Тёмный

SNAKE BOY | ep 31 | SEASON TWO 

CLAM VEVO
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 764 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,5 тыс.   
@clamvevo6472
@clamvevo6472 Месяц назад
Jiunge nami katika Pocket Broker: clcr.me/CLAM2024 Tumia Promo Code CLAM2024 wakati wa kujiandikisha na upate bonasi maalum kutoka kwangu - +100% hadi amana!
@madamesther6552
@madamesther6552 Месяц назад
promo code inagoma
@DPShabani
@DPShabani Месяц назад
@@clamvevo6472 je ! Nipopote ulimwenguni ama nitanzania tu? Mimi niko uganda mjomba.
@fundiseif1096
@fundiseif1096 2 месяца назад
Snake boy inazidi kua ya moto sana umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪
@rashimikasim2171
@rashimikasim2171 2 месяца назад
Yani nimewahi namba one hongera bro kazi nzuri ila hii movie kali kinoma sema mnachelewa
@EmmanuelNorbert-gh7ui
@EmmanuelNorbert-gh7ui 2 месяца назад
me naomba clam awake subtitle maan movie hii inatizamwa na watu wengi kutoka mataifa tofauti Big up sana kaka clam
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 месяца назад
Nalipenda Sanaa hili la ubaya ubwela zinga nakukubali sanaaa😂😂😂😂😂😂💪💪🙏🙏❤❤
@Veronicamnjeja
@Veronicamnjeja 2 месяца назад
😂😂
@hendrypeter6182
@hendrypeter6182 2 месяца назад
Anaependa ako ka biti like kama 100plz kwa biti tamu mwanzo mwishoooooooo
@CHYULLUKENYA
@CHYULLUKENYA 2 месяца назад
The best movie in East and Central Africa 🇨🇫.....let's gather here men and women, here from kenyaaaaa.....mzigoooooooo
@stevekilonzi7253
@stevekilonzi7253 2 месяца назад
Kenyaaa
@MuhimpunduIssa
@MuhimpunduIssa 2 месяца назад
Wakwanza from BURUNDI 🎉
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 2 месяца назад
Ivi mnajua ifikapo 2099 woote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏🔥
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
Kabisa yn umeongea la maana sana❤🎉
@ElishaKitomari-uz3on
@ElishaKitomari-uz3on 2 месяца назад
Amen mungu kwanza
@NasraShaibu
@NasraShaibu 2 месяца назад
Tena huko mbal
@BatuliJamal
@BatuliJamal 2 месяца назад
Yote ni mpango wa Mola
@feaonlinetv210
@feaonlinetv210 Месяц назад
Siyo Lazima iwe kweli Maana Kuna watoto wa elfu Mbili humu. Japo Mungu hapangiwi
@puritymusidoke9481
@puritymusidoke9481 2 месяца назад
Wow atleast I have watched the long awaited episode, following from Kenya 🇰🇪
@DelarioTz
@DelarioTz 2 месяца назад
Clam vevo,leo nmekua wa kwanza kutoka kenya
@millicentluvai1652
@millicentluvai1652 2 месяца назад
woow finally,,,wa2 wangu wa 🇰🇪c mpite mki kiss comment
@japhetthoya
@japhetthoya 2 месяца назад
Wow...... This is more than a movie..... Ila msikawie Sana kutoa next part please... Following from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kelvinachoki289
@kelvinachoki289 2 месяца назад
Nàpenda kufwatilia kipindi hichi Sana ❤❤ila clam changamka Baba usiwe mnyonge sana😅😊...wapi like za wakenya plz🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥💯
