Тёмный

SNAKE BOY | ep 26 | SEASON TWO 

CLAM VEVO
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 925 тыс.
50% 1

Follow Me On Instagram
/ clamcris_
Tiktok:
/ clam_cris
Facebook:
www.facebook.c...
#Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,7 тыс.   
@PaulMrema-z1e
@PaulMrema-z1e 3 месяца назад
Sitaki like ya mtu mimi naangalia tu😂😂😂❤
@yahyamohamed7218
@yahyamohamed7218 3 месяца назад
Dakika 6 tu kuna watu zaidi ya 30 wanaomba likes badala ya kutoa maoni kuboresha na kusupport kazi nzuri 🤣🤣
@OfficialKajenga
@OfficialKajenga 3 месяца назад
Ata wew mwenyewe uliosema hiv ili ujue umepokelewa vizur lazima uangalie like
@salvatakiseo3359
@salvatakiseo3359 3 месяца назад
Wabongo vichwa vibovu Ndio maana tuko mbele kwenye ujinga kuliko vitu vya maana
@user-ic7felix
@user-ic7felix 3 месяца назад
Kweli kabsa cijui huwa wanapeleka wapy 😂😂😂😂
@DadeMussa-n8k
@DadeMussa-n8k 3 месяца назад
@ibrahjokes5055
@ibrahjokes5055 3 месяца назад
Hatuwez kusuport Zaid ya kuangalia tu 😢😢
@IsayaNassary
@IsayaNassary 3 месяца назад
Big up sana kwa huyu dada alieigiza kama kakoso, anafny kazi sana na kwa ujasiri kiukweli mimi ananifurahisha, tupewe majina ya social media zake tumfollow
@AkimanaHawa-w1s
@AkimanaHawa-w1s 2 месяца назад
Kwel
@FaidaRashid
@FaidaRashid 29 дней назад
Du. Anajua kiukwel
@leonialeopord5343
@leonialeopord5343 3 месяца назад
Jamani kazi nzuri sana, but mnachelewa kutoa episode,, hadi watu tunasahau kama kuna snakeboy
@mrsmisifa
@mrsmisifa 2 месяца назад
Kwly 😢
@RamadhanHamadiFaki_2006
@RamadhanHamadiFaki_2006 2 месяца назад
Dah! imeniuma sana mtukufu alivyo mezwa na chief
@qaseemayoub6758
@qaseemayoub6758 3 месяца назад
Utasikia kenya na burundi tujuane hapa halaf wenye nchi wapo kimya... Haya leo Watz🇹🇿 tujuane hapa kwa like😊
@goldenboy1521
@goldenboy1521 3 месяца назад
Naombeni like zangu hap 😂
@MATEOJOSEPH-nc8gf
@MATEOJOSEPH-nc8gf 3 месяца назад
Mm kwenye Snake boy sijawahi pewa like hebu leo mnipeni hata 10 nienjoy
@JunMbawala-iq9gi
@JunMbawala-iq9gi 3 месяца назад
Upewe like kwan we ndo snake 🐍 boy😅😅😅😅😅😅
@TwahiruAbdi
@TwahiruAbdi 3 месяца назад
Chukua
@sammynyalleKe
@sammynyalleKe 2 месяца назад
Upewe like Kama nani
@JastinFilbert
@JastinFilbert 2 месяца назад
Ili ukanunulie jaba 😂😂
@QuluthumuRajabu
@QuluthumuRajabu 13 дней назад
Nmesha kupa
@ronzevannyboychui1661
@ronzevannyboychui1661 3 месяца назад
IIa sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila clam Nampa mauwa yake clam vevo ❤❤kitu kizuri kabisa 🎉 hongela sanaaa
@Ammarloliso
@Ammarloliso 27 дней назад
Tayari 😂
@hassaniselemani997
@hassaniselemani997 3 месяца назад
tumewachoka mnaopenda kuomba like
@kingcicero1708
@kingcicero1708 3 месяца назад
Ntanzi ajamezwa hii ni ndoto tu, kama utakubaliana na mimi like hapo chini 😂😂😂
@liliy-u3n
@liliy-u3n 3 месяца назад
😢 sure
@jesusiscoming237
@jesusiscoming237 3 месяца назад
Afu ukute kweliii
@jesusiscoming237
@jesusiscoming237 3 месяца назад
