Тёмный

SWALI GUMU KWA MAZINGE NA WAISLAMU: MUHAMMAD ALISALI NA VIATU, NYIE MMEPATA WAPI AMRI YA KUVIVUA? 

Advent Sound TV
Подписаться 17 тыс.
Просмотров 331 тыс.
50% 1

Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023.

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 477   
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 Год назад
Nampenda prof.Mazinge Allah akupe pepoo ya ngazii yajuu kwakweliii.....ana Experience Saana na hawo watu
@v_simon2677
@v_simon2677 8 месяцев назад
Mazinge ni ujanja ujanja usiokuwa na ukwel wote wote
@baya1289
@baya1289 Месяц назад
😂😂Sasa mazinge anauliza swali gani.
@moramtanga-dar7372
@moramtanga-dar7372 Год назад
Mazinge proffesa dah Toca nimtambue nilikuwa mdogo Sana Allah ampe Long life
@sakinahassani1455
@sakinahassani1455 10 месяцев назад
MashaAllah,, Mazinge Allah akupe mwisho mwema
@johnatika5657
@johnatika5657 10 месяцев назад
Mungu ana haja na moyo c viatu,Bwana yesu asifiwe
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 8 месяцев назад
Masister wanajisitiri sana
@saudaumar3354
@saudaumar3354 10 месяцев назад
mazinge azungumza ukweli kuhusu quran.mashallah Allah barik
@IptisamMohammed-o5s
@IptisamMohammed-o5s 24 дня назад
Yaani kwa kweli Allah akupe nguvu shekhe wetu mazinge,unatupa nguvu ktk dini yetu ht mjinga nae hukuelewa,Allah akuhifadhi duniyani na akhera,aamen
@rajabusaid-j6v
@rajabusaid-j6v 9 месяцев назад
Waislamu tunahitajika sana kuisoma dini ytu na kuielewa kabla ya kuizungumzia hasa ktk mazingira haya ya mihadhara, kuna ubabaishaji mkubwa unaonekana ktk ujibuji wa maswali kwa masheikh kiasi kwamba mtu mwenye uelewa wa dini anashangaa kwa namna swali linavyojibiwa. Nasaha zangu tumche Allah na tujikite katika kuisoma kwanza dini kabla ya kuizungumzia. Wallahu-aàlamu.
@gwijitv
@gwijitv 7 месяцев назад
Uko sahihi, unajua Elimu dunia nayo ni muhimu sana, ili mtu uwe na uelewa pia,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 месяцев назад
Lugha ya kigeni inatumika na Watu hawajaenda kusoma wataweza kujibu??hapo ndo wanawauza
@babyakasha4002
@babyakasha4002 4 месяца назад
umeongea point kubwa mnoo.
@AbdulAbdalah-h2k
@AbdulAbdalah-h2k 3 месяца назад
Uislamu ndiyo dini ya haki Allah tujaalie tuzidi kuupenda uislamu aamiin
@husseinguyo4929
@husseinguyo4929 Год назад
Professor mazinge Allah akupe maisha mrefu
@RaimamomedSaidi-wz1yu
@RaimamomedSaidi-wz1yu Месяц назад
Wakiristo wabishi sana,licha ya udini,kifkra tu hujui km viatu vinachukua uchafu mwingi ukitembea?sasa unaingiaje nyumba ya mungu na uchafu?acheni kupotezwa mjuweni mola wenu wa haki ni nani.
