wow cwez sahau Maisha yng yote ❤
@rubentaashishi8712
@rubentaashishi8712 3 года назад
shokali
@jacksonkisheri6382
@jacksonkisheri6382 4 года назад
Kama bado unaangalia kama mimi gonga like
@joackimmbonde4125
@joackimmbonde4125 5 лет назад
Like kwa mtangazajj baraka mpenja
@dionisjoseph5604
@dionisjoseph5604 5 лет назад
Here we go Octobre!!.. 19!!! Sichokiii aiseee daaaaaa hii Simba ilikuwa ya Moto sanaa
@sadih5333
@sadih5333 5 лет назад
Team coach wa simba ,Patrick ! Kwamara ya kwanza leo ,kashangiria kwa mtindo wa Masuod Djuma.
@eliasmollel2941
@eliasmollel2941 5 лет назад
S SALI
@eliasmollel2941
@eliasmollel2941 5 лет назад
S SALIvjvjc
@twalibusaidshaban457
@twalibusaidshaban457 Год назад
2023 na bado cjatoka kuiangalia npen maua yang jaman npen like zang
@kelsonkenedy6473
@kelsonkenedy6473 4 года назад
Kama kuna mtu amesikia kelele ya shabiki kabla ya goli la mkude weka like
@agnessjohn8404
@agnessjohn8404 5 лет назад
anaitwa chamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa +mkudeeeeeeeeeee +kagereeeeeeeeeeee this is simba brother nani anateseka nani Alisema simba hawaendi kwenye makundi 😀😁😀vyura mtapata tabu sana
@Kenya-dv7ls
@Kenya-dv7ls 5 лет назад
We are happy for you majirani +254
@kuchapafaraji2841
@kuchapafaraji2841 4 года назад
Kenya 12345
@lukeodongo3481
@lukeodongo3481 5 лет назад
This is simba from kenya
@godblessjrtz.8652
@godblessjrtz.8652 5 лет назад
One love, East Africa forever
@robertdeniely7917
@robertdeniely7917 3 года назад
@@godblessjrtz.8652 hurry thou I kick on IOC
@insightsecure2819
@insightsecure2819 2 месяца назад
naangalia marudio 2024 mwezi 8 naburudika sana tupia like yako kama tupo pamoja
@hemedbacco4719
@hemedbacco4719 Год назад
20th October 2022 still watching this match.. Unforgettable day
@brainsngaugula6075
@brainsngaugula6075 5 лет назад
This is Simba in Manara's voice
@ngaraboykobelo5133
@ngaraboykobelo5133 5 лет назад
Chama mungu akupe uhai mrefu sana
@mlekwamgula3663
@mlekwamgula3663 5 лет назад
Mechi ya kimataifa timu ya kitaifa magoli ya kimataifa hiyo ndio simba blaza
@santothebos9845
@santothebos9845 5 лет назад
Kweli kabisaaaaaaaa
@santothebos9845
@santothebos9845 5 лет назад
Huyo ndio mwamba wa lusaka
@fabianbenedict1352
@fabianbenedict1352 5 лет назад
Tena siyo simba tu simba ya kimataifa
@josephbikolimana9059
@josephbikolimana9059 5 лет назад
hata mess hajawahi funga goli la aina hiyo ,,,,, nimeliona kwa ronaldo2,gonga like zenu kwa chama
@lucascharles5144
@lucascharles5144 5 лет назад
Mlekwa Mgula
@franktesha8117
@franktesha8117 5 лет назад
Hii simba itanitoa roho hilo goli la chama kuna watu wanatesek
@mathiasnchimbi6493
@mathiasnchimbi6493 5 лет назад
Baba wapo wengivsana wanaoteseka
@AcksunBonifas-mj2sw
@AcksunBonifas-mj2sw 6 месяцев назад
jameni ee hii game i 'll never forgate ..simba nguvu moja❤❤❤🎉🎉
@magrethelia1085
@magrethelia1085 3 года назад
Mimi Nimerudi Tena Hapa Kuangalia Goli La Chama 🔥🔥🔥🔥
@ubwabwa1790
@ubwabwa1790 5 лет назад
leo nimefurah sana this is SIMBA
@tusiipendeduniaduniasikutu4819
Ata mfungwe gori mia hiii mechi ilinifanya nijivunie kuishabikia simba YES WE CAN
@happyben6200
@happyben6200 5 лет назад
noma sana mnyama anatisha mwityuni jamani naombeni ĹÌĶƏŘ
@barakaanipokeakibona8546
@barakaanipokeakibona8546 3 года назад
2021 still watching this amaizng game .wangap tuko pamoja
@sultanikawambwa4118
@sultanikawambwa4118 5 лет назад
Hongera zenu wana Msimbazi, hii ni nafasi kwa Yangaa kupambana na TPL.
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
kw kweli, wakt simba wakienda kufika ile hatua ambayo msimu ujao hana haja ya kuanza mtoano huhuhu
@petermakwaya9665
@petermakwaya9665 5 лет назад
Ha ha ha ha ha usiombe ufungwe goli hrf Baraka Harrison Mpenja awe kwny kipaza sauti utateseka sana
@arafatinayama6354
@arafatinayama6354 3 года назад
Niliipenda Sana 👾
@marcojonline7847
@marcojonline7847 5 лет назад
Watanzania ifike mahal tubadilike ushabiki mwngne tuweke pembeni ushabiki wetu tuufanye kwenye lingi zetu za ndani lakin inapotokea team yetu imetoka kucheza nje sote tushikamane huo ndo mpira na tufananikisha kuendelea kimpira sio km tunavyofanya kwa sasa ukweli yanga mmezingua
@matokeokidatochapilimapund7641
MARCOJ Tz ni kweli iseeeeeee, hata kwangu Nyasa wapo wengi zaidi
@jestagodiwe2438
@jestagodiwe2438 5 лет назад
Lakini wamebaki midomo wazi hawana LA kusema hahahaaa vyuraaa
@mohamedmkanga1502
@mohamedmkanga1502 5 лет назад
It's not fear.........!
@marcojonline7847
@marcojonline7847 5 лет назад
Inakuwa haipendezi sababu Team inapocheza kimataifa hapo sio usimba na uyanga tena Bali Team inakuwa inawakilisha taifa na kupeperusha bendera ya taifa kwa mda huo sasa mnapogeuka kuwa wapinzani for nothing huo ni ujinga just imagine unaizomea Team yako ya nyumban afu unaishangilia Team from no where mfano NKANA angeshnda kuna faida gani kwetu km watanzania
@christianwalesi4866
@christianwalesi4866 5 лет назад
Wamatopeni waliofeli, usimalize nguvu zako kubishana nao waache ka walivyo
@Voice_of_Nzega
@Voice_of_Nzega 6 месяцев назад
Duh, nmerudi Tena kuicheki Leo 2024. Wana simba tujuane
@nathaliapeter9085
@nathaliapeter9085 2 года назад
Unbelievable love u simbaaaa
@eliaisaya514
@eliaisaya514 5 лет назад
Mmmmmmm kama umepita hapa ukaona 1k comment na haujawai ona tena pengine kwenye mpira wa tz Like plz
Далее
MAGUFULI ATUMBUA JIPU MBELE YA WANANCHI
5:27
Просмотров 2,8 млн
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
Просмотров 2,7 млн
Best Kung Fu Fight Scenes:  Bruce Lee
16:29
Просмотров 30 млн