Тёмный

SIMON MWAMBEJE - BABA NA MAMA 

Paul Mwaitenda
Подписаться 7 тыс.
Просмотров 280 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 223   
@deodatusmtitu3573
@deodatusmtitu3573 7 месяцев назад
Huu wimbo unanikumbusha kwenye harusi yangu 2017 mwezi Julai.Asanteni nyote mliofanikisha sherehe ile.Baba hukushiriki kwa sababu ya maradhi.Endelea kupumzika babangu
@Salomeshimwela
@Salomeshimwela 6 месяцев назад
Wacha weeee
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Pole sana 😢😢😢😢😢
@EzekielJoseph-n7p
@EzekielJoseph-n7p 2 месяца назад
Asante sana simio mwambeje unanikumbusha nyuma maana mara ya kwanza kuusikia huu wimbo kwenye msiba wa my mother barikiwe sana
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Pole sana dear
@AdelinaIsaya-p6b
@AdelinaIsaya-p6b 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ hiyo nyimbo nzuri sana nakumbuka tulikuwa tunaenda kuangalia mnakaa chini vile wanaonesha majeneza watu wanavyzikwa usiku hatulali😂😂😂
@AllenMwalimu
@AllenMwalimu 4 месяца назад
Kila ninapo utazama huu wimbo RU-vid lazima niandike ujumbe kiukweli nafarijika and always namkumbuka baba yangu kama nipo nae mpaka sasa . endelea kupumzika Kwa aman baba yangu..nani tupo pamoja 2024.june like zako
@joashmutoto7260
@joashmutoto7260 3 месяца назад
keep going brother I like this song God blesse you,,,,one day naomba tuimbe sote
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Asanteeeeeeeee eeeeeeee wa zaziiiiii kwa malez mazur
@samwelmwaijumba6018
@samwelmwaijumba6018 5 лет назад
Dady and mom we mic you soo much... Tunamshukuru Mungu mlipata muda wa kutulea vzur ktk hekima na maarifa ya Neno la Mungu.... Mungu awapumzishe kwa aman ipitayo akili za kibinadam..... Tumewakumbuka sana.
@AllenMwalimu
@AllenMwalimu 10 месяцев назад
Always nakukumbuka Mzee wangu.. endelea kupumzika Kwa aman..
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Pole sana
@swighagha
@swighagha 4 месяца назад
Barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa ujumbe uliotukuka.
@AllenMwalimu
@AllenMwalimu 10 месяцев назад
You will still in my heart.. always our life from God . rest in peace my father...my love mama I love you be blessing and I love you..I miss you soon I will be with you dodoma..
@neemadaniel6203
@neemadaniel6203 Год назад
mtumishi adi machozi yamenitoka asanteni sana wazazi wg
@AnnaYuda-z2b
@AnnaYuda-z2b День назад
Ahsante sana wazazi wangu kwa kusikia wimbo huu maana kama si ninyi nisingefika hapa nilipo Mungu wajalie wazazi wangu afya njema na pia mafanikio memaaa
@agnesyjoseph3906
@agnesyjoseph3906 Год назад
Naupenda Sana huu wimbo barikiwa mtumishi
@SechelelaJohn
@SechelelaJohn Год назад
Asante sana wazazi wangu Kwa malezi Bora hasa ya kumjua Mungu 😢😢😢
@aidakasiba1632
@aidakasiba1632 Месяц назад
Asante Sana Wazazi Wangu Kwa Malezi Bora Hasa ya kumjua Mungu. 😢😢😢😢
@bettymlaki9669
@bettymlaki9669 3 года назад
Huu wimbo naupenda unanitoa machozi. Kati ya vitu vikubwa wazazi wangu wamefanya ni kunieleza habari za Yesu. Mungu awabariki
@brycesonngungugu1535
@brycesonngungugu1535 2 года назад
Mungu akuongezee Hekima kwa wimbo Bora kabisa
@AnnSofi-dp5pe
@AnnSofi-dp5pe 5 месяцев назад
So touching...it's quite reasonable be blessed man of God🙏
@leonardkelya1127
@leonardkelya1127 Год назад
Ubarikiwe mtumishi wa mungu mungu akujalie
@bettykazoya2990
@bettykazoya2990 9 месяцев назад
Nabarikiwa sana na wimbo huu, mungu akubariki sana
@pamelacleophace8444
@pamelacleophace8444 2 года назад
Mungu akubaliki huwa nabalikiwa sana nikisikia wimbo huu had najikuta nalia
@fridaminja7191
@fridaminja7191 2 года назад
Wimbo mzuri kka, Mungu azidi kkuinua azidi kuinua kipaji chako azidi kuibariki kazi ya mikono yako Amina. Yan sijui uliwaza nni ukatoa mashair mazur hivi, ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
@fridaykwama7715
@fridaykwama7715 5 лет назад
Hongera kwa kuwashukuru wazazi mtumishi,ujumbe makini sana.