@ShukuruMinga
@ShukuruMinga 6 месяцев назад
Mungu awabariki walimu na wachungaji Kwa kuwafundisha hawa waislam
@Mwanatwaha
@Mwanatwaha 4 месяца назад
Acha ujiga dini ya kweli ni kiclam na siukristo kwahiyo mtakemsitake wislam ndodini ya kweli
@jobmbogo-e5m
@jobmbogo-e5m 5 месяцев назад
Yesu ndiye jia ya kweli na uzima wa milele
@cabylake2320
@cabylake2320 Год назад
Allah akbar Allah akbar
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 9 месяцев назад
Hawa watu hawako tayari kuamini kuwa yesu ndie bwana na mwokozi wa maisha yako
@SadaAbdallah-z9t
@SadaAbdallah-z9t 2 месяца назад
Una akili
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 7 месяцев назад
Kiukweli ndugu zangu mgesimama kuhusu kuwafundisha watu kuhusu njia ya ufalame wa mungu na si kubishana kwa ajili ya utukufu wa mungu mungu ndyo alileta hao watume wake na kila mtu ana haki ya kumuamini mungu kwa njia ya mitume hao
@BlandinaFunga
@BlandinaFunga Месяц назад
Sawa umejibu vizuri hakuna atakae angamia kwa kumfuata YESU,
@ipyanapaulo4774
@ipyanapaulo4774 Год назад
Safi sana walimu wa kikristo mbarikiwe sana
@mohammedal7864
@mohammedal7864 11 месяцев назад
Safi kwa lipi wanajikanyaga tu nyie badilikeni huo sio ushabiki wa mpira mtajuta siku ambayo hayatowafaa majuto
@bekamwaba3571
@bekamwaba3571 11 месяцев назад
Wabarikiwe kwa kupotosha watu? M.Mungu hapendi uongo kama vyenye nyinyi wakristu mnafikiria
@elikinebeni4683
@elikinebeni4683 11 месяцев назад
@@bekamwaba3571 wao na Muhammad Nani muongo,
@paullazaro3127
@paullazaro3127 10 месяцев назад
​@@bekamwaba3571wapi kasema uongo?
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 11 месяцев назад
Allah Akbar ♥️♥️♥️
@UwimanaAzzia
@UwimanaAzzia 6 месяцев назад
Mashaallah Allah akutuhifadhiye kiongoz mazinge
@AdamuJumane
@AdamuJumane 4 месяца назад
Dini ya kweli na ya haki ni uislam
@LatfaRamadhan
@LatfaRamadhan 9 месяцев назад
Allah akuinde professor mazinge akupemaisha marefu
@MuhindoJamaldin
@MuhindoJamaldin 9 месяцев назад
❤🙏🙏🙏✍️ Allah bless you mazinge
@AlfayoEliahu
@AlfayoEliahu 10 месяцев назад
mchungaji panga nguvu ilioko ndani ya damu ya yesu katika ulimwengu wa Roho vitu saba 7 katika damu a).Damu ni uhai mwanzo 9:4 b).Damu hua inazungumza mwanzo 4:10 c).Damu inafanya upatanisho kolosai 1:20 d).Damu inauwezo wa kufungua milango 1wafalme 18:24 ruka nenda 33 danieli 7:10 e).Damu inauwezo wakununua vitu vyote inategemea unanunua nini ufunuo 5:1-10 f).Damu inabadilisha majira na nyakati kutoka 12:1-3 g).Damu inabeba tabia mwanzo 19:36-38 mungu alimtoa yesu kafara ili atupate sisi ndomaana damu ya yesu aifanani na damu yoyote 1petro 1:18-19 matendo ya mitume 5:1-10
@BenardLazaro-nl6oy
@BenardLazaro-nl6oy 7 месяцев назад
Very good my teacher very nice
@saidmasoud-vv1io
@saidmasoud-vv1io Год назад
Mazinge Allah bless you🙏🙏
@magrethlubimbi4055
@magrethlubimbi4055 Год назад
Waislam YESU ATAWATENGENEZA TU
@halimahalifa
@halimahalifa 6 месяцев назад
You know nothing
@MuhindoJamaldin
@MuhindoJamaldin 9 месяцев назад
❤🙏🙏🙏✍️mazinge Allah bless you
@امندىالقحطاني-ش5ج
@امندىالقحطاني-ش5ج 7 месяцев назад
Mazinge Allah akupe maisha marefu, ili wapuuzi wanyookee
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 4 месяца назад
Allah na mazinge wenyu ni comedian
@jasonirakoze-jk9ic
@jasonirakoze-jk9ic Год назад
Tafsiri za mameno ya Mungu anatambuwa na wenye wanaongozwa na Roho mtakatifu,waislam watumiya ujuzi tuu ,ila Roho mtakatifu hawaana
@saumbliz8983
@saumbliz8983 Год назад
Roho mtaka vitu ama roho mtakatifu we kafiri
@mobigo2unlocker-iv7kn
@mobigo2unlocker-iv7kn 11 месяцев назад
Kama utatubu nimekutabilia njaa juu yaako amen
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 11 месяцев назад
​@@mobigo2unlocker-iv7kn😂😂😂😂😂 mtajpa uungu na bado ety njaa kal
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 9 месяцев назад
Wewe unajua maana ya roho mtakatifu au Unafikili roho mtakatifu ni Kama mnavyo jazana matangopori.