Sema wakisoma comment wataweza wakabadilisha scene
@Zenabeby
@Zenabeby 3 месяца назад
Kama kwel vile 😂😂😂
@annaki318
@annaki318 3 месяца назад
​@@jesusiscoming237hahahahaaaaa
@ZuwenaLandism-ft1lb
@ZuwenaLandism-ft1lb 3 месяца назад
Dah sa itakuaje faras kamezwa
@rajabumuhamed477
@rajabumuhamed477 3 месяца назад
😂😂😂 yaani mamtu yamekazana naomba like wa kwanza Badala ya kusifia au kueleza mapungufu yalijitokeza katika hiki kipande
@nafsajuma6269
@nafsajuma6269 3 месяца назад
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂
@rajabumuhamed477
@rajabumuhamed477 3 месяца назад
Ni hatari ​@@nafsajuma6269
@AnnsoilaTanni
@AnnsoilaTanni 3 месяца назад
Kma Unakubali clam kwa kazi zuri anayo faya like zunu jamani Alafu muombe dua azidi kufaya kazi zuri ❤❤❤❤❤
@jumachepesi9960
@jumachepesi9960 2 месяца назад
. In
@NajmaAmir-j9x
@NajmaAmir-j9x 3 месяца назад
Hii movie mnataka fanya kama series za kihind limekwisha hili mnareta jingine
@li2yleonard585
@li2yleonard585 3 месяца назад
Kabisa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
Apo kweli kali lakini ifanye iishe tn
@JaguarEscobar
@JaguarEscobar 3 месяца назад
Pumbavuuuuu yani notification inanifikia asaiv kumbe watu washa moment mda tu na tangia morning Niko online
@mbwanaOmar-vw4gh
@mbwanaOmar-vw4gh 3 месяца назад
Wapili nipen like
@Mnyaturu980
@Mnyaturu980 3 месяца назад
Kila siku naulizaga swali hili hizo like mnazo ziomba huaga mna zifanyia nn na mm nianze kuziomba. ila hakuna mtu alie nijibu zaidi ya kuanza kunipa like pia na wakati sijaziomba sababu sijui kazi zake😂😂😂😂
@SaidSume-xp3kz
@SaidSume-xp3kz 3 месяца назад
Wanauza k.koo
@carolineRivera2198
@carolineRivera2198 3 месяца назад
Nauxa maji mimi
@makeafricaindependent532
@makeafricaindependent532 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@AthumaniKimbindu
@AthumaniKimbindu 3 месяца назад
Ata mm nimeiyona hii
@fridacharles4173
@fridacharles4173 3 месяца назад
Itakuwa kunamalipo wanapata😅
@AlfredChai-lv8zr
@AlfredChai-lv8zr 3 месяца назад
Nimekuwa wakumi kutoka Kenya naomba like zenu
@KENYABASKETBALL_TV
@KENYABASKETBALL_TV 3 месяца назад
Oyaa budaa acha ufala una angusha wakenya.unaomba likes zikusaidie na nini makinika unatuangusha msenge
@kassimabussa6583
@kassimabussa6583 3 месяца назад
Ambao wanaufatilia snake boy tokea season ya Kwanza mpaka Leo tujuane hacheni kuomba like fatilien movie nzuri yenye ubunifu mkubwa
@catherinemrina6687
@catherinemrina6687 2 месяца назад
Nipo hapaaaa
@kennedyselestine7727
@kennedyselestine7727 2 месяца назад
Mimi pia
@rozariaexavery7159
@rozariaexavery7159 29 дней назад
No piaaa
@sadamuall8249
@sadamuall8249 3 месяца назад
Jamani nimewah 😂😂 tunae ipenda snek boy tujuane kwa like
@kelvinfficial
@kelvinfficial 3 месяца назад
Please leo wakwanza naomba muni gongeye like 15 tu 😢 Naomba mutowe likes zenu zote muniachie zangu kumi natano basi 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@AshrafWahid-dr2qn