@Fly_Makwatizz
@Fly_Makwatizz 2 месяца назад
Bongo movie jamah inaiirudisha kabisa. From Moz🇲🇿
@Harun_kiba
@Harun_kiba 2 месяца назад
Kitu mzuri lazima iwe na matayarisho Bora finally snake boy is out 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@AgostinhocosmeNambanga
@AgostinhocosmeNambanga 2 месяца назад
Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Leo imekuwa ya kwanza
@Naema-x7p
@Naema-x7p 2 месяца назад
Mmbea kapata msaidiz 😂😂😂kiparaa na kikono mumenifurIsha leo 😂😂😂😂hao alafu uyu tanu anyoe izo ndevu zinatutishia watazamaji au mnasemaje wadua tujuane kwa ilk 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@CatherineFredrick-b9n
@CatherineFredrick-b9n 2 месяца назад
Anyoe bhn😂
@TumsifuMbamba
@TumsifuMbamba 2 месяца назад
😅😅😅😅
@jamesmollel
@jamesmollel 2 месяца назад
Ni kwel
@Naema-x7p
@Naema-x7p 2 месяца назад
@@CatherineFredrick-b9n umeonaeee yuwatutishia bhana😄😄😄
@Naema-x7p
@Naema-x7p 2 месяца назад
@@TumsifuMbamba we uogopi 😄😄😄
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 2 месяца назад
Asante clam vevo Yajayo yanafurahisha kk Mungu akubark ili uzid kutpa burudan
@SadickSalum
@SadickSalum 2 месяца назад
Hii muvi mnachelewa sana kupost mnatunyima uhondo ninyi achen hizoooooooooooo😢😢
@zuhurahamadi9361
@zuhurahamadi9361 2 месяца назад
Snake boy inazid kuwa 🔥🔥🙌 Hongera san Clam vevo
@uzungupoint
@uzungupoint 2 месяца назад
Clam vevo hongera kwa kutupa simulizi nzuri hii, naomba ufahamu kuwa kuna parody linajiita jina lako linakula views za kutosha na watu wamechukizwa sana. Tafadhali, litatueni hili.
@siwemahabanyinawimanzi5995
@siwemahabanyinawimanzi5995 2 месяца назад
Snak boy imekuwa ndefu saana afu inazorota.tunaomba imalizike mtuandalie nyingine.❤❤tunawapenda saana
@FaridaGerald-r6s
@FaridaGerald-r6s 2 месяца назад
Kweli kabisa
@dangomc_niger
@dangomc_niger 2 месяца назад
sahihi
@EdisonLucas-uh1uh
@EdisonLucas-uh1uh 2 месяца назад
Kwel tunafatilia had tunachk
@Ishermoreogfd9un
@Ishermoreogfd9un 2 месяца назад
😢Na inapoteza maana ya kuitwa snake boy instead inakua Kama ni hadithi nyingine kabisa...Hadi tunaloose interest tunaangalia tu kimazoea Sasa🙌
@VeronicaMkasa
@VeronicaMkasa 2 месяца назад
Kazi nzuri sana Mr. Clam vevo🎉
@nkurikiyearodiedavid6255
@nkurikiyearodiedavid6255 2 месяца назад
Hii movie Ina wambea,halafu mimba zote hakuna inayozaliwa,mkijitahidiii anazaliwa na kufa 😂😂😂 anyway ninawapenda sana ,Niko hapa Bujumbura 🇧🇮 Burundi
@najmakan9102
@najmakan9102 2 месяца назад
Umeona eeh😂😂😂😂
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 2 месяца назад
Alfu zakubakwa 🤣🤣🤣🤣🤣
@happydudahog2196
@happydudahog2196 2 месяца назад
😂😂😂😂😂​@@aaminaasljbgbvf745
@kitwanaathumani4667
@kitwanaathumani4667 2 месяца назад
Acha umbea😂😂😂😂😂😂😂😂
@Nimriysbabe984
@Nimriysbabe984 20 дней назад
