Amen Asante Sana nikisikiliza juu wimbo nakumbuka mahali Mungu amemitoa shida nilizipitia Yale majonxi lakini kwakua yeye ni Mungu naamini zaidi akuna siku ataaibisha wa kwake.
Amen amen God bless you hiyo wimbo imeniumisha kabisa mbaka nimeona yenye nimepitia mbaka machozi inatlilika baba but nasikia kama roho yangu imefunguka so far God bless u
Remember, the story of Adam and Eve in the garden of Eden. Remember Samson and Delilah . Try and be like Joseph in potipha wife. Run away from every appearance of evils
Mimi nilikua mjane at the age of 24 😭😭😭😭😭my son became fatherless at the age of 1 year and 1 month.. This far we thank God He has been there for us... God we grateful very grateful
Mimi nilikuwa mjane at the age of 20 yrs 😭😭😭😭😭😭 and my unborn child became fatherless 😢but we are grateful to God 🙏 it's now 8yrs and we glorify His Mighty Name🙏🙏🙏
Mheshimiwa Stephen Kasolo no one in Gospel a very humble man of God we met once when I was Kenya very God fearing man may God bless you n your family.... Very touching songs ..... wapii like. Xa Solo man of God
This song aki ,,,Huwa yanikumbusha vyenye nlihangaika nkiwa shule aki ,,kukosa chakula ,mavazi ,bila malezi ya mzazi baba ,,😭😭,so painful my brother,,aron
It's you only you God please I go for my knees to ask to take care of my sister's kids it's 8yrs now since she left us 😭😭💔wew ni mungu wa kutegemewa I believe in you jehovah