@AshrafWahid-dr2qn 3 месяца назад
Vipi una kuwa kwanza
@kazungualii5368
@kazungualii5368 3 месяца назад
Nenda ukaombe mola acha kuomba like wewe kengee kwani clam vevo
@kazungualii5368
@kazungualii5368 3 месяца назад
Lichupa hilooo
@AshrafWahid-dr2qn
@AshrafWahid-dr2qn 3 месяца назад
@@kazungualii5368 lakini sija uliza kwa ubaya
@Suma001
@Suma001 3 месяца назад
Watanzania acheni ujinga izo like zikusaidie nni wew toa maoni yako kuusu wasanii wetu ili sanaa yetu ifike mbali sasa ukishaomba like unapata nini😢
@FazilimariamMariam
@FazilimariamMariam 3 месяца назад
Wangapi mnamkubali mwasi nakupenda sana natoka burundi nawapenda nyote
@Dutch218
@Dutch218 3 месяца назад
Mwasi ni mwana ziara mzuri kuliko ntanzi😂😂😂😂
@philipolugoma3796
@philipolugoma3796 3 месяца назад
Clam hana mpinzani kwa sasa kama unaamini gonga like za kutosha kumspoati mwamba wetu🔥🔥🔥🔥🔥
@Mukansconstruction
@Mukansconstruction 3 месяца назад
Since Steven kanumba passed away, Bongo movies never had a best movie like this one ,please guys we need to support this guy because I can't get bored with it
@SheenWorries
@SheenWorries 3 месяца назад
You said it all
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
❤❤❤
@Zanzibar324
@Zanzibar324 3 месяца назад
Wa kwanza leo
@ibrahjokes5055
@ibrahjokes5055 3 месяца назад
Mm siombi like bali nasuport kaz za clam na support yangu n kuangalia tu au kuna mtu anambinu nyingine anipe😢🎉🎉🎉
@MR_RAMSATZ
@MR_RAMSATZ 3 месяца назад
umenena
@rehemasumuley-yv3wh
@rehemasumuley-yv3wh 3 месяца назад
Hongera Sana clam KAZI nzuri Sana Ila unachelewesha sana
@SarahWanjiru-d5w
@SarahWanjiru-d5w 3 месяца назад
Nani hajaamini mtanzi atamezwa na chifu kama mimi,mbona naona kama ni ndoto team Clamvevo mpo❤❤❤
@muddyramadhan3255
@muddyramadhan3255 3 месяца назад
Hivi mbn watu wamezd kuomba like zinawasaidia nini badala kutoa maon kila mtu naombn like ase day
@KadoridoJr
@KadoridoJr 3 месяца назад
Niwasenge hawajitambui
@Kib-jsanley
@Kib-jsanley 3 месяца назад
😂😂like
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up 3 месяца назад
Huyu chief wa himayaa ya nyoka ni balaa sana yupo tayare kuuwa kisa madaraka
@aishaomar2287
@aishaomar2287 3 месяца назад
Na huo uhalisia wa viongozi wetu wengi wa sasa🥲
@rosemarenga832
@rosemarenga832 3 месяца назад
​@@aishaomar2287kwel kbxaaa d Wala ujakosea
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
​@@aishaomar2287Umeongea Pointi msingi sana
@saidali-ur9dk
@saidali-ur9dk 3 месяца назад
gud
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 3 месяца назад
Ni vitu vyenye vipo faume amekua ruto
@IBRAHIMOFFICIAL-k1c
@IBRAHIMOFFICIAL-k1c 3 месяца назад
Waliousubiri mwezi wa 7w@snake bigg bosssssss ginga chuma tunakitazamia apa sasaaaaaa😮😮😮😮😮😂😂😂
@OthmanAbdallah-y4v
@OthmanAbdallah-y4v 3 месяца назад
Clam ushakuwa unazinguwa sasa. Filamu gani hii ya mwaka mzima. Usichoshe watu, mwisho watu watapunguka katika kukuunga mkono, huu ni mfumo m'baya sana wa kibiashara.