Acha umbea wako SASA 😂😂😂😂😂😂😂😂
@AsilahHamad-e4f
@AsilahHamad-e4f 2 месяца назад
Msituchereweshee muendelezo tunawaomba sana mashabiki zenu skuiz mbacherewesha sana
@DelachanceKiza
@DelachanceKiza 2 месяца назад
Wakwanza toka 🇧🇮 nipeni hâta moja ndugu zangu
@VumiliaFuraha
@VumiliaFuraha 2 месяца назад
Namupenda Sana clam Vevo angawiii sn kutupatia❤❤❤movie zuri🎉🎉🎉
@DjelitoLumuna
@DjelitoLumuna 2 месяца назад
Nimefurahi kwa luga Ya kongo ❤❤❤
@RaimamomedSaidi-wz1yu
@RaimamomedSaidi-wz1yu 2 месяца назад
Mtu ukiwa mzuri nimtihan,na ukiwa mmbaya pia ni mtihan 😢yan uzur wahuyo dada umemfanya aazibike kimapenzi kila mfalme analala naye 😮hivi niupendo au ndio huo mtihan?🎉🎉🎉🎉 Kazi nzur hongeren sana
@allyshemaeze4817
@allyshemaeze4817 2 месяца назад
l
@Carlos_furaha
@Carlos_furaha 2 месяца назад
Kaz inaendelea !! 🎉🎉Leo nimewah like kwa clam na kasoso 👍👍
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 2 месяца назад
Mwakatobe mpuuzi sana et ubaya ubwela
@VictorNgowi-rw9no
@VictorNgowi-rw9no 2 месяца назад
Kanichekesha kinoma
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 месяца назад
Kila unaeangalia filamu hii mungu akubariki ukawe na maisha marefu sana❤❤
@AndrewKatabuhaga-pv6dg
@AndrewKatabuhaga-pv6dg 2 месяца назад
Zinga Fala Sanaa, et ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂
@SelemaniIddy-nc1n
@SelemaniIddy-nc1n 2 месяца назад
Daaah hii.move ninzuri lakini wanafeli kitu kimoja wanachelewesha kazi sijuw tatizo nn sema fresh tutazidi kuwa karbu na chanel yako ya clam vevo ❤❤❤❤the I
@BrytBryzl2
@BrytBryzl2 2 месяца назад
wanashoot movie zaid ya moja
@SelemaniIddy-nc1n
@SelemaniIddy-nc1n 2 месяца назад
@@BrytBryzl2 daah
@DPShabani
@DPShabani 2 месяца назад
Clam vevo bwana mambo yako yanatisha kweli, endelea baba tuko nyuma yako tu.
@PrinceAmos-y8t
@PrinceAmos-y8t 2 месяца назад
Nakubali sana clam movie nzuri sana ❤❤❤😂😂🎉🎉😮😢😮😮😅😅😊
@HamidaHamisi-l5p
@HamidaHamisi-l5p 2 месяца назад
Clam mnaweka Giza sana hata kama uwalisia umezidi sasa hatuoni hata sura zenu zaidi ya sauti maombi yangu mrekebishe usiku kusiwe Giza sana tunapata tabu kuwaona jaman
@safiBaguma
@safiBaguma 2 месяца назад
Kama hapa kuna mutu kamu sikiya zinga akiongea,,, ameka te ko landa nga kotoyo nako boma ye from Congo naomba like zangu jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DefrozaMatamba
@DefrozaMatamba 2 месяца назад
Sure❤
@KafwimbiMisheck
@KafwimbiMisheck 2 месяца назад
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Kamhandamapambano
@Kamhandamapambano 2 месяца назад
Jamani...kama unaamini muda wako wa kubarikiwa na kufanikiwa sema Amen!❤
@saumbliz8983
@saumbliz8983 2 месяца назад
We pastor umefata nini huku
@AgnessYohana-rd8ny
@AgnessYohana-rd8ny 2 месяца назад
Amen
@ryankoech
@ryankoech 2 месяца назад
​@@saumbliz8983😂😂
@IsakwisaSophen-xp3bk
@IsakwisaSophen-xp3bk 2 месяца назад
Amen
