Huu wimbo unanikumbusha kwenye harusi yangu 2017 mwezi Julai.Asanteni nyote mliofanikisha sherehe ile.Baba hukushiriki kwa sababu ya maradhi.Endelea kupumzika babangu
Kila ninapo utazama huu wimbo RU-vid lazima niandike ujumbe kiukweli nafarijika and always namkumbuka baba yangu kama nipo nae mpaka sasa . endelea kupumzika Kwa aman baba yangu..nani tupo pamoja 2024.june like zako
Dady and mom we mic you soo much... Tunamshukuru Mungu mlipata muda wa kutulea vzur ktk hekima na maarifa ya Neno la Mungu.... Mungu awapumzishe kwa aman ipitayo akili za kibinadam..... Tumewakumbuka sana.
You will still in my heart.. always our life from God . rest in peace my father...my love mama I love you be blessing and I love you..I miss you soon I will be with you dodoma..
Ahsante sana wazazi wangu kwa kusikia wimbo huu maana kama si ninyi nisingefika hapa nilipo Mungu wajalie wazazi wangu afya njema na pia mafanikio memaaa
Wimbo mzuri kka, Mungu azidi kkuinua azidi kuinua kipaji chako azidi kuibariki kazi ya mikono yako Amina. Yan sijui uliwaza nni ukatoa mashair mazur hivi, ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
Asante sana kwa wimbo mzur MUNGU akutie ktka huduma yako. Nawashukuru sana wazaz wang kwa malez mazur kwang nawaombea kwa MUNGU muish miaka mingi AMINA ❤❤❤❤❤❤❤ sana home boy.
Nyie mliolelewa wazazi wenu tena woote wawili mshukuruni sana mungu kwan mungu alitusaidiwa hata tukalelewa na ndugu hivyo mapenzi ya wazazi tuliishia kuona kwa majilani
Nyimb Nzur San, Lkn Kat ya wasanii walioniangush na we umo, nilitarajia makubw mno baad ya Album hii lkn nashangaa kimyaa, Cjui tatzo nn kwa talent hii, "Mungu akubarik uinuke ten"