Jiunge nami katika Pocket Broker: clcr.me/CLAM2024 Tumia Promo Code CLAM2024 wakati wa kujiandikisha na upate bonasi maalum kutoka kwangu - +100% hadi amana!
Mmbea kapata msaidiz 😂😂😂kiparaa na kikono mumenifurIsha leo 😂😂😂😂hao alafu uyu tanu anyoe izo ndevu zinatutishia watazamaji au mnasemaje wadua tujuane kwa ilk 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Clam vevo hongera kwa kutupa simulizi nzuri hii, naomba ufahamu kuwa kuna parody linajiita jina lako linakula views za kutosha na watu wamechukizwa sana. Tafadhali, litatueni hili.
Mtu ukiwa mzuri nimtihan,na ukiwa mmbaya pia ni mtihan 😢yan uzur wahuyo dada umemfanya aazibike kimapenzi kila mfalme analala naye 😮hivi niupendo au ndio huo mtihan?🎉🎉🎉🎉 Kazi nzur hongeren sana
Daaah hii.move ninzuri lakini wanafeli kitu kimoja wanachelewesha kazi sijuw tatizo nn sema fresh tutazidi kuwa karbu na chanel yako ya clam vevo ❤❤❤❤the I
Clam mnaweka Giza sana hata kama uwalisia umezidi sasa hatuoni hata sura zenu zaidi ya sauti maombi yangu mrekebishe usiku kusiwe Giza sana tunapata tabu kuwaona jaman
Kama hapa kuna mutu kamu sikiya zinga akiongea,,, ameka te ko landa nga kotoyo nako boma ye from Congo naomba like zangu jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huuuuh yani tunasubiri hadi tuna anza kuisahau aisee ila acha tu like tu ❤❤❤❤Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿, Uganda 🇺🇬 burundi 🇧🇮 Rwanda 🇷🇼 Somalia 🇸🇴 Sudan 🇸🇩 Ethiopia 🇪🇹 CONGO 🇨🇩 ♥
Sidhan Kama Mnasikiliza Maoni ya VIWERS wenu.. Mnailaza sana hii tamthilia. Inafika wakat watu tunakosa hamu ya kuifatilia tena...plz zingatieni Maoni ya Watu