@MariamAbduly-g6v
@MariamAbduly-g6v 2 месяца назад
Ameen
@fatumaselemani3807
@fatumaselemani3807 2 месяца назад
Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤asanteni sana washilika mungu abaliki kazi zenu
@SumailAbdala-lf3ii
@SumailAbdala-lf3ii 2 месяца назад
Wakwanza leo toka Moçambique Palma 🇲🇿🎉
@EspoirSamy-st5le
@EspoirSamy-st5le 2 месяца назад
Zinga mkongo 🎉🎉 liki1000 APA kama uko mkongo
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 2 месяца назад
UBAYA UBWELA ❤❤❤🎉🎉 TEAM CLAM VEVO NGUVU MOJA
@ShipiniMwarabu
@ShipiniMwarabu 2 месяца назад
naza mutu ya liboso Lelo Congo drc
@lizard5201
@lizard5201 2 месяца назад
Nipo chonjo tunafwatilia vevo sijui shida nn mmechelewa hv ila much respect team kubwa❤❤ mm ni wapili lakn mtu wa tano ananizidi like😂😂😂
@filibethluena
@filibethluena 2 месяца назад
Nachojua Kuna kifo Cha Mzee m1 kati ya wale walioigiza
@angelraphael4500
@angelraphael4500 2 месяца назад
Hee 😢
@willykijanaa
@willykijanaa 2 месяца назад
​@@filibethluenaUliyahulia wapi mwenetu hayo au umekuwa KIPARA na SENGO na wewe😂😂😂
@jennygabriel9253
@jennygabriel9253 2 месяца назад
@@filibethluena hatimaye kipara wa kwnye cmnt umepatkana😅😅😅
@AishaJafari-sh4pe
@AishaJafari-sh4pe 2 месяца назад
😂😂😂😂😂​@@jennygabriel9253
@JamaliUssene-di1qm
@JamaliUssene-di1qm 2 месяца назад
Nawakuba sana nawafuatilua mpaka mwisho ipisod
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 2 месяца назад
Uyo Dada kama ni bikra kweli basi namie ni bikra aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno naomba tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@vicentshija
@vicentshija 2 месяца назад
We zainabu wewe😅😅😅
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 2 месяца назад
@@vicentshija 🤣🤣🤣 ninayo kweli ninamiaka 6 Oman sijaupata naamini bikra imerudi🤣🤣🤣🤣
@shahidumaulidi9721
@shahidumaulidi9721 Месяц назад
mmmh 😂😂😂 umenifanya mpaka nimecheka kwa sauti kubwa hahaha we kiboko​@@zainaabdallah809
@aganzeroger
@aganzeroger 2 месяца назад
Mwakatobe akomi deko nabiso 😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩mabete🎉🎉🎉
@IssaAbility
@IssaAbility 2 месяца назад
Wa kwanźa mm kutoka Zanzibar
@joshuanicky45
@joshuanicky45 2 месяца назад
Subira hubuta heri nimesubiri mwishowe imetoka wapi like za clam vevo wadau😂😂
@davidjoetv9595
@davidjoetv9595 2 месяца назад
em andika vizuri na wewe hubuta ndo nini
@TheresiaJohn-ci8dq
@TheresiaJohn-ci8dq 2 месяца назад
😂😂😂😂😂​@@davidjoetv9595
@Babyhuu-mg9mp
@Babyhuu-mg9mp 2 месяца назад
Jaman mnatueka sana kuisubiri tuoneeni huruma man mpak tulitaka kuisahau
@wilfredroberttv841
@wilfredroberttv841 2 месяца назад
Kama umemsikia zinga akisema ubaya ubwela nipe Tano 😂😂
@blackvirus8740
@blackvirus8740 2 месяца назад
Hii ndo komment ni lo kuwa naitafuta
@ojb-star
@ojb-star 2 месяца назад
Best African move big up clam vevo my youngest brother keep it up.