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Ujumbe mzur sana
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela 6 месяцев назад
Asante sana kwa wimbo mzur MUNGU akutie ktka huduma yako. Nawashukuru sana wazaz wang kwa malez mazur kwang nawaombea kwa MUNGU muish miaka mingi AMINA ❤❤❤❤❤❤❤ sana home boy.
@stanfordmwanjelwa5229
@stanfordmwanjelwa5229 4 года назад
Barikiwa sana mwambeje wana ipinda tunakukubari sana mtumishi songa mbele
@imanimwandosya370
@imanimwandosya370 Год назад
MUNGU aifikishe mbali huduma yako mbele zaid mtumishi, Simon Mwambije.
@hopemacha4419
@hopemacha4419 6 лет назад
Hongera sana kaka Kwa wimbo wenye ujumbe mzito Mungu aendelee kukutumia
@felistermbua2715
@felistermbua2715 6 лет назад
Umenitoa machozi hu mwimbo, Mungu akubariki kazi yako njema
@emmanuelyjafety4777
@emmanuelyjafety4777 3 года назад
Safi sana wimbo wako mzuri Mungu alibariki🙏🙏🙏🙏🙏
@franciscamtolihela6277
@franciscamtolihela6277 5 месяцев назад
Usikate tamaa mzazi ipo siku utaimbiwa wimbo huu kwa huyo unaetaka kumkatia tamaa. Barikiwa.
@marthamsafiri3582
@marthamsafiri3582 5 месяцев назад
Kazi yako ni njema sana barikiwa sn Simon Mwambeje🎉🎉🎉
@martinemanuel9782
@martinemanuel9782 5 лет назад
Mungu akubariki sana mtumishi Huku arumeru kila harus huu wimbo ni lazima upigwe
@leonardkelya1127
@leonardkelya1127 2 года назад
Mtumishi ni Jambo jema hapa duniani kishukuru wazazi kwa kukulea umenibariki Sana ubarikiwe Sana na mungu akulinde
@GervasiBalthazary-du9qz
@GervasiBalthazary-du9qz 9 месяцев назад
Uko vizuri mkuu
@PeninaBalabona
@PeninaBalabona 11 месяцев назад
Mungu akubariki Kwa nyimbo nzuri na kipaji kizuri
@SalmaKimwaga
@SalmaKimwaga 2 месяца назад
Nyimbo nzuri sana nawapenda sana wazazi wangu❤❤❤
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Barikiwa sana
@GislaryMlelwa
@GislaryMlelwa 5 месяцев назад
Wimbo ulipiga siku ya harusi yangu tarehe 28 July 2014 pale ukumbi wa mkapa Mbeya hakika hongera sana mpendwa uliyeimba huu wimbo Mr Mwambeje
@juliusmbiu8131
@juliusmbiu8131 4 года назад
Asante sana kwa Wimbo huu, umenitafakarisha sana. Mungu akubariki sana
@sehewawilliam1613
@sehewawilliam1613 5 лет назад
nyimbo nzuri Sana,,,, MUNGU Akubariki mtumishi,,,Karibu DODOMA
@aidakasiba1632
@aidakasiba1632 Месяц назад
Nyimbo nzuri Sana Mungu akubariki mtumishi ,,, Karibu mbeya.