@zeidomar-f7g
@zeidomar-f7g 10 месяцев назад
Mashaallah kheykh 🎉
@SaleheAmiry-mx1yn
@SaleheAmiry-mx1yn 3 месяца назад
Mashaallah
@VitalisGabriel
@VitalisGabriel Месяц назад
Yesu ndiye njia pekee ya uzima wa milele
@kimanidatch6096
@kimanidatch6096 10 месяцев назад
Mazinge siyo mwalimu ni mkosoaji tu...Wala hawezi kusaidia WATU...Mazinge okoka tu,,MPOKEE Yesu KRISTO,,Kwa MAANA ukweli unaujua vizuri.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 месяцев назад
Na Akienda Nyumbani roho inamsuta ,Na Ipo siku atakutana Na Yesu live atatuhadithia
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
Wewe ni kichaa
@SaalimmodyAbubakar
@SaalimmodyAbubakar 5 месяцев назад
Wew umelewa
@AhmedMohamedMadaiMadai
@AhmedMohamedMadaiMadai 5 месяцев назад
Kafiri ww uokoke ww unaemuabud mtu katahiriwa govi
@legendaction202
@legendaction202 4 месяца назад
Kwani ww ni uluminati mpaka wataka mazinge aingie kwa dini yako ya uluminati
@OMARYKAHUNGO-mn4mf
@OMARYKAHUNGO-mn4mf 8 месяцев назад
Allah awape viongozi wetu afya njema ili kuweka wazi yaliyofichika
@NtezimanaLubhingagiza-us2iz
@NtezimanaLubhingagiza-us2iz 4 месяца назад
Hongereni wachungaji wetu
@NditimanaEmanweri
@NditimanaEmanweri 5 месяцев назад
Mash Allah shehe wangu hapo endelea kuwakomesha
@Abdul-p6r7p
@Abdul-p6r7p 7 месяцев назад
Dini ya haki ni uislam hapa dunian mpaka kwa mungu mungu ni mmoja
@rhiophiri6857
@rhiophiri6857 9 месяцев назад
professor Mazinge you are indeed the professor, the pastor has failed beyond Lamentation
@DanielDastanMgaya
@DanielDastanMgaya 11 месяцев назад
Only Jesus is truthfuly no one else
@abbastetere653
@abbastetere653 8 месяцев назад
Boo ni
@SHAFIIIZAM
@SHAFIIIZAM 2 месяца назад
ustaz wetu Allah akulinde
@husnabintibrahim3842
@husnabintibrahim3842 Месяц назад
Mazinge Allah akulipe kila la kheri
@christophercostantine7497
@christophercostantine7497 11 месяцев назад
Hili limezungumziwa kwenye Mathayo 24 ,Unabii wa Yesu Kristo dalili za nyakati za mwisho "kutakuwa na Vita " ,Vita hivi ni vya kiroho (Vita vya Mafundisho) - Imani ya dini flani dhidi ya Imani ya dini flani , Pia akasema watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe kwa kuzifurahisha nafsi zao. KUWENI MAKINI NA WATU HAWA .
