Big up sana kwa huyu dada alieigiza kama kakoso, anafny kazi sana na kwa ujasiri kiukweli mimi ananifurahisha, tupewe majina ya social media zake tumfollow
Kila siku naulizaga swali hili hizo like mnazo ziomba huaga mna zifanyia nn na mm nianze kuziomba. ila hakuna mtu alie nijibu zaidi ya kuanza kunipa like pia na wakati sijaziomba sababu sijui kazi zake😂😂😂😂
Since Steven kanumba passed away, Bongo movies never had a best movie like this one ,please guys we need to support this guy because I can't get bored with it
Clam ushakuwa unazinguwa sasa. Filamu gani hii ya mwaka mzima. Usichoshe watu, mwisho watu watapunguka katika kukuunga mkono, huu ni mfumo m'baya sana wa kibiashara.
Jamani tuwe tunatoa maoni na kujadiliana kuhusu hii tamthilia pambe ya Nyoka anategemea Maoni na ushauri kutoka kwetu watazamaji lkn kila saa ni kuomba like tu 😢
Maon tujitahd kupambania teknolojia mana bado tuko nyuma simulz nzur ila hamna watu wanaezacreate nyoka na kuonesha anavomla mtu kama zlvo movie za nje hata za miaka ya 70 yan ukiandk movie za snake au anakonda za nje za zaman unaon jins nyok anavotendew haki ila sisi bado Ko madirector na maeditor wasilizike waende nje kujifunza tuko 2024 ila bado ktk edting creation tukubal bado ila kwa uigzaj na story tunqjitahd
Aki ooo si mbwela siupeane guvu za nitanzi aki chaef ndie anameza watu mungu wangu 😢😢😢 much love from kenya 🇰🇪 napenda saana snake boy uuumwaa 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Jamani kazi ninzuli sana hongereni sanah pia mabolesha nimuhim zaidi mana tamsiliya hii Niya viwango kama inge kua inatafsiliwa kwa kigeleza hapo chini inje ya Africa 🌍 ingependeza wegi mwisho kazi isiwe inachelewa sana jamani pa 1 Mungu awatie nguvu❤❤❤❤❤❤
Huyu mtoto wa abigeli mbona kama anafanana sana na kipara ilifaa awe mwanae 😅 halafu na huyo kipara ni fundi wa kujitetea pale anapobananishwa na wadau 😂😂😂
aaaah nyiny mmeanza kutoboo sasa .sasa umemezwa tena .sasa sisi tunataka tusonge mbele nyinyi mwaturudisha nyuma kila saa .naona hii move imekosa mwendelezo