Тёмный

SITORUDI - Q Jay feat Joh Makini 

Подписаться
Просмотров 30 тыс.
% 130

#qjay #johmakini
CLASSIC....

Видеоклипы

Опубликовано:

 

15 янв 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@obeydmwemezi3663
@obeydmwemezi3663 7 месяцев назад
One of my fev song in my life!!!Ni hv nyimbo kali inaishi mileele jaman!!!
@obeydmwemezi3663
@obeydmwemezi3663 7 месяцев назад
Hii Ni 2024!!!ckiza mpangilio wa hizo saut...alaf ckiza hyo beat ilivyopangwa asee!!!...
@astridemtewele2492
@astridemtewele2492 2 года назад
Hkuna vers kali yoyote Katika mziki wa wabongo kwa Dem aliyezingua Kama hii ya mwmba w kasikazin Jo makini.
@MWYTV
@MWYTV 10 часов назад
Huyu jamaaa QJ ameokoka.tuko nae church
@WilliamsAlfred-y7k
@WilliamsAlfred-y7k 4 дня назад
Wasanii wa sasa wa mchongo mno ckia wahuni hao
@jerryjaphet2176
@jerryjaphet2176 5 месяцев назад
Nowadays hakuna mziki mzuri watu wanatupigia kelele tu sikiza chupa ili kwa umakini watu walikua kazini natamani kama wimbo wenu mrudi tena
@hamadyhashimu9784
@hamadyhashimu9784 Год назад
miongoni mwa ngoma kali zinazonifanya nione nyimbo za sasa kama zunguka ya zuchu nione ni uchafu na upumbafu na upuuzi .nyimbokali kama hii hadi chozi linatoka noma sana nyie wakali kwanza mlivyokuwa mmejichagua mkatafuta jina linalofanana na nyinyi mlikuwa wakali kweli nona sana and i never stop litsening this music
@barakawatu9226
@barakawatu9226 Год назад
💯💯💯💯💯
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 9 месяцев назад
Ndio walioharibu muziki hao: Diamond, Zuchu, Baba levo, Whozu, Billnas, Baddest, Rayvanny, Mbosso, Lavalava,chino wanna man na takataka zingine zimetuletea uchafu mwingi sana
@bensonsalum9033
@bensonsalum9033 7 месяцев назад
Lakini C. Records wakatenda Kwa Kuachia biti kali
@EIDABDULAZIZMDEMU-ei4tn
@EIDABDULAZIZMDEMU-ei4tn 8 месяцев назад
Let's good music stay alive
@mursalsalimu8767
@mursalsalimu8767 2 года назад
Wakali kwanza noma xana , ngoma Kali inanikumbusha Moment flan iv
@nextleveltalent1576
@nextleveltalent1576 3 месяца назад
Unapambana sana mwamba safi the old is gold
@edwardmachaku1661
@edwardmachaku1661 5 месяцев назад
Hii ni 2024,lakini Ngoma yamoto sana,hii ndio Bongofleva,mixing ya hatari..
@OmariManjonjo
@OmariManjonjo 5 месяцев назад
Nouma sana
@badmanmshoma
@badmanmshoma 4 месяца назад
BBaa hatree hiii🤘🤘🔥🔥🔥
@madevaketajajr5041
@madevaketajajr5041 2 года назад
Warudi aisee
@vicentsendeu2511
@vicentsendeu2511 Месяц назад
Na itaishi milele daima.
@geraldsanga7093
@geraldsanga7093 2 месяца назад
Mimi sina makosa ila ni wewe kwani ungefanya wewe wajua .....
@kigotymeentertainmentkigoy4858
@kigotymeentertainmentkigoy4858 6 месяцев назад
kama kweli uchawi upo basi aliyeliloga hili kundi la WAKALI KWANZA aliuwa kipande kimoja cha miki mzuri
@baluhyajr.913
@baluhyajr.913 2 года назад
Nakubali sana wakali kwanza
@nextleveltalent1576
@nextleveltalent1576 Год назад
Wakali kwqnza ni unstopable areeef
@bensonsalum9033
@bensonsalum9033 Год назад
Kuna Hii Ngoma, Kuna Nimebaki Loney kuna Niite basi Mpenzi,
@mosamossile9113
@mosamossile9113 Год назад
2023 Wakali kwanza This is Bongo flavor Og
@jacklineevarest5145
@jacklineevarest5145 2 года назад
Nzur Sana + Joh
@nextleveltalent1576
@nextleveltalent1576 Год назад
Hata mimi nakuunga mkononni 🔥
@mathewnicholaus2522
@mathewnicholaus2522 11 месяцев назад
In the loving memory of Bongo Fleva. Back in the days when apples and blackberries were fruits and not gadgets
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 9 месяцев назад
So sad n absurd now we are on musics of sham.
@abdullahahmedi9586
@abdullahahmedi9586 7 месяцев назад
💯👊👊👊👊
@Budi-588
@Budi-588 5 месяцев назад
2024...
@mohamedmuhinge9826
@mohamedmuhinge9826 10 месяцев назад
😂😢😢❤❤
@SaidMgaya-i5o
@SaidMgaya-i5o 10 месяцев назад
2006
@ponsiankahesi1273
@ponsiankahesi1273 2 года назад
NGOMA TAMU SANA TANGU 2007