@JumaYusuf-x9k
@JumaYusuf-x9k 3 месяца назад
😂😂😂😂
@magrethtuma5843
@magrethtuma5843 2 месяца назад
Kwel bhn move mi had nishaichok😂😂
@amaninachan9400
@amaninachan9400 2 месяца назад
Huu ni upuuzi tyu
@EvodiaAdam
@EvodiaAdam 3 месяца назад
Jaman ntanzi yupo mbona hajamezwa lakin alirudi labdah kama kamezwa huku mwishon nakama kamezwa bas ni ndoto😊
@ZahraAlly-wq4ku
@ZahraAlly-wq4ku 3 месяца назад
Haya wazee wa kuomba Like typing...😂😂😂😂
@mohamedcharming7432
@mohamedcharming7432 3 месяца назад
😂😂😂😂
@omarsalum4052
@omarsalum4052 3 месяца назад
😂
@LuluByams
@LuluByams 3 месяца назад
Kutaka like tuh Kuoga Haaa
@ZahraAlly-wq4ku
@ZahraAlly-wq4ku 3 месяца назад
@@LuluByams 😂😂😂
@RashidRashid-wv9ud
@RashidRashid-wv9ud 3 месяца назад
Wewe kama unachukia Sisi wa kuomba like kazi unayo leo mimi wa 500 lakini bado nahitaji like zote zije kwanu
@Better0world
@Better0world 3 месяца назад
Leo wakwanza nipewe likes zanguu
@maryamsylivester8662
@maryamsylivester8662 3 месяца назад
Jamani tuwe tunatoa maoni na kujadiliana kuhusu hii tamthilia pambe ya Nyoka anategemea Maoni na ushauri kutoka kwetu watazamaji lkn kila saa ni kuomba like tu 😢
@maylucson001
@maylucson001 3 месяца назад
Kabisa yani❤
@SarahIbrahim-e7n
@SarahIbrahim-e7n 3 месяца назад
Hapa umesema ukweli
@medaicetz
@medaicetz 3 месяца назад
Maon tujitahd kupambania teknolojia mana bado tuko nyuma simulz nzur ila hamna watu wanaezacreate nyoka na kuonesha anavomla mtu kama zlvo movie za nje hata za miaka ya 70 yan ukiandk movie za snake au anakonda za nje za zaman unaon jins nyok anavotendew haki ila sisi bado Ko madirector na maeditor wasilizike waende nje kujifunza tuko 2024 ila bado ktk edting creation tukubal bado ila kwa uigzaj na story tunqjitahd
@Kib-jsanley
@Kib-jsanley 3 месяца назад
Like🎉neo Geo
@EmeryNkurunziza-dd5iq
@EmeryNkurunziza-dd5iq 3 месяца назад
❤❤
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 3 месяца назад
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo❤
@MahadyaKibwana
@MahadyaKibwana 3 месяца назад
kaz nzur sana clam endelea kupambna hvhv unalirudisha soko la filamu apa nnchn
@EnfridaManyama-xs5ub
@EnfridaManyama-xs5ub 3 месяца назад
Wanaoamini kuwa ntanzi anaota like hapa
@Mscamel
@Mscamel 3 месяца назад
Sio Mwasi lkn?
@gagalinodenatrick1652
@gagalinodenatrick1652 3 месяца назад
😂😂😂😂
@lilianThomas-te6ly
@lilianThomas-te6ly 3 месяца назад
Mmh ngoj tuone
@seifkagawa6918
@seifkagawa6918 3 месяца назад
😂😂😂😂
@njutujedeofficial2998
@njutujedeofficial2998 3 месяца назад
Nami naamini hivo
@MohamedKalivata-qr6sr
@MohamedKalivata-qr6sr 3 месяца назад
Haya wazee like mbilii tu zina tosha kwa snake boy
@Chrismamesofficiel
@Chrismamesofficiel 3 месяца назад
Usinipe like atakama mimi wa kwanza lakini like clam kazi alio ifanya na uni follow na mimi
@whitebraysonwhitecode6756
@whitebraysonwhitecode6756 3 месяца назад
Mimi naona hii tamthilia nikali sana napia tunafurahi sana kupata kitu kizuri ❤❤🎉🎉🎉
@mwendiyycomedy2433
@mwendiyycomedy2433 3 месяца назад
Hii simena imeanza kuudhi sasa..Tunao wategemea kwa ukombozi wanazidi kuuliwa..upuziiii...