@stelladavid5301
@stelladavid5301 7 лет назад
Simon, big up wimbo mzuri sana endelea kubarikiwa
@hamisayusuph5966
@hamisayusuph5966 2 года назад
Ubarikiwe sana wimbo mzuri sana, Rip wazazi wangu baba na mama yangu
@binamutawa9637
@binamutawa9637 3 года назад
Nyie mliolelewa wazazi wenu tena woote wawili mshukuruni sana mungu kwan mungu alitusaidiwa hata tukalelewa na ndugu hivyo mapenzi ya wazazi tuliishia kuona kwa majilani
@nellymbughi716
@nellymbughi716 6 лет назад
Kwa sababu yenu wazazi ninaonekana mbele za Mungu ..mbarikiwe sana wazazi wangu nawapenda sana Mungu awalinde!!
@alexombeni3092
@alexombeni3092 Год назад
Mungu akubariki Kaka daima..
@eliudiraphael4100
@eliudiraphael4100 7 лет назад
wimbo wako wa baba na mama umenibariki sana naupenda mno, ubarikiwe sana
@jacklinehermani1491
@jacklinehermani1491 Год назад
naipenda Sana hii nyimbo namkumbuka Sana baba yangu rest in piece dady forever love you papaa
@halfanrashid4977
@halfanrashid4977 7 лет назад
nabarikiwa sana Simon na nyimbo zako,hakika Mungu atakupa zaidi ya hapo
@grecyibuku648
@grecyibuku648 10 месяцев назад
Hongera sana mungu akubariki
@josephnjelekela6512
@josephnjelekela6512 4 года назад
Gonga like za kutosha kama kweli unampenda mzazi wako na baba mleziiii
@mwinjilistimwasenga8569
@mwinjilistimwasenga8569 4 года назад
Karibu tena Tunduma,kanisa la House of Prayer (Huduma ya maombi na maombezi)kwa bishop Furaha Mwakabenga tumebarikiwa sana
@kristaboniphace6873
@kristaboniphace6873 3 года назад
Yan huu wimbo unanikumbusha mama yang na baba yang coz mama yang anaupenda sana
@fedelikalinus5004
@fedelikalinus5004 2 года назад
Unatufundisha jambo jema sana mwimbaji wewe ubarikiwe sana
@saulokapala3091
@saulokapala3091 8 лет назад
Ubalikiwe sana na MUNGU yu pamoja na ww ktk kazi yako ya kueneza injili kwa njia za nyimbo
@annasamo7063
@annasamo7063 3 года назад
Kaka keep going I'm praying for you wimbo ni nimeupenda
@StivinDimoso
@StivinDimoso 6 месяцев назад
Mungu akubakiki sana kwakujua thamani ya wazazi
@elilukumay759
@elilukumay759 Год назад
Mungu akuinue akupeleke viwango vingne
@deosdatmwansanga9437
@deosdatmwansanga9437 3 года назад
Mungu akubarikisana pamoja na kaziya mikono yako
@stelawilliam8836
@stelawilliam8836 4 года назад
Baba na mama nnawashukru pia
@timothsimbeye9237
@timothsimbeye9237 3 года назад
Wimbo Safi ingawa una mda kidogo !!!pga kazi ya mungu
@lucyluambano7112
@lucyluambano7112 2 года назад
Barikiwa sana wimbo mzuri sana
@neemakazula7991
@neemakazula7991 5 лет назад
Wimbo huu unagusa Sana moyo wangu barikiwa Sana iduguye Simon
@eliudhajilingasiku5512
@eliudhajilingasiku5512 7 лет назад
ubarikiwe sana, kaka yangu , MUNGU azidi kukuinua .
