Sikilizia jinsi swala la kufungiwa wimbo wa #219 wa Sugu ambao bado haukuwa rasmi toka kwake.. Kama anavyo dai mwenye, kuwa haikuwa official release kwa ngoma iyo.
Huyu Naibu Waziri sijaelewa akili zake. Kwani wimbo uki lik maana, kwani wimbo Uko lik kwenye mitandao hauingii. Namshauri awe anasikiliza kwa umakini kabla ya kujibu. Sugu ameeleza vizuri sana.
keviisafi kak Mungu mkubwa mbowe Alafu wimbo #219 kama vipi tuandamane ufunguliwe maana #Julian na #BASATA wametetemeka mpaka kuufungia, ila sio nux sababu wajanja tunao tayari... Message sent and delivered+Received.
Cecilia Jimmy NENDA kwa #Mange akupe #MOFAYA (BILL ON ME) ALAFU UTARUDIA KU COMMENT UTAELEWA kwanini wameufungia wimbo #219. Mistari yake mikali sana, kama vp sema nikuonjeshe kidogo....😂😂😂😂😂😂😂
not sure if anyone gives a damn but if you guys are bored like me during the covid times then you can watch all the new series on InstaFlixxer. Been binge watching with my brother during the lockdown xD