@DutchJaphet
@DutchJaphet 8 месяцев назад
MWANA YESU ASIFIWE ONGELENI KUFUNDISHA
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 2 месяца назад
Hana family,,, afiwe na Nani
@Mjdlvt-ug4en
@Mjdlvt-ug4en 9 месяцев назад
Amina Amina
@nourdinpro
@nourdinpro 11 месяцев назад
Aendeleye kupumzika milele Yahya msomaji
@bekamwaba3571
@bekamwaba3571 11 месяцев назад
Pastor muogope Mungu haki. Wacha kuzua kwa kutetea uongo ulonao kwa kusudi la kumtumikia shetani. Msiwapotoshe wenzenu ilhali ukweli mnajua ila mnaficha ili mpate wafwasi ndo mpate mkate. Bila hiyo kazi ya kudanganya wenzenu M.Mungu bado atawapeni rizq zenu tu
@muhammadzubeir7603
@muhammadzubeir7603 24 дня назад
Bwana mkubwa hujajibu swali; Tunataka "AYA'🙌
@aminasaid5097
@aminasaid5097 3 месяца назад
Allah akubalik can
@karenzifaustin2177
@karenzifaustin2177 10 месяцев назад
Wasabato wanaijua biblia sana
@TherenceNishemezwe
@TherenceNishemezwe 2 месяца назад
Manshallah
@Godfreymanyamatimotheo
@Godfreymanyamatimotheo 15 дней назад
Naamin ipo siku watabatizwa tu msivunjike moyo. Ipo siku watamwamin Yesu tu!
@NancyBunja-gd5vz
@NancyBunja-gd5vz Год назад
Wachungaji mjichunge xaaana na hao waislamu. Kwani wako n mzaha mwingi na neno la mungu
@nayeemn9275
@nayeemn9275 10 месяцев назад
Takbiiiiiiiiiiiir
@AgnessAgness-w6s
@AgnessAgness-w6s 10 месяцев назад
Amina mungu awabaliki sana mchungaji
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Год назад
Allahu Akbar M.Mungu ni Mkubwa wakristo hawana ushahid wanazunguka zunguka tu kama Saa ya Ujiti...
@gigimarco2592
@gigimarco2592 11 месяцев назад
Mohammed alikua Shetani wale walio kataliwa na Mungu.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 9 месяцев назад
Huna hata aibu
@MICHEZODAIMATV
@MICHEZODAIMATV 3 месяца назад
Nipe haya kutoka kwenye kitabu cha kislam inayosema mvue viatu
@peterwandena8206
@peterwandena8206 Год назад
Mpendwa wa Mungu naomba nikulainishe kidogo Ili swali la (masinge) lijibike, Yohana aliposema hanabudi kuilegeze kamba ya viatu vyake Hakumanisha kwamba Yesu alikuwa na viatu miguuni mwake",..unaposema hivyo una tafsiri ya moja kwa moja na hakuna Ufunuo wa neno hilo; sawa! Yohana alimaanisha kutosema lolote kwa Yesu! Acha ajieleze mwenyewe. "Just As simple as that"? Ni kwa sababu Yohana hakumjua Yesu, soma hapa chini 👇 Yohana 1:31 31. Wala mimi sikumjua; lakini kusudi adhihirishwe kwa Israeli ndiyo maana mimi nalikuja nikibatiza kwa maji. Inarudia Yohana 1:33 33. I did not know Him, but He who sent me to baptize with water said to me, 'Upon whom you see the Spirit descending, and remaining on Him, this is He who baptizes with the Holy Spirit.' Kuwa na vyatu na kutokuwa hiyo sio shida. Shinda ni??? {masinge} nimpinga kristo
@magrethlubimbi4055
@magrethlubimbi4055 Год назад
Kubwa ni Unyoofu wa mioyo yaani utakatifu.,hata ukiingia na viatu au kuvua viatu sio viatu sio ticket ya kuingia mbinguni ni utakatifu tuu
@lizndunchez720
@lizndunchez720 8 месяцев назад
Waisalamu mnaujinga sana ntna mna utoto sna ata mkipewa maswali z ukijinga sna mnauliza swali ju y swali alfu swali moja 😊😊
@halimahalifa
@halimahalifa 6 месяцев назад
Acha k2kana waislam yes so mng kma kwl mum mbn akli A mng amsaidie asisulubiwe
@Mwanatwaha
@Mwanatwaha 4 месяца назад
Achaujinga wewe dd😊😊😊😊😊
@JohnMashamba
@JohnMashamba 6 месяцев назад
Biblia inaponyaza Mungu ni Mungu wa amani si Mungu wa machafuko,Mungu awabariki.
