Please SUBSCRIBE to Robert Tv Tanzania official RU-vid channel, Anointed Man Of God Pastor Robert Raphael: / @roberttvtanzania #RobertTv #RobertRaphael #PastorRobertRaphael
Hapa tatizo ni moja Tu, kukosa ufunuo WA kweli unaotokana na roho mtakatifu, ili kutofautisha orijino na feki,unaweza usitumie vitu ivyo vyote lkn ukawa feki, mfano watoto wa kuhani skewa, nacho jua kila kitu cha kiroho lazima kijalibiwe kwa njia ya kiroho, mfano 1yohana4*1 msiziamini kila roho Bali zijalibuni Kwanza kama zinatokana na mungu , je na hii roho ya ukosoaji inatokana na mungu! Yesu alisemaje! Hubilini mkisema ufalme WA mungu umekalibia,pozeni,fufueni, takaseni, je haya yote mnayafanya! Kama hamna basi ! Kukosoana sio njia ya kimungu, na mungu hawezi kuku tumia kwa KAZI kubwa zaidi
Yesu aliwaambia wagojwa waombewe na wapakwe mafuta. It's not the water or oil that has a problem but the minister or any servant of God. If satan is a counterfeiter then originals are available ie genuine servants if God
Shida inakuja pale unapoona vifaa hivyo viitwavyo vya kiroho vinainuliwa kuliko Mungu kila anayeinuka anataka maji na mafuta wala hataji maombi kwa kweli sipati jibu nisaidiwe wapendwa
Haiwezekani watumishi wa Mungu wakaotisha mkutano wa wale anautumia visaidizi hivyo muwakanye basi bayana? Mana kelele ni nyingi, lkn uponyaji upo kwa baadhi. Mungu ni NURU na mmoja, hatuelewi Vito sahihi vya kupeleka mapepo hayo yasombwa ba nguruwe tu jamani. Saidieni basi wenye mamlaka za kutowesha majini na viumbe hivyo hatarishi jamani mpendwa mchungaji wewe? .
Zainabuh Mbabazi Mimi siwezi nikajiunga Kwa mambo yasiyo faa dadangu ilekidogo napata inanitosha mungu ndiye mwenye kunipa sina tamaa ya hela ila kumbuka mungu anasamehea wote muhimu kumutafuta ukimuita naye ataitika bila kusita I am a believer