Тёмный

TAZAMA MKUU wa MKOA wa Dar Es Salaam Alivyowatuliza MACHINGA wa SIMU 2000 walioanzisha MGOMO 

Подписаться
Просмотров 18 тыс.
% 91

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RU-vid channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Развлечения

Опубликовано:

 

8 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo 4 дня назад
RC hongerasana munguakubariki namuomba ALLAAH akupeumrimrefu nahekmazaidi nakherinyingi
@worldinfoswahili
@worldinfoswahili 12 дней назад
Likes za kutoshaaaa kwa jamaa aliyeongea mwanzo. Ametisha sanaaa. Wananchi wana uelewa sana. Hakuna vurugu, ni hoja tu!
@dizzboss7526
@dizzboss7526 12 дней назад
Yaani wanawazidi mpk walioajiriwa serikalini
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 12 дней назад
​@@dizzboss7526yupo vizuri hadi raha aiseee,huyo utakuta ana degree yake na yupo MITAANI,bora hata ndo angekuwa mkuu WA wilaya aise.🙏🙏🙏
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 11 дней назад
kwa kweli
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 11 дней назад
Machinga Wa Mawasiliano Mna Wasemaj Wazuri Hongereni Mkuu Wa Mkoa Heshima Kwako..🙏🙏🙏
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 12 дней назад
Mkuu wa mkoa mungu akuweke
@MbatiaZakaria-ti5kt
@MbatiaZakaria-ti5kt 12 дней назад
Hiyo ni siasa TU lazima wataondolewa kinyemera nchi yetu bado sana siasa Bado
@user-fg8hg9fe1w
@user-fg8hg9fe1w 12 дней назад
Mjiandae na janga la moto hapo figisu zishaanza😢
@eggysulle7988
@eggysulle7988 12 дней назад
Mkuu wa mkoa 🔥🔥🔥🔥
@adamsonmwasumbi4201
@adamsonmwasumbi4201 12 дней назад
Daaa kuna hao wanao itikia mkuu akiongea😂😂😂🙌
@dizzboss7526
@dizzboss7526 12 дней назад
Ni zaidi ya GEN Z hao sema tu kuna siku kitalipuka
@gibsonsimburya5291
@gibsonsimburya5291 12 дней назад
Umi sawa sana bro
@section8ight174
@section8ight174 12 дней назад
Love Tanzania, we don’t run around aimlessly destroying our own properties like Kenyans for weeks on end. We’ve got an issue, we convene a meeting immediately with the relevant authorities, air our grievances in public & have it resolved one way or the other. We are responsible & busy people!! Viva The MIGHTY Dar es salaam 🇹🇿
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 12 дней назад
Poor eduacton you dont now where you from.nor you go
@section8ight174
@section8ight174 11 дней назад
@@godfreymushi6966 could you repeat that, in English this time 🙄
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 12 дней назад
Hii ndiyo maana ya elimu
@jonasjonas8111
@jonasjonas8111 12 дней назад
Mkuu wa wilaya hana kosa kabisa, yeye alichofanya ni kutimiza alichoagizwa na mkuu wake na mkoa
@Mwachuomo
@Mwachuomo 12 дней назад
Safi sana mkuu wamkoa
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 12 дней назад
Serikali inaweza jenga soko km pale mbagara baada ya wiki akabomoa ikajenga standi . Hvyo srkl huwa haina hasara.
@alfredbyangwamu9821
@alfredbyangwamu9821 20 часов назад
Hapa Mkuu wa Mkoa umenena!!! Kama mtawasaidia wafanya Biashara kwa jinsi hii waangaikaji! Ni vema!!!
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 11 дней назад
Umesema kweli kabisa RC
@LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
@LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 12 дней назад
Mmmmmmm kwaherini
@joshuamwalusambo2391
@joshuamwalusambo2391 12 дней назад
Shida tunawasomi wengi ambaao hawajaelimika, hawajui kabisa maisha halisi ya wanaowaongoza
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc День назад
Moto utawaka apo soon tuu mpk muhame
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 9 дней назад
