Тёмный

Taasisi za Magereza 

Подписаться
Просмотров 60 тыс.
% 128

Mfungwa anapohukumiwa kifungo gerezani, jamii hutarajia kuwa anapoachiliwa huru huwa amerekebishwa tabia ili aweze kutangamana na jamii. Hata hivyo matukio ya hivi karibuni katika kaunti za Kitui na Kisumu ambapo wafungwa walioachiliwa huru kisha wakajihusisha kwa mauaji tena, yanaibua suala la iwapo taasisi hiyo imefeli kwenye majukumu yake ya kurekebisha tabia. Hata hivyo kamishna wa polisi Isaiah Osugo anasema kuwa wale ambao huukumiwa vifungo vya maisha huachiliwa baada ya kukataa rufaa. Shisia Wasilwa ana taarifa kamili.

Опубликовано:

 

3 авг 2013

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 3   
@justinpost3716
@justinpost3716 6 лет назад
Poreni sana mungu anawapenda
@mosehteyiaa6439
@mosehteyiaa6439 6 лет назад
Ole Kokidala
@justinpost3716
@justinpost3716 6 лет назад
IPO siku mutatoka