@RashidRashid-wv9ud
@RashidRashid-wv9ud 3 месяца назад
Jamani mimi sichoki kuhitaji like kwani kuna watu wanaumia sana humu leo nakosowa kidogo hapo nyoka kummeza huyo farasi mapema hii
@joharibenard9179
@joharibenard9179 3 месяца назад
Hata mm sijapenda kwakweli
@tausifautini407
@tausifautini407 3 месяца назад
​@@joharibenard9179hapo wamechemka
@benjaandea32
@benjaandea32 3 месяца назад
hawa ndo wameanza kufeli tayar farasi ni mganga mkubwa sana xi wakumezwa kilahisi ivo
@aishasalum3372
@aishasalum3372 3 месяца назад
Na mtanzi je kamezwa jamani
@ashrakswaleh2116
@ashrakswaleh2116 3 месяца назад
Hvi niwaulize Ilo joka mnalichkuliaj
@SarahMutale-bk8op
@SarahMutale-bk8op 3 месяца назад
Congratulations,kwamawazo yangu chif atakwendaku mutapika mbele ya watu wanao muamini ntanzi nawaki mutapika njoatoke na nguvuzake kwasababu usijivunie kisitchokuatchako kamamumesoma munijibu
@EtihadBega
@EtihadBega 3 месяца назад
Unaweza ikawa hvo,,lkn piah unaweza kuwa ndoto kwa ntanz au mwasi
@bakunduwukizebenithe7888
@bakunduwukizebenithe7888 3 месяца назад
😂😂😂 ​@@EtihadBega
@ashurahamiss
@ashurahamiss 3 месяца назад
Here we go again na again kaz nzur kama Jana na Leo 🎉🎉🎉af c mnipe izo like jmn 😒 hamjui znaleta utajir 🤧😁taratibu jmn mcnigombeze kiustarab tyuu😘😂❤🎉🎉🎉
@anoldkavishe9223
@anoldkavishe9223 3 месяца назад
Wazee wa kuomba like wapo chap😮😮😮
@hghh6056
@hghh6056 3 месяца назад
Aki ooo si mbwela siupeane guvu za nitanzi aki chaef ndie anameza watu mungu wangu 😢😢😢 much love from kenya 🇰🇪 napenda saana snake boy uuumwaa 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
@suleimanmbogo2457
@suleimanmbogo2457 3 месяца назад
From tz on love
@sirngetich1815
@sirngetich1815 3 месяца назад
Kenyans in the house let's gather here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤
@elviskeiza6136
@elviskeiza6136 3 месяца назад
Tupo😊
@NurahMummy
@NurahMummy 3 месяца назад
Kuna maandamano ama
@NorahGatwiri-co5zq
@NorahGatwiri-co5zq 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂​@@NurahMummy
@NorahGatwiri-co5zq
@NorahGatwiri-co5zq 3 месяца назад
Tuko ndani sna
@vie1234able
@vie1234able 3 месяца назад
We're here, we love Clam
@merinazyd0532
@merinazyd0532 3 месяца назад
Namkubali mwasi kinyama yaani huyu dada yupo sirias sanaa
@DamarisDammie
@DamarisDammie 3 месяца назад
Wapi likes za mbio wazeeee wamekimbia watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kiprotichpeter1386
@kiprotichpeter1386 3 месяца назад
Nilikua nafikiria mie wa kwanza toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 but...👍
@DamarisDammie
@DamarisDammie 3 месяца назад
@@kiprotichpeter1386 😂😂😂😂 team wifi hatuchelewi kamwe
@djnizoh
@djnizoh 3 месяца назад
Unakuta mtu yuko bize kabisa anasoma comment yangu badala ya kuandika ya kwake😂😂😂
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 3 месяца назад
Jamani kazi ninzuli sana hongereni sanah pia mabolesha nimuhim zaidi mana tamsiliya hii Niya viwango kama inge kua inatafsiliwa kwa kigeleza hapo chini inje ya Africa 🌍 ingependeza wegi mwisho kazi isiwe inachelewa sana jamani pa 1 Mungu awatie nguvu❤❤❤❤❤❤