@HassanCoyo
@HassanCoyo 2 месяца назад
KITU BILA KUNIOMBA ❤❤❤ clam VEVO unajua
@anualhemed6808
@anualhemed6808 2 месяца назад
Halafu mnachelewa sana halafu mnaweka dakika chake sana
@anualhemed6808
@anualhemed6808 2 месяца назад
Msichelewe sana🎉🎉🎉🎉
@StevenMakanja
@StevenMakanja 2 месяца назад
Duuu hatimae wametowa baada ya kusubili mda mrefu❤❤❤❤🎉🎉🎉
@NasraShaibu
@NasraShaibu 2 месяца назад
Hawa wambea kwan wanapepean upepo
@mungwetv945
@mungwetv945 2 месяца назад
Snake boy naombeni like zenu please msizingue jamani mimi ni nyoka kweli kweli
@judithpendo9985
@judithpendo9985 2 месяца назад
Wa kwanza team strong mko wapi 🇸🇦🇰🇪♥️💞💞💞💞💞💞 Genz hoyeeeeeeeeee team strong hoyeeeeeeeeee Niko Riyadh apa 😢😢like please 🙏😊
@kawirakenya5279
@kawirakenya5279 2 месяца назад
Riyadh pia
@NGOMA_MUSIC1
@NGOMA_MUSIC1 2 месяца назад
🇨🇩🇨🇩 t'es vraiment méchant mec félicitations Clam un jour je voulais te voir au Congo mon frater 🇨🇩
@eliaselly915
@eliaselly915 2 месяца назад
Good movie nawapenda sana team clam vevo Elias elly from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu 2 месяца назад
Wangapi tulijiongelesha vile hii tamthlia imeishia mahali pa kuenjoy zaidi😂😂😂 Clamvevo kazi safi sana 🎉🎉🎉
@bashirlingardbwo6866
@bashirlingardbwo6866 2 месяца назад
Mke w mtukufu ana upwiru anatka miti (welcome Kenya🇰🇪)
@yuleflexboy494
@yuleflexboy494 2 месяца назад
Wa kwanza leo kutoka Cape town
@KeziaLucas-x7d
@KeziaLucas-x7d 2 месяца назад
Jamn Zumba ni Malaya sana😂😂😂
@ryankoech
@ryankoech 2 месяца назад
😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
😂😂😂
@TitusMwange
@TitusMwange 2 месяца назад
VEVO na team yako nzima mnanifurahisha sana
@wassisindani7993
@wassisindani7993 2 месяца назад
Na furahiii Sanaa kwakutuheshimishaa Sisi wakonkomaniiii kWalugaa yetuu ya Congo DRC. Lingala,, Asante zinga
@حليمهالبلوشي-ز5ث
@حليمهالبلوشي-ز5ث 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢 ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote
@albinhohasla7531
@albinhohasla7531 2 месяца назад
Huuuuh yani tunasubiri hadi tuna anza kuisahau aisee ila acha tu like tu ❤❤❤❤Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿, Uganda 🇺🇬 burundi 🇧🇮 Rwanda 🇷🇼 Somalia 🇸🇴 Sudan 🇸🇩 Ethiopia 🇪🇹 CONGO 🇨🇩 ♥
@SarahBimuloko
@SarahBimuloko 2 месяца назад
Wewe uko mu binafsi sana mbona ujataja congo
@djumaSamson-xx4zz
@djumaSamson-xx4zz 2 месяца назад
Hata mimi nilianz isahau lkn leo nikakumbuka ❤
@Gistaveboss-mu1kf
@Gistaveboss-mu1kf 2 месяца назад
Congo🇨🇩
@FernandesPaul-v4u
@FernandesPaul-v4u 2 месяца назад
Sorry brother
@Innocentfilm
@Innocentfilm 2 месяца назад
​@@SarahBimuloko kweli ni kabisa
@os3kizzytheclassegang937
@os3kizzytheclassegang937 2 месяца назад
Humu tu ❤❤❤😂😂😂 Saluty sana from Mozambique 🇲🇿 Wamakonde tupo
@bableey192
@bableey192 2 месяца назад
UBAYA UBWELA ndani ya snake Boy 😂🙌🏽
@gracebakunzi2399
@gracebakunzi2399 2 месяца назад
Zinga ameongea lingala luga ya congo DRC. Mwana mboka boni???