@mussacharles5311
@mussacharles5311 11 месяцев назад
Amina
@rashidgona1808
@rashidgona1808 Год назад
Mchungaji nimekuelewa vizuri tu yesu alikuwa tajiri mpaka Bank za Dunia hazikuweza kuhifadhi pesa zake akaweka kwa samaki👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 11 месяцев назад
😂😂😂😂 yesu hakuwa tajir wa mali labda tajir wa imani
@BashiruWaziri-p7p
@BashiruWaziri-p7p 2 месяца назад
Ustaz piga kaz ya kutetea uislam Allah atatujalia heri
@wilsonlameck4046
@wilsonlameck4046 8 месяцев назад
Kumbe wakristo na waislamu wanatakiwa kujifunza kwa Yesu! Je, waislamu wanabatizwa? Maana Yesu alibatizwa! Aliwaambia wafuasi wake wajitwike msalaba wake na kumfuata,je, waislamu wanafanya hivyo?
@SHABANINGENDAKUMANA-rh4kk
@SHABANINGENDAKUMANA-rh4kk 20 дней назад
😅😅😅😅😅ndio waisilam na wakristo wajifunze kwa Yesu . Haya Yesu a meowa ? Amri ya kuowa mmetowa wapi wakristo yakuowa?
@SalimuKavughe
@SalimuKavughe 2 месяца назад
Allah awaonhozi wakristo mutoke ndani ya ujinga
@JasminWilberd
@JasminWilberd 2 месяца назад
Pro mazinge ALLAH akupe umri mrefu ili uwaonyeshe njia ya haki na kweli
@IsiraeliMolly-o3z
@IsiraeliMolly-o3z 6 месяцев назад
Mungu ipo moyoni amini mungu washa wasiwazi
@eyesonsecurity8384
@eyesonsecurity8384 9 месяцев назад
Ameen
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Год назад
Wakristo wanakusanyika kwa hasara tu na kwa maelezo haya kanisani ni sawa na Bar tu maana ndani yake kuna walevi kama wote Innalillah wainna ilayh rajioun
@barakaanangisye4812
@barakaanangisye4812 Год назад
pepon kuna mvinyo iyo vipi😂
@callennyabonyi5580
@callennyabonyi5580 Год назад
Eti ?????muislamu anastasia na sigara mfukuni na miraa
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 11 месяцев назад
Hivi leo aje kiumbe toka sayari nyingine akae na kundi la wakristo kwa mwezi then akakae na kundi la waislamu kwa mwezi atagundua wepi kichwani hamnazo ?
@SebastianJugle-lb7ob
@SebastianJugle-lb7ob 10 месяцев назад
Msikitini kuna Malaya na wabakaji watupu
@PeterKimbe-w1h
@PeterKimbe-w1h Месяц назад
Kwa kweli waislam ammjui mnae mtumain dunian
@EugêniaShabanePaulo
@EugêniaShabanePaulo 10 месяцев назад
Louvado seja o nosso senhor Jesus Cristo
@ShebeAlawi
@ShebeAlawi 8 месяцев назад
@KailaniTossi
@KailaniTossi Месяц назад
Nipende kusema elimu ya Hadith za mtume zinahitaji elimu kubwa na sikuzutamka tu bila yakujua. Kwa sabab hadithi za mtume zinahukum katk hali tofauti tofauti
@MathewMaliva
@MathewMaliva 4 месяца назад
Seventh day Adventist church is a ministry of truth
@BashiruWaziri-p7p
@BashiruWaziri-p7p 2 месяца назад
Endeleeni na yesu uyo yesu mnamuita mungu siku ya kiama atawakataenit nahapo mda utakua Ushaisha kaa jifikrie bado uko hai
@samuerinyannga645
@samuerinyannga645 Год назад
waisimu..wanataka..yesu..awe..mwislamu..Mohamad..hanasifa
@hasheemcarrick3141
@hasheemcarrick3141 Год назад
Ww unafikir Yesu ni mkristo!! 😂😂
@collinsghambi7315
@collinsghambi7315 Год назад
Bi hadija alikua mkristo na mahamadi alikua mpagani
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Год назад
Sasa km c mkristo mbona mwamkataa nyinyi
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Год назад
@C DRAMA COVERS mariam alilala na nani hd kumpata Yesu?
