Aandamane yy sisi tupo bize na michongo ya kusaka noti mbele ukae ww mbowe na lissu bila shaka wakumbuka mbeya kipi kiliwakuta kenge ninyi...tena muwe mbele na wake zenu na watoto wenu na wazazi wenu
Hasira haitendi haki ya Mungu ,Mungu amkawambia Israel mtanyamaza kimya nami nitawapigania, KUTOKA,14:14 ,naushari wangu kwenu wananchi mnaoshangilia niwaulizeni mnayo paspot, na Je mnayo viza, maana hao wenzenu wamejipanga wakiharibu wanapanda ndege wanaondoka, ninyi mtakuwa mmeshaumia , mwenye akili ayatafakari haya,
Siku ametangazwa magufuli kufa nchi ili nyamaza kimya vibaka walitakiwa waibe kwel kwel siku iyo lkn adi vibaka walikosa nguvu yakufanya uhalifu Ukimya na vilio vya Raiya wengi ulikuwa huna maana kubwa mungu tuongoze Kila mmoja haijue njia sahihi😢😢😢😢
Hawa wasenge damu yangu inachemka nkiwaskia wanavyo chocha wananchi. Nngeoenda nfungiwe chumba kimoja na hawa jamaa niwfinye . Wanafki wakubwa, yy mwnyw yupo madarakan miaka ya kobe.
Ukiona kiongozi wa chama cha siasa analamba matako ya wazungu jua huyo ni bomu Ukiona kiongozi anaita Scotland yard jua huyo hakuna tofauti na Tumbiri why unanita Scotland ili swala sio la kukulupuka kama chamdea wako na ushaidi waende Hague full stop.Mr Mbowe kama mko na ushaidi mwende kwenye koti ya kimataifa muishitaki Serikali .
@@ABBASIKANDULU-kl8zc wewe ni Tumbiri asiye na miguu na akili ujui kitu kuna kitu kinaitwa sabotage within the ruling party or external force ambayo inataka damu imwagike langu ni moja kama chadema Wana evidence ya watu wanaoteka watu wafunguhe kesi Hague,wachakuwa na kichwa kikubwa kimejaa maji
@@ChrisUromindugu yangu kuna siku maneno yako na matusi yatakuhumu,lakini ukiwa mtaka hakika,huoni matusi yako yataamsha hasira kwa wengine? Kikubwa kaa chini tafakari busara ni ipi? Kwa huenda wewe ni mlala hoi mwenzangu.acheni mamlaka zifanye kazi yako huko siko tulikozoea ndugu yangu.tuwaone walibya walianza hivi hivi sasa ni miaka zaidi ya 10 hali Yao haijaimarika bali wanaendelea kuishi kwenye kauli ya wanhenga fahari wawili wagombanapo ziumiazo ni nyasi tuache kushabikia uasi kama kuna changamoto njia muafaka ya kuzitatua itumike ambayo haitaleta athari mbaya kwa jamii
Hawa waoga kweli baada kusema nchi nzima eti, dar, da watu wapo bize nyie familia zenu mshahamisha,, mboe mwenyekiti wa milele cdm kuhoji mnashindwa, cku kinuke kwanza Ili tujue vurugu nzuri au mbaya, jeuri zenu nchi imetulia ingekua vurugu hao watu ucmgewaona
hichi ndicho chadema milichokuwa mkikitaka.ila mimi kama mtanzania sintokubali kutoka barabarani eti kwa maslahi ya watu wachache.nitangoja uchungizi na ninaamini ya kwamba haki itatendeka