@MasauShida
@MasauShida 2 месяца назад
Kazi nzuri sana team Clam vevo💕💞💕💞💕💞
@AishaAbdallah-lm4ic
@AishaAbdallah-lm4ic 2 месяца назад
Waa Uko vzr clam vevo.....Wanisho from Qatar 🇶🇦
@MohamedAli-s9j9u
@MohamedAli-s9j9u 2 месяца назад
Nipo Doha. Ww uko wap
@jacksonmurayi1651
@jacksonmurayi1651 2 месяца назад
From Bujumbura Burundi we support you Mr Clam VEVO
@amjoh__
@amjoh__ 2 месяца назад
Wa ngap tulikuwa tunaisubilia kwa hamu❤
@hemedmgomi4450
@hemedmgomi4450 2 месяца назад
Dah!!!! Nmecheke xna Yan uyo kikono na kipala dah!!!!😂😂😂😂 Wemetisha Kama m2 furan iv uku mtaan kwe2
@pillynaya
@pillynaya 2 месяца назад
hao wambea ndo wananikosha zaidi😂😂😂😂 so kwa kuwahiyana huko
@annaki318
@annaki318 2 месяца назад
Congratulations for #Director kakoso Kazi ni nzuriii sanaa❤❤❤❤
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 месяца назад
❤❤❤
@levispaulnthesi6990
@levispaulnthesi6990 2 месяца назад
Leo niko ndani ya top ten nipeni na likes Nairobi Kenya 🎉❤
@ousmanemajeshi0094
@ousmanemajeshi0094 2 месяца назад
Huwa Namsubiri Mwanangu Mwakatobe 2 Na hajawahi Niangusha 😂😂😂 UBAYA UBWELA 😅😅
@BrendaKenzie
@BrendaKenzie 2 месяца назад
Wow ni nzuri sana kama tumeisubiri kwa muda❤❤❤🎉🎉🎉
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv 2 месяца назад
Leo nimekuwa wa 283 😅😅 Haya sasa Tuliyoisubiri snake boy kwa hamu gonga like kama tuwape nguvu ndugu zetu🎉🎉🎉🎉🎉
@lizard5201
@lizard5201 2 месяца назад
@@KibweOnlineTv kaka unaonekana una channel kubwa ila hauoni ajabu kusifia kazi za wengine Mungu akuzidishie
@FahadAli-ni5eu
@FahadAli-ni5eu 2 месяца назад
Nimeangalia page yko unafanya kz nzr sana
@fatumamnyenze9696
@fatumamnyenze9696 2 месяца назад
Pia nilichoka kusubiri nko kwa chado 😂😂😂
@faithnayla2374
@faithnayla2374 2 месяца назад
Fayden Anupi subscribe
@BonfaceDavid-n8h
@BonfaceDavid-n8h 2 месяца назад
Nakubaliana na wew kwa asilimia mia
@ahmadbelier3160
@ahmadbelier3160 2 месяца назад
Watu wa Burundi Bujumbura 🇧🇮 tujuane kwa kubonyeza like hapa✔️ Ila huwa wanakawiza😢
@JombaWay
@JombaWay 2 месяца назад
Mimi hapa
@NshimirimanaFerdinand-z6x
@NshimirimanaFerdinand-z6x 2 месяца назад
Tupo
@Odreille
@Odreille 2 месяца назад
@ashantyassani2869
@ashantyassani2869 2 месяца назад
💙💙💙💙
@uwimanamadina1872
@uwimanamadina1872 2 месяца назад
tupo ❤😂
@OmaryHame-i2j
@OmaryHame-i2j 2 месяца назад
UBAYA UBWELA...nakubal #Mwakatobe
@aganzeroger
@aganzeroger 2 месяца назад