@IrenePhoenix-vv6pe
@IrenePhoenix-vv6pe 3 месяца назад
Wafanye tu kama legend of the seeker! Azaliwe ntanzi mwingine huyu anasababisha watu wanakufa
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 3 месяца назад
Itakua ivyo
@NuhuMwita
@NuhuMwita 3 месяца назад
Kama unamkubali mwasi gonga like hapa
@ummialey6391
@ummialey6391 3 месяца назад
Na mchezo umeisha mastreng wesha liwa na nyoka mnalo la kutueleza
@NuhuMetson-mt1vc
@NuhuMetson-mt1vc 3 месяца назад
​@@ummialey6391 stering kipara😂😂
@aishasalum3372
@aishasalum3372 3 месяца назад
Ni kweli mna na wao wanataka kuwa wahindi kili siku nguvu zake hazirudi tu😂
@RuthOmollo-e7y
@RuthOmollo-e7y 3 месяца назад
Kazi nzuri sana
@NuhuMwita
@NuhuMwita 3 месяца назад
Episode ya 27 ndy mtajua sterling hafi😂😂
@annaki318
@annaki318 3 месяца назад
Kuomba like tu kusifia kuhusu snake 🐍 boy aaaaaaah😂😂😂
@JosephDeus-m7q
@JosephDeus-m7q 2 месяца назад
Mamb
@JosephDeus-m7q
@JosephDeus-m7q 2 месяца назад
Naomba tuwe marafiki
@AmaniMaro-e1v
@AmaniMaro-e1v 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂
@NorbTzofficial
@NorbTzofficial 3 месяца назад
Best series trending in bongo right now gonga like kama unaikubali hii series ❤❤❤❤
@LaurenciaKahimbula-ni1pp
@LaurenciaKahimbula-ni1pp 3 месяца назад
Kam mtanzi kamezwa hakun movie hapa, hay muwe na mwendelez mwema mm nimeishia hapa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
Hii itkw ndoto
@iddimbilinyi8332
@iddimbilinyi8332 3 месяца назад
Huyu mtoto wa abigeli mbona kama anafanana sana na kipara ilifaa awe mwanae 😅 halafu na huyo kipara ni fundi wa kujitetea pale anapobananishwa na wadau 😂😂😂
@SophiaJamali-lf1ki
@SophiaJamali-lf1ki 3 месяца назад
Kweli kabisa 👊👊
@YoungblackPeople-qf7vx
@YoungblackPeople-qf7vx 3 месяца назад
Tafadhali ukiomba like 👍 kumbuka kutwambiya ulipo ziwekaaa😎🤏🤣🫵🫵🫵🫵au mna semajee team snake 🐍
@NeillahMcute
@NeillahMcute 3 месяца назад
Wanakeraa n kuomba like maana wamezieka
@IbraDigila
@IbraDigila 3 месяца назад
Sana tu
@mwanahamis-bg3xu
@mwanahamis-bg3xu 3 месяца назад
Kwanza sijui waache kuangalia kabisa maan wanachosha
@ChrisChris-c5p
@ChrisChris-c5p 3 месяца назад
Kabisa
@GENzRevolution-s2u
@GENzRevolution-s2u 3 месяца назад
Kwa niaba ya GEN Z nimiminishieni likes Naomba tafadhali...
@DianaDianakhatete-xo5eo
@DianaDianakhatete-xo5eo 3 месяца назад
Sisi kama GEN Z tuko pamoja
@SamuelAloo-qv3kg
@SamuelAloo-qv3kg 3 месяца назад
Tupeperushe bendera ya kenya 🇰🇪
@dominamabebe6691
@dominamabebe6691 3 месяца назад
Kipara ni msaliti wa himaya anatakiwa kuchukuliwa hatua kali sana kwa niaba ya wasaliti wote na umbea wake mxiuuu
@CarolyneSimiyu-xq7qk
@CarolyneSimiyu-xq7qk 3 месяца назад
Napenda sana ujasiri wa mwasi na maongezi ya chief ya upole kutoka mwanzo
@ThomasMangale-yv5mk
@ThomasMangale-yv5mk 3 месяца назад
aaaah nyiny mmeanza kutoboo sasa .sasa umemezwa tena .sasa sisi tunataka tusonge mbele nyinyi mwaturudisha nyuma kila saa .naona hii move imekosa mwendelezo
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Jisemee wewe na sio wengine.