Yaani wananchi ni waelewa sana ni hoja kwa hoja hakuna vurugu wala kuchoma Mali za uma na za binafsi
@BossiLaizer
@BossiLaizer 12 дней назад
Mwanzo mzuri , itafika wakat uwelewa itachanganya afu tutajua mbeleni
@richkaja3317
@richkaja3317 11 дней назад
Chalamila anajua sanaa sema viongozi wa chini ndo jauu sanaa
@mussabendera1751
@mussabendera1751 7 дней назад
Mussa huyu ni mwanaharakati Tangu akiwa IFM.
@ShaibuMniwa
@ShaibuMniwa 12 дней назад
Mh mr chalamila liangaliye Na rakaliAa koo leo raiya Wanakahaa juwani wametol ewa miavulii yote lipanie Naili chalamila
@user-ow3fz2fh2w
@user-ow3fz2fh2w 11 дней назад
Mama wakuu wa wilaya kama ao wanamualibia mama
@youngtone4333
@youngtone4333 12 дней назад
Hivi hilo ni shati la kitenge au silioni vizuri
@koladjulius9945
@koladjulius9945 12 дней назад
Umeanza kuzingua😂
@rizikiminga3010
@rizikiminga3010 10 дней назад
​@@koladjulius9945😂😂😂 ni kanga basi
@annesmatemu4264
@annesmatemu4264 11 дней назад
Viongozi wenu wanaweza kujielezea kweli nawapa bgp
@gracerichard8145
@gracerichard8145 8 дней назад
Yan alieongea mwanzo kanikosha ingekua makonda angekupandisha cheo🎉🎉
@PeterNyanda-xe3gd
@PeterNyanda-xe3gd 12 дней назад
Mkuu wa mkoa nakukubali wa dar nakukubali
@robertedward1992
@robertedward1992 9 дней назад
Kama hawezikuwatatulia matatizo Yao,ila hafai.
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 11 дней назад
Jiji halina mipango. Kila mkuu ana mipango mfukoni ndiyo chanzo cha migongano
@JmMsukuma-c8l
@JmMsukuma-c8l 12 дней назад
Siasa tu ubabe utatumika kuondolewa hii nchi bwana
@RobinsonKilango
@RobinsonKilango 12 дней назад
Waende jangwani walipo iba fedha za benk ya dunia wakajenga njia ya. Maji waliwafukuza watu jangwani hii nchi yaajabu sana hawa sio viongozi wameuza standi ya mkoa. Sasa wana weweseka na ishu ya viwanja datt kuna mpango wa ruswa hii pran yao ni yao hakuwa kwenye fizibirite stad. Wao wana kurupuka. tu
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 12 дней назад
alitaka kuwabadilikia mka wahi na kelele,alipoaanza kumsifia mkuu wa wilaya,hii ndio bongo bhana hapo mtaondoka tu,
@abdulyamiri3546
@abdulyamiri3546 11 дней назад
huyo jmaa wa mwnzo an point mnooo
@HenryReuben-w5m
@HenryReuben-w5m 12 дней назад
❤❤❤😂❤
@hamismwangwale563
@hamismwangwale563 12 дней назад
Unapendwa kweli
@GaradiGaradi-zq1wf
@GaradiGaradi-zq1wf 12 дней назад
Mwaka huu watawaacha ili mchague mwakani mnahama
@allykota8355
@allykota8355 12 дней назад
Uyo mkuu wa Mkoa mwenyewe simkubali
@HappyBabyOctopus-es2iy
@HappyBabyOctopus-es2iy 12 дней назад
Wivu tyu
@user-ow5zk5vp1x
@user-ow5zk5vp1x 12 дней назад
Wanaamixhwa aoo
@fidelnkurunziza
@fidelnkurunziza 7 дней назад
h
@yassinrajabu6511
@yassinrajabu6511 12 дней назад
fukuza hao wakalime 😂😂😂
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 11 дней назад
Acha Uchoko Unawashwa?
@user-up2fb3ci6h
@user-up2fb3ci6h 11 дней назад
Faken
@seifmohamed8725
@seifmohamed8725 12 дней назад
Chalamila una busara kijana
@frankraphael7546
@frankraphael7546 11 дней назад
Mkuu wawilaya Bado nikijana lakni kachoka mbona au anaumwa
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e 11 дней назад
Atakuwa Mlev😂😂😂
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 10 дней назад
Anajua haki ikowapi anatakiwa achukue maamuzi magumu malalamiko ya haki
@gibsonsimburya5291
@gibsonsimburya5291 12 дней назад
Chalamila wee noma sanaaaa
@MohamediOmari-nz4vv
@MohamediOmari-nz4vv 12 дней назад
Pale magufuli stand kuna eneo kubwa tu siwapeleke kule
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 12 дней назад
Sasa kwann walimzomea mkuu wa wilaya?