@collinsghambi7315
@collinsghambi7315 Год назад
Alafu mohamad alibadili ili kumuoa bi Khadija. Bi khadija Maana alikua ni mkristo
@binseif2216
@binseif2216 6 месяцев назад
Am proud to be muslim tunahoja za msingi nahakuna atakae tutoa kwenye mstari
@baumaeddytoutestprophetiqu6322
@baumaeddytoutestprophetiqu6322 8 месяцев назад
Anayezani anasimama kumbe ameanguka! Nyote hamusheriya sababu hamujaamini Mungu. Munapenda kujionesha tu kwamba munaujuzi zaidi. Mungu hatumiki na kicwa ila na roho kwa tarifa yenu wote hapo
@leilasaid3623
@leilasaid3623 7 месяцев назад
Takbiri waislamu takbiri
@UwimanaAzzia
@UwimanaAzzia 6 месяцев назад
Allahou Akbar
@kayeesbelewa4819
@kayeesbelewa4819 2 месяца назад
uyo Mazinge hamna kitu,anazunguka zunguka tu,swali lishajibiwa.
@MeneMhepela-hq4of
@MeneMhepela-hq4of 8 месяцев назад
Mungu anaangalia mayo mazinge saw
@ChannceUwase
@ChannceUwase 10 месяцев назад
Amen
@petergitonga8590
@petergitonga8590 3 месяца назад
Nakuwaga na swali kwa wachungaji...Ndani ya BIBILIA KWA NINI VTABU ZIKATOLEWA kama Kitabu cha HENOKO???
@baumaeddytoutestprophetiqu6322
@baumaeddytoutestprophetiqu6322 8 месяцев назад
Shika sana ulicho nacho. Hata siku moja hamuta elewana. Foot ball na hand ball hamuchezi match moja. Nyiye wote wanadimi tu, ila hamujuwi Mungu, hamujuwi neno la Mungu hata. Yaani Mungu awajaliye neema tu, ndio nawaombea
@HajiRajabu-d5n
@HajiRajabu-d5n 10 месяцев назад
❤❤❤❤
@MaryamShafii-v1y
@MaryamShafii-v1y 3 месяца назад
mungu anataka moyo wako yaani ufupi ni kuwa ukitakaswa ndani,umetakaswa nje pia
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 Год назад
Hilo sio.swali gumu Kwa waislam wakristo mnatapatapa sana
@JuliusKinyuanduyo-me7nb
@JuliusKinyuanduyo-me7nb 9 месяцев назад
Bwana yesu asifiwe mungu awasaindie wasilam kujua ya kwamba yesu ndie muokosi
@daudinyello4033
@daudinyello4033 9 месяцев назад
ILA SIO MUNGU
@ashurafarhan8335
@ashurafarhan8335 3 месяца назад
Yaan hao wenzetu hawajui swali kazi ni ubishi mmeshaambiwa yesu sio mungu
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
Mimi Ninahisi Hawa WAKIRISTO makafiri hawajui kiswahili... 70% ya lugha ya kiswahili ni kiarabu. Waacheni Hawa majahili
@AliMohammedAli-ms5zu
@AliMohammedAli-ms5zu 6 месяцев назад
Good thing congrat
@charlesmgonja8689
@charlesmgonja8689 Год назад
Kweli huyu Mazinge ni professor wa mchongo comedian
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Год назад
Yesu amesema tufuate mila yangu. Mila ya yesu ni ipi?