@AnthoniaIsdory
@AnthoniaIsdory 3 месяца назад
​@@GeorgeAkasha-zx2rjkwakweli
@EvanceSilayo
@EvanceSilayo 3 месяца назад
Ukweli clam kuna vitu apunguze mambo mengi yale yale yeye anatesekaga tu ajawai simama au ndio yale yakuja kuwa star mwishoni kwa dakika moja
@AnthoniaIsdory
@AnthoniaIsdory 3 месяца назад
@@EvanceSilayo ndio maana yake
@aganzeroger
@aganzeroger 3 месяца назад
Wa kwanza Leo kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@emmanuelchuma7687
@emmanuelchuma7687 3 месяца назад
Likes za nini wataka?
@amaninachan9400
@amaninachan9400 2 месяца назад
Za nn aw pesa
@JeremiahndunguKimani
@JeremiahndunguKimani 2 месяца назад
J​@@emmanuelchuma7687
@barakamachard1944
@barakamachard1944 3 месяца назад
Watu wema wanapitia magumu sana kwenye hii movie kama yalivyo maisha ya kawaida tu watu Wema wanateseka
@yvettempawenimana7111
@yvettempawenimana7111 3 месяца назад
Jamani chifu mbona atawamaliza wote jamani ❤❤❤❤❤❤❤
@ddaddytz
@ddaddytz 3 месяца назад
Kuanzia dk28 mpka 30.... Hicho kipande kina hisia mno huyo dada anae muomba msamaha mchizi Kauwa saaaana🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@YusuphAl-Marzouq
@YusuphAl-Marzouq 3 месяца назад
Shukraan kwenu nyote mlioshiriki katika movie hii hakika mnahitaji pongezi sana 🤝🤝🤝
@AhmadKanasa
@AhmadKanasa 3 месяца назад
Nipen nami like zenu jaman
@YusuphAl-Marzouq
@YusuphAl-Marzouq 3 месяца назад
@@AhmadKanasa Hizo like unataka uzifanyie nini, au zinauzwa na kama ni dili tuambizane maana watu wengi utasikia nipeni like jamani 😁😁😁
@davihkk2011
@davihkk2011 3 месяца назад
Jamani nawaombeni likes leo. Kazi mzuri wana Snake boy season two
@BiisheBugao
@BiisheBugao 3 месяца назад
Aaaah siamini kma Ntanzi kamezwa😢 nimeona mawengee mawenge😂
@FestoKambona
@FestoKambona 2 месяца назад
Kama kwelii wanatakana hawa mbona wanangaliana tia like kama unatak kakoso awe mpenz wa mwamba pale
@ZABRIFASHION
@ZABRIFASHION 3 месяца назад
Kakoso kunajambo mashabiki tunaona aliko sawa, ya ww kuua uhusika wa watu 2, farasi na clam, unatupashida kuwaza
@nellymujinga
@nellymujinga 3 месяца назад
Mnipeni ata like 5 jameni from drc
@mudhakkirhemed
@mudhakkirhemed 3 месяца назад
Watu wa like mupooo 😅mana so kw kuomba like hvyo 😂 au like munachenjisha zinakuaga hela 😅
@NuhuMwita
@NuhuMwita 3 месяца назад
Like 10 zinanitosha kwa leo
@JohnBwija-xg5pf
@JohnBwija-xg5pf 3 месяца назад
Clam vevo ni mwamba sana anajuwa sana
@saidrashid1047
@saidrashid1047 3 месяца назад
Yaani hii move inanitesa kinoma jitahidini kuwahisha muendelezo jaman
@ferouzmasoud3104
@ferouzmasoud3104 3 месяца назад
Oi wa kwanza naombeni like zangu jmn 🤣😂😂 Timu VEVO mnajua sanaaa Hadi kero saruti kwenu ❤
@gersonissa9124
@gersonissa9124 3 месяца назад
Wa kwanza Léo nipe like zangu Toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@emilywambui9920
