Mzee hadi akiondoka sheria kama hizi na nyingine nyingi zinazotulinda kama Tanzania ziwe zimeundwa na utekelezaji uwe kwa asilimia mia moja. Tusikubali tena kuwa chini ya hawa mabeberu. Mungu ibariki Tanzania .
Mungu bariki tanzania vyombo vya ulaya huo nfiyo ukombozi pigeni marufuku. Watanzania wenzetu walio ajiliwa na ulata ndiyo chanzo cha waruwengi kumchukis kikeke na kumdi lake la watanzania magaiidi. Tuko hutu sasa kama wazungu wasiotaka mambo yao yaingilliwe.
Safi sana mbona korea kaskazini kuna chanel 3 tuu za tv pia za serikari alafu mitandao ya kijamii hakuna sasa naludi nyumbani kwani africa kuna nchi moja tuu Tanzania peke ake mbona wameishuparia sanaa mimi mwenyewe nilikuwa najiuriza sana awa jamaa wana mpango gani na tanzania? Nilichojua wanataka kutuvuruga tuu hawana lolote hawa bora iwe kama bulundi kwa machine marehemu nkurunzinza mbona walikaa kimya pia wajue watuwahitaji wala habari zao hatuziitaji zinatutosha za kwetu; pia jamani naomba kitabu cha historia kifutwe kimejaa uongo mtupu kiandikwe upya kuanzia mwanzo hadi mwisho
Tena hao Deutsch Wele wameanza kuandika uongo juu ya tanzania wanasambaza Google Yaani hawa majamaa weupe walizoea kutugeuza shamba la kuchuma pesa africa, watuache, kabisa na nchi yetu
Hata mimi mimekuwa nikifuatilia hivi vyombo vya habari vya nje kwa umakini mkubwa baada ya kugundua hila iliyojificha ndani mwake. Kwa nini kwenye lile swala la korona walikuwa wanaishambulia sana Tanzania ilihali korona ikiwa inateketeza watu huko kwao? Hizi ndizo hila wazifanyazo ili waendelee kuchonganisha watu na kupenyeza mambo yao. Kwa mtu atakayeifuatilia sheria hii juu juu lazima atailamu serikali lakini kwa mtu mfuatiliaji wa vyombo hivi, atajua kuwa hii sheria imekuja wakati muafaka kwa ajli ya maslahi ya nchi yetu.
Wengi huwa hawafahamu hili swala wamiliki hao wenye vyombo hivyo vikubwa ndio wenye huo mradi wa covid19 moja wao alijitokeza jana Akasema kuwa corona itamalizika mwishoni mwa 2021 Mpaka sasa ni China pekee ndio Alitengeneza faida ktk dili hili la covid
@@tanafricatv1301 Ni kweli. Watanzania wanapaswa kupewa elimu ya kutosha kuhusu utanzania wao na uafrika wao. Ni muhimu wajue adui yao ni nani na wamkwepe kwa akili kubwa bila ushabiki. Naishi huku kwao na ninawafahamu vizuri.
Ni kweli Wao ni wafadhili wa wanasiasa wanaowaahidi kuwa wakipata nafasi watawaruhusu kupata aridhi ama madini Pia wakibahatika kuleta vita kinachotokea ni kama kile cha Libya, Afghanistan, Iraq na Siria wakishaleta machafuko wanaanza kuchota mafuta wala hawajengi chochote na wala utawasikia wakiongelea tena hali ya nchi hiyo wala kusikia wakiongelea democrasia waliosema inahitajika ndani ya iyo nchi imefikia wapi wanapiga kimya ila wakisikia kuna kiongozi anafanya vizuri afrika, wakataka kumrubuni kwa pesa akawatolea nje watamuandama wataandama nchi yake utadhani waliiumba wao.katika nchi zao kuna watu wanalala vituo vya train huwezi ona wanaongea hilo.yaani hawa jamaa wanafiki kuliko ibilisi
@@juliethhouseofdesigns147 Umesema vyema ndugu yangu tatizo ni watu wachache sana wanafahamu siri hizi. Lkn nafuraha taratibu taratibu watu wanaelemika
@@temuemanuel4671 wengi wa watanzania au waafrica wanaoishi nchi za nje walikuwa hawasemi wakirudi nchini wamevaa bring bring wakapewa sifa wanaona waliko kuzuri kuliko nyumbani. Hii ndio iliwapa nguvu hawa watu kuendelea kutushusha lakini sasa hivi watu wameamka wanayaonyesha madhaifu ya huku Angalia kama marekani kuna watu hawama makazi wa kutosha Wengi wao wanaishi kwenye magari iyo huwezi ikuta inasemwa CNN, BBC wala aljazeera Lakini ingekuwa ni Africa ingeshika headline kwasababu wanataka kutuaminisha sisi tuko chini na hatuwezi panda bia wao.
Bado wanafikiria ni koloni lao na sasa wanapoona madini na kila aina ya mali ghafi zinazopatikana hapa Tanzania lazima watumie propaganda na sasa wamejikuta wanagonga mwamba.
Tunashukuru kutuelimisha juu ya hili inabidi elimu hii iende mpaka while za misingi kama wao wazungu wanavyo somea maswala ya utawala kwetu sisi tusiojua kituu
Watu wengi wanapotezwa kwa kukosa maarifa. Ujinga ni ugonjwa hatari kuliko magonjwa yote duniani. Wazungu wanaendelea kutuvuruga kwa sababu ya ujinga with watu weusi