@Salomeshimwela
@Salomeshimwela 6 месяцев назад
Asante sana wazazi kwa malezi mazuri mbarikiwe Sanaa
@PaschalPaul-w1m
@PaschalPaul-w1m 3 месяца назад
Mungu.ndie.muweza.wakila.jmb
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Kabisa
@cathmahenge1536
@cathmahenge1536 7 лет назад
be blessed mtumishi nyimbo nzuri mno
@florakapange3227
@florakapange3227 7 лет назад
Asante sana mama kwa malezi mazuri uliyonilea . Kwasababu yako naonekana mbele za watu.
@alpha.lazierkimayan9172
@alpha.lazierkimayan9172 4 года назад
Flora Kapange hongera sana mungu akuinue tena
@rahabusalum215
@rahabusalum215 3 года назад
Wimbo unaujumbe mzur kweli mungu akubariki sana
@hawamwailolo9992
@hawamwailolo9992 7 лет назад
Nawapenda wazazi wangu wote japo baba alinitoka kitambo mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi,mama nimekumic
@bonifacemwakyomawaleo5867
@bonifacemwakyomawaleo5867 2 года назад
I am very much blessed man.
@willyibrahim5538
@willyibrahim5538 2 года назад
Mungu akubariki San mtumishi wa Mungu🙏
@happykatyega1041
@happykatyega1041 6 лет назад
barikiwa sn mtumishi simon nazipenda sn nyimbo zko
@rogathtall4382
@rogathtall4382 6 лет назад
Ubarikiwe Sana kaka...! nimebarikiwa Sana Na nyimbo hii I love my parent
@hassanhasani8644
@hassanhasani8644 Год назад
barikiwa sans wimbo mzur sana
@hoseasimon5279
@hoseasimon5279 Год назад
Nzur San huu wimbo
@TeruCollection
@TeruCollection 2 месяца назад
2024 huu wimbo. Unanifanyia nimependa mama...... Love u mama...rip Baba anguu❤❤❤
@SalomeLyaje
@SalomeLyaje Месяц назад
Mungu akubariki mtumishi
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela Месяц назад
Pole sana kwa kuondokewa na baba 😢😢😢😢😢😢😢
@ndimbwatumi9639
@ndimbwatumi9639 7 лет назад
kweli baba na mama mungu awabariki mzidi kuishi
@joshuakalinga5970
@joshuakalinga5970 3 года назад
Today 09.09.2021 am still listening this song i see happy & blessed forward forward man of GOD ⛪👏🙏🙏🙏🙏🤣🤣🤣
@gracemwacha3254
@gracemwacha3254 7 лет назад
Nice kaka kwa nyimbo nzuriii
@lovenesngomuwo153
@lovenesngomuwo153 Год назад
Nabarikiwa sana
@loningomollel7353
@loningomollel7353 5 лет назад
Mungu akubariki sana kwa ujumbe mzuri
@Eva-l6d1i
@Eva-l6d1i 10 месяцев назад
Kiukweli wimbo ni mzuri sana
@roinaambakisye5163
@roinaambakisye5163 3 года назад
Mungu akubarik mtumish
@zainabmhoka1778
@zainabmhoka1778 5 лет назад
sichoki kuusikiliza huu wimbo Mungu akubariki kaka Simon 2019 August 2
@telesiahaule5700
@telesiahaule5700 5 лет назад
Wimbo mzur mno na sauti nzur barikiwa
@annalyimo3586
@annalyimo3586 2 года назад
Mzur sana umenigusa sana
@amonjiru
@amonjiru 3 года назад
My dad and mum, asanteni sana kwa malezi,. May your soul rest in peace
@anithasanga6159
@anithasanga6159 2 года назад
Ubarikiwe mtumishi naupenda sana huu wimbo unanibarki sana. RIP. Mama angu mzuri nakupenda milele
@esnathmbuni8555
@esnathmbuni8555 2 года назад
Wimbo mzuri unatukumbusha kuwashukuru wazazi
@theresiambunga3155
@theresiambunga3155 4 года назад
Wimbo mzuri unatubariki Sana nawapenda wazazi wangu RIP dady
@mwitachacha7289
@mwitachacha7289 3 года назад
Well done, it is the best song.