@emilywambui9920 3 месяца назад
Nimechelewa tu kidogo naomba like kutoka kenya bravo clam vevo ❤
@MastungaGs
@MastungaGs 3 месяца назад
Leo naomba like jamani, mimi niko msobiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇹🇿🎉
@Kib-jsanley
@Kib-jsanley 3 месяца назад
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝usipite bila kunipa like 🎉🎉
@AirtelThesmartphone
@AirtelThesmartphone 3 месяца назад
Leo nimewah jaman 😂😂😂😂 nipen like na mim🎉🎉
@charitychadrek
@charitychadrek 3 месяца назад
Haya lisa limoja nam reo nimewahi siwezi kuomba like lkn nakupa hongera cram kwa kaz mzuri unayofanya congratulations 🎉
@JeseeJeseemuthomi-vj4qc
@JeseeJeseemuthomi-vj4qc 3 месяца назад
Please leo wakwanza naomba muni gongeye like 10 tu😢
@Kashindijohn
@Kashindijohn 3 месяца назад
Zikusaidie nini
@BadfaceTv
@BadfaceTv 3 месяца назад
@@Kashindijohn
@ngoshanangi8629
@ngoshanangi8629 3 месяца назад
Nakubali sana kaka Yangu mwana Cris nikiwa pande za shinyanga, kahama Mjini
@RamboMcMzawa
@RamboMcMzawa 3 месяца назад
Daaah!! Ntanz maskini ya mungu imaya inakutegemea ona Sasa unamezwaa kizembee hivii😢😢najiuwaa mimi
@JoyceRashidi-e7l
@JoyceRashidi-e7l 3 месяца назад
Wakwanza from Burundi 🇧🇮🇧🇮 nipeni like zangu 🙏🙏🙏
@yussufdarus
@yussufdarus 3 месяца назад
Hat me naamin nindot t ila cjamuelew maan ameanza dadali za usalit na uoga Ntanzi
@bensonmusyoki7827
@bensonmusyoki7827 3 месяца назад
Mapema dio best wapi likes za kutoka kenya
@brighton3693
@brighton3693 3 месяца назад
me siwezi kufanya kazi ya kuomba like kila muda badala ya kussuppot watu wanao fanya kazi nzr
@hamzaamry6251
@hamzaamry6251 3 месяца назад
Kwajinsi alivyo kunja mgongo mwinyi mkuu yaani chili huwez kujua kama anambio kias kile😅😅😅
@dshow6363
@dshow6363 3 месяца назад
Wa kwanza jaman nipen likes kwa clam vevo
@Barnizeboy
@Barnizeboy 3 месяца назад
Leo nime chelewa kidogo naomba like mbili tu 🔥🔥🔥
@mkondefrancy8662
@mkondefrancy8662 3 месяца назад
😁😁
@colineycharles3185
@colineycharles3185 3 месяца назад
Leo me wakwanza nipate like zangu
@Prem_Rich
@Prem_Rich 3 месяца назад
Hapo Clam Vevo, angemeza kila mtu hata wasio na hatia, bora huyo mwamba anaji control
@HassanMshaur
@HassanMshaur 3 месяца назад
Mbona kila mmoja anasema wakwanza MH
Далее
SNAKE BOY | ep 27 | SEASON TWO
32:35
Просмотров 957 тыс.
Как открыть багажник?
00:36
Просмотров 12 тыс.
MCHORA KUCHA EP 2
22:44
Просмотров 1,3 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/44/ #love
20:05
Просмотров 151 тыс.
MGENI WA KIJIJI  SEASON1
2:30:02
Просмотров 1,5 млн
KIPESILE | 6 |
29:01
Просмотров 74 тыс.
SNAKE BOY ( 1-5 )
55:00
Просмотров 701 тыс.
MAGIC SCHOOL | ep 01 | FULL EPISODE
28:02
Просмотров 251 тыс.
MR MONEY_EP12
19:04
Просмотров 87 тыс.
MAPOKEZI YA CLAM VEVO ALIPOFIKA CONGO 🇨🇩
3:39
Просмотров 186 тыс.