Yani mulikuwa mulisha nikera na kukawia😮😮🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉
@RubanzintwariJeanclaude
@RubanzintwariJeanclaude 2 месяца назад
bigap timu Vevo clam kazi nzuri sana
@ANNAMdttz
@ANNAMdttz 2 месяца назад
Jamani clam usije ukachelewexha sana mwendelezo
@Lion_Boy
@Lion_Boy 2 месяца назад
Wa kwanza toka congo 🇨🇩, likes please
@MeshackMakala-or5ie
@MeshackMakala-or5ie 2 месяца назад
Ahahahaha tuliosikia ubaya ubwelaaa tujuan apaaaa 😅😅😅😅😅
@mrben227
@mrben227 2 месяца назад
Kazi nzuri mno ,,washirika wanafanya kazi ipasavyo ,shida ni kucheleweshwa kwa kazi
@saidihysn2212
@saidihysn2212 2 месяца назад
Tunataka kuona pambano la Zinga na Clam vevo wengi siwaelewi hata kidogo lakn Clam na Mwakatobe waigizaji waziri
@HAWAMAULIDI-zl5xd
@HAWAMAULIDI-zl5xd 2 месяца назад
Mbona wote wako sawa tuu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
​@@HAWAMAULIDI-zl5xdkabisa yn
@graffinamisi
@graffinamisi 2 месяца назад
Sasa ww hunatazama kitu yenye huelewi
@SuhailKhan-p2i
@SuhailKhan-p2i 2 месяца назад
Sidhan Kama Mnasikiliza Maoni ya VIWERS wenu.. Mnailaza sana hii tamthilia. Inafika wakat watu tunakosa hamu ya kuifatilia tena...plz zingatieni Maoni ya Watu
@kingcicero1708
@kingcicero1708 2 месяца назад
Nipo kazini lakini nashindwa kufanya kazi 😂😂😂😂😂 SnakeBoy ni 🔥🔥🔥🔥🔥
@PierreHeriIlungu-ks1mr
@PierreHeriIlungu-ks1mr 2 месяца назад
Wanangu wa Drc 🇨🇩 Ngonga hapo
@abasiramazani-qq4cl
@abasiramazani-qq4cl 2 месяца назад
Vevo unqjuwa sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😮😢😊😊
@andrewcb9045
@andrewcb9045 2 месяца назад
Comment number 131 ni mimi kutoka kenya...kweli clam kenya 🇰🇪 Twakupendaa
@FrJerkiss
@FrJerkiss 2 месяца назад
Mimi wa pili leo nataka like za wa Congo vraiment
Далее
SNAKE BOY | ep 32 | SEASON TWO
41:00
Просмотров 882 тыс.
PLAN B _ Episode 22
1:02:01
Просмотров 90 тыс.
Ванька пошел!!!! 🥰
00:18
Просмотров 234 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [59]
21:52
Просмотров 26 тыс.
PETE FULL​
2:10:32
Просмотров 186 тыс.
SEX PHOTO | FULL MOVIE |
1:08:19
Просмотров 561 тыс.
I LOVE MY TEACHER | 2 |
24:47
Просмотров 320 тыс.
DJ AFRO LATEST ACTION MOVIE 2024 #djafro
1:48:29
Просмотров 1 млн
SHETANI |Ep 1- 5|
1:40:16
Просмотров 193 тыс.
SNAKE BOY | ep 33 | SEASON TWO
36:57
Просмотров 675 тыс.
KIPESILE   | 1 |
23:39
Просмотров 1,3 млн
MAGIC RING | FULL MOVIE |
1:13:45
Просмотров 815 тыс.
DUNIA (Ep 11)
23:09
Просмотров 158 тыс.