@lucaswanyonyi4037
@lucaswanyonyi4037 Год назад
Mbongo.mkubwa
@mussahamad1668
@mussahamad1668 Год назад
Mimi sito kuwa mjinga wa kumuabudia binadamu mwezangu (yesu)
@rebecakigutu
@rebecakigutu Год назад
​@@hilalkhalfan1452 sio mila bwana 😂😂😂😂 ni NIRA ...biblia inasema jitieni NIRA YANGU KWAKUWA MIMI NI MPOLE NA MNYENYEKEVU WA MOYO 😢😢 ...
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Год назад
@@rebecakigutu ndio mila hio, sasa kiswahili nira ni kitu gani?
@Nancybosibori-sz5nb
@Nancybosibori-sz5nb 10 месяцев назад
Hallelujah
@LadyKenya-uw5qn
@LadyKenya-uw5qn 8 месяцев назад
Amen 🙏
@nyansilujoseph-pm8im
@nyansilujoseph-pm8im 10 месяцев назад
Leo ndo nimeamini kuwa Uislam HAMNA KITU KABISA ZERO KABISA
@ConsolataKanyi-pi1uq
@ConsolataKanyi-pi1uq 4 месяца назад
Kabisah awa niwapiga ndini ya yesu
@AllyNshimirimana-u2i
@AllyNshimirimana-u2i 3 дня назад
Haunbusara😊
@Apologeticskilambopastor
@Apologeticskilambopastor 7 месяцев назад
Simple Yesu hakuingia kanisani
@operabetaoperabeta8813
@operabetaoperabeta8813 Год назад
Kama SISI ni safi , tumboni kuna vinyesi na ibadani tuningia navyo na Mungu anatuvumilia tunamuabuduna MAISHA yanaendelea.
@newbwejuu4302
@newbwejuu4302 Год назад
Akili mbovu
@hamidmohd8759
@hamidmohd8759 11 месяцев назад
Unaakil ww???
@MasanjangwesaJiganga
@MasanjangwesaJiganga 7 месяцев назад
Hao hawana roho wa Mungu wala hakili za kawaida hazipo kama swali linajibiwa afu mtu anakataa majibu wahubiri kweli bila roho mtakatifu Haiwezekani maana kuna maudhi ya shetani kwa wanadamu
@AllanMisiko-dp5ew
@AllanMisiko-dp5ew 8 месяцев назад
Mkisto ako sawa
@gadielpaulo8925
@gadielpaulo8925 6 месяцев назад
Ustaadhi Dominick mapima
@KinyoziMsafi
@KinyoziMsafi 10 месяцев назад
Mazinge ni mjingà sana. Ole wao anaowafunza
@mutulaObedi
@mutulaObedi 5 месяцев назад
Nafikiri Musingi ya manambi na mitume si viatu' naikiwa Mungu alimwambiya Musa vuwa viatu ilikuwa nineno maana kila mara Mungu alitumiya mifano' naye yesu ivyo ivyo' yani kuvuwa viatu niko acha zambi hii ndiyo maana yake' yani kwa wa eslamu na kwa wa kristu tunaomba sote tuvuwe viatu tukaache zambi tu mwamini kristu yesu kristu wapendwa
@kalifree2855
@kalifree2855 Год назад
Yesu alikuwa mtoni wakati huo na yohana mbatizaji alikuwa hapo mtoni akibatiza sio katika mjengo wa ibada ,
@KinyoziMsafi
@KinyoziMsafi 10 месяцев назад
Mtoni akifanya ibada . Panafanyiwa ibada takatifu ni nyumba ya Bwana
@BlandinaFunga
@BlandinaFunga Месяц назад
Naomba achani kubishania kuhusu dini kumbuken kila mtu atuchukua mzigo wake mwenyewe,
@ibulahimuzuberi9480
@ibulahimuzuberi9480 10 месяцев назад
Yesu hakuingia kanisani aliingia kwenye sinagogi na maana yake ni msikiti na huko alivua viatu
@ConsolataKanyi-pi1uq
@ConsolataKanyi-pi1uq 4 месяца назад
Katika kitabu kipi hicho
Далее
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITO
39:38
MAZINGE NA MCHUNGAJI
18:15
Просмотров 90 тыс.
Wakristo wapata dozi yao kwenye mdahalo wa Mbezi
1:05:38
Просмотров 356 тыс.