Leo naenda nawakati kesho naenda na wapembeni........asa shuka la nini wakati mgeni mwenyewe maaasai.....kifua cha uji wa ulezi.......roma wa nini huyu kwanza unamficha kwa voko acha wadiscuss.uhisi unacho ambacho huna .......10/10 unajua mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
"""Mwenye kiti si ukae,, au kauka nikuvae""" Tunaanza na kauka nikuvae.. maana yake ukivaa nguo ambayo nikauka nikuvae, haijakauka vizuri inakuwa inawasha mwilini,,, na ule ubichiubichi..... Kuna Madogo wa hip-hop wanajiona ndo wenye kiti Cha hip hop.... Ndo anamwambia,,, Si ukae au ndo unawashwa.... Maana yake mtu anaewashwa anahangaika mara akae mara ajigeuzegeuze,,,, Yani anarukaruka ..... 🔥🔥🔥🔥🔥
Hili goma kweli halinaga swaga ila ni msumali wa moto kwa wanaolopokalopoka kama mtoto wanaokiita lunya ila sijaelewa ishu ya Loma hapo dah ila hili ni jiwe ❤❤❤❤ Kama Kuna anaepingana na hiii ngoma basi kaenda na wapembeni akati sisi tunaenda na wakati🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@@saleheabdallah5461 wenye uelewa mdogo ndo huwa wanamshabikia mbuzi sikiliza verse ya kwanza ni album mbuzi kagoma kwenda 😀😀😀😀👇👇👇ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-4IIgtXoVtQg.htmlsi=MzNKfGkrMHv17B-V
Na hizi sio habari za sahizi, ni habari za baadae, mwenyekiti si ukae, ama kauka nikuvae, kumbe familia, oya hae hae hae, mamamaeee mzuka upae, ngoma itambae, oga ung'aaeee🙌
UZURI NI KWAMBA HUYU MSUKUMA HAJAWAHI KUKISS AZZ YA MDAU YOYOTE ANAAMINI KWENYE TALENT YAKE..... something many Tz cats cannot live without. binafsi im happy we still have main stream rappers who can speak their minds without hesitating about wadau fake waliojaa drama. (mamae akina Petwoman)
Kitambo sana hatukuskia michano kwenye beat ya real HipHop #Bum,ku,Ba Thanks for this Msodoki You are my Idol since day one ❤💥🔥 #Goat @self.discpline.sio.kila.mtu.kapewa😎🙌