Тёмный
No video :(

Steven Mukwala Usajili Simba Cheki uwezo wake Wakufunga_ Mukwala skills 

NeogTv
Подписаться 4,3 тыс.
Просмотров 251 тыс.
50% 1

Steven Mukwala Usajili Simba Cheki uwezo wake Wakufunga
#stevenMukwala
#usajiliSimba
#mukwala

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@malcomg1004
@malcomg1004 Месяц назад
Hapa sasa naanza kumuelewa Mo,safi sana
@selestiniasenga
@selestiniasenga Месяц назад
Mukwala ni mchezaji mzuri ,atawafunga yanga mabao yakutosha yanga wajipange.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Mo Boss wetu hawa wakiludi toka Misri wasomowe dua nzito. Wenzetu wa upande wa pili Uchawi upo. Ila sisi siku zote hatutaki kuamini kuwa uchawi upo.Wacheza wanakuwaaga hawana tatizo. Tatizo uchawi tu. Ninaiombea sana timu yangu simba iwe inapata ushindi wa kishindo siku zote.❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏👍👍👍👍
@hajikalangwa6876
@hajikalangwa6876 Месяц назад
Upo sahihi
@RosePetro-ck8pt
@RosePetro-ck8pt Месяц назад
Hahaha,maneno yamfungwaji wa goli tano
@mkombevuai7161
@mkombevuai7161 Месяц назад
Hamna akili mnaowasifia wachezaji wakat timu wanalocheza nalo hamlijui ubovu wake😂😂
@jumakidunda78
@jumakidunda78 Месяц назад
Nawajuza tu style yake y kushangilia anaruka kavu,,,, style hiyo ya kushangilia wachezaji wanafunga sana
@RamadhaniDuruduru-y3p
@RamadhaniDuruduru-y3p Месяц назад
Ngoja tuone Stivin Mukwala
@IBRAHIMU-z2u
@IBRAHIMU-z2u Месяц назад
mukwala ni shida
@oscarvumbama
@oscarvumbama Месяц назад
Hapana jamaa Yuko vizuri
@aminattai2676
@aminattai2676 Месяц назад
Misumari ni mingi kwenye ligi yeti,yaani ushirikina,angalia ata Ile Simba mbovu msimu uliopita tulikua yunafungwa ovyo ovyo hapa kwenye ligi lakini timu Ile Ile inapokwenda nje inacheza tafauti kabisa,yanga wanaamini ushirikina sana ata mayele aliliweka wazi jambo ilo
@igihamanuel1
@igihamanuel1 Месяц назад
hakuna hicho kitu ww. Sasa hivi ligi yetu imebadilika imekuwa nguma sana. Wachezaji top wa Afrika wengi wanachezea kwetu ukienda hata tabora United, Mashujaa n.k unawakuta tofauti na zamani. Achana na mawazo mgando ya kujifariji!
@albertlambert2810
@albertlambert2810 Месяц назад
Mi najua . Mnao kejeli viwango vya wachezaji wa Simba sio shabiki wa Simba..ni wanafiki
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 29 дней назад
Hao Ni wa upande wa pili
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Месяц назад
Kuna jamaa namba nane nimemuona anajua sana uyo alitoa asist tungemchukua pia sa tunamleta peke😂 nan anamlisha ss
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 Месяц назад
Simba bado hatujawajua inaweza kuwa timu bora sana au ikawa hamna kitu ni viziri kusubiri ligi ndo tutajua mbichi na mbivu
@SteveAvelinBuretter
@SteveAvelinBuretter Месяц назад
Nimtuuu✊✊
@MartinGregory-uu1ub
@MartinGregory-uu1ub Месяц назад
Jamaa anajua
@kelvinmikida
@kelvinmikida Месяц назад
wachezaji wanaokuja simba ni wazuri ila wakishacheza na yanga tu, ubovu unaanza kuonekana🤓🤓🤓maana kipicho sa sahihi kwa vilabu za nje na ndani ya tanzania ni kucheza na yanga
@fj8317
@fj8317 Месяц назад
Akili yako IPO matakoni
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Месяц назад
Nikajuwa unataka kusema yanga wachawi
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Месяц назад
Mbele ya Bacca, Job, Kwasi na Boka, halafu wanalindwa Aucho, kazi atakuwa nayo, aje tu😂
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl Месяц назад
Kweli Uto umeanza kutetemeka....yaani umeitaja safu yako yoooote ya Ulinzi kumkaba .😅😅😅 😅😅😅
@songorosongoro9927
@songorosongoro9927 Месяц назад
Mm nakuambia kuweni makin hao waking job mtakuja kwakataaa
@ZachariaCharles-xk2uf
@ZachariaCharles-xk2uf Месяц назад
Ubovu unatokea wap Mzee
@chrismedah2133
@chrismedah2133 Месяц назад
Wewe ndio huna akili maana hata mpira hujawahi kucheza
@danielimalaki
@danielimalaki Месяц назад
Daaaa
@user-gk7pz4re6h
@user-gk7pz4re6h Месяц назад
Hatari
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Месяц назад
MBONA HILO GOLI HATA MIMI MSHABIKI NAFUNGA! TUACHE KUWASIFIA SANA WACHEZAJI TUSUBILI LIGI IANZE NDIPO WACHEZE NASI TUTAONA KWA MACHO YETU
@BenAman-cm5kx
@BenAman-cm5kx Месяц назад
Nenda kafunge hilo goli😂😂😂
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Месяц назад
@@BenAman-cm5kx NIMEISHAFUNGA .
@neemajoseph4345
@neemajoseph4345 Месяц назад
😃😃
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 Месяц назад
Mnajipima kwa vibonde tafuten timu kubwa
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 29 дней назад
Njoo hata wewe tujipimie kwako uuone huo mziki
@iddybora1876
@iddybora1876 Месяц назад
Eti job baca chura tuu
@iddybora1876
@iddybora1876 Месяц назад
Uyo kibaca chura tuu
@SHIJAJITIJA
@SHIJAJITIJA Месяц назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@IbrahimWinjoness
@IbrahimWinjoness Месяц назад
Wanafl nnyi sio wanadomba ninyi
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Месяц назад
MKWALA MZURI ALIKOKUWA LAKINI KWA SIMBA ATAFELI KWA SABABU SIMBA HAWANA UVUMILIVU MCHEZAJI AKIFANYA MAKOSA.
@FranceMwanilyela
@FranceMwanilyela Месяц назад
Simba mpya hyo aludi uchebe basi
@AshirafuRajabu-uz4bt
@AshirafuRajabu-uz4bt Месяц назад
Lazima 5 zirudi
@LucasHaile-dy9kd
@LucasHaile-dy9kd Месяц назад
Sahau, labda ziongezeke
Далее
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 7 млн
SIGMA ENVY IS UNTOUCHABLE 🔥 #insideout2
00:10
Просмотров 1,4 млн
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 7 млн