Тёмный

Tazama furusa Kwenye kilimo Cha zao la Nanasi ( Video) 

AsiliGrowers
Подписаться 1,1 тыс.
Просмотров 2,4 тыс.
50% 1

Team ya watayarishaji wa kipindi cha Kilimo chenye tija kutoka ASILI TV walifika kwenye mashamba ya LIZDE COMPANY LIMITED Kiwangwa Bagamoyo ambayo wanazalisha mazao mabali mbali na zao kuu likiwa ni Nanasi ambapo Mtangazaji wetu Mohamed Gojo #Gojo_xgzoo alipiga story n meneja wa shamba Bi Aloyce Mashaja na Mkurugenzi Msaidizi Elisifa Sanka kuhusu furusa zilizopo kwenye zao la Nanasi mafanikio na changamoto
Usikose kufuatilia mfululizo wa makala zingine kutoka Lizde company
#Lizdecompany #xgzoo #ASILITV

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@asiligrowers
@asiligrowers 2 года назад
Asante sana kwa kuitazama hii video
@mathiasbuyobe8474
@mathiasbuyobe8474 Год назад
Mtangazaji
@elisifasanka4818
@elisifasanka4818 3 года назад
Nimeelewa kazi yenu Asili group, keep on
@dngemera
@dngemera 3 года назад
Safi sana naona mkuu juu sana
@fortunatusrulegu4349
@fortunatusrulegu4349 3 года назад
Keep it up up up. Kilimo uti wa mgongo
@mecklausgaspar9649
@mecklausgaspar9649 3 года назад
Unyama unyamani. Bigup. .. team
@setotvtz
@setotvtz 3 года назад
Oooh yeahhhh
@powpilotv7912
@powpilotv7912 3 года назад
Gigo Xgizo🔥🔥🔥
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 3 года назад
Kazi nzuri
@amosstimamaroba1054
@amosstimamaroba1054 Год назад
Hahahaha yaan Nana's unapanda wakati wa jua are you serious watalaam wetu bhana
@benardagrey354
@benardagrey354 3 года назад
Vizuriii
@jafetisekela1726
@jafetisekela1726 3 года назад
Wataalam kutoka sua,, natambua uwepo wenu,,, pull up your socks, one day yes🙏🙏
@asiligrowers
@asiligrowers 3 года назад
Shukurani sana
@athumanially5360
@athumanially5360 3 года назад
Saf mpo vyemaa
@norbypoltv
@norbypoltv 3 года назад
𝕀ℙ𝕆 𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕊𝔸ℕ𝔸✊✊
@asiligrowers
@asiligrowers 3 года назад
Shukurani
@abuurashid1128
@abuurashid1128 2 года назад
Nimegundua ukitakata kufanya kilimo, information ya kuchuakua mtandaoni ni Location tu wapi zao husika linalimwa basi. Ila ni muhimu sana kufika eneo husika. Watu tunapanda Nanasi wakati mvua ili mche utoe mizizi kwa haraka bila kuugua na hakuna mche unaooza labda kuwe na maji yaliyotuwama kwa muda mrefu....
Далее
Darasa: Namna ya kuzalisha miche ya nanasi/ndizi
29:03
⚡ #RodrygoGoes ✖️ #Mbappé ⚽ #UCL
00:11
Просмотров 468 тыс.
UFANISI WA MBEGU ZA SEEDCO
24:40
Просмотров 18 тыс.
Kilimo Ajira Yangu, zao la muhogo - 17.06.2017
25:36
Просмотров 12 тыс.
JK AELEZEA CHANGAMOTO KILIMO CHA MANANASI
1:24
Просмотров 2,6 тыс.
Cultivating Wealth from Pineapple in Northern Uganda
32:31
JIFUNZE KILIMO CHA NANASI KUPITIA SHAMBA DARASA
20:05
⚡ #RodrygoGoes ✖️ #Mbappé ⚽ #UCL
00:11
Просмотров 468 тыс.