@salomefednand6902
@salomefednand6902 4 года назад
Ubalikiwe sana mbaka ushangae kwa wimbo mzuri
@paulamrope5074
@paulamrope5074 4 года назад
Hongera sana ubarikiwe
@lugymwaisumby5074
@lugymwaisumby5074 3 года назад
Mungu akubariki kwa wimbo mzur
@fedricksanga8623
@fedricksanga8623 3 года назад
MUNGU akubariki kaz nzuri sana
@rebeccan2321
@rebeccan2321 7 лет назад
Hongera Mtumishi ,Wimbo wako umenibariki mno,Mungu aendelee kukuinua.
@rachelkiskuli1867
@rachelkiskuli1867 6 лет назад
Ubarikuwe na wimbo wako umenigusa
@rachelkiskuli1867
@rachelkiskuli1867 6 лет назад
Ubarukiwe kwa wimbo mnzuri
@glorymushi7497
@glorymushi7497 3 года назад
Nyimbo nzuri sana mungu akubariki
@williammwajeka3347
@williammwajeka3347 5 лет назад
Nyimb Nzur San, Lkn Kat ya wasanii walioniangush na we umo, nilitarajia makubw mno baad ya Album hii lkn nashangaa kimyaa, Cjui tatzo nn kwa talent hii, "Mungu akubarik uinuke ten"
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 4 года назад
Hawezi kutoa nyimbo kila Siku si unajua grama za kutoa album zilivyo kwahiyo mpendwa subir tu
@josephmanyambania5404
@josephmanyambania5404 Год назад
Mwambeje keta utikupiligwa gwifisile kugu???Aungantaga Kyala
@marymwandandila9327
@marymwandandila9327 Год назад
Ubarikiwe Sana
@barakamlowe3328
@barakamlowe3328 5 лет назад
Asante kwa ujumbe mzuri sana mungu akubariki simon
@barakamlowe3328
@barakamlowe3328 5 лет назад
Kwa sababu nyinyi wazazi naonekana mbele yenu asante Sana⛪
@venanceurassa1900
@venanceurassa1900 5 лет назад
ubarikiwe kaka
@SamwelKibiki
@SamwelKibiki 11 месяцев назад
Waheshim baba na mama update nataka zao❤
@nicksongreyson1759
@nicksongreyson1759 Год назад
Good job
@FettyMussa-vy5dw
@FettyMussa-vy5dw 5 месяцев назад
Nice song ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AsiaKhamis-uo8mu
@AsiaKhamis-uo8mu 5 месяцев назад
Hatamim inanikumbusha halusi ya kaka angu
@dr.erimao4620
@dr.erimao4620 5 лет назад
Excellent Asante sana
Далее
Simon Mwambeje - NI NEEMA
9:44
Просмотров 51 тыс.
JOSEPHAT  MWANJISI - ALIMWENE TATA
9:27
Просмотров 382 тыс.
На самом деле, все не просто 😂
00:45
новое испытание
00:40
Просмотров 223 тыс.
Baba Na Mama
9:22
Просмотров 25 тыс.
Alleluia amen-GAEL
15:02
Просмотров 32 млн
Pst E R Mwasasu " Hawatakushinda "
6:02
Просмотров 423 тыс.
Bahati Bukuku - Waraka (Official Version Video)
12:54
LUTENGANO umbili
7:24
Просмотров 252 тыс.
Nawashukuru Wazazi Wangu
7:10
Просмотров 1,7 млн
Simon Mwambeje - GWIMIKIGWEGE UINULIWE
7:27
Просмотров 239 тыс.
На самом деле, все не просто 😂
00:45